Frt. Justo Mwalemba OSB Akiimba kwa Sauti Kuu,Kengele za Mazishi Zapigwa Akilala Chini Kumfia Kristo

  Рет қаралды 112,609

Jugo Media

Jugo Media

2 жыл бұрын

𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Пікірлер: 139
@revocatusrubaba4416
@revocatusrubaba4416 2 жыл бұрын
Katoliki sitoki hata ikibidi nibaki peke yangu Im proud to be catholic❤💪💪💪💪💪
@annandunguru2678
@annandunguru2678 2 жыл бұрын
Amina sioni zaidi ya Kanisa Takatifu Katoliki
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 2 жыл бұрын
Tutabaki wawili Mimi na wewe Yani🙏🙏🙏
@evafunda932
@evafunda932 2 жыл бұрын
Ntabaki mm na wew
@henricamikambi6147
@henricamikambi6147 2 жыл бұрын
Cha muhimu litakufikisha mbinguni?? Hicho ndicho unachopaswa kujivunia
@emmanuelshayo4703
@emmanuelshayo4703 2 жыл бұрын
@@henricamikambi6147 ndio maana kasema hatoki maana anaamini kuwa litamfikisha mbinguni
@julianandoweka7165
@julianandoweka7165 2 жыл бұрын
Ewe mungu nakuomba unisamehe nilipokukosea naomba mungu uimarishe Imani yangu ya kikristo Mimi na uzao wangu katika hali zote nikukili na moyo wangu uumie kwa akili Yako barikia uzao wangu jitwalie mtumishi katika damu yangu
@verogwerino6827
@verogwerino6827 2 жыл бұрын
Tendo kuu saana hili Mungu akuongoze katika safari yako ya utume, Mungu nami naomba baraka zako nipate mtoto wa kukutumikia
@agripinamunishi3757
@agripinamunishi3757 2 жыл бұрын
Nami ni kilio changu Cha Kila siku
@angelamhitu675
@angelamhitu675 Жыл бұрын
Nami naomba Kama si Mjukuu Basi kitukuu. Mungu nitimizie haja hii ya Moyo Wangu.🙏🙏🙏
@lutigardkomba1215
@lutigardkomba1215 10 ай бұрын
Amina,,Bwana na afungue tumbo lako Kama alivyofungiaa la mamayetu Sara,,upakate mtoto kwa nyakati na majira yake
@lutigardkomba1215
@lutigardkomba1215 10 ай бұрын
Nawaombea wote Mwenyezi Mungu awape kadiri ya haja ya rohho zenu,,,,majitoleo yenu yamkumbushe Mwenyezi Mungu kilio chenu
@SabathMganga-jm8jf
@SabathMganga-jm8jf 2 ай бұрын
Safi
@merinachalinze6455
@merinachalinze6455 2 жыл бұрын
Mungu awe pamoja nawe asikuache hata hatua moja
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 жыл бұрын
Naomba Sana mwenyez mungu uwalinde watt wangu na wenye wito wa utawa uwaite kwako Mana watawa wanatoka kwenye matumbo yetu🙏
@pelagiakarengi6666
@pelagiakarengi6666 2 жыл бұрын
Ni kweli! Mungu akubariki Mama na kuibariki nia yako njema.
@naomibenjamini2088
@naomibenjamini2088 2 жыл бұрын
Amina
@mariamayombo8938
@mariamayombo8938 3 күн бұрын
Amina
@deborakasuva5009
@deborakasuva5009 2 жыл бұрын
Tangu nimjue yesu na kumkaribisha moyoni mwangu,yalopita yamepita nimevaa utu upya ndani sijitaabishi yakale hayana nafasi
@marysona9999
@marysona9999 2 жыл бұрын
Tendo la unyenyekevu sana, Mwenyezi Mungu akulinde katika wito wako🙏
@princepiammanda66
@princepiammanda66 10 күн бұрын
Mungu akutangulie katika utume wako
@reginaandrew6891
@reginaandrew6891 Жыл бұрын
Mungu awabariki na kuwalinda wale wote wanaojitoa kulitumikia Kanisa lako Takatifu
@minjabaraka5538
@minjabaraka5538 2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu aikamilishe nia njema aliyoianzisha ndani mwako
@liliankemuma9475
@liliankemuma9475 2 жыл бұрын
Amen
@nangalebertha8168
@nangalebertha8168 Жыл бұрын
Nimejikuta nalia tu. nimeona kiapo kigum sana. Mungu atusaidie tuweze kuwaombea mapadri wetu.
