KAZI YA BANK NI KAZI YA KIKE, MAISHA NI TAREHE SI STAREHE , SIASA HAIELEWEKI KAMA MWANAMKE - ELIE VD

  Рет қаралды 75,300

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

4 ай бұрын

KAZI YA BANK NI KAZI YA KIKE, MAISHA NI TAREHE SI STAREHE , SIASA HAIELEWEKI KAMA MWANAMKE - ELIE VD

Пікірлер: 149
@sportsnewjs4330
@sportsnewjs4330 4 ай бұрын
Huyu mheshimiwa anagawa Madini ✨️bure kabisa bila malipo yeyote 👏👏👏MUNGU ambariki zaidi
@robinsongodwin9710
@robinsongodwin9710 4 ай бұрын
Tanzanian people Tumshukuru Mungu kwa kuwa na dr ellie ❤
@DEBORAHMASANJA-yz3go
@DEBORAHMASANJA-yz3go 4 ай бұрын
Asante sana Mwl Mungu akubariki umeni fungua sehemu kubwa
@hamidafundi-pw1gw
@hamidafundi-pw1gw 4 ай бұрын
Mwanamke ni mbeba maisha kwa ujumla wake. Ni chanzo cha vyote. Ni sawa na ardhi inabeba vyote katka dunia hii.Mwanamke ni tegemeo kubeba maisha ya sayari hii.Mwanamke aweze kuwa tayari kubeba kama ardhi. Mwanamke usikumbatie watoto wako,utapoteza uimara wako .Mwanamke Acha kuwa tegemezi,jiamini .Nimejifunza, pongezi Dr Ellie.🎉
@josamwilliam4105
@josamwilliam4105 4 ай бұрын
Uko vzr
@user-em1bu1es4p
@user-em1bu1es4p 4 ай бұрын
Amina kubwa pasta,nimekusikiliza toka huko Congo.
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 4 ай бұрын
Dr Elie you are very right ❤
@nwntz
@nwntz 4 ай бұрын
Mzee anatoaga madino heavy, namkubali sana prof Elly✊✊✊✊
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 4 ай бұрын
Changamoto watu wenye uwezo mkubwa kama Dr Elie VD wanatumika Vyuoni tu ila wangetumika mtaani kwa Vijana ambao ni Wapambanaji Nchi ingebadilika maana huko Chuoni wasomi wana mawazo ya kuajiriwa pekee
@piusdeo9380
@piusdeo9380 4 ай бұрын
Nakubali sana ndugu
@moriskalegeleshusha2619
@moriskalegeleshusha2619 4 ай бұрын
Umetisha mkuu
@chechem.wambura8172
@chechem.wambura8172 4 ай бұрын
​@@piusdeo9380ona ambao hamjasoma mnavyoshadadia. Acheni wivu na chuki kuwasema vibaya wasomi kisa nyie hamkusoma. Nani kawaambia Kila aliesoma anawaza kuajiriwa?, na kwani akiajiriwa Kuna shida Gani? Mbona wapo watu kibao walioajiriwa Wana maisha mazuri kuliko ambao hawajasoma. Kufanikiwa kimaisha haijarishi umeajiriwa au hujaajiriwa ,umesoma au hujasoma.,
@furahakalombe2011
@furahakalombe2011 4 ай бұрын
Anatumika sana mtaani ila ni kwamba hatufahamu tu mtaa gani. Maeneo mengi anaalikwa kutoa elimu
@moriskalegeleshusha2619
@moriskalegeleshusha2619 4 ай бұрын
Ni vzr tuwe tunapata matangazo
@user-wi4kw6ug6e
@user-wi4kw6ug6e 4 ай бұрын
God help me be that woman🙏 nimejifunzaaa mnooo
@MarianaCapson
@MarianaCapson 3 ай бұрын
Sooo powerful ❤
@UpendoEliasSokota
@UpendoEliasSokota 2 ай бұрын
Dr umetisha
@petermgaya9693
@petermgaya9693 4 ай бұрын
Very complex speech
@rahellubandila1928
@rahellubandila1928 4 ай бұрын
barikiwa sana
@charlesmakelele4268
@charlesmakelele4268 4 ай бұрын
Anaitwa Dr ELIE.
