KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI

  Рет қаралды 424,373

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

4 жыл бұрын

Moja ya matukio muhimu ya kihistoria yaliyowahi kutokea ndani ya Zanzibar ambayo hata mtoto wa darasa la kwanza anatambua ni kifo cha Mzee Abeid Amani Karume ambaye aliuawa Aprili 7, 1972, siku ambayo sio rahisi kuisahau.
Jina lake ukamilifu ni Abeid Amani Karume. Alizaliwa Agosti 4, 1905 katika kitongoji cha Pongwe huko Mwera Wilaya ya Magharibi “A” Zanzibar.

Пікірлер: 260
@alicegitau2942
@alicegitau2942 3 жыл бұрын
I don't know why but I love love history and I am just an 11 years old girl please tell me if you love history I feel alone guys
@mohamedboya5227
@mohamedboya5227 4 жыл бұрын
Asante kwa makala hii inatukumbusha mbali nawengene hatuwepo duniani
@b.3940
@b.3940 2 жыл бұрын
Karume hakuwa mzanzibari ni mzaliwa wa Lagos Nigeria jina lake halisi ni Prince Oyenusi Oga.
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi Ай бұрын
We ndio ulimzaaa au
@b.3940
@b.3940 Ай бұрын
@@RomanMwinyi sina uke wa kuzaa mie lakini najuwa wewe unao. Si unikopeshe Mroma Mwinyi.
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi Ай бұрын
@@b.3940 njoo uchukue nakufungia sasa ivi ndan adi asubuh mimb ya mapacha
@b.3940
@b.3940 Ай бұрын
@@RomanMwinyi 🤣🤣🤣🤣
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi Ай бұрын
@@b.3940 njoo ujionee kama uwaminii
@alshaqsi1369
@alshaqsi1369 3 жыл бұрын
Ukidhulumu na ww utadhulumiwa Mzee Abeid karume hakuzaliwa zanzibar
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 3 жыл бұрын
Alizaliwa Tanganyika.
@pendooscar9322
@pendooscar9322 3 жыл бұрын
Warabu wako mbioni kuwatawala Tena
@khadijarajab8383
@khadijarajab8383 3 жыл бұрын
@@pendooscar9322 Umeona eeh..hila haitatokea sababu Tz tupo na tunaamua
@salummzee9739
@salummzee9739 3 жыл бұрын
mola akuremu sote ndio safar yt allah atupe kheri
@mariselilekibalunye5933
@mariselilekibalunye5933 Жыл бұрын
Poleni sana mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
@uwezowamunguutendaokazi3043
@uwezowamunguutendaokazi3043 3 жыл бұрын
Usaliti ni hatari sana. Wapinga maendeleo ni watu hatari sana. Kila wakati nasema dunia aiwezi kua salama wakati silaha zipo na zinatumika na wasiyo penda amani. Mungu mkuu aturehem sote. Amen.
@ahally61
@ahally61 2 жыл бұрын
Huyo okelo alzaliwa wapi na ilikuwaje akaongoza mauwaji Zanzibar na alipomaliza alibakia wapi na ameishia wapi mbina tunamuona kwenye mwanzo wa historia za zanzibar tu lakini alivyoishia haelezewi na wala hamtwambii kama alikuwa nani wakati na baada ya mapinduzi
@hashimmohamed3215
@hashimmohamed3215 2 жыл бұрын
Ndugu zangu. Tutambie kuwa hoja siku zote huvunjwa na hoja na wala si matusi na kashfa. Watanganyika na Wazanzibar ni ndugu na wengi wetu hatujawahi kuishi kabla ya Tanzania. Sintofahamu zitakuwepo na njia bora ya kuzimaliza ni kujadiliana kwa heshima, hoja na hekima. Mungu ibariki Tanzania.
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 2 жыл бұрын
Well said brother
@mosaidi2633
@mosaidi2633 4 жыл бұрын
Acheni upotoshaji,Karume hakuzaliwa Zanzibar,ni mhamiaji kutoka Malawi enzi hizoo
@ramadhanimadanga9932
@ramadhanimadanga9932 3 жыл бұрын
Kumbe ww jjnga
@shukurusiwakwi6129
@shukurusiwakwi6129 Жыл бұрын
Uko sahihi alitokea nyasaland
@user-bs1zq5ts1r
@user-bs1zq5ts1r 3 ай бұрын
😂😂😂nimeona uongo umezidi mumechoka wengine museme katoka Niger Nigeria mara Malawi
@okellonjaramba6759
@okellonjaramba6759 2 жыл бұрын
Please regnise Field Marshal John Okello as the true leader of the revolution of Zanzibar
@dianadenis7557
@dianadenis7557 2 жыл бұрын
They will never do that and its true John Okello rest in peace Amen!
