HII NDIYO HOTEL YA KIFAHARI ALIYOJENGA BILIONEA WA MAGARI MUSOMA, ANA BEACH NA BOTI LA KISASA

  Рет қаралды 99,743

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Ni mwendelezo wa Episod kuhusu mfanya biashara bilionea Rama Msumi mwenye asili ya Musoma, Mara na kufanya uwekezaji wa hotel ya kifahari na yutch bot iliyopo kwenye eneo lake la beach, amewekeza kwenye mengi ikiwemo mpaka nje ya nchi, na kwa Musoma Tumezungunza na Meneja wa Legrand Victoria Hotel, Magembe Daniel aliyeelezea zaidi uwekezaji wa hoteli hiyo.
Legrand Victoria Hotel Musoma
Email: legrandvictoriahotel@gmail.com
Contact: +255 658 059 867 +255 762 198 409

Пікірлер: 82
@user-bz2bg5bf3y
@user-bz2bg5bf3y 3 ай бұрын
Mashallah mabrouk tabarakhaallah good job SOMO inshaallah khilla RAMA MSOMI
@simonmwaliru8590
@simonmwaliru8590 11 ай бұрын
Hongera sana kwa kukumbuka kuwekeza nyumbani. Ni vizuri kumsupport katika biashara zake,ndiyo ubinadamu huo.
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
Huyo manager director hajui kujielezea vizuri hana motivation
@koposehamisi6317
@koposehamisi6317 9 ай бұрын
Njoo ukielezee wewe
@MursalMursal-op3ly
@MursalMursal-op3ly Жыл бұрын
Champion ndani ya nyumba🎉🎉🎉 shukurani sana kwa ayotv kwa kuchagua usafiri bora kanda ya ziwa mwanza to msm #champion express... Karibu usafiri nasi kila siku kwa safari za mwanza to msm nyakati zote kuanzia saa mbili asbh mpka saa mbili usiku... Tunakujali tunakupenda abiria wetu tunakufikisha kwa wakati ni champion pekeeeeeeeeee
@glorydaniel8624
@glorydaniel8624 7 күн бұрын
Naomba mumtagg manager ,nataka kuomba kazi hapa
@denicegaspar9479
@denicegaspar9479 Жыл бұрын
Hapa ni shalala Wana huduma nzuri kweli🙏
@halimahalima1488
@halimahalima1488 Жыл бұрын
MashaaAllah tabaraka Allah 👏❤️
@mohamedshaaban9740
@mohamedshaaban9740 Жыл бұрын
This man Rama Musomi Allah give you more and more. You are our mentor always.
@kingkendrickk
@kingkendrickk 11 ай бұрын
Manager smart Sana
@saimontipaa6887
@saimontipaa6887 Жыл бұрын
Very beautiful hotel
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 Жыл бұрын
Muendelee kutuma nazakutolea mafanikio mtayaskio studio 🎙️🎙️🎙️
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@hafidhclassic5862
@hafidhclassic5862 Жыл бұрын
Congratulations Boss Allah akuzidishiee Una baya na mtu tajiri 🤲🤲
@andreamathew4585
@andreamathew4585 2 ай бұрын
Naomba kazi
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Жыл бұрын
Inspiration
@rastapeace9616
@rastapeace9616 9 ай бұрын
Mungu akupe umri mrefu na afya njema kwa kuweza kuja kuekeza kwenu na kuwasaidia watanzania wenzako
@RizikiRiziki-bp6dx
@RizikiRiziki-bp6dx 10 ай бұрын
Hongera Kaka yangu.
