Kumbe muungano ni mzuri unahitaji tu marekebisho. Hongera Jusa.
@bilalikaoneka50802 жыл бұрын
Ismail juma... Mswahili halisi... mwenye damu ya kuswali..nakukubali...from Tanga
@user-hu4sd7bg8nАй бұрын
Tunakupenda sana ndugu ismail jusa ❤❤❤❤
@yunussabdall7234 Жыл бұрын
ismail Jussa ladu next president of Zanzibar 2025 Inshaalaah
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Inshalla mungu amhufathi
@tecnof12325 жыл бұрын
Ni ukweli mtupu, na huwezi kuukimbia ukweli, unaweza kuuchukia lakini ukweli wenyewe utabaki kuwa ni ukweli tu, Ahsante Mr Jussa! Mambo kwa ujanja ujanja hayaendi!
@MartinAloisMosha-ff8rb29 күн бұрын
Hongereni sana LISU NA JUSA KUTUPA UKWELI .SERIKALI TATU NI SASA ACHENI DHAMBI NI HAKI YA WANANCHI WALIKWISHA AMUA.
@FatnaAlly-go7yt12 сағат бұрын
Oooh allah jaalia amani
@HassanKomango-o2d17 күн бұрын
Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu
@fathiyaally86312 жыл бұрын
Jussa kweli mzalendo wa zanzibar nimekukubali uko sawa uchafu wote wa madhalim umeuweka hazarani duuuu
@gangmore90914 жыл бұрын
Wasio tetea wazanzibar wanafkii mungu atakulipa kwa kutetea haki z wazanzibar waliokua hawatetei wataulizwa n mungu
@suleimansuleiman6522Ай бұрын
Hongera Maalim Jussa
@hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын
HEKO! HEKO KIDUME JUSA TUKO PAMOJA NA WEWEEE, WANAJIFANYA WANA HOJA .ZINAWARUDI WENNYEWE. MUNGU AKUWEKE
@amrubinannasannas91853 жыл бұрын
Talent from zanzibar
@hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын
Jussa ana akili za watanganyika 1000
@AA-yr7sr Жыл бұрын
Jussa ooooooooyeyyyyyyyyyyyyyye ww ndio umeva kiatu cha maalim Seffu
@hamadrashid5140Ай бұрын
Kichwa hiko makamu wa pili wa Rais wa zanzibar 2025 inshallah
@mtindikoja883710 ай бұрын
Jusa anaakili nyingi sanaa
@mtunesalumu83594 жыл бұрын
safi jussa kwa kumpuuza mpuuzi wa ccm
@sultansallah87729 ай бұрын
Uyo ndo jusa. Sheria inelala na vijembe vimelala
@abdulmubason75429 жыл бұрын
Jusa mwanaume I salute u
@MohamedIbrahim-bn1gz11 күн бұрын
Speed kali sana Jusa
@johnthobius44998 жыл бұрын
I real appreciate in u, u did well
@MohamedIbrahim-bn1gz11 күн бұрын
Jamaa mkali sana
@salhiaseifmohammed86708 жыл бұрын
Asante jussa waambie waelewe
@mussagweje87314 жыл бұрын
Safi sana jussa Uhuru kwanza ukoloni baadae
@feiz318010 жыл бұрын
Ilifanywa kwa siri kwa kuwa hawakutaka wazanzibari waone kiini macho cha Nyerere.