@zahorsalum4976
@zahorsalum4976 2 жыл бұрын
Aliua kwarisasi watu wengi.nayy akauliwa kwarisasi.jmn ubaya ukowapi hii ndo sifa Allah.amuonei mjawake.
@alikabeya138
@alikabeya138 2 жыл бұрын
Historia ya uanzishaji wa ASP umechapia walianza na AA kabla ya kuunganisha AA na Shiraz Association. Toa Uongo ndugu
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 4 жыл бұрын
Baraka Shilumba: hebu tupe kwa ueleo wako hao uliowataja ni nani?
@harounbuzohera4797
@harounbuzohera4797 2 жыл бұрын
There is a hidden story of Field Marshal John Okelo ,the man who masterminded the Revolution in ZANZIBAR.
@godcompeter9844
@godcompeter9844 2 жыл бұрын
Sante kijana
@musawenkosigroup7962
@musawenkosigroup7962 3 жыл бұрын
Mbona amusemi kwamba John Okello kutoka Uganda ndo alieongoza mapinduzi...?
@shaabansabour1214
@shaabansabour1214 Жыл бұрын
Watanzania bara, munapotosha ukweli. Yuko wapi hapa Fidel Mashal John Okello. Watu nyinyi wacheni uongo.
@fredelias5176
@fredelias5176 3 жыл бұрын
History is the past,present and future events
@dullaomar3610
@dullaomar3610 3 жыл бұрын
Kauwa na yeye kauliwa ukweli unajulikana na alie muuwa ni shemegi yake hakuna cha ukombozi ni mauwaji tu.
@rajakhamis8902
@rajakhamis8902 2 жыл бұрын
Watanganyika wameanza zamani kujipndekeza kwetu Zanzibar na hadi sasa sanazaliana tu hku
@rajakhamis8902
@rajakhamis8902 2 жыл бұрын
Huyo nyerere si ndio alie muwa karume ili watanganyika wapate kujipendekeza vzur hku zanzibar na kushobokea wazanzibar
@aby21111
@aby21111 2 жыл бұрын
A criminal who killed innocent great grandfathers and grandfathers .What goes around comes around. 💃💃💃💃💃❤
@alimohd8427
@alimohd8427 2 жыл бұрын
Nyerere ndo alomuua
@abdulazizislam1261
@abdulazizislam1261 7 ай бұрын
Kama alivyo uwa na yeye ameuwawa hiyo ni hukumu ya mungu
@IBRAHIM-eh9vw
@IBRAHIM-eh9vw 2 күн бұрын
Hatutosahau maishayetu yote😢😢😢
@xinyingmiao4996
@xinyingmiao4996 3 жыл бұрын
duuh karume alikuwa ni mkubwa sana kiumri zaidi ya nyerere
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Lakini kiakili nyerere mjanja NA ana akili mkubwa kaweza kuimeza zanzibari milele
@tariquexplore
@tariquexplore Жыл бұрын
​@@alialamoudi9729 heheh dhulma huwa inarudi tu Zanzibar one day tutawala tanganyika yenu fuck you ....mtu ambaye hana akili utajenga magorofa na shilingi 1 yetu ilikuw dola mbili za kimarekani na 5 paundi
@sammarley1413
@sammarley1413 4 ай бұрын
Ndio alikua mkubwa Ila kicwa maji
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 3 ай бұрын
​@@sammarley1413kwanini 😂😂😂😂
@sammarley1413
@sammarley1413 4 күн бұрын
​@@fasterwalker1464 angelikua na akili japo kidogo angalitazama mzee julias nyerere yy kule bara anao warabu kibao nawahindi namakabila mengi tu yawatu weupe hajawauwa Bali amewarahisishia wafanye biashara nakuongeza ucumi wataifa Sasa huyu karume ambye nimuislam yy Alikuja nakarata isio nahekim yoyote hiv kuwauwa warabu nakupora Mali mashamba majumba yawazanzibar kama yy alitaraji nini? Matokeo ndio kama hivi kula risasi yakicwa fujo kwisha
@salimabdillah1623
@salimabdillah1623 3 жыл бұрын
RIP Mkombozi wa wanyonge, may Allah shower His mercy on him and all Zanzibar fallen heroes. Mapinduzi daima.
