No video

Kauli ya Nassor Mazrui kuhusu ACT kuingia SUK

  Рет қаралды 27,591

Weyani Tv

Weyani Tv

Күн бұрын

Mmoja wa wahanga wakubwa wa maovu yaliyofanywa kwenye uchaguzi wa Oktoba 2020, Nassor Mazrui, ametowa kauli hii baada ya uamuzi wa chama chake kukubali kujiunga kwenye serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar.

Пікірлер: 105
@aybkham5795
@aybkham5795 3 жыл бұрын
Nadhani mtakuwa mmetafakari sana hivo maamuzi yenu ya kuingia, siyapingi kwa mana mtakuwa na uwezo wa kusemea japo jambo moja au zaid mkiwemo ndani, ombi langu na Wazanzibar wengi mashekh pia iwe sababu ya kuingia kwenu muwasemee watolewe sasa nao wanahitaji kuwa na familia na wake zao... Je kama ni wao! Hilo tu... Asanteni kwa kunisikiliza
@suleimanseif3290
@suleimanseif3290 3 жыл бұрын
Yani mara hii sikupiga kura lakini kwa uamuzi waliouchukuwa act nimefurahi sana na tukijaliwa uchaguzi unaokuja nitapiga kura kuichaguwa act naamini tutakuwa na tume ya pamoja Asante maalim Asante act
@yunusabdulrahma6700
@yunusabdulrahma6700 3 жыл бұрын
Kutengeneza kt gn wkt mashekhe wetu mpk leo wamo ndani
@nailamohd7693
@nailamohd7693 3 жыл бұрын
Kwani kawaweka yy ndani hao mashekhe au wamewaweka wao act wambie viongozi walowaweka wawatoe au makosa yao kuwasemea hao mashekhe
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/acB9dteQ27XLeok.html
@SalmanKhan-eb7pt
@SalmanKhan-eb7pt 3 жыл бұрын
Mashekhe wapo Unguja kwa sasa..... soon tutakuwanao pamoja inshaallah.
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 3 жыл бұрын
Angaliakzfaq.info/get/bejne/acB9dteQ27XLeok.html
@jstarmusic_tz
@jstarmusic_tz 3 жыл бұрын
Yani Wanasiasa msha Tuona wana nchi Kama mafara naapa sito kaa nikapiga kura mpaka Nakufa
@ammaryassir8662
@ammaryassir8662 3 жыл бұрын
Hamkufanya maamuzi kwa maslahi ya watu
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Huo ndio ukweli, na unapaswa kutambua kuwa hawako kwa maslahi ya watu!
@bintsalimalbimany5340
@bintsalimalbimany5340 3 жыл бұрын
Mim nimeshaichukia hii ACT yote yaliyotokea baadae wakaungane nao mhh Ama kwel Siasa ni kama mchezo Subhanallah Allah atuongoze Waja wake🙄🙄
@sameramwajdu9029
@sameramwajdu9029 3 жыл бұрын
Kama hawajajiunga zanzibar itabaki ccm tuu watatuburuza wanavotaka
@swafiyyasuleyman3924
@swafiyyasuleyman3924 3 жыл бұрын
Hpo sasa hogera my
@saeedabunajash6235
@saeedabunajash6235 3 жыл бұрын
@@sameramwajdu9029 hata wakiingia pia hawana la kwenda kulifanya, majorities ya wawakilishi wa ccm waweze kushindwa na wawakilishi wao watatu. Kuingia ni kwa ajili ya maslahi yao binafsi na chama Chao, kutoingia ndio msimamo sahihi kabisa. Dhwalim hawezi kukudhulumu ukamridhia, huwezi kujitetea basi mchukie
@jamesbantom7052
@jamesbantom7052 3 жыл бұрын
Huwajui hao waulizeni cuf
@bintsalimalbimany5340
@bintsalimalbimany5340 3 жыл бұрын
@@jamesbantom7052 Hao Cuf ndio wanafik Zaid
@reginas1832
@reginas1832 3 жыл бұрын
Ngoja nivute subira CHADEMA. ACT wazalendo wameshaunga juhudi. Njaa mbaya sana. Najiuluza Nelson Mandela angekuwa hivyo makaburu yangeendelea kutawala mpaka sasa
@beaugosseadam6831
@beaugosseadam6831 3 жыл бұрын
Ingieni SUK Nchi isonge mbele. Dai tume huru ya uchaguzi. Dai utawala bora na haki za binadamu. Lakini achaneni na fikra za kuvunja Muungano kwa madai eti mwataka Zanzibar yenye mamlaka kamili.
