KAMATI YA MARIDHIANO SIX JUSSA JUSSA JUSSA 14 APRIL 2014

  Рет қаралды 142,722

Kamati Ya Maridhiano

Kamati Ya Maridhiano

10 жыл бұрын

Пікірлер: 79
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 2 ай бұрын
Kumbe muungano ni mzuri unahitaji tu marekebisho. Hongera Jusa.
@bilalikaoneka5080
@bilalikaoneka5080 2 жыл бұрын
Ismail juma... Mswahili halisi... mwenye damu ya kuswali..nakukubali...from Tanga
@user-hu4sd7bg8n
@user-hu4sd7bg8n Ай бұрын
Tunakupenda sana ndugu ismail jusa ❤❤❤❤
@yunussabdall7234
@yunussabdall7234 Жыл бұрын
ismail Jussa ladu next president of Zanzibar 2025 Inshaalaah
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Inshalla mungu amhufathi
@tecnof1232
@tecnof1232 5 жыл бұрын
Ni ukweli mtupu, na huwezi kuukimbia ukweli, unaweza kuuchukia lakini ukweli wenyewe utabaki kuwa ni ukweli tu, Ahsante Mr Jussa! Mambo kwa ujanja ujanja hayaendi!
@MartinAloisMosha-ff8rb
@MartinAloisMosha-ff8rb 29 күн бұрын
Hongereni sana LISU NA JUSA KUTUPA UKWELI .SERIKALI TATU NI SASA ACHENI DHAMBI NI HAKI YA WANANCHI WALIKWISHA AMUA.
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 12 сағат бұрын
Oooh allah jaalia amani
@HassanKomango-o2d
@HassanKomango-o2d 17 күн бұрын
Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu
@fathiyaally8631
@fathiyaally8631 2 жыл бұрын
Jussa kweli mzalendo wa zanzibar nimekukubali uko sawa uchafu wote wa madhalim umeuweka hazarani duuuu
@gangmore9091
@gangmore9091 4 жыл бұрын
Wasio tetea wazanzibar wanafkii mungu atakulipa kwa kutetea haki z wazanzibar waliokua hawatetei wataulizwa n mungu
@suleimansuleiman6522
@suleimansuleiman6522 Ай бұрын
Hongera Maalim Jussa
@hamilsaleh-zo3hp
@hamilsaleh-zo3hp 4 ай бұрын
HEKO! HEKO KIDUME JUSA TUKO PAMOJA NA WEWEEE, WANAJIFANYA WANA HOJA .ZINAWARUDI WENNYEWE. MUNGU AKUWEKE
@amrubinannasannas9185
@amrubinannasannas9185 3 жыл бұрын
Talent from zanzibar
@hamilsaleh-zo3hp
@hamilsaleh-zo3hp 4 ай бұрын
Jussa ana akili za watanganyika 1000
@AA-yr7sr
@AA-yr7sr Жыл бұрын
Jussa ooooooooyeyyyyyyyyyyyyyye ww ndio umeva kiatu cha maalim Seffu
@hamadrashid5140
@hamadrashid5140 Ай бұрын
Kichwa hiko makamu wa pili wa Rais wa zanzibar 2025 inshallah
@mtindikoja8837
@mtindikoja8837 10 ай бұрын
Jusa anaakili nyingi sanaa
@mtunesalumu8359
@mtunesalumu8359 4 жыл бұрын
safi jussa kwa kumpuuza mpuuzi wa ccm
@sultansallah8772
@sultansallah8772 9 ай бұрын
Uyo ndo jusa. Sheria inelala na vijembe vimelala
@abdulmubason7542
@abdulmubason7542 9 жыл бұрын
Jusa mwanaume I salute u
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 11 күн бұрын
Speed kali sana Jusa
@johnthobius4499
@johnthobius4499 8 жыл бұрын
I real appreciate in u, u did well
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 11 күн бұрын
Jamaa mkali sana
@salhiaseifmohammed8670
@salhiaseifmohammed8670 8 жыл бұрын
Asante jussa waambie waelewe
@mussagweje8731
@mussagweje8731 4 жыл бұрын
Safi sana jussa Uhuru kwanza ukoloni baadae
@feiz3180