@imash04tv20
@imash04tv20 3 жыл бұрын
mkombozi kweli maana hapo ulipo ww una njaa wale walofukuzwa wakauliwa na wengine wakarudi kwao sasa iangalie nchi yao
@salimabdillah1623
@salimabdillah1623 3 жыл бұрын
@@imash04tv20 alhamdulillah nipo vizuri, kilichowaleta Zanzibar nini? Si wanakie makwao, Zanzibar ni ya waafrika sio wamanga
@salimabdillah1623
@salimabdillah1623 3 жыл бұрын
Si wengebakia kwy majangwa yao wakati huo, wao ndo walokuwa na waya mkali zaidi wa njaa.
@salimabdillah1623
@salimabdillah1623 3 жыл бұрын
@@imash04tv20 Zanzibar itabakia ya waafrika daima, wananga hadi leo mate yanawadondoka, mapinduzi daima, usultani kwisha zake
@salimabdillah1623
@salimabdillah1623 3 жыл бұрын
@@imash04tv20 heri ya njaa kuliko utumwa na kutawaliwa, na hata dini, wapi na wapi eti ibadhi, khawareej, wazanzibari ni sunni muslims, wakome kuharibu dini za watu
@faridimohammed4823
@faridimohammed4823 3 жыл бұрын
Yeye kauwa wanga, munasahau mwaka 64
@ommyakili552
@ommyakili552 3 жыл бұрын
Uhakika unao????
@faridimohammed4823
@faridimohammed4823 3 жыл бұрын
Uhakika upoo mkubwa sana
@halidhamaad177
@halidhamaad177 2 жыл бұрын
Bro hujui historia ya karume tuache
@pmanpjjp
@pmanpjjp 3 жыл бұрын
Rest in peace
@goldenboy7504
@goldenboy7504 2 жыл бұрын
Hao waaasisi na watoto wao wote mumewadharau awamu hii na ndio maana munakosa radhi siku zote unayemkuta muheshimu
@AllenSimon-rz8ye
@AllenSimon-rz8ye Ай бұрын
Naipenda sana
@feisal6592
@feisal6592 Жыл бұрын
Watsfutenii wanataka kumuuwa kijana wakee abireddd karumee plz mumewaonaa wahuthuria
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 2 жыл бұрын
Mimi ni mkenya nimesoma msg zenu na naona kumbe hamko pamoja wazanzibari wao wajiona ni waarabu lkn utaka kujua wewe si mwarabu bali ni mwafrika nenda warabuni
@abdillahijalalkhan2128
@abdillahijalalkhan2128 2 жыл бұрын
Hapana haja! Tazama kiyoo!
@sammarley1413
@sammarley1413 4 күн бұрын
Nenda kakunywe cangaa kule madhare huna akili ww Kwani hapa kwenye comment kunarangi ati huyu mwarabu ama yule black???
@jamesponeca8912
@jamesponeca8912 2 жыл бұрын
HISTORIA ZINGINE KAMA HAMJUI MSIWE MNASIMULIA
@robertkasike4061
@robertkasike4061 4 жыл бұрын
Aliye muua karume aliuawa na dereva wa karume wakati ule ule msifiche ukweli mtafuteni dereva wake bado yuko hai
@lirastanley390
@lirastanley390 3 жыл бұрын
Yeah wanajaribu kupindisha ukweli wanatufanya watanzania ni mazokwa wakati ukweli tunaujua
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
Aisee kumbe iko hivo. Ndo tatizo la africa . Huyo dreva wamempoteza ili kupindisha historia pia ni ili asipewe heshima yake na kutunzwa
@dottoamos2902
@dottoamos2902 Жыл бұрын
Bro uko wapi unisimulie
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi Ай бұрын
sasa wakamuulize kabuli au wap
@ibrahimdabo7163
@ibrahimdabo7163 3 жыл бұрын
Hawaachi kusema uwongo wamezoweya bado wanazidi kudanganya watu duuuu
@jamesponeca8912
@jamesponeca8912 2 жыл бұрын
SEMA UKWELI NANI,ALIEMUUA USIFICHE,
@johnrimoy370
@johnrimoy370 4 жыл бұрын
Kichwa cha habari kinatakiwa kiwe History ya Karume.
@kasalimareju6052
@kasalimareju6052 3 жыл бұрын
Yaani maongo matupu tz karbia nzima
@user-bl9zf1zb2t
@user-bl9zf1zb2t Жыл бұрын
Waafrica ni sawa na binadamu wote ubaguzi ni shida,m bora wetu ni mchamungu.