@nurukimwaga6654
@nurukimwaga6654 3 жыл бұрын
Nawapa ushauri chadema tengueni maamuzi yenu ya kuwafukuza wabunge wenu pokeenu ruzuku mkijenge chama chenu wakati wakushika Dola ukifika wtz wenyewe watajua lakufanya
@suleimanrashid58
@suleimanrashid58 3 жыл бұрын
Kwakweli silifurahii Hilo kwa yaliyopita .
@salehali4saleh19
@salehali4saleh19 3 жыл бұрын
Kama vijana hatutoamka kwa hili basi hatutaamka tena,watu wamepigwa,wameuliwa na wengine Wana kesi mahakamani wazee wanayajenga ikulu haya 2025 in sha Allah nendeni mkaanzishe vurugu tena kwa kufuata kauli za wanasiasa,naichukia siasa na nawachukia wanasiasa
@issaal-busaidi4479
@issaal-busaidi4479 3 жыл бұрын
bora kuingia na wacheni kutukana, maalim hana njaa wala wenzake wanachokiangalia maslahi ya wa Zanzibar, angalien mfano 2015 to 2020 walisusia nini kilichokua zaid ya kutawanyika kila kitu, ila nashkur kwa maamuzi magum waliochukua viongozi wetu ili kuijenga nchi na kuonyesha dunia, wako kujenga nchi na si kubomoa,
@allysalim2497
@allysalim2497 3 жыл бұрын
Nyie mulimuita Lipumba na CUF kuwa ni wanafiki kwa kuruhusu Wabunge wao kuingia Bungeni sasa Leo nyie tuwaite nani wapuuzi wakubwa nyie njaa zenu zitawatoa roho
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 3 жыл бұрын
Hhhhhhhhhhhh
@ramadhaniomary9241
@ramadhaniomary9241 3 жыл бұрын
Jamani suala la Zanzibar linahitaji busara na siyo jazba kubalini maamuzi ya viongozi wenu ili wapate muda wa kutafakari nini wafanye cha ajabu mmesahau hata historia ya mkataba wa Hudeibia mtume s, a, w alifanya mkataba ule huku moyo unamuuma Mwisho si mliona faida yake wazanzibar mmefika muda wa kuwa wamoja sasa kuliko wakati mwingine wowote
@khalidkhaan5688
@khalidkhaan5688 3 жыл бұрын
Naukubali sana uongozi wa act sababu ya kuingia ni kupunguza upigwaji wa wananchi kipindi cha uchaguzi.
@truthspeaker2062
@truthspeaker2062 3 жыл бұрын
Maneno mazitto sana
@hassanmohammed7811
@hassanmohammed7811 3 жыл бұрын
Sio Jambo baya kinachoangaliwa ni maendeleo ya pamoja ili kuweza kuangalia kwa pamoja wapi tunakosea ili kuweza kupata umoja wenye nguvu huku akifikiriwa zaidi Yule raia wa chini zaidi na mwisho wa siku kwa pamoja kuibuka na Zanzibar mpya (yajayo yanafurahisha)
@dullahshibuabdallah9490
@dullahshibuabdallah9490 3 жыл бұрын
Nyote mpo pamoja wauwaji nyinyi
@khalifa_wayy1979
@khalifa_wayy1979 3 жыл бұрын
Bora uingie japo kichwa maana kuwa nje kabisa hakutoweka utofauti
@aminayussuf1826
@aminayussuf1826 3 жыл бұрын
Bora niwe hivi hivi mie na siasa ni vitu tofauti
@marianamontoedi2333
@marianamontoedi2333 3 жыл бұрын
Ulizurura ulaya umefeli na sasa ni msaliti mkubwa
@biramsakh9212
@biramsakh9212 3 жыл бұрын
Mwapigania mitumbo yenu mukiwaulisha wanyonge mtihan wallah.
@godwinmasoud7180
@godwinmasoud7180 3 жыл бұрын
Kwa maana hiyo Maalim Seif Sharif Hamad na chama chake cha ACT Wazalendo wamekubaliana na matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba 2020? Maana kukubali kuteuliwa kuwa Makamo wa kwanza wa Raisi Zanzibar ni kukubali kwamba uchaguzi ulikuwa wa huru na haki. Maalim Seif alikuwa anaitafuta nafasi hiyo kwa udi na uvumba. Angalia sasa watu walikufa na kuteseka kwa ajili yake, wengine wamekimbia familia zao na kujificha hadi hivi leo. Wakati hayo yakiendelea yeye anaingia Ikulu wale waliojidai kwamba wana uchungu na chama wako wapi sasa. Siasa ni siasa tu, tuwaache wanasiasa wafanye siasa zao kwa wakati wao. Siasa ni maisha. Yajayo yanafurahisha sana.