@user-hj8sr3ds2m
@user-hj8sr3ds2m 2 ай бұрын
You are absolutely correct 👏
@LusiaJohn-mv4xd
@LusiaJohn-mv4xd 4 ай бұрын
asante doct
@johnchuwa1646
@johnchuwa1646 4 ай бұрын
si rahisi kumwelewa Dr Ellie kama namna yako ya kufikiri imefungwa na elimu,dini n.k
@eliazewanga3543
@eliazewanga3543 3 ай бұрын
The best philosopher local wise
@MillardMushi-ce2bu
@MillardMushi-ce2bu 4 ай бұрын
Dr elie nakuomba uje uwe mwalimu wa vijana wangu wana penda ngono kuliko kula
@user-wh9zj7kf7h
@user-wh9zj7kf7h 4 ай бұрын
😂😂 nimecheka kwa saut
@barakabusima
@barakabusima 4 ай бұрын
😂😂 ...jamani Dunia inamambo
@gordiansoko9113
@gordiansoko9113 4 ай бұрын
Duu hii kali kuliko maelezo😂😂
@judyngowi391
@judyngowi391 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Mussasylivester05
@Mussasylivester05 4 ай бұрын
😂😂
@leonardmadelemo3043
@leonardmadelemo3043 4 ай бұрын
Elie vd nouma sana
@user-gd3xl1qh8t
@user-gd3xl1qh8t 4 ай бұрын
Dr elly nakuelewa sana,ila hii salam shikamoo wakina mama halaf wakina baba habar ya saa iz nifafanulie hapo.
@ngaribaonlinetv
@ngaribaonlinetv 4 ай бұрын
Fact
@henrymkuye6669
@henrymkuye6669 4 ай бұрын
Dr is the best
@mwakalingaabas981
@mwakalingaabas981 4 ай бұрын
Jamaa lina akili sana hili dr elly waminian
@user-ss5xy7lb7k
@user-ss5xy7lb7k 4 ай бұрын
Usipo kuwa logical huwez kumuelewaa
@mwakilamwaki1718
@mwakilamwaki1718 3 ай бұрын
Doctor Janabi na uyo sawa to
@ellynikotv7178
@ellynikotv7178 4 ай бұрын
Much respect though
@rizikiesromu1418
@rizikiesromu1418 4 ай бұрын
Niambie akili sahihi ni ipi?je ni ile ya kufundishwa na mungu au mwanadamu? Acheni dharau Mungu hips apendye.
@user-ox1tt3on3i
@user-ox1tt3on3i 4 ай бұрын
Safi kabisa
@user-hp1jo4xc9o
@user-hp1jo4xc9o 4 ай бұрын
Bila kuwa na D mbili huwez kuelewa 😂😂😂
@saidmlemeta8083
@saidmlemeta8083 4 ай бұрын
Huyu jamaaa anakili nyingi sana alikuja kwetu hapa GGM geita gold mine yuko vzr mno
@wilibarddorotheaelias8410
@wilibarddorotheaelias8410 4 ай бұрын
Oi niaje kaka
@msomaprince2644
@msomaprince2644 4 ай бұрын
Nimemuona Tima😂😂
@hgmtz8997
@hgmtz8997 4 ай бұрын
Hata akili ya mtoto hutokana na akili ya mama
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 4 ай бұрын
AKILI KUBWA❤
@rosehaule6765
@rosehaule6765 4 ай бұрын
Mhhh acha zako
@mosesmnyantope9534
@mosesmnyantope9534 4 ай бұрын
Duh
@sontrillthereal8186
@sontrillthereal8186 4 ай бұрын
Ana madini sana ila ukiwa shabiki wa simba huwezi elewa
@madreks253
@madreks253 4 ай бұрын
Well said Dr! ❤
@saidmlemeta8083
@saidmlemeta8083 4 ай бұрын
Hlw
@saidmlemeta8083
@saidmlemeta8083 4 ай бұрын
Hlw
@majidfrolian4904
@majidfrolian4904 4 ай бұрын
Balaa huyu jamaa 😊
@mwakilamwaki1718
@mwakilamwaki1718 3 ай бұрын
Uyu na Hamonaizi sawa
@HassanHassan-sn5cj
@HassanHassan-sn5cj 3 ай бұрын
Umeonaeeee!!! Anatumiwa na utawala wa Ant crist au Masihiddajaal hata bila yeye kujua!!
