Mash Allah tabarak Allah kheri. Mola akupe Afya , umri na elimu yenyekunufaika ili uendelee kutuelimisha inshaallah
@user-zn7ub8uc4x8 ай бұрын
Jazaq llah. Khairan
@DawsonKiwia-qt6zfАй бұрын
Ukweli kwenye ahadi.
@sakinahassani14557 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah
@allyjumarashid60958 ай бұрын
MA SHA ALLAAH MADA HIYO NI MUJARAB SHEIKH WALID ALLAH AKUHIFADH WALA HUNA KUJIMWAMBAFAI
@mohdloushmoney99948 ай бұрын
Amiin
@shakirally38998 ай бұрын
Mashallah
@DafiMohamed-dz8xk8 ай бұрын
Ma Shaa Allah upo sahihi kabisa Sheikh wangu
@barzaqtradingcompany85418 ай бұрын
ان الله في ما عليه العبد si hadithi Shehe
@user-zi4et6uz2u8 ай бұрын
Allhaa akuhifadh inshaallha
@user-uz5cu7cr9h8 ай бұрын
Mashaallh
@kwengekitwana92348 ай бұрын
Mashaallah
@maimunaahmed34777 ай бұрын
Asanteee shekhe
@AllyBanda-en2bk8 ай бұрын
Mashaalaah
@SimonpaulMayunga8 ай бұрын
Mimi sio muhislam lkn anacho fundisha shekhe ni sahihi kabisa uwaminifu ni kitu muhimu uwaminifu kwa MUNGU na kwa wanadamu. Me nitakufatilia sana shekhe ili nipate maarifa
@mohdloushmoney99948 ай бұрын
Mfuate akusomeshe uujue uislam
@kalamuMedia8 ай бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukuongoza
@jafarinauma67987 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akupe hidaya inshaallah
@abdizoseyyid633Ай бұрын
Allah akuonyeshe kheri na njia iliyosahihi na akupe nguvu ya kuiendea inshaAllah
Ee Mola wa muumba wa mbingu na ardhi munyanyue darja mja huyu aendelee kuwatumikia waislam mjaalie kusikilizwa na mkinge na maadui pande zote nne na jicho la husda inshaallah
@kalamuMediaАй бұрын
Aamin
@athumanikhamisi33778 ай бұрын
Allah akbar 🥱
@hamzaforogo8 ай бұрын
Maashallaah
@user-oq1ye6hi3j2 ай бұрын
Mashaalla
@mrishongwikwi64488 ай бұрын
Mashaallah shekh
@djumaassumani51692 ай бұрын
Mambo yana bana kila siku
@user-mt4sd6cj5y8 ай бұрын
Usipo Shiba kwa jasho lako pia asema yasiyo yako ..😂😂kweli kabisaa na Watu w karni hii hawapendi kuondolea w2 shida wataka kuwacheka wenye shida Allah atuongoze yarabb.
@saidipara41345 ай бұрын
Yani huyu jamaa mpka wa din zingine wanampenda
@regnaemanuel53316 ай бұрын
mashallah❤❤❤
@maheitumdintunya29287 ай бұрын
shekhe watu hao walikua mafukara sana enzi hizo sema walikua wanajitahidi kueneza wanacho kiamini ili wewe leo ule matunda ya biashara yao wao hawakuwaza pesa hata kidogo kulikua nabiashara za kubadilishana biashara kwa biashara
@abdallahshariff29832 ай бұрын
Wallahi,kama shabiki yako,napendezwa na mawaidha yako,kwanza wewe ni mchezi,kisha unatumia lugha ya upole na ya kuridhisha.
Uwe uchumi halali sio fedha za dhuruma kutoka kwa wanasiasa.
@maftahramadhani23828 ай бұрын
Sahihi
@abdizoseyyid633Ай бұрын
Mtu mwema ni yule anayetafuta kasoro zake akazifanyia kazi,ukitafuta kasoro za watu hiwezi kizifanyia kazi...utaishia kugombanisha watu na kuongea usiyoyajua!Tuwe kusikiliza na kucjukua yaliyomazuri inshaAllah...
@abdizoseyyid633Ай бұрын
Usihukumu watu na kuwakhofisha watu kwa isiyoyajua bro
Amesahau kusema sehemu ya tano imejificha kwenye MAULIDI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kalamuMedia8 ай бұрын
Huu ugomvi sasa 😀
@hassanisihaka9108 ай бұрын
Wewe bwana acha chuki usiwee mjinga sanaaa
@mobilespecialschool42168 ай бұрын
@@hassanisihaka910 ndio nikishakua mjinga ivo nielimishe
@abdizoseyyid633Ай бұрын
Isipotambua kwa elimu yako utazungumza kwa ujinga wako
@barzaqtradingcompany85418 ай бұрын
Swalatu awabin ni صلاة الأوابين هي صلاة الضحى إذا تأخرت حين ترمض الفصال، كما جاء في ذلك الحديث عن النبي صلى الله عليه وسلم في صحيح مسلم، وهي أيضاً صلاة الضحى إذا تأخرت إلى آخر الوقت، وليست تختلف عن غيرها فيما يقرأ فيها ويدع فيها، وليس لها حد؛ قد يصلي الإنسان ركعتين، وقد يصلي أربعة ركعات بسلامين، وقد يصلي ست ركعات بثلاثة ...
@mwanabayadola54767 ай бұрын
Assalamu alaikum mm nimefanya San ile ya kumswali mtume kwa siku 1570 n swala za usku lakini nimepta mtihani ,nimefutwa kazi😭 sah niko n miez 5 bila kibarua chocte nipo saud.😭😭😭😭 Inaniuma sanà
@rajabukipara30087 ай бұрын
MUNGU Atakusimamia Inshaallah
@abdulwaheedmzury3517 ай бұрын
Ongeza jitihada kwenye ibada pia dunia ya sasa inahitaji saan kujitoa akili illaaa katika kila ulifanyalo omba msaada kwa allah pia usiache allah anatabia yakukujarib je utashkuru au utakufuru anapima nia yako lakn jua allah ndie kila kitu na anafanya anapoamua ila sio unapotarajia ww , hio hata mm ilinitokea lakin amka usiku lia kwake muelezee shida kidhat utapata zaid ya hio uskute ilikua na mtihani usioujua
@zubedarichard23116 ай бұрын
Mm Ile nlisoma na mama Yangu akanisaidia kuisoma Majini yamenitoka mwilini usiogope mitihani ya Allah 🙏
@fatmaabubakar59465 ай бұрын
Inawezekana hiyo ndio kheri,mm nimepata kheri kubwa baada ya kufukuzwa kazı.Alhamdulillahi rabbil a'lamiyna
@abdizoseyyid633Ай бұрын
Unatakiwa kumtegemea Allah na siyo kumtegea kwa unachokifanya
@user-mg6hn6os6y8 ай бұрын
Nauliza,mshahara wa sheikh wa mkoa unatoka wapi?
@nabillionairevevo59868 ай бұрын
Ili iweje
@jafarinauma67987 ай бұрын
Unautaka ushekhe wa mkoa endelea kupambana
@abdizoseyyid633Ай бұрын
Mkoani
@mangofish90797 ай бұрын
Hivi nyie mashekhe munajua lkn kama hizi pesa za karatasi ni shirki na kinyume na quraan? Sawa hamuna power ya kubadilisha chochote kuhusiana na pesa lakini jee hata kulisemea hili jambo basi pia hamuwezi unless iwe hamuelewi.
@abdizoseyyid633Ай бұрын
Si kweli wala si sahihi pesa haina haramu yoyote ila shida unaipataje na kuitumia