@yunusabdulrahma6700
@yunusabdulrahma6700 3 жыл бұрын
Sasa kam munayajua ayo kwnn mulikua muhamasisha watu waingie barabaran kusudi ili watu wafe
@madinamandour5834
@madinamandour5834 3 жыл бұрын
Unafiq tu umewadhihirisha
@felisianmsilwa892
@felisianmsilwa892 3 жыл бұрын
Safi sana umesema kwer ndugu
@Oman-tt1hn
@Oman-tt1hn 3 жыл бұрын
Mm nataka mashekhe watoke kule waliko tanganyika musijitie pambani muka wasaha nduguzetu walio kuweko ndani kwa muda mrefu mukasubiri kipindi cha uchaguzi ndio mukafanya kampeni zenu kupitia wao
@hajisimaikhatibu443
@hajisimaikhatibu443 3 жыл бұрын
Msiba yani hawa viongozi watachomwa sana siku ya kiama kwa kuwadanganya watu
@christophersaimon4398
@christophersaimon4398 3 жыл бұрын
wanasiasa wana mambo ya kimarayamaraya
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 3 жыл бұрын
Mmewapigisha watu wengine wamekimbia nchi baadae mnaanza et iliyofanya haya serikali ya shein siasa unafik
@godisgreat1845
@godisgreat1845 3 жыл бұрын
Nilikuwa nakwambieni mie. Msiwafuate hawa wanakushawishini mkate muumie halafu wao kiulaini wanakaa meza moja kiko wapi
@nailamohd7693
@nailamohd7693 3 жыл бұрын
@@salma0000 bora ulivomjibu 😂 wanachekesha khasaa maandamano hamna alotoka ila viongozi ndio walokamatwa na kupigwa na hayo maandamano walidai wenyewe km wataandamana viongozi wakasema sisi tutayaongoza wapi kuna alietoka hahaha
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 3 жыл бұрын
Kwaiyo wewe ulitakaje
@godisgreat1845
@godisgreat1845 3 жыл бұрын
@@sudaissoud3670 wasidhulumu nafsi zao bila sababu maana mwisho wa siku wanabaki na ulemavu wenzao wanapita na ving'ora wao wanaendelea na ujenzi maskini wao
@fathiyajuma2352
@fathiyajuma2352 3 жыл бұрын
Mm sijapenda kiukweli
@fathiyajuma2352
@fathiyajuma2352 3 жыл бұрын
Yaani nyinyi wabaya
@khajumkhamis7910
@khajumkhamis7910 3 жыл бұрын
Wale wanaojivua uwanachama wa ACT napenda kuwakaribixha nyumbani CCM
@yunusjuma4340
@yunusjuma4340 3 жыл бұрын
bora muingie mulipotwambiya tuingie barabarani tulilala majumbani kwetu wala siwalaumu safi sana
@jamesbantom7052
@jamesbantom7052 3 жыл бұрын
Walimuza lipumba kwa lowasa hao ukumbuki
@mussaabdallah3596
@mussaabdallah3596 3 жыл бұрын
Ww hujui nn unacho kuongea zito katoa pesa zake nyingi ndoo anataka kuzirudisha so hao nilazima waingiii 2 na huyo zito hana uchungu na wa zanzibar mbn lipumba cuf ilipo goma hakupiga kelele km ingiiee Njiaaa kidume wamulize halima mdeeeee wapumbavu aoooooooh
@jamesbantom7052
@jamesbantom7052 3 жыл бұрын
@@salma0000 sio kweli walimuuza hawa we si unaona juzi mwengine kajifanya katekwa mwengine anakamatwa hasubui jioni kaachiwa na wengine bara wameandaa vijana wafanye fujo bara wamejipeleka bungeni mwengine yupo ulaya anakula bata kila siku anapiga kelele hakieleweki anacho ongea yaani mambo hovyo hovyo tu watu wanasota majela wengine wamekufa kwa sababu yao miezi mitatu bado si unajionea nini kinacho toka si bora lipumba anaongea aneleweka anaongea kitu gani
@jamesbantom7052
@jamesbantom7052 3 жыл бұрын
@@mussaabdallah3596 una ushahidi wowote unachokisema usilete makuzi broo
@jamesbantom7052
@jamesbantom7052 3 жыл бұрын
@@salma0000 maana yangu lipumba ndio mpinzani wa kweli wengine hao wanatumwa na ccm
@ramadhankhamis1363
@ramadhankhamis1363 3 жыл бұрын
Wanasiasa ni sawa na bilisi...hata umuone mwana siasa anaingizwa kaburini kwa sababu ashakufa...usimuamini...yumkini anaigiza kufa tu huyo
@allysalum9795
@allysalum9795 3 жыл бұрын
Bora muingie kweli kbx
@maajidabinass330
@maajidabinass330 3 жыл бұрын
ACT waza malengo
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 3 жыл бұрын
Nyie mliochukia mbona mulipoambiwa muingie barabarani hamujaingia waliingia waenyewe maalim na mazrui na wenziwao
@gojvon116
@gojvon116 3 жыл бұрын
ndugu yetu sk.Nasser naona bure tu unapoteza wakati wako,na unajitia katika mashakil na kujiumiza na kutupa aila yako haya mambo kwa wewe naona kama hayana faida na wewe na unajitesa bure hii nchi wenyewe wameshaitupa zamaaani na mwenye akili anaweza akafahamu jee utakuja kuigomboa wewe ???? bora hata urudi nyumbani pujini ukajishughulishe na maisha yako na watoto wako
@khatibabass3106
@khatibabass3106 3 жыл бұрын
Kumbe kwao ni pujini huyu?