@user-gd6qi3ot8y
@user-gd6qi3ot8y Жыл бұрын
Chama la wapigaji tanzania😂😂😂huyu ndo atakuwa mwenyekiti sababu yeye ndo katoboa kuliko wote, Hawa ndo matapeli wakubwa tanzania wanaoperate nairobi/mombasa tu.. enzi zao maokoto kama mchanga.. Wapi mtemi zumbe😂😂😂team moja
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 11 ай бұрын
Mashaallah
@twalebleboss9687
@twalebleboss9687 9 ай бұрын
#BLESSINGS......💥💥❤🙌🙌
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Жыл бұрын
Aiseee
@eramboya8724
@eramboya8724 Жыл бұрын
Ikopoa sna hyo boss rama msomi na Kenya weka kitu kma hyo
@seneu.2128
@seneu.2128 Жыл бұрын
Anayo Kenya ipo Mombasa
@kingkendrickk
@kingkendrickk 11 ай бұрын
Inabidi aongeze nyingine vyumba 20 very few
@user-cu5oc9hg5u
@user-cu5oc9hg5u 10 ай бұрын
Nice
@mtoimohamed6594
@mtoimohamed6594 Жыл бұрын
Masha Allah
@tabynas4485
@tabynas4485 Жыл бұрын
Vidooo nakupenda......
@isihakaliyuma1848
@isihakaliyuma1848 Жыл бұрын
Pesa ni fumbo jamaani
@SaldohMascotRapper
@SaldohMascotRapper Жыл бұрын
Millard ayo at least put the hotel name on the description
@nahiriali1405
@nahiriali1405 11 ай бұрын
Jamaa kafanana sana na sheikhe othman Michael au ndugu nini?
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Mimi nipo tu jamani saa zi ngine natamani nisiingie yuoteb ndo mambo kama haya uñawaza mpaka unawazua
@mwana4599
@mwana4599 Жыл бұрын
Jamani. Work hard utafik mahali si lazima kufika level ya Rama.
@gemwatz823
@gemwatz823 Жыл бұрын
Wonders
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 Жыл бұрын
Hongeraa
@ramahzedon6688
@ramahzedon6688 11 ай бұрын
Peninsula ndo ilikuwa bora kabisa, ila Mativila ndo top kwa sasa huwezi sema Le grand ulinganishe na Mativila
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Asante kwa tangazo
@jamesmasunyiro8733
@jamesmasunyiro8733 4 ай бұрын
Manager unatakiw kubland zaid ubora wa huduma ya hapa, semea tofaut nying zaid ktk hii hotel ili kuwashawish watu
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 Жыл бұрын
Wekeni Gym please Gymnastics
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Жыл бұрын
Pongezi Hotel iko poa sana
@shadrackkassale2968
@shadrackkassale2968 9 ай бұрын
Jamaa pesa anazo mazee
@ramadhanhewass8023
@ramadhanhewass8023 11 ай бұрын
Legrand hotel rama aje babat manyara kuna maeneo mengi ya milima na ziwa babat japo ni dogo aweke pia hotel hata hadhi yake ikiwa nyota 4 location ya mkoa wa manyara ni amaizing sana na na ni mji wa kitalii na jiran na musoma pia kwa kuoitia goma serenget ila kwa babat ndo sana location kama mjengo ukiwa mliman kwenye miteremko ya milima ndo inashukia ziwa babat na pia kuna kama hekar 12 katikati ya maji ambayo ni ardhi anaishi mtu na analima anafuga pia ingekua vp kama legrand babat hotel ikiwa kwenye mji wa aman na utuliv kama babat afu ni ktk pia mwa nchi yetu
@yahayaramadhani3653
@yahayaramadhani3653 11 ай бұрын
Hiii ndo kali musoma nzima
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Жыл бұрын
Kwa bahati mbaya musoma hawana timu ya ligi kuu jamaa angepiga pesa ndefu ila hapo amewekeza hela na atavuna tu, Mungu akuwezeshe broo mpambanaji
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh Жыл бұрын
Saahivi wanayo musoma
@shabiruponera4323
@shabiruponera4323 Жыл бұрын
Billionaire...?? In term of shiling or
@user-ij5ws7xy3b
@user-ij5ws7xy3b Жыл бұрын
Musoma ipo maeneogan hiyo
@erickrubanda
@erickrubanda Жыл бұрын
Mkoa wa mara
@wakunatahafai1969
@wakunatahafai1969 Жыл бұрын
@@erickrubanda hujamuelewa kaka alimaanisha hiyo hotel Iko maeneo gani hapo Musoma je ni mjini au pembezoni mwa mji
@user-lr5wc6kk7m
@user-lr5wc6kk7m Жыл бұрын
Musoma mjini,kata ya bweri,mtaa wa kariakoo
@shabanimusa873
@shabanimusa873 Жыл бұрын
Kata ya Iringo barabara ya Kenedy mtaa wa Iringo c
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Жыл бұрын
Hakika mwenzetu kajaribu.
