No video

SHANGWE ZATAWALA ASKOFU NGALALEKUMTWA AKITOA NENO LA SHUKRANI MBELE YA MAASKOFU NA DK.MPANGO

  Рет қаралды 28,099

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

11 ай бұрын

Пікірлер: 38
@hezronkangalawe1319
@hezronkangalawe1319 10 ай бұрын
Baba Askofu Ngalalekumtwa, umekuwa alama ya utumishi uliotukuka kwa kanisa na kwa kuwatumikia wananchi katika mahitaji ya kimwili. Nakuombea afya njema ili uzidi kututumikia. Kwa namna ya pekee umetuwakilisha wana Iringa katika kuwatumikia watu kwa hofu ya Mungu. Barikiwa.
@leticiamlandali3022
@leticiamlandali3022 10 ай бұрын
Hongera sana Baba Askofu,Mungu mwema aendelee kukubariki kwa utume wa miaka 50.
@paulmnyeti7027
@paulmnyeti7027 10 ай бұрын
Mungu mtakatifu wa mbinguni akubariki mzee wetu, babu yetu, mchungaji wetu Mtumishi Wa Mungu Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa, Askofu Wa Iringa.
@deogratiusdonald5123
@deogratiusdonald5123 10 ай бұрын
Mwenyezi mungu akujalie afya njema nayenye baraka teleee wewe pamojaaa na kanisa katholic loteee
@user-hx2kk4ej2e
@user-hx2kk4ej2e 10 ай бұрын
Hongera Baba Askofu kwa jubilei yako ya miaka 50 ya utume.Mungu akubariki sana
@user-ye1qc9tc5c
@user-ye1qc9tc5c 10 ай бұрын
Ásante Mungu Kwa zawadi ya baba yetu, Askofu wetu, Mjomba wetu . Ásante Kwa ukarim wako, upendo, uchaji wa Mungu na Imani kubwa kwa. Mungu. Ubarikiwe sana Baba. Nikutakie majukumu mema yanayoendelea ili ulimwengu uzidi kumjua , kumpenda na kumtumikia Mungu.
@felixmtuya6351
@felixmtuya6351 4 ай бұрын
Hongera Babu,Baba,mjomba Ngalale wa Joseph.Mungu akubarki na kukujalia afya njema!!!
@greysonmatogo4662
@greysonmatogo4662 10 ай бұрын
Babu Ngalalekumtwa kwa watu wa iringa ni zaidi ya kiongozi wa kidini, ni baba na babu kwa kila mtu, amekua baraka na chemichemi ya furaha kwa watu wa dini zote na rika, hakika mzee huyu ni nyota inayong'ara.... Mwenyezi Mungu amweke salama amalize vyema mda wake wa utumishi na kukabidhi kijiti kwa mwandamizi wake, kazi ya Mungu isonge mbele. Hongera baba askofu na Wana iringa wote.
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 2 ай бұрын
Hazina kubwa sana kwa kanisa la Tanzania
@user-hi7ul5le2n
@user-hi7ul5le2n 10 ай бұрын
Baba yetu hongera kwa kazi kubwa hakika mungu anajivunia mteule wake
@visensiakadege6608
@visensiakadege6608 10 ай бұрын
BABA ASKOFU MUNGU AKUBARIKI SANA. TUNAMSHUKURU MUNGU KUTUPATIA WEWE BABA NA BABU YETU
@drgeofreymdede3952
@drgeofreymdede3952 10 ай бұрын
Asante sana baba Askofu. Nimemsikiliza mara tatu hadi sasa. Katika maisha yangu wewe ni askofu bora sana kwangu. Sijawahi kuchoka kusikiliza mahuburi yako.
@user-pt3go6xo1n
@user-pt3go6xo1n 8 ай бұрын
Hongera baba yetu tunakukuombea utume mwema Asante mungu kwakutuletea askofu wetu wajimbo lairinga mungu akubaliki🙏
@francismigongwa4146
@francismigongwa4146 Ай бұрын
Utume mwema Baba Askofu Ngalalekumutwa
@katunzimutalemwa3366
@katunzimutalemwa3366 10 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki
@joshuachuwa5695
@joshuachuwa5695 10 ай бұрын
Jamani inguluvi yatupelye baba askofu huyu.Asandi sana baba.
@petercharles1819