@naytharykhanny8499
@naytharykhanny8499 3 жыл бұрын
Tutaona mengi saidi ya haya.lakni Mungu mi muweza.mlichfanya sio feya Ola basi tuuuu
@immudimax6076
@immudimax6076 3 жыл бұрын
1st
@amanijosiah5205
@amanijosiah5205 3 жыл бұрын
Mmeshapoteza mwelekeo hamtapa milele uongozi enyi wapinzani
@halimomar1617
@halimomar1617 3 жыл бұрын
Nishawachukua sasa hawa
@issaal-busaidi4479
@issaal-busaidi4479 3 жыл бұрын
wao waliingia bara barani hawakujal kuteswa wala kuuliwa kwa7bu ya nchi, mbon wananchi tulijifungia ndan kujal roho zetu
@omarsaid6784
@omarsaid6784 3 жыл бұрын
upo sahihi sana watu wamejaa kasumba
@jamesbantom7052
@jamesbantom7052 3 жыл бұрын
Hakuna alie jificha hawaaminiki haoo vigeugeu leo wanasema hivi kesho vile hovyo tuuuu
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/acB9dteQ27XLeok.html
@swafiyyasuleyman3924
@swafiyyasuleyman3924 3 жыл бұрын
Si kw vilema na uzalili ulio fnywa loo
@fathiyajuma2352
@fathiyajuma2352 3 жыл бұрын
Kwa hiyo mmekubal kwa haya yote yliyotokea so ya kweli ee
@amadeselemane261
@amadeselemane261 3 жыл бұрын
Apo kwa ujumla mujitahid mashekhe na uonevu wote umalize
@suleymanially974
@suleymanially974 3 жыл бұрын
Uluwa mtamu sanaa
@samsonhaule5422
@samsonhaule5422 3 жыл бұрын
Wapemba Kama Nyumbu, hawa kawii kusahau, ila Wana mikwara.
@maulidabui1927
@maulidabui1927 3 жыл бұрын
Tengua kauli yako mbwa ww
@amadeselemane261
@amadeselemane261 3 жыл бұрын
Na ajira za znzbr ziendelee kuwepo
@marezbytreaty3472
@marezbytreaty3472 3 жыл бұрын
Ndo walewalee
@jstarmusic_tz
@jstarmusic_tz 3 жыл бұрын
Msha pewa pesa
@margarethorgenes4874
@margarethorgenes4874 3 жыл бұрын
POA Sana
@BigBoss-jk6fk
@BigBoss-jk6fk 3 жыл бұрын
Mazombi nyie tamaa ya 10ml munatutesa na kuwauwa wazee wetu na vijana wetu
@vikitu4793
@vikitu4793 3 жыл бұрын
Mlijazwa fitna mkajipeleka wenyewe bila kufikiri. Mwanakulitafuta, mwana kulipata
@aishasaid6749
@aishasaid6749 3 жыл бұрын
Watu washakufa washaumizwa hatuwaamini tena na leo wanachama wengi wamekasirika na kujivua uanachama tunawaachia Chama chenu kam chama ni bendera sawa
@aishaalamry5856
@aishaalamry5856 3 жыл бұрын
Unaona eeeee. Wanaadamu hawana kheri. Na wala hawajielewi.
