Пікірлер
@HajraAlly-jo8zf
@HajraAlly-jo8zf Сағат бұрын
Mashaallah sharifu wetu nakuombea kwa Allah maradhi akuondoshee naumri akuzidishie napenda kaswida hiyo
@KiluaSamambo-f8d
@KiluaSamambo-f8d 2 сағат бұрын
Maxhaallah mungu awalipe kl lakher 6:35
@KiluaSamambo-f8d
@KiluaSamambo-f8d 2 сағат бұрын
Maxhaallah mungu awalipe kl lakher
@zaburionlinetv6245
@zaburionlinetv6245 3 сағат бұрын
Vchwa vya habari kabla ya ku upload vipitiwe Kwanza ili kuepuka kukosea
@AllyOmally-m3b
@AllyOmally-m3b 7 сағат бұрын
Wemechemsha hawa
@gabrielsaelie8091
@gabrielsaelie8091 11 сағат бұрын
Kaburini mtu ikifa hajui lolote yupo amelala anamgoja hukumu siku ya kiama.
@MwanaidiKazeze
@MwanaidiKazeze 13 сағат бұрын
Atwaala allahu baqaaka
@allymafita1985
@allymafita1985 14 сағат бұрын
MashaAllah, eeh Allah tujaalie nasi tuweze kutekeleza Ibada ya HIJA, AllahuMaAmiyn
@HemediJafari-if3od
@HemediJafari-if3od 21 сағат бұрын
Amin Amin Amin
@mussamabawa2973
@mussamabawa2973 Күн бұрын
Allah akupe pepo ya firdaus
@abdurashidinasorodini
@abdurashidinasorodini Күн бұрын
dah sheikhe anaanzaga na mbwembwe nyinyi huyu waweza sema bonge la msomi😅😅😂😂😂😅😂
@HusnaSalimu-d1n
@HusnaSalimu-d1n Күн бұрын
maashallaa raha sana makka
@user-il5te5xd5y
@user-il5te5xd5y Күн бұрын
mashaallah ❤❤❤❤❤❤❤
@abakibibi9917
@abakibibi9917 Күн бұрын
MBONA MWAFANYIA NDANI YA MAHEMA TOKENI NJE MUIMBE KASWIDA NA MUCHEZE ZAFA KAMA HAYO MUYAFANYAO YANA ASILI NA DINI
@hafidhseif9638
@hafidhseif9638 Күн бұрын
Tumechoka na utapeli wenu ,kafenyini kazi mti mkuu ni mmbuyu au watu wanaakili mutawapata wajinga tu
@hafidhseif9638
@hafidhseif9638 Күн бұрын
Uwongo mtu kwani msg huwezi kujitumia mwenyewe au na tapeli mwenzako, hebu wacheni uzushi, musijaribu kuchanganya majina ya mungu ili kuwasadikisha watu wiz menu ,anaetoa amani ni mungu pekee
@KhadijaMselem-q7r
@KhadijaMselem-q7r Күн бұрын
Maashaalla
@abdulhajiahmed8735
@abdulhajiahmed8735 2 күн бұрын
Msitusahau kwa dua ndugu zetu katika Imaan
@azizaiddy4981
@azizaiddy4981 2 күн бұрын
Aaamin aamin
@azizaiddy4981
@azizaiddy4981 2 күн бұрын
Maashaallah maashaallah vipenz vyetu ahbab
@ZainabLol-wx7xf
@ZainabLol-wx7xf 2 күн бұрын
Ma'Sha'Allah
@abuubakarimussa2301
@abuubakarimussa2301 2 күн бұрын
mashaAllah
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 2 күн бұрын
ALLAAH atuepusha na uzushi. Ameen
@haidarngoyogo-wi8wu
@haidarngoyogo-wi8wu 2 күн бұрын
Amiin
@canoksancomprehensivelearn7182
@canoksancomprehensivelearn7182 2 күн бұрын
Sio ajabu maulid kufanyika maka watu wanaenda wanafanya uchaawi huko huko Makkah na hata wanaoenda kuiba wanaiba kwa hiyo maaswi ya bidaa kufanyika hapo sio kitu ajabu maana hata akina abu Jahli waliishi hapo na masuala ya kumuasi Allah kwa kufanya bidaa mukajificha katika mahema au viwanja na kuonyesha watu nje ya Makka kuwa sasa nchi hiyo tukufu mmefanya kama ni jema au ovu mkalirusha ni khiyari yenu Allah kabainisha ovu ni lipi jema ni lipi na kawaacha na khiyari. iwe ni bidaa na hapo hapo riaa au kuwaonyesha wanaopinga bidaa kuwa mumeifanya sehemu ambayo aya ilishuka kuwa dini imekamilika na mtume S.AW akausia tushikamane na kitabu na sunnah na tuepuke bidaa mkaona kama kukomoa yote hayo nia zenu na kisha ibada feki. nguzo za matendo ya mja ni mbili kwanza nia kwa ajili ya Allah sio kujionyesha au kuwakera watu na pili ni kufuatisha ibada ikiwa kaifundisha mtume S.A.W kama hajaifundisha itarudishwakwa mfanyaji wake haina malipo na itamgharimu mwenyewe.
