Ma sha Allah sheikh nampenda sana Kwa ajili ya Allah
@kibambiibrahim57146 ай бұрын
Juzi aliahidi kutoa dua ya uchwawi
@user-qn8vy8qs8l6 ай бұрын
Mie ata cjaona😅
@nailaty Жыл бұрын
Shukraan sheikh Allah akulipe
@ayeshakhan1636 Жыл бұрын
Masha Allah tabarakallah shukran
@husseinkazungu5101 Жыл бұрын
MashaAllah shukran sheikh
@amamiss22 Жыл бұрын
Shukran Sheikh kwa kutupa izo faida
@laylayl5166 Жыл бұрын
Shukrani sasa hicho kifuu kitupwe hivohivo kimefungwaa au
@omaryteddy535 Жыл бұрын
Mashaallah
@laylayl5166 Жыл бұрын
Mashaallah shukrani sana
@user-rw9jd9kk4j6 ай бұрын
Sheikh naomba namba zako
@mwaalifa-pb7xo Жыл бұрын
Assalaam aleikum warahmatullah wabarakatuh dawa tatu ndo ipi naomba kujua
@user-tk4sy8mf2p9 ай бұрын
Allahamdulillah
@NadiaJuma-en8sr8 ай бұрын
Sisi wengi wengine kiswali kibovo sheih
@nyagokiller2310 Жыл бұрын
Maashaallah
@hawrajehan2398 Жыл бұрын
shkh mbona sijaona ulilotuahidi ulisema utatujuza mwisho
@abcmnbb26108 ай бұрын
Shukran Shukran Shukran sheikh wetu mungu akupe afya njema
@omaryomary876 Жыл бұрын
Naomba namba ya simu ya Sheikh huyu kwa mwenyenayo
@ZamilaLamula7 ай бұрын
🙏🙏🙏😭😭☝️☝️☝️
@saud2065 Жыл бұрын
mashallah
@ismailhassan848 Жыл бұрын
Jazzaka llahu kheir ustadh
@guyo21666 ай бұрын
Mm nataka namba zako shekh please
@marthashikanda2123 Жыл бұрын
Dawa tatu jina lengine Nini tafadhal
@kalamuMedia Жыл бұрын
Kaulizie Duka la dawa,inaitwa hivyo hivyo
@aamarsuleymain29328 ай бұрын
Tuandikie iyo aya ya mayai tafadhal kwenye coment
@nassrubushoot5750 Жыл бұрын
Samahani naomba kujua kama sitakuwa nakera hizo chelewa za mnazi ndo zipi eti
@makambambegu4289 Жыл бұрын
Kama unaujua mnazi huwa una majani Yale majan huwa yana chelewa wengne wanatumia kutengezea mafagio ndio hizoo..🤗
@sheikhfirdaus9857 Жыл бұрын
Mfangio
@maloomaalmnsj5111 Жыл бұрын
MashaAllah
@Cambarada7 ай бұрын
23:15
@marthashikanda2123 Жыл бұрын
Naomba kujua dawa yatu ni zipi kama Zina jinalengine tafadhali
@adamnguvu10209 ай бұрын
Nenda tu dukani waambie DAWA 3 Watakupa
@habyalmary8132 Жыл бұрын
Je na mtu mzima anae kojoa kitandani itakuaje, au atatumia dawa gani? Twatarajia jawabu tafadhali. Maana imekua ni kero mpaka mtu hana raha ya maisha tena. Astaghfirullah
@annakbunga8377 Жыл бұрын
Toeni number ya mpesa tutume
@kalamuMedia Жыл бұрын
+255 787 467 706 Jina Ally Mpendu
@abdiharuna2818 Жыл бұрын
Jazakalu khaira
@rehemandune5066 Жыл бұрын
Sheikh tafadhali nauliza ivi...iyo dua ya haqka unaweza mfanyia mtoto wa miaka 3 ju mtoto wngu anapata shida usiku akilala anashtuka kpiga kelele na kuongea
@shinenishineni1797 Жыл бұрын
Ndy waweza mfanyia ni haqqi kisheria
@rehemandune5066 Жыл бұрын
@@shinenishineni1797 mwanangu hakufanyiwa ya kchinja ndo amaana
@shinenishineni1797 Жыл бұрын
Ndy bado hujachewa waweza mfanyia kama upo na uwezo huo inshallah
@rehemandune5066 Жыл бұрын
@@shinenishineni1797 innshAllah
@zafaasalim1392 Жыл бұрын
Chelsea za nazi ndio zipi?
@amamiss22 Жыл бұрын
Iyo dawa 3 inaitwa nini kwenye English
@imran_goes7637 Жыл бұрын
inaitwa hivyo hivyo dawa tatu ndo jina lake
@makambambegu4289 Жыл бұрын
Ukenda duka la dawa watakupatia we waeleze tu dawa tatu..
@businessadshomedec7998 Жыл бұрын
Dawa hii haipo kwenye uislam Tusichanganye haki na batili, Tumuogope Allah Kifuu dume? Kitambaa cheusi? Mkojo? Chini ya kitandana? Why Sheikh ittakillah
@nasramagenge94477 ай бұрын
Unajua hizo dawa kazijulia wapi
@aminahusseinhilaliaminahussein5 ай бұрын
Asalam alaikum shehe utuwekee number yako ya whatsapp