@Nzumbi0
@Nzumbi0 3 ай бұрын
De elie daah! Ana madini kichwani aise ya unaambiwa ni mara mbili kwa upande wangu
@elishaussiri345
@elishaussiri345 4 ай бұрын
Hapo kwenye kwanzia umemkosea Mungu
@ellymzera2457
@ellymzera2457 3 ай бұрын
Agreed. .🇰🇪
@georgesamwelchacha7680
@georgesamwelchacha7680 4 ай бұрын
Ukisema utoe Zawadi kwa Mwanamke ambae amekuja bila kupaka Wanja au Madikodiko hapo hayupo😂😂😂
@athumanhassani805
@athumanhassani805 4 ай бұрын
Wewe muo😢
@user-wq2fh5rx4s
@user-wq2fh5rx4s 4 ай бұрын
Huyu Dr anafaa kutembea kwenye furusa ni represement ya ruge anamadin hatar
@elyudsaleh6044
@elyudsaleh6044 4 ай бұрын
Jamaa kafanikiwa kukufurisha imani zote na amesepa na kijiji
@jamesraphaelmdima4729
@jamesraphaelmdima4729 4 ай бұрын
Tafuteni maarifa kwa mwenyezi Mungu na wala si kwa wanadamu!
@bongomastory791
@bongomastory791 4 ай бұрын
@@jamesraphaelmdima4729 Mungu pia anatumia wanadamu kufikisha maarifa
@nelsonmgaya1490
@nelsonmgaya1490 4 ай бұрын
Uchawa ni m baya sana!!!
@ColinMhema-ne3lz
@ColinMhema-ne3lz 4 ай бұрын
Huyu mtu ana akili nyingi sana na kumuelewa lazima na wewe uwe na akili
@ontarget7949
@ontarget7949 4 ай бұрын
Dr Elie huna baya
@user-ks7bs8yk3p
@user-ks7bs8yk3p 4 ай бұрын
Weka tuweke ila sio kwa kuwekwa wake kuwa wanaume tufahamu mungu ni mkuu na ukuu wake utadumu milele ukiupuuza kesho yako itakuwa mbaya sana
@trophywilson7211
@trophywilson7211 4 ай бұрын
siyo mungu sema MUNGU
@godfreymgaya1862
@godfreymgaya1862 4 ай бұрын
I see my daddy PT
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 4 ай бұрын
Asije Kugeuka Chawa tuu Kama Yule Professor Mngine Wa Majalalani Akili Zote Zitaisha
@yamungummungulo633
@yamungummungulo633 4 ай бұрын
Wengne wanaona muda kumepoa #Gigy
@neemashingda
@neemashingda 4 ай бұрын
Bila kuwa na d mbili huwezi elewa hii
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 4 ай бұрын
Uwezo wa Fikra wa Dr Elie VD lazima urithishwe kwa kizazi cha sasa. Utajiri unaanzia Fikra kisha unahamia katika roho na mwili.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 ай бұрын
Sijamwelewa kabisaaaa, alikuwa anajikanyaga kanyaga sana tu ...lakini, kwa vile ana title ya Dr professor lazima tutishike na tumuone kwamba ana akili kubwa kuliko sisi. Hakuna mwanamke hata mmoja aliyemwelewa hapo..kawa buruza tu.
@husseinmnubi6834
@husseinmnubi6834 4 ай бұрын
Real talk Dr🫡
@mchumiajuani1993
@mchumiajuani1993 4 ай бұрын
Dr Elie akili kubwa, vijana wajinga wajinga hamuwezi kumwelewa, kuna mtu anamuona leo ndio anakuja kumtolea hitimisho, hata kipindi cha chomoza hukijui.
