Baba Askofu Ngalalekumtwa, umekuwa alama ya utumishi uliotukuka kwa kanisa na kwa kuwatumikia wananchi katika mahitaji ya kimwili. Nakuombea afya njema ili uzidi kututumikia. Kwa namna ya pekee umetuwakilisha wana Iringa katika kuwatumikia watu kwa hofu ya Mungu. Barikiwa.
@leticiamlandali302210 ай бұрын
Hongera sana Baba Askofu,Mungu mwema aendelee kukubariki kwa utume wa miaka 50.
@paulmnyeti702710 ай бұрын
Mungu mtakatifu wa mbinguni akubariki mzee wetu, babu yetu, mchungaji wetu Mtumishi Wa Mungu Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa, Askofu Wa Iringa.
@deogratiusdonald512310 ай бұрын
Mwenyezi mungu akujalie afya njema nayenye baraka teleee wewe pamojaaa na kanisa katholic loteee
@user-hx2kk4ej2e10 ай бұрын
Hongera Baba Askofu kwa jubilei yako ya miaka 50 ya utume.Mungu akubariki sana
@user-ye1qc9tc5c10 ай бұрын
Ásante Mungu Kwa zawadi ya baba yetu, Askofu wetu, Mjomba wetu . Ásante Kwa ukarim wako, upendo, uchaji wa Mungu na Imani kubwa kwa. Mungu. Ubarikiwe sana Baba. Nikutakie majukumu mema yanayoendelea ili ulimwengu uzidi kumjua , kumpenda na kumtumikia Mungu.
@felixmtuya63514 ай бұрын
Hongera Babu,Baba,mjomba Ngalale wa Joseph.Mungu akubarki na kukujalia afya njema!!!
@greysonmatogo466210 ай бұрын
Babu Ngalalekumtwa kwa watu wa iringa ni zaidi ya kiongozi wa kidini, ni baba na babu kwa kila mtu, amekua baraka na chemichemi ya furaha kwa watu wa dini zote na rika, hakika mzee huyu ni nyota inayong'ara.... Mwenyezi Mungu amweke salama amalize vyema mda wake wa utumishi na kukabidhi kijiti kwa mwandamizi wake, kazi ya Mungu isonge mbele. Hongera baba askofu na Wana iringa wote.
@exprodigitaltechtv55712 ай бұрын
Hazina kubwa sana kwa kanisa la Tanzania
@user-hi7ul5le2n10 ай бұрын
Baba yetu hongera kwa kazi kubwa hakika mungu anajivunia mteule wake
@visensiakadege660810 ай бұрын
BABA ASKOFU MUNGU AKUBARIKI SANA. TUNAMSHUKURU MUNGU KUTUPATIA WEWE BABA NA BABU YETU
@drgeofreymdede395210 ай бұрын
Asante sana baba Askofu. Nimemsikiliza mara tatu hadi sasa. Katika maisha yangu wewe ni askofu bora sana kwangu. Sijawahi kuchoka kusikiliza mahuburi yako.
@user-pt3go6xo1n8 ай бұрын
Hongera baba yetu tunakukuombea utume mwema Asante mungu kwakutuletea askofu wetu wajimbo lairinga mungu akubaliki🙏
@francismigongwa4146Ай бұрын
Utume mwema Baba Askofu Ngalalekumutwa
@katunzimutalemwa336610 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki
@joshuachuwa569510 ай бұрын
Jamani inguluvi yatupelye baba askofu huyu.Asandi sana baba.
@petercharles181910 ай бұрын
Ilikuwa njema sanaaaaa
@FransiscoKivamba-zu8gc10 ай бұрын
Mungu akulinde
@jaspermtuya22810 ай бұрын
Mungu awe nae siku zote
@MbambuAnnah5 ай бұрын
I connected my self and my family to the mass🙏🙏
@paulrwechungura428410 ай бұрын
Amina
@user-lm7xx3pp7q4 ай бұрын
Baba angu wakipaimara mungu akuweke miaka mingi
@robbyman621310 ай бұрын
Amen
@nyerere125910 ай бұрын
Askofu wangu ❤
@machiyakalemela13510 ай бұрын
I miss you askofu toka umenipa kipaimara sijakuona tena
@EliotMbogo10 ай бұрын
Nishangwe na nderemo sisi wanairinga kukua kiimani pamoja na baba yetu ngalalekumtwa kutimiza miaka 50 ya upadre
@aishamsemwa-zu3eo4 ай бұрын
Askofu aliyenipa sakrament ya kipaimara 🎉🎉🎉 , ila ndo hivo sai niko 🕌
@user-rn9og1rk3l10 ай бұрын
Huyu mzee namkubali kuliko Biden wa amerika hakiyamungu😁😁😁😁
@user-hi7ul5le2n10 ай бұрын
Hakika mbarikiwe wamisionari
@JapharyMsella-zm9sb10 ай бұрын
Nikiwa mwanza leo nakumbuka niliulinzwa swali mwaka 1999 nikiwa nasoma mafundisho kigango cha sadani parokia ya kaning'ombe,nani askofu mkuu wa jimbo la iringa nilimtaja huyu! Mungu akubariki ,ulupembe lwelu hatari sana
@josephsiwila239710 ай бұрын
Na ukakosa
@user-rx3sz1qc6s7 ай бұрын
Wanaporokia ya veronika magu jimbo kuu mwanza tunamtakia heri na baraka tunakukumbuka toka kaingesa seminary
@hamisijuma812410 ай бұрын
Kumbe Yesu Ana Moyo sasa Anakuwaje Mungu
@michaelvincentmhagama3379 ай бұрын
Metaphorical, but metaphysical heart too. Hiyo ni lugha yakiteolojia, lugha ya ya kiroho na ni lugha ya Kanisa pia. Siyo rahisi wote kabisa kuielewa vizuri, bali kwa moyo wakawaida na kujinyenyekeza na imani, mmoja aweza kuielewa vizuri sana.
@francismigongwa41469 ай бұрын
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza.Asante Mungu Kwa zawadi ya Imani katoriki
@gamgangweesechota35898 ай бұрын
vingine ukubali vikupite tukielewa wenye dini yetu inatosha who are you????
@paulrwechungura428410 ай бұрын
Amina
@emanuelmatinya111010 ай бұрын
Hongera sana baba askofu NGALALEKUMTWA..kuhani hakika utume wako umetukuka nasi tunakuombea MUNGU akupe maisha marefu yenye amani na furaha