@robertjunior9916
@robertjunior9916 4 жыл бұрын
Kumbe wasiojulikana walikuwepo tangu mwanzo 😭
@marcusraina3682
@marcusraina3682 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jamesponeca8912
@jamesponeca8912 2 жыл бұрын
Wanajua
@shaabansabour1214
@shaabansabour1214 Жыл бұрын
Innocent mashauri huwezi kuwa muandishi na msemaji wa Historian wakati wenyewe, wazanzibari bado wapo. Na ni wasomi.
@ahmedkhamis1167
@ahmedkhamis1167 4 жыл бұрын
Uongo karume hajazaliwa Zanzibar zama hizi za uwazi na ukweli cjui kwann bado mnangangania uongo
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 3 жыл бұрын
Ndio maana mnatawaliwa na Dodoma.
@teacherchundu4062
@teacherchundu4062 3 жыл бұрын
@@uledimtumwa2406 Ninyi mlitawaliwa na mmalawi.
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 3 жыл бұрын
@@teacherchundu4062 Na sasa tunatawaliwa na mmakunduchi,watanganyika hatuna ubaguzi kama nyie waoman.
@fatmaali2050
@fatmaali2050 Жыл бұрын
Hakuzaliwa Zanzibar huyu jamani hamuijui historia
@riffayahmad2021
@riffayahmad2021 4 жыл бұрын
huna unalo jua....
@asmanmoha6679
@asmanmoha6679 2 жыл бұрын
Half baked information ....do research of karume death at length
@del-mohaa7527
@del-mohaa7527 3 жыл бұрын
Mbna mauwazi ya maraisi ni africa tu na sio continent zengine africa sisi ni matajiri sanaa tukiacha kuaibudu dollar tujisisimamie wenyewe watakuja wao kutuabudu sisi
@masoudyrashidy9041
@masoudyrashidy9041 3 жыл бұрын
Chanzo cha kifo cha mzee karume ni nyerere mshenzi halafu karume hajazaliwa zanzibar jutaahid kuulizia kwanza kabla kutoa makala brother
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 3 жыл бұрын
Tofauti na mkewe, Nani mwingine atakupa ukweli...!
@abdhihariabdhallah760
@abdhihariabdhallah760 4 жыл бұрын
Karume aliuwa wangapi mbona hakuzaliwa unguja alizaliwa Malawi Zanzibar alikua hana ndugu yoyote alitokea Kenya na meli akafika unguja kama baharia waongo historia ya uongo
@milleniyahmohamedy8787
@milleniyahmohamedy8787 4 жыл бұрын
Abdhihari Abdhallah acha upumbavu wewe
@abdhihariabdhallah760
@abdhihariabdhallah760 4 жыл бұрын
Mpumbavu.ni.wewe.semeni.kweli.karume.hakuzaliwa.Zanzibar.iko sauti yake alivosema unguja hana MTU isipokua mkewe na wanawe alitumiwa na nyerere kuuwa watu 64 kwa chuki aliyokua nayo kwa wazanziba nenda ukalitafute kaburi LA MAMAKE kama utaliona karume ni mmalawi alikua Kenya alifika Zanzibar na melj kama baharia acheni kupotosha watu ukweli tunaujua
@maikosaga3632
@maikosaga3632 4 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu kwa hasira zako ila fahamu huu mchezo hauhitaji hasira ndugu
@abdhihariabdhallah760
@abdhihariabdhallah760 4 жыл бұрын
Sjna hasira broo maoni ya MTU atakama huyapendi unatulia usiingilie MTU moja kwa moja
@nassormohammed1743
@nassormohammed1743 4 жыл бұрын
story yako nusu yake uongo
@salimabdillah1623
@salimabdillah1623 3 жыл бұрын
Ndani ya ofisi si hadharani km title yako inavodai though your description is ok.Pia hakuna nchi inayotwa Zanzibari, it's Zanzibar ( pronounced Zanziba ) in Swahili.
@salimabdillah1623
@salimabdillah1623 3 жыл бұрын
Inayoitwa ( correction)
@dolldoll8483
@dolldoll8483 3 жыл бұрын
Lol we sijui wa wapi. Kiswahili ni Zanzibari english ndo Zanzibar(zanziba)
@pascarmwatosya6815
@pascarmwatosya6815 3 жыл бұрын
R,I,P.
