Mungu akupe subira katika mapito unayoyapitia shekhe 🙏🙏
@aishannacho80813 жыл бұрын
Maashaallah sheikh shaabani,m/mungu akupe umri mrefu sheikh wetu wa mkoa wa Arusha....
@hawasafiki5223 жыл бұрын
Mashallah mungu akupe subira katika mapito unayoyapitia 🙏🙏🙏
@hawasafiki5223 жыл бұрын
Shukrani shehe wetu Allah akulipe pepo 🙏🙏🙏🙏
@famhas_moonrider955811 ай бұрын
Kwa visa VA urongo?
@khalidomar53643 жыл бұрын
MashaAllah, kikao chema kwa wana twarika kukumbuka mawalii watwarika,Allah awalipe kheri
@muftishaban.a.musamombasak65773 жыл бұрын
Shukran sheikh kwa hikaya njema
@SharifuKipoto2 ай бұрын
ماشاء الله بارك الله فيك
@abdillahimohammed3544 Жыл бұрын
Wapo Tena sana 💯
@habibakhalfan10652 жыл бұрын
Upo_vizuri_babaa_yangu
@sudeysisana53242 жыл бұрын
Mashaalah
@amzadauda13522 жыл бұрын
nipo Uganda ila namuelewa Sana shehe shabani jitajidi urushe hutuba tuzipate mtandaoni
@sayeedsaleem63953 жыл бұрын
ماشاء الله
@alisaidi74773 жыл бұрын
MashaAllah
@nasrabdallah38733 жыл бұрын
Mimi nilimsikia kwa sikio langu. Pia shkh رحمه الله عليه. Alikua akituzunguzia mara nyingi. Pia ilikua jioni akitusomesha kafrawii. Akituzungumzia siku nyengine. Kwa sababu tuithamini elemu na tuwe na subra.. nakuombeni dua zenu nirudi Tanzania kuiyeneza mirathi ya shekhe wetu Mohamed ibni Ayoubu.
@abbysule23903 жыл бұрын
Amina innshallah UTARUDI
@darenymsham24673 жыл бұрын
Maashaallaah alhamdulillaahi...
@tigerroar3545 Жыл бұрын
Jama wanapenda stori hawa,stori za ndoto,hazina uhakika,
@shairangalu94913 жыл бұрын
Nmemkubali sana
@swahibually8349 Жыл бұрын
Mawahabi kufeni kwa uchungu wenu,Kwa upande wenu MAWAHABI hawezi kupatikana WALII Maana kwa mujibu wa maneno ya ALLAH pale alipoombwa na nabii Ibrahim awafanye watoto/uzao wa Ibrahim kua mitume,; ALLAH akasema;لا ينال عهد الظالمين: ؛ Yaani hawezi akaupata Utukufu wangu, Uwalii wangu, Ukaribu wangu, mtu ambae ni dhwaalimu, kwahiyo nyinyi Mawahabi kwa udhaalimu mlio nao, hamuwezi kupata UWALII ng'oo. Kwahiyo wakitajwa mawalii hua mnaumia sana sawa na akisifiwa mtume.
@jumakapilima72957 ай бұрын
Hahahaha,,,,harudi mtu kwenye Bidaa
@omarinassoro55143 жыл бұрын
Alla awajalie masheghe umrimrefu tunufaika na nasaha za wemauliotangulia
@fauzishabani26223 жыл бұрын
Shekh Shabani
@nabiljumbe3 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah
@SeifAlliy10 ай бұрын
Alhamdulilaah nathibitisha mi mwenyewe kanijia sheikh Muhammad bin Ayuub akanipa maelekezo ndotoni asubhi sikuzingatia jioni nikamkumbuka kuna mwana chuoni aliniambia niwasiliane nae naikampigia simu yule alonielekeza nikamwambia yake niloambiwa nimwambie yule bwana nilimpata kwa WhatsApp call kumuelezea akaniambia fanya ulivyoelekezwa alhamdulilaah nikafanya basi niliyaona yote nlokusudia nanikaenda kumdhuru Mtume swalallaahu alayhi waalih waswahabihi nanilipofika Madina nikayaona yake nilioelekezwa alhamdulilaah karama zipo.
@abuuaiman95752 жыл бұрын
haya maneno yakiingizwa kwenye mzan sijui itakuwaje ukimtumikia mungu sana anabadilika anaanza kukutumikia wewe na pale alipoomba dua kwa baraka ya sharifu hii inaonyesha ukweli wa maneno ya imam shafii ما رايت صوفيا عاقل قط
@abubakarymaulidy56812 жыл бұрын
Yani nyinyi mkirndelea kukutukania mashekhe zetu hvi mwisho winu mtauona kw mboni za macho yenu wenyewe ebu kuweni na adabu jamani
@abubakarymaulidy56812 жыл бұрын
Ni uelewa au hvi unaskia kbs kw baraka ya fulani unaanza kuwatoa watu akili
@abuuaiman95752 жыл бұрын
@@abubakarymaulidy5681 maneno ya imamu shafii hayo sema uambiwe kwenye kitabu ukaone ishaalah
@abubakarymaulidy56812 жыл бұрын
@@abuuaiman9575 ata kama yapo kitabuni ndo matumizi yake ayo kwn huwezi kuangalia unae mwambia we kuw n uslluub ldaghwaa nzury abuu vipi jamni mbn mnajisahau sana nyinyi
@muhammadiabdallah91183 жыл бұрын
Maashaallah sheikh
@sajumahege4903 Жыл бұрын
Uwalii mnapeana kama karanga tu zinavyogaiwa kwa watoto wa shule
@famhas_moonrider955811 ай бұрын
Nauliza mawalii na hizo karama na masharifu wako Kenya na Tanzania tu mbona sijaskia Uganda hizo stories?
@ikabako24543 жыл бұрын
Madufu sijui tunayaacha lini haya jamani.
@abuuayoubayoub92602 жыл бұрын
Tafuta dunia yako isiyopigwa madufu ukae peke yako hukooo
@abuuayoubayoub92602 жыл бұрын
Tafuta dunia yako isiyopigwa madufu ukae peke yako hukooo
@sajumahege49032 жыл бұрын
Shehe anapiga dufu alaf anaimba anashid bado ana makarama, hawa wazee Allah awaongoze na atuongoze sote
@allyally51562 жыл бұрын
Jinga
@fatmahyassinally50132 жыл бұрын
@@abuuayoubayoub9260 k
@abdulswamdenyambuka19022 жыл бұрын
Uchawi tu hakuna lolote
@mohamedhamismagoraonlinetv459 Жыл бұрын
Yaonesha uchawi ndiyo michezo ya kijijini kwenu uliyozoeshwa
@abdulswamdenyambuka1902 Жыл бұрын
@@mohamedhamismagoraonlinetv459 nyamaza mwanga mkubwa ww