@franciscamuindi9266
@franciscamuindi9266 Жыл бұрын
Kabiza
@redemptionmkanga3610
@redemptionmkanga3610 2 жыл бұрын
Ee Mungu bariki kizazi changu Nani nipate walau mtt atakae kutumikia hivi amina
@babawataifa3725
@babawataifa3725 4 күн бұрын
Amina Ubarikiwe sana
@evansmtalo9406
@evansmtalo9406 2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu hatakuaibisha kabisa.mtegemee yeye peke yake.
@mamasara7587
@mamasara7587 2 жыл бұрын
Mungu Baba wa Mbinguni akayahitimishe yote yaliyoandaliwa mezani pake. Karibia Altare ya Bwana na ukamtumikie Kristo Mshindi na Mfufuka.
@JovitaChaula
@JovitaChaula 29 күн бұрын
Amenifurahisha sana, natamani angekuwa MTOTO WANGU ana wito huo WA upadre
@roselyneachieng7638
@roselyneachieng7638 2 жыл бұрын
AMEN 🙏🙏🙏🙏 proud to be Catholic
@anithasemwano8276
@anithasemwano8276 2 жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu,hakika hutaaibishwa
@kizitochibombo3019
@kizitochibombo3019 2 жыл бұрын
Kila la kheri baba, ukawe kuhani siku zote za maisha yako.
@gracbjackson-uq2ml
@gracbjackson-uq2ml Жыл бұрын
Hongera Frt nakutakia safari njema ya utume... Na tumtumikie bwana katika roho na kweli 🙏🙏🙏
@christianmsafirijunior7940
@christianmsafirijunior7940 2 жыл бұрын
Nami nitaziishi ahadi za bwana milele!🙏
@josephatkhamsini9119
@josephatkhamsini9119 2 жыл бұрын
Mungu Yu mwema kwa unyenyekevu mkuu akulinde
@maurachorobi7683
@maurachorobi7683 Жыл бұрын
Mungu Akubariki Safari ya utume wako
@pelagiakarengi6666
@pelagiakarengi6666 2 жыл бұрын
Hongera sana! Frt, Mungu akubariki ktk safari yako yako utumishi. Sauti, maneno, matendo ni mbegu na chachu ktk mioyo ya wengi.🙏🙏
@fideahyera2599
@fideahyera2599 2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu apokee maombi yako na akulinde ktk wito alio kuita. Wala asikuhaibishe.
@harriethmtenga7830
@harriethmtenga7830 2 жыл бұрын
Mungu akutegemaze
@eunicekanumba8342
@eunicekanumba8342 4 ай бұрын
siku mwanangu akifikia hatua hii nitamshukuru sana mwenyezi MUNGU
@hiltrudatesha1350
@hiltrudatesha1350 2 жыл бұрын
Mungu awe kimbilio lako daima, namuomba Mungu abariki uzao wa tumbo langu angalau wamjue na kumtumikia siku zote za maisha
@priscasampa9453
@priscasampa9453 2 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu saana
@zipporahmwihaki6187
@zipporahmwihaki6187 2 жыл бұрын
May the Lord really guard you and never disappoint your faith.serve Him really with one desire.
@naomibenjamini2088
@naomibenjamini2088 2 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu kwa ukamilifu wake kamwe hatakuaibisha ktk matumaini yako kwake. Mungu aliye anzisha matakatifu ndani yako ayakamilishe ktk Yeye aliye Mtakatifu wa Utakatifu. Amina.
@helenamtunge2078
@helenamtunge2078 2 жыл бұрын
UNIPOKEE EE BWANA NAMI NITAISHI. NEEMA YA MUNGU IKUTOSHE
@Sebastian-to4qd
@Sebastian-to4qd 2 жыл бұрын
Thanks for this Catholic Religion.