@KhadijaAhmada-vl3hs
@KhadijaAhmada-vl3hs 2 күн бұрын
Mm ni mwanamke kuna muda anakuja mwanamke mwenzangu ili tusagane kuna mda anakuja mwanamme ananiingilia na mwanamke huja baada ya kuswali sala ya alfajiri nikikaa kitandani tu anakuja tena huwa niko macho sjalala vizuri😢😢 aisee natamani kujinyonga hii hali
@fatihiyadossa375
@fatihiyadossa375 2 күн бұрын
Mashallah mungu nasisi tuwezeshe kama wenzetu tuweze kutimiza ibada hyo mahujaji wetu Allah awatangulie kwenye safar yenu yakurud inshallah
@hassanaboud8442
@hassanaboud8442 2 күн бұрын
Alhamdulilah❤
@ZainabLol-wx7xf
@ZainabLol-wx7xf 3 күн бұрын
Ma'Sha'Allah
@abdulhajiahmed8735
@abdulhajiahmed8735 3 күн бұрын
Asalaam alaikum nauliza ndugu waislamu katika hijja wanachukua alama za vidole kwa mahujaji wote karibu million ?
@ErastoBias
@ErastoBias 3 күн бұрын
Punda alikuwa mtu mwenye dhambi kwa hiyo akiokelewa mtu harudi kwani ni mbwa maana mbwa akila na akatapika huyala te matapishi yake kwahiyo mtu hawi hivo
@zoyaibrahim8639
@zoyaibrahim8639 3 күн бұрын
Aminn inshAllah biidhnillah
@user-hr6kl2kp6c
@user-hr6kl2kp6c 3 күн бұрын
Mashallah mtuombee nasi tupate kutimiza hiyo nguzo inshallah tunawaombea sana mahujaji wetu
@user-jr2wt7ej5g
@user-jr2wt7ej5g 3 күн бұрын
Nyumban
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 3 күн бұрын
acha kuongopea watu ujahili wako,nina kuuliza hii dini tumeamrishwa kufuata yale mtume صلى الله عليه وسلم aliyowafundisha wanafunzi wake, Sasa hayo maulidi ni nani ktk maswahaba wa mtume aliyeanza kuyasoma hapo mina? mbabebesha watu madhambi!! Allaha awaongoze kwenye sunna na muachane na ibada za UZUSHI,
@fatmamohammad623
@fatmamohammad623 3 күн бұрын
Swadakta
@jumamukoko6662
@jumamukoko6662 4 күн бұрын
Pilipili ala mwingine wewe yakuasha aje
@jumamukoko6662
@jumamukoko6662 4 күн бұрын
Acheni mambo yakupinga kila kitu
@jumamukoko6662
@jumamukoko6662 4 күн бұрын
Sasa mtu akimsifu mtume kwa kuimba Qaswida kuna haribu nini katika Deen
@Kimanga_Official
@Kimanga_Official 4 күн бұрын
Ammin yarabba l-alamiim
@hashimusalum-xp7fn
@hashimusalum-xp7fn 4 күн бұрын
hebu tusomen tusipeane itikadi bila elmu tutafeli jaman haya maswala ni maswala ya kielmu
@user-uk1fg6ki7o
@user-uk1fg6ki7o 4 күн бұрын
Mashallah mashallah mashallah
@faidhachuo9086
@faidhachuo9086 4 күн бұрын
Masha Allah, ya Allah awajaalie hija njema, Nasie ambao hatujajaalia Allah atufanyie wepesi in Sha Allah
@saidizuberiissa7286
@saidizuberiissa7286 4 күн бұрын
Wallah! dua ya Muft ime nitoa machozi asunuhi hii mimi doh! Allah! aluzidishie zaidi Muft wangu
@saidizuberiissa7286
@saidizuberiissa7286 4 күн бұрын
Amin
@user-xh6fy4oc9u
@user-xh6fy4oc9u 5 күн бұрын
Tazawajuu watalakuu, hata taslahuu.Kwa kiarabu maana yake oweni na muache mpaka mpate maslahi
@user-xh6fy4oc9u
@user-xh6fy4oc9u 5 күн бұрын
Jee akikuta Condom aweke wapi
@dr.jjmwaka2596
@dr.jjmwaka2596 5 күн бұрын
Mashaaallha
@mahamed-qs8of
@mahamed-qs8of 5 күн бұрын
Viongozi wa bakwata toeni nafasi za bure Kwa waislam wengine ambao hawajapata nafasi, sio nyie tu Kila mwaka haipendezi
@HamidaMohammed-fc7oj
@HamidaMohammed-fc7oj 5 күн бұрын
Mashallah allah awarudishe salama