@feiz3180 10 жыл бұрын
Ilifanywa kwa siri kwa kuwa hawakutaka wazanzibari waone kiini macho cha Nyerere.
@cassidycarter3635
@cassidycarter3635 9 жыл бұрын
Big up jussa 👍
@mtindikoja8837
@mtindikoja8837 11 ай бұрын
Jusa nisawa nawabunge 100 was ccm
@heritungaraza270
@heritungaraza270 10 жыл бұрын
Jusaaaaaaaaaaa
@feiz3180
@feiz3180 10 жыл бұрын
Jussa jussa jussa
@abdisalamimasoud3872
@abdisalamimasoud3872 10 жыл бұрын
Wakati umefike wazanzibar tusiwabinye tena wamekwisha shtuka
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Karume hataki muongano alidanganywa kuja kushtuka nchi imetekwa nchi tajiri duniani zanzibari ilikuwa dolah halali ilichaguliwa NA wazanzibari wenyewe
@hajijumaa362
@hajijumaa362 6 жыл бұрын
wapeni wazanzibari nchi yao aaa kelele kila siku jamani wazanzibari wanaumia
@pettermasika9120
@pettermasika9120 5 жыл бұрын
Maisha Zanzibar itabaki salama na Tanganyika itakuwasalama Kabisa" kwamwe watanganyika hawawezi kuiwacha Zanzibar"
@fahmyatrash7877
@fahmyatrash7877 5 жыл бұрын
hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho bro kama hii nchi inajitnata kwa amani basi belive one day damu itamwagika kuliko alivo imwaga nyerere na kundilake hapa zanzibar mwaka 1964 docomentary zipo
@bilalikaoneka5080
@bilalikaoneka5080 2 жыл бұрын
@@pettermasika9120 .. Sasa kama wenyewe hawataki..???..kwan mnaumia muungano kuvunjika 😁😁
@fatmahamed3285
@fatmahamed3285 5 жыл бұрын
Zanzibar kwanza
@daudhenry8909
@daudhenry8909 4 жыл бұрын
Jussa
@siefkalfan8549
@siefkalfan8549 8 жыл бұрын
pasua jusa pasua jusa
@bukhariabdullah4949
@bukhariabdullah4949 7 жыл бұрын
tumechokaaaaaaaa na muuungano usiyo kuwa na mashiko
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 4 жыл бұрын
Mh jussa huna mpinzani baba Wasiokuelewa wana yao hao
@saidahmed9688
@saidahmed9688 2 жыл бұрын
ismail jussa
@zungubakathir1761
@zungubakathir1761 6 жыл бұрын
Kweli wanajitia muungano kitu chochote ukitoka nacho zanzibar ukienda bara unalipa tena ushuru hii ni kwann inamana ukitoka mtwara na gari kuja dar unalipia tena ushuru yani ilimrani tumechoka kweli tuamue tu lolote liwe munatunyanyasa tu muungano au mumetutawala tu kiujanja
@hudaasaalim1333
@hudaasaalim1333 3 жыл бұрын
Wambileeeeeee wasikileeeeeeee😇
@nassorkhalfan-cl6pm
@nassorkhalfan-cl6pm 11 ай бұрын
Nakukubak jemb jusa upo sw tn cn
@elastokaminyoge6512
@elastokaminyoge6512 6 жыл бұрын
muungano kwa wazanzibari na yanafanyika ni kitu cha msingi sana lakini kama kuna mapungufu ni vyema yalekebishwe lakini sio kuvunja ib
@abdulkhamis815
@abdulkhamis815 2 жыл бұрын
Hongera mh jussa
@AA-yr7sr
@AA-yr7sr Жыл бұрын
😅😅😅😅😅Tanganyika itawaliwe na Zanzibar 😅😅😅😅😅
@kapilimajuma6558
@kapilimajuma6558 6 жыл бұрын
mmeona sultan kaja kutembelea sasa ngoja muungano uvunjike,,,,,,
@hamilsaleh-zo3hp
@hamilsaleh-zo3hp 4 ай бұрын
HATUUTAKI MUUNGANOOO!!!!
@zenj1986
@zenj1986 3 жыл бұрын
Kichwa hicho
@hamilsaleh-zo3hp
@hamilsaleh-zo3hp 4 ай бұрын