@petercharles1819 10 ай бұрын
Ilikuwa njema sanaaaaa
@FransiscoKivamba-zu8gc
@FransiscoKivamba-zu8gc 10 ай бұрын
Mungu akulinde
@jaspermtuya228
@jaspermtuya228 10 ай бұрын
Mungu awe nae siku zote
@MbambuAnnah
@MbambuAnnah 5 ай бұрын
I connected my self and my family to the mass🙏🙏
@paulrwechungura4284
@paulrwechungura4284 10 ай бұрын
Amina
@user-lm7xx3pp7q
@user-lm7xx3pp7q 4 ай бұрын
Baba angu wakipaimara mungu akuweke miaka mingi
@robbyman6213
@robbyman6213 10 ай бұрын
Amen
@nyerere1259
@nyerere1259 10 ай бұрын
Askofu wangu ❤
@machiyakalemela135
@machiyakalemela135 10 ай бұрын
I miss you askofu toka umenipa kipaimara sijakuona tena
@EliotMbogo
@EliotMbogo 10 ай бұрын
Nishangwe na nderemo sisi wanairinga kukua kiimani pamoja na baba yetu ngalalekumtwa kutimiza miaka 50 ya upadre
@aishamsemwa-zu3eo
@aishamsemwa-zu3eo 4 ай бұрын
Askofu aliyenipa sakrament ya kipaimara 🎉🎉🎉 , ila ndo hivo sai niko 🕌
@user-rn9og1rk3l
@user-rn9og1rk3l 10 ай бұрын
Huyu mzee namkubali kuliko Biden wa amerika hakiyamungu😁😁😁😁
@user-hi7ul5le2n
@user-hi7ul5le2n 10 ай бұрын
Hakika mbarikiwe wamisionari
@JapharyMsella-zm9sb
@JapharyMsella-zm9sb 10 ай бұрын
Nikiwa mwanza leo nakumbuka niliulinzwa swali mwaka 1999 nikiwa nasoma mafundisho kigango cha sadani parokia ya kaning'ombe,nani askofu mkuu wa jimbo la iringa nilimtaja huyu! Mungu akubariki ,ulupembe lwelu hatari sana
@josephsiwila2397
@josephsiwila2397 10 ай бұрын
Na ukakosa
@user-rx3sz1qc6s
@user-rx3sz1qc6s 7 ай бұрын
Wanaporokia ya veronika magu jimbo kuu mwanza tunamtakia heri na baraka tunakukumbuka toka kaingesa seminary
@hamisijuma8124
@hamisijuma8124 10 ай бұрын
Kumbe Yesu Ana Moyo sasa Anakuwaje Mungu
@michaelvincentmhagama337
@michaelvincentmhagama337 9 ай бұрын
Metaphorical, but metaphysical heart too. Hiyo ni lugha yakiteolojia, lugha ya ya kiroho na ni lugha ya Kanisa pia. Siyo rahisi wote kabisa kuielewa vizuri, bali kwa moyo wakawaida na kujinyenyekeza na imani, mmoja aweza kuielewa vizuri sana.
@francismigongwa4146
@francismigongwa4146 9 ай бұрын
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza.Asante Mungu Kwa zawadi ya Imani katoriki
@gamgangweesechota3589
@gamgangweesechota3589 8 ай бұрын
vingine ukubali vikupite tukielewa wenye dini yetu inatosha who are you????
@paulrwechungura4284
@paulrwechungura4284 10 ай бұрын
Amina
@emanuelmatinya1110
@emanuelmatinya1110 10 ай бұрын
Hongera sana baba askofu NGALALEKUMTWA..kuhani hakika utume wako umetukuka nasi tunakuombea MUNGU akupe maisha marefu yenye amani na furaha
UZINDUZI WA NYUMBA YA ASKOFU WA MAFINGA
17:14
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 10 М.
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 3 МЛН
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 9 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 55 МЛН
MAANDAMANO YA MAPADRE ZAIDI YA 300,MAASKOFU MBELE YA MAKAMU WA RAIS JIMBO KATOLIKI IRINGA
15:30
TOP 12 SHULE ZA KANISA KATOLIKI ZILIZOFANYA VIZURI MATOKEO YA FROM 6 2024
8:11
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 9 М.
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 3 МЛН