@victoriajames5413
@victoriajames5413 4 ай бұрын
22:34 kuna mamtu humu majinga Sana hayataki uhuru wa kujifunza yameshikilia kitu kimoja kimoja tu sio ya kuambatana nayo utadumaa!😅
@frank_luminous
@frank_luminous 4 ай бұрын
Huyu MTU ni zawadi kwa wote macritical thinkers!!
@yohanaibrahim4128
@yohanaibrahim4128 4 ай бұрын
Nimemuona kungwi liliani
@Thabitilubunani
@Thabitilubunani 4 ай бұрын
Mshamba huwezi kupngana. Na maandiko ya vitabu vya mungu vya dini yote
@zainakingwele9228
@zainakingwele9228 4 ай бұрын
Sioni ulicho sema kwenda kujiuza au kivip kweli dunia ipo mwisho
@jeremiahblazio4781
@jeremiahblazio4781 4 ай бұрын
Hawa wanaojiita wasomi ndo wahalibifu wa dunia unafikiri hao unaowajaza vichwa wakitoka hapo wakayabeba hayo kama yalivyo siwatataka nafasi ya mwanaume waichukue wao na nini kitafata si ndoa kuvunjika na watoto kuhangaika.
@nelsonmgaya1490
@nelsonmgaya1490 4 ай бұрын
True!!
@ruthn9381
@ruthn9381 3 ай бұрын
Education is truly important. That's why we need it. It enlightens our thoughts. Only people who understand him, can appreciate such lessons.
@MnazaretiMystry
@MnazaretiMystry 3 ай бұрын
Mpumbavu huamini kila anachoambiwa
@bennyinnocent2750
@bennyinnocent2750 4 ай бұрын
ASILI KAMWE HAIPITWI NA VYA KUCHACHA
@MnazaretiMystry
@MnazaretiMystry 3 ай бұрын
Mpumbavu huamini kila achoambiwa
@peterrayunga
@peterrayunga 4 ай бұрын
Mkufunzi umetupoteza kwamba mungu ni mtu? Umedanganya Kila kitu jike no no no.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 4 ай бұрын
ee mungu ni mtu ila Siyo MUNGU utofautishe hayo mambo mawili
@vascomwalongo451
@vascomwalongo451 4 ай бұрын
Hamnw Kitu hapo
@KillyM-ry5iy
@KillyM-ry5iy 4 ай бұрын
Uyo ni mcongo
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 4 ай бұрын
Sasa watu ambawo hawana elimu na wana hela.hawo ni kundi gani maana umeongea so badly kwa watu ambawo hajasoma.na asilimia kubwa ya watanzania hawahasoma haiyo ni matusi
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 4 ай бұрын
Ndo changamoto ya wasomi wetu wanathan elim ndo kila kitu ni ujinga mtupu
@masungadutta3823
@masungadutta3823 4 ай бұрын
Elimu siyo darasani tu ukiwa na uelewa wa jambo ni elimu tosha
@Utulivu444
@Utulivu444 4 ай бұрын
POINT 100% ​@@masungadutta3823
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 4 ай бұрын
@@masungadutta3823 👍👍👍
@magorymara5515
@magorymara5515 4 ай бұрын
Umeropoka mwana ili umwelewe unatakiwa kuwa na akili sana hivi vitu kama vinakuzid uwezo we pita tu kimya kimya si lazima kuchonga
@msatibongonyuzi14
@msatibongonyuzi14 4 ай бұрын
Mafundisho ya kishetani hayo
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 4 ай бұрын
Huu ni ujinga tena ujinga wa hali ya juu na hawa ndo hutuhalibia family
@AnthonySindabaha-de3xb
@AnthonySindabaha-de3xb 4 ай бұрын
Mswahili bhana ..jibu kwa hoja
@elinihakimsuya1673
@elinihakimsuya1673 4 ай бұрын
Mwisho wadunia huo,mafundisho potofu
@yamungummungulo633
@yamungummungulo633 4 ай бұрын
Kvp ndug? Tokea zaman wanawake matajir wapo, rejea mke wa kwanza wa pro Muhmad (S.W A)
@ruthn9381
@ruthn9381 3 ай бұрын
Really? Don't see why?