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏Mungu tunaomba uendelee kuwatunza maaskofu, mapandre, watawa wote katika kuuishi with wao. Waepushe na kila majaribu na hila za ibirisi.
@franciscamuindi9266
@franciscamuindi9266 Жыл бұрын
Congratulations Fr keep on serving God you a chosen one
@angelabarbuto8071
@angelabarbuto8071 2 жыл бұрын
Amen 🙏❤️che dio ti benedica e ti protegga 🙏Amen
@JugoMedia
@JugoMedia 2 жыл бұрын
Amen
@annmacharia9069
@annmacharia9069 2 жыл бұрын
Signore e fedelissimo
@bettykaduma1260
@bettykaduma1260 2 жыл бұрын
Ainuliwe Mungu ni hatua kubwa kubwa sana hiyo 🙏
@ummimarunda5982
@ummimarunda5982 2 жыл бұрын
Hongera Fr kwa kuitikia Wito ❤
@ibrahimemmanuel4780
@ibrahimemmanuel4780 2 жыл бұрын
Very beautiful 🙌🙌🙌
@dainesykalinga7133
@dainesykalinga7133 2 жыл бұрын
Amen Amen Amen Mungu akulinde siku zote za utumishi wako azidi kukupa Moyo wa Unyenyekevu Barikiwa mno.
@williamhazal4222
@williamhazal4222 2 жыл бұрын
Kazi ya mungu iendelee
@josephinemalley2857
@josephinemalley2857 2 жыл бұрын
Mungu akutendee kadir uombavyo mtumishi wake
@SilvanusMwakiyo
@SilvanusMwakiyo 2 ай бұрын
Haya ni maisha mazuri sanaaaa
@monicagabriel4388
@monicagabriel4388 2 жыл бұрын
Mungu akupokee Mtumishi wake.
@gideonibatangaki1317
@gideonibatangaki1317 2 жыл бұрын
Amen,kwaimani ya Kristo.
@gracemisokalya1061
@gracemisokalya1061 Жыл бұрын
Amina sn,mwili unanisisimka. Mungu akutetee ktk utume wako
@KADALAtv255
@KADALAtv255 Ай бұрын
Waw,wapi hapa Mvimwa, Hanga au Peramiho? Nimemisis sana Ibada hizi🥰🥰🥰🥰
@ShimboPastory
@ShimboPastory Ай бұрын
Abasia ya Mvimwa
@KADALAtv255
@KADALAtv255 Ай бұрын
@@ShimboPastory 🙏🙏🙏 nilijua tu maana nilimuona Abate Pambo kwa nini ni mtawa mmoja tu mbona sio kawaida.
@amadeokinyekile8804
@amadeokinyekile8804 2 жыл бұрын
Mungu akubariki nas sote
@imeldamatoju2735
@imeldamatoju2735 2 жыл бұрын
Awesome really lovely so Beautiful
@julianaluhendemaliponihapa6784
@julianaluhendemaliponihapa6784 2 жыл бұрын
Ee mama yetu B.Maria malkia wa mitume umlinde mwanao.Nami nijalie katika kizazi changu Mungu ujitwalie mtumishi katika shamba lako
@judithkerengi5517
@judithkerengi5517 Жыл бұрын
Mungu awe nawe daima Fr. Justo
@kwayayamt.fransiscowaasizi2574
@kwayayamt.fransiscowaasizi2574 2 жыл бұрын
Amina sana, Mungu na aendelee kukulinda.