@user412
@user412 3 жыл бұрын
Wamefanya maamuzi kwa maslahi ya taifa na wananchiiii. kwani maamuzi yalifanywa ni ya kiungwana kabisa
@allysalim2497
@allysalim2497 3 жыл бұрын
Maslahi gani nyie ubinafsi tu umewatawala
@allysalim2497
@allysalim2497 3 жыл бұрын
Nyinyi tatizo lenu ni kumfanya mtu mmoja ndie mwenye maamuzi na mwenye uwezo wa kumfanya Mambo yote
@allysalim2497
@allysalim2497 3 жыл бұрын
Ktk Chama Cha ACT hakuna mwengine zaidi ya Maalim sasa tunaanza kuamini kwamba yy anataka ukubwa kila siku wacha aende akasumbuliwe na wajukuu zake
@aishaalamry5856
@aishaalamry5856 3 жыл бұрын
Hivi alipowachiwa huru baada ya siku 19 ya mateso aliyokuwa anayapata baada ya uchaguzi kuna mtu yeyote anae comment hapa alikuja kumuona. Kama ulikuja, ulimuona hali yake. Hali ya Jussa jee mume iona. Hivi mateso na maumivu waliokuwa nayo bado hamjaelewa kwanini wamekubali serikali ya umoja wa kitaifa. Yaani wao walioteswa wamekuwa wabaya na ww ulokaa nyumbani ndo mzuri. Hakuna njia nyengine ila wakubali ili nchi yetu ibadilike. Kama si hivo tutapigwa na kuuliwa kila uchaguzi mpka imani zetu zitakufa. Jamani fikirini kabla kusema.
@aishaalamry5856
@aishaalamry5856 3 жыл бұрын
Yaani sie tumekalia kulaumu tuu. Vyovyote vile tulaumu. Mtu kateswa kafika kukata tamaa kama ataona familia yake leo kusamehe yote kwasababu ya nchi yake munamsema. Hivi tunataka nini tena wa Zanzibari.
@nassoursaleh3144
@nassoursaleh3144 3 жыл бұрын
kweli hayo
@rahiyaussi3816
@rahiyaussi3816 3 жыл бұрын
Tuwache
@salwasuleiman3525
@salwasuleiman3525 3 жыл бұрын
Langu jicho
@jamesbantom7052
@jamesbantom7052 3 жыл бұрын
Huyo alijificha aka jifanya katekwa
@mzuvendi
@mzuvendi 3 жыл бұрын
Wewe huna tofauti na kenge!
@jamesbantom7052
@jamesbantom7052 3 жыл бұрын
@@mzuvendi wanasiasa huwajui dogo usipaniki kama kigoli kaona mashine kilicho wafanya wasikubali mapema nini hadi watu wanapata maafa amka boya wewe mi nishaoa
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 3 жыл бұрын
Kweli mjomba .matapeli ndio walivyo
@saidabdala4980
@saidabdala4980 3 жыл бұрын
Mmmm ndio maana hawawataki kuwatowa UWAMSHO. Wale ndio wasema KWELI.. kuna nini ZANZIBAR 5o miaka naona majumba yanajaaa mapicha ..lakini usishangae. Shekh kuapa kwa kiapo cha yesu.. ustadh ILUNGA kapungu. ALISEMA..
@majidhaji8112
@majidhaji8112 3 жыл бұрын
Umeonaee wale ndio walikua wapambnaji ja wale ndio walikua walio wafumbua watu macho wallah
@mussamohdameri5007
@mussamohdameri5007 3 жыл бұрын
Nyinyi mmefanya Mambo ya kipumbavu sana
@mohamedmotte1519
@mohamedmotte1519 3 жыл бұрын
Uwamuzi sahihi kwa maslahi na maendeleo ya wazanzibar.tusikejeli kama huna cha kusema bora unyamaze tu.
@karimomar8640
@karimomar8640 3 жыл бұрын
@@mohamedmotte1519 wanafik
DKT. MWINYI AFANYA UAMUZI MZITO KWA CHAMA CHA ACT WAZALENDO
7:01
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 27 МЛН
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 19 МЛН
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 21 МЛН
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 17 МЛН
Jussa arejea Zanzibar, apokewa kwa dufu na haluwa
21:10
Weyani Tv
Рет қаралды 101 М.
Othman Masoud aelezea kilichomtowa bungeni
8:04
Weyani Tv
Рет қаралды 24 М.
Sitetereki wala siyumbi - Mazrui awapasha wenye mashaka naye
14:14
Zanzibar Kamili TV
Рет қаралды 8 М.
Mazrui aachiliwa huru
3:10
Weyani Tv
Рет қаралды 34 М.
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 27 МЛН