@chakulachaleo
@chakulachaleo 4 ай бұрын
Ukitaka pesa ya aibu lazima usifie kilichokupeleka,ila sidhani kama anasoma NENO la MUNGU huyu, MUNGU alishatoa majukumu ya MWANAMKE na MWANAUME,WEWE ni nani ukampinga MUNGU anaekupatia pumzi?
@ruthn9381
@ruthn9381 3 ай бұрын
I wish you could understand him logically. We need such great minds in Africa. It takes a person with sound judgement to understand him. Seek knowledge first before you criticize anything. Good luck!
@malkavoice2570
@malkavoice2570 4 ай бұрын
Ktk mastar wote hayupo Mwanamme mmoja tu naye ni zaidi ya wanaume wote waliokuwepo humu,mkutano wa wanawake mwanaume unakuwaje kimbelembele,kwann msingewasindikiza na kuwasikiliza wao wanalipi la kuusiana kama wameshajitambua. Kwenye wimbo wao walisindikizwa tu na ujumbe waliutoa wao kwa jamii na kutambua wao wanathamani gani,hapa mnawafanya wajione watu zaidi ya watu pasipo kujituma wala kujitoa 7bu mwanamume ndio anaelezea maziri yao kanakwamba wao hawayajui majukumu yao. Waraka mzuri ila ungewaandikia wausome wao waonekane wao tu. Mondi yukowapi hapa?
@dostovan5142
@dostovan5142 4 ай бұрын
Usipo kua na akili yako uta amini chochote unacho ambiwa na hawa ma motivation speaker, waongo sana, wanaonga vitu vya kufuraisha watu tu
@user-zo8ub3tl9g
@user-zo8ub3tl9g 4 ай бұрын
Mi nasikia pumba hakuna maana ata
@salehsimba5306
@salehsimba5306 4 ай бұрын
Maneno ya kuwafariji watu dhaifu duniani
@pascalwissi4805
@pascalwissi4805 4 ай бұрын
Itakuwa uwezo wako mdogo, si rahisi kumuelewa dr
@chrismassawe2939
@chrismassawe2939 4 ай бұрын
Mungu mwenyewe alimwona ni dhaifu kwanza hajaumwa ninsehemu ya mwanaume
@user-ki9wu6no3d
@user-ki9wu6no3d 4 ай бұрын
Kweli Kabisa 😂 Kaongea point za Msingi Sana yeye hajaziona Kwasababu ya Uwezo wake
@user-ki9wu6no3d
@user-ki9wu6no3d 4 ай бұрын
​@@chrismassawe2939Hakuna sehemu Kwenye Vitabu vitakatifu Mungu Amesema Mwanamke ni Dhaifu Kwa kinywa chake Zaidi ya Mtume Paulo(Biblia) tu Kwa uzoefu wake Wa kibinadamu na Si Mungu kusema
@hailinhelen4675
@hailinhelen4675 4 ай бұрын
anayo sema ata yeye mwenywe nadhania hayafamu 😢😮
@RaymondKilomeye
@RaymondKilomeye 4 ай бұрын
Kuwa mwanasaikolojia sio kujua Kila k2 kwasifa ulizo wapa wanawake wangekuwa wanajitambua au kujua wanachokifanya lakini nitofaut, kwamfano huo huo wanaume %kubwa tunajielewa bila kufundishwa tunajifunza kwakuona kwa matukio toaut na mwanamke Ambae ht umfundishe bado anahtaj umuongoze simo kwenye nigal nishushe tetea ugali wako2 ndugu hakuna usahih ktk Hilo, ww na mungu nani anamjua binadam mpaka kumfanya mwanaume awe mtawala wa mwanamke iliwezekana vp wakat uwezo wakufikili zaid kampa mwanamke cjawah kuona akijiongoza, halafu km ww nimdhaifu kwa make wako co wote, unavyojiona ww cvyo wengne walivyo
@chancekambale3498
@chancekambale3498 4 ай бұрын
Wewe hakili ndogo tu huna logiki bali unatumia Isia kuandika mambo haya yote .