@rahimasalim26
@rahimasalim26 2 жыл бұрын
Kama kulikua na ukoloni kabla ya mapinduzi Jee? hawa wasomi wote kina Nyerere , Karume, Aboud Jumbe, Ali Hassan Mwinyi etc walusomeshwa na nani? Kwa ajili wote ni wasomi na very smart wala huwezi kuwalinganisha na wasomi wa sasa
@godblessminja3380
@godblessminja3380 3 жыл бұрын
Kumbe hakuwa na elimu huyo mzee
@dogracfalijala3051
@dogracfalijala3051 3 жыл бұрын
Mmmh makubwa kw nn wat atupendan APA dunian in njia t yakupta
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 3 жыл бұрын
Hivi karume hajawahi kuuzwa sokoni ?
@lirastanley390
@lirastanley390 3 жыл бұрын
Walale pema peponi viongozi waasisi wa taifa letu tukufu hayati mwl.julius k nyerere na hayati Abeid Aman Karume
@yasinamiri7649
@yasinamiri7649 2 жыл бұрын
Kila mtu anajua nyerere ndio alie muua Abedi amani karume na chanzo cha kifo cha karume nimuungano na ushahidi upo kabsa German
@saeedaltae2169
@saeedaltae2169 3 жыл бұрын
Uongo hy amezaliwa 1902 sio 1905
@philbertcelestin2702
@philbertcelestin2702 3 жыл бұрын
Mwaka wake wa kuzaliwa haufahamiki sana.kakini 1905 ndiyo unatambuliwa!
@mauadaud4447
@mauadaud4447 3 жыл бұрын
Kweny historia uwo ndo mwaka aliozaliwa 1905
@allymwazoa6301
@allymwazoa6301 4 жыл бұрын
Hivi kanali mahfudh ni nani?
@skywalkercool6788
@skywalkercool6788 4 жыл бұрын
free.facebook.com/WatanzaniaMashuhuri/photos/a.454736727904699/475211132523925/?type=3&_rdc=1&_rdr
@talisajoo3355
@talisajoo3355 2 жыл бұрын
Rip
@hemedytengu5718
@hemedytengu5718 4 жыл бұрын
Aliye muuwa karume naye alikufa na musijifanye hamumjui , chogo tu
@lirastanley390
@lirastanley390 3 жыл бұрын
Wanajaribu kupindisha ukweli wakat aliuawa na akajulikana vzur kbs wanatufanya sisi ni mazoba ila wajue tu ukweli halisi tunaufahamu tena kitambo sana hvyo imekula kwao labda wakawadanganye mataifa ya jiran tena kuzaz kipya maana cha zaman chote kinajua
@bableeyzabdalla531
@bableeyzabdalla531 3 жыл бұрын
@@lirastanley390 hakuna anaejuwa alizaliwa lini hao ndugu zake waliotajwa hapo ni uongo sikweli karume alikuja zanzibar akitokea mombasa na meli ni mnyasa hii stori niyauongo kwa kauli yake karume alisema zanzibar hana mtu isipokuwa mke na watoto wake hao wengine walitokea wapi hakuna hata kaburi lililooneshwa kuwa ni la bbke au mmke
@user-js5hh8tt4u
@user-js5hh8tt4u 4 ай бұрын
Naomba kuu liza kwni kuna alo zaliwa zanzi bar au sote niwaha miaji tu
@remistv94
@remistv94 11 күн бұрын
💔
@halidihemed1006
@halidihemed1006 4 жыл бұрын
Alie sababisha kifo chake na kashaa tanguria mbere ya haki
@hassanmirambo564
@hassanmirambo564 4 жыл бұрын
Halidi Hemed ni nani huyo?
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 3 жыл бұрын
Ilimlazimu kuuawa ili neno litimie.
@petermunanka3827
@petermunanka3827 2 жыл бұрын
Wewe muongo zamani darasa la 7 halikuwepo
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
La nne na la 8
@sayidabdillah8505
@sayidabdillah8505 3 жыл бұрын
Mm nataka niwaambie watanganyika au watanzania bara kwanza kabisa acheni kujipendekeza kwa wazanzibar,mbona ss hatuna shobo na nyinyi,pili km munataka kuandika makala ya viongozi wa Zanzibar na historian ya nchi basi anzeni kuandika historia ya nchi yenu ya Tanganyika na Kiongozi wenu km munashahu nyinyi mjnapensda kujipndekeza kwetu ss Kiongozi karume mungu amrehemu ameshatueleza kuwa Zanzibar itaongozwa na wa Zanzibar wenyewe na s vyenginevyo na haitoongozwa na watu kutoka kwenu Andikeni historian ya kwenu Tanganyika inawashinda mutawezaje kuandika ya Zanzibar ambayo tayar ni ambyo imewatangulia kwa mda mrefu sana
@gracekikula6279
@gracekikula6279 3 жыл бұрын
Hovyoooo
@pendooscar9322
@pendooscar9322 3 жыл бұрын
Haha yani ndomana warabu wanakula bata nyie mnatoa vyombo arafu Zanzibar ndio nini kwamfano huyo abed mlimuuwa nyie wenyewe yaani ata nyerere hausiki natena ipo siku tutavunja muungano atakae shinda vita ndio atakua mtawala loho mbaya mwajidayi mumeshika dini wakat mnafilana mumeambukiza paka tanganyika tuliokua hatuna mambo hayo nyooo
@eliaslazaro2809
@eliaslazaro2809 2 жыл бұрын
Mmekalia kuvaa misuri kilaktu kwenu niuvivu tu mmeishia kupangusa miguu ya waarabu tu.Inakuuma nn kuungana?