misisiemu y zanzibar minafiki,mijinga kweli! hayana akili hat moja kazi yanatutia matatizini tu
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 Ай бұрын
Miccm inakera hasa na ndio inayosababisha Zanzibar kuwa nyuma kimaendeleo.
@ibrahimconte601
@ibrahimconte601 Ай бұрын
Mbona makelele matupu
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 2 ай бұрын
Pasua hizo mbwa za Dodoma Hadi mpate haki yenu
@mohammednassor3081
@mohammednassor3081 3 жыл бұрын
Jussa naumia sana kukosa nafasi serikalini huyu mtu mpambanaji sio mchezo lakini one day yess 🏃‍♀️🏃‍♀️
@Dawood96-mct
@Dawood96-mct Жыл бұрын
CCM ni wahaini kwa zanzibar
@giztony2009
@giztony2009 2 жыл бұрын
Aise Ismail Jusa ni hatari sana
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
@RidhwanAmar
@RidhwanAmar 10 жыл бұрын
ZANZIBAR KWANZA SHENGESHA BAADAE
@erickrichard3077
@erickrichard3077 3 жыл бұрын
Uyu sikuizi yuko wapi?? Jamani
@omarkanout8684
@omarkanout8684 5 жыл бұрын
Wambie hao wapumbavu wa CCM manake wote ni kambare
@moodyman7588
@moodyman7588 5 жыл бұрын
Better says Zanzibar must be independient. Think before you done
@siefkalfan8549
@siefkalfan8549 8 жыл бұрын
leo tunalipa ushuru magari na macontena na tulipishwa tena bara huu ni muungano na hizo pesa ifika jioni bara wanazichukua huu ni muungano sasa munaongea watu au vipofu
@gangmore9091
@gangmore9091 4 жыл бұрын
Kweli bro kwa macho yngu naziona pesa kwenda dar
@salehsuleiman8519
@salehsuleiman8519 2 жыл бұрын
Jusa kama jusa na ubora wake
@khamisali5978
@khamisali5978 7 ай бұрын
Hii ndo athari ya kuchukua watu mitaani kuja kutoa michango kwa jambo linalohitaji elimu,fujo zaidi ya sokoni😂
@destiny4life439
@destiny4life439 5 жыл бұрын
hawa watu wazima lakin hawajielewi hata kidogo kam kuku
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 2 жыл бұрын
Jussa hamna kitu!!
@gangmore9091
@gangmore9091 4 жыл бұрын
Kila jambo lina mwisho wake yataisha yote
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 2 ай бұрын
Wanasheria nchi hii kupitia TLS hebu mtujie Watanzania na majibu kamili ya haya mambo ya kisheria mnayobishania juu ya Muungano wetu. Taaluma itoe majibu sahihi ili Watanzania tuwe na utulivu.
@hamilsaleh-zo3hp
@hamilsaleh-zo3hp 4 ай бұрын
wanatoa vichwa tu! waeleze wajinga
@HassanKomango-o2d
@HassanKomango-o2d 17 күн бұрын
Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu
@HassanKomango-o2d
@HassanKomango-o2d 17 күн бұрын
Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 26 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 5 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 34 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,9 МЛН
Kamati ya Maridhiano Six: Ismail Jussa 16 April 2014
10:25
Kamati Ya Maridhiano
Рет қаралды 11 М.
Kamati ya Maridhiano Six:Mhe Tundu Lissu April 16 2014
10:45
Kamati Ya Maridhiano
Рет қаралды 244 М.
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 56 М.
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 26 МЛН