@user-ly5gd2zc7u
@user-ly5gd2zc7u 4 ай бұрын
Unaongea nini, na nyie ndio wadhaifu wenyewe mliomdidimiza mwanamke, tulia dawa ikuingie
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 4 ай бұрын
Huyu mjingai ana tu tukana huyu
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 4 ай бұрын
Ni siku kuu yao we wasifie tu
@saulostephen197
@saulostephen197 4 ай бұрын
huvi yeye anafanya shughuli gani vile
@godfreymgaya1862
@godfreymgaya1862 4 ай бұрын
Mwanaume ni logic , tunarud pale pale
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 4 ай бұрын
huyu ni mwanasaikolojia@@saulostephen197
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 4 ай бұрын
@@saulostephen197 ni mtaalamu wa falsafa na mbobezi wa elimu ya theolojia.
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 4 ай бұрын
logic ni nn? @@godfreymgaya1862
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 ай бұрын
HAYO NDO MAHUBIRI YA WATANZANIA. MWANAMKE , MWANAMJE, NWANAMKE.
@user-rg7se7qj5v
@user-rg7se7qj5v 4 ай бұрын
Nimejutia mb zangu nilizotumia kukusikiliza ila dah bure kabisa fyuuuuu.
@user-ly5gd2zc7u
@user-ly5gd2zc7u 4 ай бұрын
Jishikilie utadondoka
@George-jz3jg
@George-jz3jg 4 ай бұрын
Nimekusikiliza kwa dakika kama 11 hivi unafundisha uzuzu tu nawashangaa wanaume wanao tikisa vichwa kukuelewa nao pia ni mazuzu tu
@user-ly5gd2zc7u
@user-ly5gd2zc7u 4 ай бұрын
Sasa Kwa ukubwa wa uelewa huo anaoongea apo na udogo wa akili yko unategemea nini?😊
@kaginazongori
@kaginazongori 4 ай бұрын
Huyu mshikaji apimwe akili maybe anatatizo la afya ya akili
@dicksonulotu7427
@dicksonulotu7427 4 ай бұрын
Sitakaa nimwelewe,endelea kuwadanganya .
@user-ki9wu6no3d
@user-ki9wu6no3d 4 ай бұрын
Sisi Tunamwelewa tulio tayari Kujifunza n Kuelewa
@seifkulwa3346
@seifkulwa3346 4 ай бұрын
Ok uko vzr sana, ila hayo unayongea yataishia kwenye majukwaa tu huwezi tengua uumbaji wa Mungu kwa maneno!
@victoriajames5413
@victoriajames5413 4 ай бұрын
Huyu nae, hata ktk huo uumbaji umeelewa nini?? Udini unakusumbua hovyo kabisa.
@seifkulwa3346
@seifkulwa3346 4 ай бұрын
@@victoriajames5413 Mungu ameumba Dunia na vitu vyote kwa formula Kila kitu mahala pake Mwanaume vs mwanaume, mchana vs usiku, kiangazi vs masika, Masaa 12 mchana vs Masaa 12 usiku, uhai vs kifo nk huwezi badilisha kwa tamaa zenu za kisiasa just waste of time for nothing. What is religion? Religion is nothing in this universe, created by human being to control the majority for nothing and minority continue monopolizing resources for their family!
Joseph Kusaga Atoa Kanuni Muhimu Za Mafanikio Kwa Vijana
7:36
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 2,4 М.
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 13 МЛН
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 57 МЛН
"Mawazo" Sehemu Ya 58 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminia..
43:11
Chomoza Tv
Рет қаралды 6 М.
MC Eliud Samwel akiwavunja watu mbavu kwenye mkesha wa THE ICON 2023 | CCC UPANGA
21:43
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 13 МЛН