@evaernest1867
@evaernest1867 2 жыл бұрын
Mungu awe nawe Kwa Kila hatua akuwezeshe na kukulinda daima 🙏🙏🙏❤️
@nobertbamugimba9204
@nobertbamugimba9204 2 жыл бұрын
God bless you ♥️🎄
@carolynemassawe8447
@carolynemassawe8447 Жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristo....M n mkatolik na najivunia sana ila naomben mnisaidie jambo moja hiv ibada ya hv inafanyikaga wakat gan ili na mim nieze kushiriki maana sjawah kushiriki ibadan ya hv ila nmevutiwa nayo sana....kwa yeyote anayejua naomb anisaidie sjui nmechelew kuiona lakin naamn ntapata jbu na mm nshrk kweny kupokea baraka
@teklasanga
@teklasanga Жыл бұрын
Huwa inafanyika Ibada hii wanapofunga nadhiri za milele mashirika ya Kibenediktini. Mahali popote walipo wabenediktini
@user-oq1qb5gb8p
@user-oq1qb5gb8p 10 ай бұрын
Hapo unaposali uwe unasikiliza matangazo ya mafrateri kuweka naziri sionlazima wabenedictini
@KADALAtv255
@KADALAtv255 Ай бұрын
Kwa mbali kama namuona Baba Abate Pambo hii Mvimwa sio?🥰🥰🥰🥰🥰
@francism6675
@francism6675 10 ай бұрын
Sensational Catholic
@simonsebastian9477
@simonsebastian9477 2 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana Mungu akuongoze katika safari yako ya utume
@julitamassawe3104
@julitamassawe3104 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏 Amina
@omegakimaro1885
@omegakimaro1885 2 жыл бұрын
Mungu akutangulie
@happymarchiusnjungani1138
@happymarchiusnjungani1138 Жыл бұрын
Mungu anaonekana Kati ya watu ..Mungu akuongoze
@neemalaurent3982
@neemalaurent3982 Жыл бұрын
Mungu awe nawe ftr,justo
@flipaclipanimationz6790
@flipaclipanimationz6790 2 жыл бұрын
Powerful....
@stevekdaniel
@stevekdaniel 2 жыл бұрын
Wooow, ♥️ very beautiful
@marysrevocatus1413
@marysrevocatus1413 2 жыл бұрын
Mungu akulinde, akutangulie kwenye utume wako
@Emy-magda
@Emy-magda 2 жыл бұрын
Hongera padre kwa kujitolea kufanya kazi ya Bwana , naye akupe nguvu na hekima. Amina🙏🙏🙏🙏
@kenanmalindisa6430
@kenanmalindisa6430 4 ай бұрын
Proud catholic
@julianamalulu7459
@julianamalulu7459 2 жыл бұрын
Mungu Baba akusimamie ktk utume wako
@mcorama
@mcorama 2 жыл бұрын
Crying for Joy🙏🏽
@Mdenya
@Mdenya 29 күн бұрын
Ukaliimarishe kanisa lako eeh bwana ukawabariki watumishi wako ukawalinde na kuwapa nguvu watawa wote
@subirajohn728
@subirajohn728 2 жыл бұрын
God Bless You
@monicahmutuku3305
@monicahmutuku3305 2 жыл бұрын
Mungu akulinde
@francism6675
@francism6675 2 жыл бұрын
Amina
@ZawabjohnJaccob
@ZawabjohnJaccob 6 ай бұрын
Mungu amtunze
@malianadaniel842
@malianadaniel842 2 жыл бұрын
Mungu akusaidie
@cyriakusbaramba594
@cyriakusbaramba594 2 жыл бұрын
Amen
@angelfrank9239
@angelfrank9239 2 жыл бұрын
Nimejikuta nalia
@user-os9oc4gh6o
@user-os9oc4gh6o Жыл бұрын
Amen🙏🙏❤
@faridaaloyce7672
@faridaaloyce7672 2 жыл бұрын
Eeeh...naomba okoa kizazi changu...maana wewe umesema wamchao BWANA Wana Amani..na Akili njema.nisaidie
@catherinehamimu765
@catherinehamimu765 2 жыл бұрын
Mung akurind 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 2 жыл бұрын
Sehr schön gesungen
@teresakapinga7947
@teresakapinga7947 2 жыл бұрын
Nimejikuta machozi yananitoka
@angelsappy168
@angelsappy168 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema kila wakati 🙏🙏🙏
@winfredkajuju3008
@winfredkajuju3008 Жыл бұрын
Ooh God
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 2 жыл бұрын
Mungu usimwaibishe mwanao,maana amekukimbilia wewe.
@kulemudogo6413
@kulemudogo6413 2 жыл бұрын
Heri wanakaa nyumbani bwana wanakusifu daima...
@victoriadati3473
@victoriadati3473 2 жыл бұрын
Hiki kiapo uwa kinagusa saaaana kama ni nduguyo machozi yatakutoka bila kutarajia. Kimenikumbusha mbali saaaana.