@cassidycarter36359 жыл бұрын
Big up jussa 👍
@mtindikoja883711 ай бұрын
Jusa nisawa nawabunge 100 was ccm
@heritungaraza27010 жыл бұрын
Jusaaaaaaaaaaa
@feiz318010 жыл бұрын
Jussa jussa jussa
@abdisalamimasoud387210 жыл бұрын
Wakati umefike wazanzibar tusiwabinye tena wamekwisha shtuka
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Karume hataki muongano alidanganywa kuja kushtuka nchi imetekwa nchi tajiri duniani zanzibari ilikuwa dolah halali ilichaguliwa NA wazanzibari wenyewe
@hajijumaa3626 жыл бұрын
wapeni wazanzibari nchi yao aaa kelele kila siku jamani wazanzibari wanaumia
@pettermasika91205 жыл бұрын
Maisha Zanzibar itabaki salama na Tanganyika itakuwasalama Kabisa" kwamwe watanganyika hawawezi kuiwacha Zanzibar"
@fahmyatrash78775 жыл бұрын
hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho bro kama hii nchi inajitnata kwa amani basi belive one day damu itamwagika kuliko alivo imwaga nyerere na kundilake hapa zanzibar mwaka 1964 docomentary zipo
@bilalikaoneka50802 жыл бұрын
@@pettermasika9120 .. Sasa kama wenyewe hawataki..???..kwan mnaumia muungano kuvunjika 😁😁
@fatmahamed32855 жыл бұрын
Zanzibar kwanza
@daudhenry89094 жыл бұрын
Jussa
@siefkalfan85498 жыл бұрын
pasua jusa pasua jusa
@bukhariabdullah49497 жыл бұрын
tumechokaaaaaaaa na muuungano usiyo kuwa na mashiko
@imraniqbal007654 жыл бұрын
Mh jussa huna mpinzani baba Wasiokuelewa wana yao hao
@saidahmed96882 жыл бұрын
ismail jussa
@zungubakathir17616 жыл бұрын
Kweli wanajitia muungano kitu chochote ukitoka nacho zanzibar ukienda bara unalipa tena ushuru hii ni kwann inamana ukitoka mtwara na gari kuja dar unalipia tena ushuru yani ilimrani tumechoka kweli tuamue tu lolote liwe munatunyanyasa tu muungano au mumetutawala tu kiujanja
@hudaasaalim13333 жыл бұрын
Wambileeeeeee wasikileeeeeeee😇
@nassorkhalfan-cl6pm11 ай бұрын
Nakukubak jemb jusa upo sw tn cn
@elastokaminyoge65126 жыл бұрын
muungano kwa wazanzibari na yanafanyika ni kitu cha msingi sana lakini kama kuna mapungufu ni vyema yalekebishwe lakini sio kuvunja ib
@abdulkhamis8152 жыл бұрын
Hongera mh jussa
@AA-yr7sr Жыл бұрын
😅😅😅😅😅Tanganyika itawaliwe na Zanzibar 😅😅😅😅😅
@kapilimajuma65586 жыл бұрын
mmeona sultan kaja kutembelea sasa ngoja muungano uvunjike,,,,,,
@hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын
HATUUTAKI MUUNGANOOO!!!!
@zenj19863 жыл бұрын
Kichwa hicho
@hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын
misisiemu y zanzibar minafiki,mijinga kweli! hayana akili hat moja kazi yanatutia matatizini tu
@jumamohamed3168Ай бұрын
Miccm inakera hasa na ndio inayosababisha Zanzibar kuwa nyuma kimaendeleo.
@ibrahimconte601Ай бұрын
Mbona makelele matupu
@PhilipoMwita-wc1ku2 ай бұрын
Pasua hizo mbwa za Dodoma Hadi mpate haki yenu
@mohammednassor30813 жыл бұрын
Jussa naumia sana kukosa nafasi serikalini huyu mtu mpambanaji sio mchezo lakini one day yess 🏃♀️🏃♀️
@Dawood96-mct Жыл бұрын
CCM ni wahaini kwa zanzibar
@giztony20092 жыл бұрын
Aise Ismail Jusa ni hatari sana
@King_Of_Everything3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
@RidhwanAmar10 жыл бұрын
ZANZIBAR KWANZA SHENGESHA BAADAE
@erickrichard30773 жыл бұрын
Uyu sikuizi yuko wapi?? Jamani
@omarkanout86845 жыл бұрын
Wambie hao wapumbavu wa CCM manake wote ni kambare
@moodyman75885 жыл бұрын
Better says Zanzibar must be independient. Think before you done
@siefkalfan85498 жыл бұрын
leo tunalipa ushuru magari na macontena na tulipishwa tena bara huu ni muungano na hizo pesa ifika jioni bara wanazichukua huu ni muungano sasa munaongea watu au vipofu
@gangmore90914 жыл бұрын
Kweli bro kwa macho yngu naziona pesa kwenda dar
@salehsuleiman85192 жыл бұрын
Jusa kama jusa na ubora wake
@khamisali59787 ай бұрын
Hii ndo athari ya kuchukua watu mitaani kuja kutoa michango kwa jambo linalohitaji elimu,fujo zaidi ya sokoni😂
@destiny4life4395 жыл бұрын
hawa watu wazima lakin hawajielewi hata kidogo kam kuku
@jumakapilima56742 жыл бұрын
Jussa hamna kitu!!
@gangmore90914 жыл бұрын
Kila jambo lina mwisho wake yataisha yote
@benedictmrisho18002 ай бұрын
Wanasheria nchi hii kupitia TLS hebu mtujie Watanzania na majibu kamili ya haya mambo ya kisheria mnayobishania juu ya Muungano wetu. Taaluma itoe majibu sahihi ili Watanzania tuwe na utulivu.
@hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын
wanatoa vichwa tu! waeleze wajinga
@HassanKomango-o2d17 күн бұрын
Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu
@HassanKomango-o2d17 күн бұрын
Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu