No video

Kama una Miaka 30 na Kuendelea njooo. Mambo 9 Siwezi fanya katika Umri wangu.

  Рет қаралды 7,290

Malkia Foods

Malkia Foods

Жыл бұрын

Пікірлер: 41
@salma_salum
@salma_salum 11 ай бұрын
Mambo 9 siwezi kufanya; 1. Kulazimisha kufit kwenye urafiki 2. Kuruhusu dharau 3. Kutopanga matumizi ya pesa 4. Kujali /Kuangalia watu wengine watasemaje juu ya maisha yako 5. Kutoa maoni juu ya maisha ya watu wengine 6. Kuwa na marafiki wengi wa umbea...tengeneza good network 7. Kufata mkumbo wa mambo yanayofanywa na marafiki 8. Kutokumjua Mungu 9. Kugombana kwa kutukanana au vijembe Asante 🤝🤝
@malkiafoods
@malkiafoods 11 ай бұрын
Woow. This 🙌 Thanm you for joking them down. Love you
@juditholotu7249
@juditholotu7249 20 күн бұрын
Very true dear above 30 ni shangazi kabisa lazima uchange ulivyokua ukiishe in 20s
@winfridamlawa89
@winfridamlawa89 Жыл бұрын
Me nina miaka 22 lakin nimekuelewa sana dada malkia🥰
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Barikiwa sana
@uburizasandra1255
@uburizasandra1255 11 ай бұрын
❤❤❤asante nimejifunza vingi kwako kabisa asante dada
@zengeummu9575
@zengeummu9575 Жыл бұрын
Nimekusikiliza kwa umakini Sana dear! Nimekuelewa na umenijenga Sana leoo Yaani Hadi nimehisi wepesi kwenye maisha yangu, asantee Sana mdogo wangu umenijengaaa kiafya leo💞💞💞💞
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Amina sic wangu. Nakupenda
@fatmakhelef2943
@fatmakhelef2943 Жыл бұрын
Yani umenipa maisha mapya kipenzi asante sana
@jacklinekaini1335
@jacklinekaini1335 Жыл бұрын
Asante sana …be blessed 🙏
@glorynkini9220
@glorynkini9220 Жыл бұрын
Dada malkia toka nijue channel yako nilijua ume base kupika tu kumbe na madini kama hayo yaushaur unatoa siko above 30 but nmepata kitu kikubwa sana naomba utufanyie vdeos pia za house tour tujifunze zaid kutoka kwako ubarikiwe mpaka ushangae dada maana hunauchoyo wakile Mungu alichokupa.
@MaryamSuleiman-xs5ph
@MaryamSuleiman-xs5ph Жыл бұрын
Video hz tunazihitaji sanaa big up sis❤
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Bless you dear
@ladyt1471
@ladyt1471 11 ай бұрын
Mimi tatizo langu kubwa kwenye pesa hapo mtu akija kuniomba pesa nampa yaani sijui nikoje jmn huwa nakuwa na huruma sana sijui nimerogwa
@theresiashayo2147
@theresiashayo2147 4 ай бұрын
Dear naona mm na ww tukae pamoja najiumizaga sababu ya huruma kwa watu
@gracelyimo1693
@gracelyimo1693 Жыл бұрын
Umeongea mpaka umeongea tenaaaaaaa… Loud and Clear sis😘 Thank you
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Bless you babes
@ZasamNamwago
@ZasamNamwago 10 ай бұрын
Thanks love 😘 but voice slow down 🤷🤦
@fooddiarytz
@fooddiarytz Жыл бұрын
I’m here listening and taking notes babes ❤
@Maha-fl9qe
@Maha-fl9qe Жыл бұрын
Masha Allah nakupenda dada .
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Mimi Pia
@janethjosephat6986
@janethjosephat6986 Жыл бұрын
Ur so smart dear ❤❤❤
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Bless you dear
@joycekonga4095
@joycekonga4095 Жыл бұрын
we need more of this❤❤❤
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Sure babes
@camillakibanga8267
@camillakibanga8267 11 ай бұрын
👏👏👏😘
@SelestinaJoshua-pn4zv
@SelestinaJoshua-pn4zv 10 ай бұрын
Da malkia naonaga unaongelea wasichana kuanzia 18,24 na 30 ,mpaka 40, mbona kuanzia miaka 26mpaka 29 huongelei
@neemamoses5591
@neemamoses5591 Жыл бұрын
❤️❤️
@Elizabeth-wf8zd
@Elizabeth-wf8zd Жыл бұрын
Thank you darling for sharing ❤️❤️❤️
@shufaamohammed9181
@shufaamohammed9181 Жыл бұрын
darling video ni nzuri naomba tuongezee sauti next time.... upo kama mimi ila kwenye hela jamani naweka list nilinunua nini vileeee ai budget hela naikumbukia hadi ya wiki ilopita😅😅😅😅😅
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
🥰🥰 Sawa dear
@julianagervas5198
@julianagervas5198 Жыл бұрын
@our age !! I love you dearly
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Love you more
@zulfahussein6784
@zulfahussein6784 Жыл бұрын
Nasaha zako ni zuri hila ni bora zaidi uwe sehem zuri yaani kama sebuleni sio jikoni daer
@malkiafoods
@malkiafoods 3 ай бұрын
Kwanini sio jikoni love?
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
Mywangu sisi wa 25-29 umetusahau cc 😓 ila hii napita nayo cc Asante 😍😍
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Bby Nakuja kwenu
@joeymike5191
@joeymike5191 Жыл бұрын
Kweliii aje kwetuu piaa
@salomehaonga3455
@salomehaonga3455 Жыл бұрын
Na mm
@siaurio7382
@siaurio7382 Жыл бұрын
Nakupenda sana Dada, ngozi yako inavutia sana unatumia jmni
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Sante love. Natumia products za kikorea, nenda @smj_store kule Instagram utamuuliza atakusaidia
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 38 МЛН
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 110 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 118 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН
PIKA SUPU TAMU YA MKIA WA NG'OMBE  KWA STYLE HII- KOMBATASTYFOOD
2:53
Kombatastyfood
Рет қаралды 1,2 М.
Biryani  Nyama. hutakaa ushindwe kupika Biryani Teena.
5:43
Malkia Foods
Рет қаралды 8 М.
Biashara  Aina Tano unazoweza kufanya Bila kuwa na Mtaji wa Pesa.
13:44
KUMEKUCHA,MAKONDA YUPO WAPI?, DR SULLE ATEMA CHECHE
19:08
Mbengo Tv
Рет қаралды 27 М.
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 38 МЛН