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
Nyinyi bado hamjawa na akili ya kujiongoza wajinga ninyi lazima tuwaendeshe kama ng'ombe bila hivyo mtatawaliwa tena na waarabu. Maana hampendi kujituma katika kazi zaid ya uvuvi wa samaki na kufirana2 mbwa nyie mtafanya mungu aichome tanganyika kama sodoma kwa ajili yenu
@nurumvungi2210
@nurumvungi2210 2 жыл бұрын
Acha hasira...jipangeni upya muikomboe nchi yenu... maana kwa Sasa ni mkoa tu wa Tanganyika huo.. Sioni njia ya nyie kujikomboa maana hamna jeshi, hamna polisi,hamna benki kuu,hamna sarafu...Sasa hiyo ni nchi au mkoa tu?
@tecnof1232
@tecnof1232 4 жыл бұрын
Msitubabaishe, Karume hakuzaliwa Zanzibar
@mohamedmaulid3187
@mohamedmaulid3187 4 жыл бұрын
He una maajabu wewe
@joojombi2341
@joojombi2341 2 жыл бұрын
Story yako ya uongo dogo njoo Unguja tukujuze kabla kutoa habari potoshi dogo
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 2 жыл бұрын
Anaepinga histaria hii na kuchukia huyo sio mzanzibari na tunahasira nae sisi wazanzibari
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 3 ай бұрын
itakua john okero naliamua kulipiza kisasi nini
@jarsjam8894
@jarsjam8894 2 жыл бұрын
Karume alikuwa mkulima na mawaziri wakwezi
@saidaly8201
@saidaly8201 2 жыл бұрын
Mbona husemi uhuru wa zanzbr mana mpnduz yamefnyka bada uhur
@khadijavassardanis3178
@khadijavassardanis3178 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol 4 ай бұрын
Hato iona hata haruf ya pepo
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 2 ай бұрын
Nahisi huyu wanamsifia tu lkn ukifatilia alikua mtu mbaya
@abdullayahya8717
@abdullayahya8717 3 жыл бұрын
Du!! Kumbe Fatma Aka Shangazi kafanana na bibi yake 100%
@jojininga1780
@jojininga1780 3 жыл бұрын
Walimuuwa kalume niwatu wasiojulikana
@saadnahoda707
@saadnahoda707 4 жыл бұрын
Allah amsamehe makosa yake na amlaze mahali pema peponi
@abdhihariabdhallah760
@abdhihariabdhallah760 4 жыл бұрын
Allha amlipe makosa yake kama vile alivouwa watu ambao hawana makosa yoyote
@abdallahjuma8168
@abdallahjuma8168 4 жыл бұрын
@@abdhihariabdhallah760 ndio pahala pake ndio hukumu yake ukiua na ww utauliwa 2 kwa njia yoyote hle
@hassanmirambo564
@hassanmirambo564 4 жыл бұрын
Abdhihari Abdhallah unaushahidi wowote? au unaropoka tu
@abdhihariabdhallah760
@abdhihariabdhallah760 4 жыл бұрын
Ushahidi wa mini mirambo
@hassanmirambo564
@hassanmirambo564 4 жыл бұрын
Abdhihari Abdhallah ushahidi wa kuwa aliuwa la kwanza,tumefundishwa kuwa tusiwe wenye kuongea mabaya ya marehemu wetu,swali ulishawahi kuwasikia Wakristu wakiongelea mabaya ya Mwl Julias Kambarage Nyerere?
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 2 жыл бұрын
ZANZIBAR sio zanzibari usiliharbu jina letu
@ahmedrashid2037
@ahmedrashid2037 2 жыл бұрын
Wacheni upotoshaji nyie kenge hakuna asie jua kwamba karume hakuzaliwa Unguja ni mzaliwa wa Malawi ni wa kuja kuuwa watu na kuchukuwa Zanzibar akushiriyana na nyerere pamoja na watanganyika hamuwezi kutupotosha tunajuwa kila kitu.