@henricamikambi6147
@henricamikambi6147 2 жыл бұрын
Kiapo kikubwa sana hiki,i wish wangeishi kwa kadri ya kiapo chao
@barakamisonge4688
@barakamisonge4688 Жыл бұрын
Sumbawanga ❤️
@JohnKiwale-xt9wh
@JohnKiwale-xt9wh Жыл бұрын
Jaman mm sija paelewa hapa
@veronicangailo7644
@veronicangailo7644 2 жыл бұрын
Aise hivi mnakengeukaje mbona kiapo kigumu sana hichi Jehova mtunze mtumishi wako mfiche chini ya mbawa zako kama ulivyoanzisha kazi ndani yake ukaikamilishe mwenyewe
@user-qd4bb8rh6w
@user-qd4bb8rh6w 6 ай бұрын
Frt nakutakia utume mwema
@lutigardkomba1215
@lutigardkomba1215 10 ай бұрын
Wala usiniabiishe katika natumaini yangu
@JohnKiwale-xt9wh
@JohnKiwale-xt9wh Жыл бұрын
Kweli huu niu takatifu usio mfano
@brigidharrietmunayi8917
@brigidharrietmunayi8917 Жыл бұрын
We know that st. Benedict had many friends as donas for what they needed and the brothers worked hard in cultivating their land and harvesting a lot foods of which they could not consume it a lone but also helped the poor around them. WE have not know of the Benedict that I use to employ terrorists for those that they thought would take the seat of the Abotish. HE WAS NOT AFTER THE KINGDOM 9F THIS WORLD AS HIS RULE SAYS. Look first for the kingdom of heaven, before do anything, put God first in front of all. 78 PAGES OF HIS RULE AND ADOPTED BY MANY OTHER RELIGIOUS COMMUNITIES. SO YOU CAN ADOPT THAT RULE WITHOUT HIS SPIRIT AND BECOME A FAILURE OF GOD IN THIS WORLD IN MESSING WITH THE RIGHTS 9F PEOPLE AND HUMAN DIGNITY. IT IS NOT JUST THE NAME BUT THE SPIRIT FROM 2HICH YOU OPERATE TLGOD'S WILL THAT THEY CAN SEE THE FACE OF THE SAINT IN YOUR ACTIVITIES AND THE WAY YOU TREAT THE BROTHERS AND SISTERS. AND THAT LT IS WHY ST. BENEDICT WAS CALLED LIVING FATHER, NEVER INVOLVED IN WAR ACTIVITIES BUT PEACE MAKER THROUGH THE MIRACLES OF THE FIRCIFULL PRAYERS OF THE COMMUNITY. And he said the good work depends on how you pray. And their Motto is PAX meaning Peace.. TODAY EXIST PEACE IN THE WORLD? TODAY THEY WANT YOU THAT THEY OFFEND TO ASK THEM FOR PEACE AND NOT THEM TO FILL GUILTY CONSCOUS AND ASK PEACE TO WHOM THEY OFFEND. WHEN ST. BENEDICT SAID, IF YOU OFFEND SOMEBODY, NEVER GO YO BED BEFORE YOU YOU HUMILIATE YOURSELF IN BEGGING PARDON.
@poncegk5263
@poncegk5263 2 жыл бұрын
Mungu akulinde
@victorjidinga7281
@victorjidinga7281 2 жыл бұрын
Amina
@roseannakabeya1978
@roseannakabeya1978 2 жыл бұрын
Aisee kipindi kigumu sana hiki
Holy Trinity Songs | Three Traditional Christian Hymns to the Trinity | Choir with Lyrics
8:03
Sunday 7pm Choir | Catholic & Christian Choral Music
Рет қаралды 45 М.
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 46 МЛН
Children deceived dad #comedy
00:19
yuzvikii_family
Рет қаралды 8 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,6 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 3,5 МЛН
UTOTO MTAKATIFU WATIKISA JIMBO LA BUKOBA MPAKA VATIKANI .
5:30
SHAURIJEMA TV
Рет қаралды 73 М.
UMUHIMU WA KUWEKA AKIBA YA FEDHA- Anthony Luvanda
13:31
TonyInspirationalTalk
Рет қаралды 3,2 М.
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 46 МЛН