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Жыл бұрын
Nimependa kuwa anapenda vitu vzr na anasema mi mwenyewe najipenda.Kama unacho tumia,hahahahah
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Жыл бұрын
Sio kujaribu tu bali kafanya na kafanya tena hii sio kujaribu ni kutenda
@mclee493
@mclee493 Жыл бұрын
Mmh kajarib kawez mm hata mgahawa wa mama ntilie cna ..
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Жыл бұрын
@@rehemakanyere4188 unapatikana wap rehema.
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Жыл бұрын
Hajajaribu amefanya
@delsonandrea5223
@delsonandrea5223 Жыл бұрын
Kuna watu Wana pesa Zaid ya huyo Kama Mara 50 Zaid japo hawajionesh lakin so mbaya nae Yuko vzr sana
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 Жыл бұрын
Lakini hapa nahis anatangaza pia biashara sio kujionyesha kuwa ana pesa
@hassanmugire1497
@hassanmugire1497 Жыл бұрын
Acha wivu
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Жыл бұрын
Anatangz biashr yake sio pesa zake
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Жыл бұрын
Anatangz biashr yake sio pesa zake
@samsungtz9148
@samsungtz9148 Жыл бұрын
Ww una nini 😂?
@dannywillson5874
@dannywillson5874 11 ай бұрын
Usiseme billionea sema milionea
@hamzaswaibu9470
@hamzaswaibu9470 11 ай бұрын
Huyu ni bilionea so mchezo
@Movies_headquarter
@Movies_headquarter Жыл бұрын
Tumpe bandari
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Жыл бұрын
😂
@IsraelKisaila
@IsraelKisaila Жыл бұрын
Bei ni sh ngapi kulala kwa siku?
@Iamsasboy
@Iamsasboy Жыл бұрын
800,000 per night
@georgetanzania332
@georgetanzania332 Жыл бұрын
🤑🤑🤑
@IsraelKisaila
@IsraelKisaila Жыл бұрын
@@Iamsasboy napata HUDUMA zipi na zipi ?
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 Жыл бұрын
​@@Iamsasboywee lakin name au elfu 80
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Жыл бұрын
​@@mariamkibindo1741nilitak kujua pia
@souksoukeventsandmarketing653
@souksoukeventsandmarketing653 11 ай бұрын
Hiyo ndio hotel kubwa tulifanya utalii Musoma tulikosa vyumba vimejaa hii Hotel ,tukalala hotel nyingine ni chafuu tulizunguka kutafuta hotel zingine Mpaka saa 7 usiku hotel ni mbaya mashuka na vyoo hatari wa Huduma.Musoma wanahitaji uwekezaji tulizunguka sana kutafuta hotel ya ⭐️⭐️⭐️ hakuna I promised not to visit Musoma ever again
@selanyikatv
@selanyikatv Жыл бұрын
Namdaa sijamuon @dullah_tz
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 56 МЛН
Русалка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 24 МЛН
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 21 МЛН
Musoma Town Center tour by Motorcycle
27:01
Godlove M.
Рет қаралды 1,1 М.
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 56 МЛН