@nassorhabdalla1734
@nassorhabdalla1734 3 жыл бұрын
Nenda kasome vitabu kabla makala. Ktk makala yako Kuna Mambo sio sahihi. Chama cha ASP hakikutoka na chama cha mabaharia. Kilitokana na muungano wa African Association na Shirazzy Association. Afro ( African) Shirazzy ( Shirazzy) party
@siasapolitiks5624
@siasapolitiks5624 Жыл бұрын
Because History is written by the winners videio depicts a false verse History of Zanzibar's revolution by omitting he truth that Field Marshall John Gideon Okello of Uganda was real force behind of Zanzibar's revolution. But when Karume took power to be President, he expelled John Gedion Okelo from Zanzibar maybe to Glorify himself as the architect of the revolution.
@issahajiday4398
@issahajiday4398 4 жыл бұрын
Kiswahili chogo hukijui ....nenda kafatilie history ya wenzako sio kwetu .
@barakashilumba1103
@barakashilumba1103 4 жыл бұрын
Hakika mema yake yanakumbukwa.milele namilele zote ni hila za watu weupe
@jumakhalid5554
@jumakhalid5554 2 жыл бұрын
Waongo
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 2 жыл бұрын
ALAFU HAYO YOTE ALIPOTELEA WAPI MELI ZILIZOFIKA BANDARINI
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 2 жыл бұрын
NIKISKIA ZANZIBAR NAONA NIPITE TU
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 3 жыл бұрын
Ukisoma comments utagundua wapemba ndio waliopanga kuuawa Jemadari Karume.Wapemba wanaamini Karume sio mzawa wa Zanzibar ila ni Mmalawi.Ndio maana wanachuki na Mapinduzi matukufu.
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 2 жыл бұрын
Unauweleo mkubwa wa kujua nani Mpemba nani MuUnguja kwa kusoma hoja. Kama huijui historia ya Zanzibar bora usichangia maana naona hapa unataka kuzidi kuwachafua WaZanzibari kwa kuleta "Upemba na Uunguja"
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 2 жыл бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 Wewe muOman
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 2 жыл бұрын
@@uledimtumwa2406 sijakuuliza wewe kwenu wapi.Ardhi ya Allah ni kwa ajili yetu sote.
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 2 жыл бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 Zanzibar ni ya Wazanzibar Wanyamwezi hatuna fursa.
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 2 жыл бұрын
@@uledimtumwa2406 Wanyamwezi nao pia wako miongoni mwa WaZanzibari toka enzi
@amraniramadhani7412
@amraniramadhani7412 3 жыл бұрын
Acha uongo , rais wa kwanza wa za zibar
@ahmeidyoung2410
@ahmeidyoung2410 4 жыл бұрын
Dah
@davidmwita3008
@davidmwita3008 2 жыл бұрын
Miaka mitatu madarasa Saba
@fugameza6011
@fugameza6011 4 жыл бұрын
Sasa wewe undhani ukifuga kuku utapata kenge kashandikiza mauwaji halafu vipi
@user-pf9cd6zj1g
@user-pf9cd6zj1g 4 жыл бұрын
Wewe unae sema stori ya kurume huijui mulize mzazibari atakueleza stori ya karume wewe ni mtanganyika hujui chochote yote unayo sema niya uwongo au unapalilia kitumbua chako
@aishayusufu2082
@aishayusufu2082 4 жыл бұрын
Said Albusaidi unaliwa
@shamtesaid1377
@shamtesaid1377 3 жыл бұрын
Nyinyi nyote wazee wenu wakuja tu msohaya
@mufamozmufash166
@mufamozmufash166 3 жыл бұрын
Very bad R.I.P champ
@lordnicky
@lordnicky 4 жыл бұрын
John okello
@mosesmzakwe7774
@mosesmzakwe7774 4 жыл бұрын
Waafrika wengi akili zenu huwa IPO matakoni kwasabsbu huwa hamtaki kuukubali ukweli Mnasena karume alizaliwa Malawi.acheni uongo Karume alizaliwa Zanzibar ila asili yake ilikuwa nchi ya Malawi na Malawi hakukuwa kwao kwani Malawi alipita njia tu akitokea nchi ya Botswana. Mbona nyerere asili yake in Ethiopia lakini hamjawahi kusema. Viongozi wengi wa kiafrika wanaongoza nchi ambazo siyo asili yao japo wamezaliwa humo. Hata Obama asili yake siyo Kenya kama tunavyodanganywa Obama asili yake in nchi ya Ghana. Kenya walipitia tu enzi za utumwaaa ndiyooo maana wanasema Kenya ndiyo nchi ya Obama
@fugameza6011
@fugameza6011 4 жыл бұрын
@@mosesmzakwe7774 ebo wewe una matope nini wa Zanzibar wanajuwana hata kwa bahati mbaya wee vipi
@hassanmirambo564
@hassanmirambo564 4 жыл бұрын
Moses mzakwe kwahiyo nawazazi wako akili zao zipo matakoni,wape pole wazazi wako kwa kuzaa mtoto habithi kama wewe
@nurdinmihumbi6487
@nurdinmihumbi6487 4 жыл бұрын
Hata asiyesoma anajua kama wazanzbar wametoka bara haya wayafanyayo ni kukosa uelevu
@fugameza6011
@fugameza6011 4 жыл бұрын
@@nurdinmihumbi6487 wee usha wahi auu tukuulize suwala gani uridhike usije ukasema umetukanwa
@amraniramadhani7412
@amraniramadhani7412 3 жыл бұрын
Acha uongo rais wa kwanza wa za nzibar, alikuwa ni Mohamed shamte,ndie alieshinda Kwa kura,alimshinda abeid,
@philbertcelestin2702
@philbertcelestin2702 3 жыл бұрын
Mohamed Shamte alikuwa waziri mkuu(Kiongozi mkuu wa serikali)mkuu wa nchi alikuwa Sultan Jamshid Hadi napinduzi ya Jan .12 1964 ndipo Karume akawa Rais.Kwa hiyo Karume ni Rais wa Kwanza wa Zanzibar lakini ni mkuu wa pili wa serikali ya Zanzibar.
@himidomarhimid7759
@himidomarhimid7759 4 жыл бұрын
safi kwa makala
@tecnof1232
@tecnof1232 4 жыл бұрын
Hapana lolote, historia feki, Karume ni Mmalawi au Congo
@mustafapandu5189
@mustafapandu5189 2 жыл бұрын
hujaeleza kweli bado.False history
@princenyakurungwi6925
@princenyakurungwi6925 3 жыл бұрын
Pongwe mwera ni wila ya kati acha uongo wewe
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 3 жыл бұрын
Pongwe iko tanga
@suleimanbakar3429
@suleimanbakar3429 3 жыл бұрын
Pimbavu
@allyhemed2434
@allyhemed2434 2 жыл бұрын
Mtangazaji sio Zanzibari ni Zanzibar nenda shule kwanza
@livinusmugisha5469
@livinusmugisha5469 2 жыл бұрын
Tofautisha kati ya kiswahili na kiingereza
@dkt.mohammedsaid8337
@dkt.mohammedsaid8337 3 жыл бұрын
Waongo : hamjafanya utafiti . Mmekurupuka . Zanzibar hakuna Kijiji Cha pongwe.
@sharifjuma227
@sharifjuma227 2 жыл бұрын
Hahaha kipo kaka usikatae hahaha
@ahmeidyoung2410
@ahmeidyoung2410 4 жыл бұрын
Mtuwa simulizi kiswahili kinakupa shida sana...
@hadijarajabu5312
@hadijarajabu5312 3 жыл бұрын
Sasa yeye na wewe Nani hajui kiswahili ?
@kassimkhatib1843
@kassimkhatib1843 3 жыл бұрын
Tokablini uledi akawa mzanzibari usituingilie ktk mambo ya nchi yetu
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 7 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 25 МЛН
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 36 МЛН
SIRI YA MAKONDA NA UONGOZI WAKE ARUSHA, SABABU YA WATU KUMTAKA
12:38
MKE WA ABEID AMANI KARUME AELEZEA KIFO CHA MUME WAKE KILIVYOTOKEA
7:42
Mwananchi Digital
Рет қаралды 2,8 М.
EXCLUSIVE: AMANI KARUME ATEMA CHECHE, AFUNGUKA SAKATA LA BANDARI
25:11
Daily News Digital
Рет қаралды 62 М.
Hotuba ya MWALIMU Nyerere iliyosisimua zaidi ilivyo mtabiri Rais JPM
14:08
BINGO ONLINE TZ
Рет қаралды 1,1 МЛН
UKWELI WA HISTORIA YA ZANZIBAR NA MWANDISHI WA MZEE KARUME
34:57
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 10 М.
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН