KAZI YA BANK NI KAZI YA KIKE, MAISHA NI TAREHE SI STAREHE , SIASA HAIELEWEKI KAMA MWANAMKE - ELIE VD
Пікірлер: 149
@sportsnewjs43304 ай бұрын
Huyu mheshimiwa anagawa Madini ✨️bure kabisa bila malipo yeyote 👏👏👏MUNGU ambariki zaidi
@robinsongodwin97104 ай бұрын
Tanzanian people Tumshukuru Mungu kwa kuwa na dr ellie ❤
@DEBORAHMASANJA-yz3go4 ай бұрын
Asante sana Mwl Mungu akubariki umeni fungua sehemu kubwa
@hamidafundi-pw1gw4 ай бұрын
Mwanamke ni mbeba maisha kwa ujumla wake. Ni chanzo cha vyote. Ni sawa na ardhi inabeba vyote katka dunia hii.Mwanamke ni tegemeo kubeba maisha ya sayari hii.Mwanamke aweze kuwa tayari kubeba kama ardhi. Mwanamke usikumbatie watoto wako,utapoteza uimara wako .Mwanamke Acha kuwa tegemezi,jiamini .Nimejifunza, pongezi Dr Ellie.🎉
@josamwilliam41054 ай бұрын
Uko vzr
@user-em1bu1es4p4 ай бұрын
Amina kubwa pasta,nimekusikiliza toka huko Congo.
@hafsalucky10884 ай бұрын
Dr Elie you are very right ❤
@nwntz4 ай бұрын
Mzee anatoaga madino heavy, namkubali sana prof Elly✊✊✊✊
@Hillary_Daudi_Mrema4 ай бұрын
Changamoto watu wenye uwezo mkubwa kama Dr Elie VD wanatumika Vyuoni tu ila wangetumika mtaani kwa Vijana ambao ni Wapambanaji Nchi ingebadilika maana huko Chuoni wasomi wana mawazo ya kuajiriwa pekee
@piusdeo93804 ай бұрын
Nakubali sana ndugu
@moriskalegeleshusha26194 ай бұрын
Umetisha mkuu
@chechem.wambura81724 ай бұрын
@@piusdeo9380ona ambao hamjasoma mnavyoshadadia. Acheni wivu na chuki kuwasema vibaya wasomi kisa nyie hamkusoma. Nani kawaambia Kila aliesoma anawaza kuajiriwa?, na kwani akiajiriwa Kuna shida Gani? Mbona wapo watu kibao walioajiriwa Wana maisha mazuri kuliko ambao hawajasoma. Kufanikiwa kimaisha haijarishi umeajiriwa au hujaajiriwa ,umesoma au hujasoma.,
@furahakalombe20114 ай бұрын
Anatumika sana mtaani ila ni kwamba hatufahamu tu mtaa gani. Maeneo mengi anaalikwa kutoa elimu
@moriskalegeleshusha26194 ай бұрын
Ni vzr tuwe tunapata matangazo
@user-wi4kw6ug6e4 ай бұрын
God help me be that woman🙏 nimejifunzaaa mnooo
@MarianaCapson3 ай бұрын
Sooo powerful ❤
@UpendoEliasSokota2 ай бұрын
Dr umetisha
@petermgaya96934 ай бұрын
Very complex speech
@rahellubandila19284 ай бұрын
barikiwa sana
@charlesmakelele42684 ай бұрын
Anaitwa Dr ELIE.
@user-hj8sr3ds2m2 ай бұрын
You are absolutely correct 👏
@LusiaJohn-mv4xd4 ай бұрын
asante doct
@johnchuwa16464 ай бұрын
si rahisi kumwelewa Dr Ellie kama namna yako ya kufikiri imefungwa na elimu,dini n.k
@eliazewanga35433 ай бұрын
The best philosopher local wise
@MillardMushi-ce2bu4 ай бұрын
Dr elie nakuomba uje uwe mwalimu wa vijana wangu wana penda ngono kuliko kula
@user-wh9zj7kf7h4 ай бұрын
😂😂 nimecheka kwa saut
@barakabusima4 ай бұрын
😂😂 ...jamani Dunia inamambo
@gordiansoko91134 ай бұрын
Duu hii kali kuliko maelezo😂😂
@judyngowi3914 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Mussasylivester054 ай бұрын
😂😂
@leonardmadelemo30434 ай бұрын
Elie vd nouma sana
@user-gd3xl1qh8t4 ай бұрын
Dr elly nakuelewa sana,ila hii salam shikamoo wakina mama halaf wakina baba habar ya saa iz nifafanulie hapo.
@ngaribaonlinetv4 ай бұрын
Fact
@henrymkuye66694 ай бұрын
Dr is the best
@mwakalingaabas9814 ай бұрын
Jamaa lina akili sana hili dr elly waminian
@user-ss5xy7lb7k4 ай бұрын
Usipo kuwa logical huwez kumuelewaa
@mwakilamwaki17183 ай бұрын
Doctor Janabi na uyo sawa to
@ellynikotv71784 ай бұрын
Much respect though
@rizikiesromu14184 ай бұрын
Niambie akili sahihi ni ipi?je ni ile ya kufundishwa na mungu au mwanadamu? Acheni dharau Mungu hips apendye.
@user-ox1tt3on3i4 ай бұрын
Safi kabisa
@user-hp1jo4xc9o4 ай бұрын
Bila kuwa na D mbili huwez kuelewa 😂😂😂
@saidmlemeta80834 ай бұрын
Huyu jamaaa anakili nyingi sana alikuja kwetu hapa GGM geita gold mine yuko vzr mno
@wilibarddorotheaelias84104 ай бұрын
Oi niaje kaka
@msomaprince26444 ай бұрын
Nimemuona Tima😂😂
@hgmtz89974 ай бұрын
Hata akili ya mtoto hutokana na akili ya mama
@luganomwaigomole74414 ай бұрын
AKILI KUBWA❤
@rosehaule67654 ай бұрын
Mhhh acha zako
@mosesmnyantope95344 ай бұрын
Duh
@sontrillthereal81864 ай бұрын
Ana madini sana ila ukiwa shabiki wa simba huwezi elewa
@madreks2534 ай бұрын
Well said Dr! ❤
@saidmlemeta80834 ай бұрын
Hlw
@saidmlemeta80834 ай бұрын
Hlw
@majidfrolian49044 ай бұрын
Balaa huyu jamaa 😊
@mwakilamwaki17183 ай бұрын
Uyu na Hamonaizi sawa
@HassanHassan-sn5cj3 ай бұрын
Umeonaeeee!!! Anatumiwa na utawala wa Ant crist au Masihiddajaal hata bila yeye kujua!!
@Nzumbi03 ай бұрын
De elie daah! Ana madini kichwani aise ya unaambiwa ni mara mbili kwa upande wangu
@elishaussiri3454 ай бұрын
Hapo kwenye kwanzia umemkosea Mungu
@ellymzera24573 ай бұрын
Agreed. .🇰🇪
@georgesamwelchacha76804 ай бұрын
Ukisema utoe Zawadi kwa Mwanamke ambae amekuja bila kupaka Wanja au Madikodiko hapo hayupo😂😂😂
@athumanhassani8054 ай бұрын
Wewe muo😢
@user-wq2fh5rx4s4 ай бұрын
Huyu Dr anafaa kutembea kwenye furusa ni represement ya ruge anamadin hatar
@elyudsaleh60444 ай бұрын
Jamaa kafanikiwa kukufurisha imani zote na amesepa na kijiji
@jamesraphaelmdima47294 ай бұрын
Tafuteni maarifa kwa mwenyezi Mungu na wala si kwa wanadamu!
@bongomastory7914 ай бұрын
@@jamesraphaelmdima4729 Mungu pia anatumia wanadamu kufikisha maarifa
@nelsonmgaya14904 ай бұрын
Uchawa ni m baya sana!!!
@ColinMhema-ne3lz4 ай бұрын
Huyu mtu ana akili nyingi sana na kumuelewa lazima na wewe uwe na akili
@ontarget79494 ай бұрын
Dr Elie huna baya
@user-ks7bs8yk3p4 ай бұрын
Weka tuweke ila sio kwa kuwekwa wake kuwa wanaume tufahamu mungu ni mkuu na ukuu wake utadumu milele ukiupuuza kesho yako itakuwa mbaya sana
@trophywilson72114 ай бұрын
siyo mungu sema MUNGU
@godfreymgaya18624 ай бұрын
I see my daddy PT
@qonquererqanquerer17814 ай бұрын
Asije Kugeuka Chawa tuu Kama Yule Professor Mngine Wa Majalalani Akili Zote Zitaisha
@yamungummungulo6334 ай бұрын
Wengne wanaona muda kumepoa #Gigy
@neemashingda4 ай бұрын
Bila kuwa na d mbili huwezi elewa hii
@Hillary_Daudi_Mrema4 ай бұрын
Uwezo wa Fikra wa Dr Elie VD lazima urithishwe kwa kizazi cha sasa. Utajiri unaanzia Fikra kisha unahamia katika roho na mwili.
@ezekieljacob57954 ай бұрын
Sijamwelewa kabisaaaa, alikuwa anajikanyaga kanyaga sana tu ...lakini, kwa vile ana title ya Dr professor lazima tutishike na tumuone kwamba ana akili kubwa kuliko sisi. Hakuna mwanamke hata mmoja aliyemwelewa hapo..kawa buruza tu.
@husseinmnubi68344 ай бұрын
Real talk Dr🫡
@mchumiajuani19934 ай бұрын
Dr Elie akili kubwa, vijana wajinga wajinga hamuwezi kumwelewa, kuna mtu anamuona leo ndio anakuja kumtolea hitimisho, hata kipindi cha chomoza hukijui.
@victoriajames54134 ай бұрын
22:34 kuna mamtu humu majinga Sana hayataki uhuru wa kujifunza yameshikilia kitu kimoja kimoja tu sio ya kuambatana nayo utadumaa!😅
@frank_luminous4 ай бұрын
Huyu MTU ni zawadi kwa wote macritical thinkers!!
@yohanaibrahim41284 ай бұрын
Nimemuona kungwi liliani
@Thabitilubunani4 ай бұрын
Mshamba huwezi kupngana. Na maandiko ya vitabu vya mungu vya dini yote
@zainakingwele92284 ай бұрын
Sioni ulicho sema kwenda kujiuza au kivip kweli dunia ipo mwisho
@jeremiahblazio47814 ай бұрын
Hawa wanaojiita wasomi ndo wahalibifu wa dunia unafikiri hao unaowajaza vichwa wakitoka hapo wakayabeba hayo kama yalivyo siwatataka nafasi ya mwanaume waichukue wao na nini kitafata si ndoa kuvunjika na watoto kuhangaika.
@nelsonmgaya14904 ай бұрын
True!!
@ruthn93813 ай бұрын
Education is truly important. That's why we need it. It enlightens our thoughts. Only people who understand him, can appreciate such lessons.
@MnazaretiMystry3 ай бұрын
Mpumbavu huamini kila anachoambiwa
@bennyinnocent27504 ай бұрын
ASILI KAMWE HAIPITWI NA VYA KUCHACHA
@MnazaretiMystry3 ай бұрын
Mpumbavu huamini kila achoambiwa
@peterrayunga4 ай бұрын
Mkufunzi umetupoteza kwamba mungu ni mtu? Umedanganya Kila kitu jike no no no.
@trophywilson72114 ай бұрын
ee mungu ni mtu ila Siyo MUNGU utofautishe hayo mambo mawili
@vascomwalongo4514 ай бұрын
Hamnw Kitu hapo
@KillyM-ry5iy4 ай бұрын
Uyo ni mcongo
@godfreymushi69664 ай бұрын
Sasa watu ambawo hawana elimu na wana hela.hawo ni kundi gani maana umeongea so badly kwa watu ambawo hajasoma.na asilimia kubwa ya watanzania hawahasoma haiyo ni matusi
@user-ie2sr4fi4k4 ай бұрын
Ndo changamoto ya wasomi wetu wanathan elim ndo kila kitu ni ujinga mtupu
@masungadutta38234 ай бұрын
Elimu siyo darasani tu ukiwa na uelewa wa jambo ni elimu tosha
@Utulivu4444 ай бұрын
POINT 100% @@masungadutta3823
@user-ie2sr4fi4k4 ай бұрын
@@masungadutta3823 👍👍👍
@magorymara55154 ай бұрын
Umeropoka mwana ili umwelewe unatakiwa kuwa na akili sana hivi vitu kama vinakuzid uwezo we pita tu kimya kimya si lazima kuchonga
@msatibongonyuzi144 ай бұрын
Mafundisho ya kishetani hayo
@user-eb3hf1lm9e4 ай бұрын
Huu ni ujinga tena ujinga wa hali ya juu na hawa ndo hutuhalibia family
@AnthonySindabaha-de3xb4 ай бұрын
Mswahili bhana ..jibu kwa hoja
@elinihakimsuya16734 ай бұрын
Mwisho wadunia huo,mafundisho potofu
@yamungummungulo6334 ай бұрын
Kvp ndug? Tokea zaman wanawake matajir wapo, rejea mke wa kwanza wa pro Muhmad (S.W A)
@ruthn93813 ай бұрын
Really? Don't see why?
@chakulachaleo4 ай бұрын
Ukitaka pesa ya aibu lazima usifie kilichokupeleka,ila sidhani kama anasoma NENO la MUNGU huyu, MUNGU alishatoa majukumu ya MWANAMKE na MWANAUME,WEWE ni nani ukampinga MUNGU anaekupatia pumzi?
@ruthn93813 ай бұрын
I wish you could understand him logically. We need such great minds in Africa. It takes a person with sound judgement to understand him. Seek knowledge first before you criticize anything. Good luck!
@malkavoice25704 ай бұрын
Ktk mastar wote hayupo Mwanamme mmoja tu naye ni zaidi ya wanaume wote waliokuwepo humu,mkutano wa wanawake mwanaume unakuwaje kimbelembele,kwann msingewasindikiza na kuwasikiliza wao wanalipi la kuusiana kama wameshajitambua. Kwenye wimbo wao walisindikizwa tu na ujumbe waliutoa wao kwa jamii na kutambua wao wanathamani gani,hapa mnawafanya wajione watu zaidi ya watu pasipo kujituma wala kujitoa 7bu mwanamume ndio anaelezea maziri yao kanakwamba wao hawayajui majukumu yao. Waraka mzuri ila ungewaandikia wausome wao waonekane wao tu. Mondi yukowapi hapa?
@dostovan51424 ай бұрын
Usipo kua na akili yako uta amini chochote unacho ambiwa na hawa ma motivation speaker, waongo sana, wanaonga vitu vya kufuraisha watu tu
@user-zo8ub3tl9g4 ай бұрын
Mi nasikia pumba hakuna maana ata
@salehsimba53064 ай бұрын
Maneno ya kuwafariji watu dhaifu duniani
@pascalwissi48054 ай бұрын
Itakuwa uwezo wako mdogo, si rahisi kumuelewa dr
@chrismassawe29394 ай бұрын
Mungu mwenyewe alimwona ni dhaifu kwanza hajaumwa ninsehemu ya mwanaume
@user-ki9wu6no3d4 ай бұрын
Kweli Kabisa 😂 Kaongea point za Msingi Sana yeye hajaziona Kwasababu ya Uwezo wake
@user-ki9wu6no3d4 ай бұрын
@@chrismassawe2939Hakuna sehemu Kwenye Vitabu vitakatifu Mungu Amesema Mwanamke ni Dhaifu Kwa kinywa chake Zaidi ya Mtume Paulo(Biblia) tu Kwa uzoefu wake Wa kibinadamu na Si Mungu kusema
@hailinhelen46754 ай бұрын
anayo sema ata yeye mwenywe nadhania hayafamu 😢😮
@RaymondKilomeye4 ай бұрын
Kuwa mwanasaikolojia sio kujua Kila k2 kwasifa ulizo wapa wanawake wangekuwa wanajitambua au kujua wanachokifanya lakini nitofaut, kwamfano huo huo wanaume %kubwa tunajielewa bila kufundishwa tunajifunza kwakuona kwa matukio toaut na mwanamke Ambae ht umfundishe bado anahtaj umuongoze simo kwenye nigal nishushe tetea ugali wako2 ndugu hakuna usahih ktk Hilo, ww na mungu nani anamjua binadam mpaka kumfanya mwanaume awe mtawala wa mwanamke iliwezekana vp wakat uwezo wakufikili zaid kampa mwanamke cjawah kuona akijiongoza, halafu km ww nimdhaifu kwa make wako co wote, unavyojiona ww cvyo wengne walivyo
@chancekambale34984 ай бұрын
Wewe hakili ndogo tu huna logiki bali unatumia Isia kuandika mambo haya yote .
@user-ly5gd2zc7u4 ай бұрын
Unaongea nini, na nyie ndio wadhaifu wenyewe mliomdidimiza mwanamke, tulia dawa ikuingie
@raphaelkessy73604 ай бұрын
Huyu mjingai ana tu tukana huyu
@nasibugunda79274 ай бұрын
Ni siku kuu yao we wasifie tu
@saulostephen1974 ай бұрын
huvi yeye anafanya shughuli gani vile
@godfreymgaya18624 ай бұрын
Mwanaume ni logic , tunarud pale pale
@nasibugunda79274 ай бұрын
huyu ni mwanasaikolojia@@saulostephen197
@nasibugunda79274 ай бұрын
@@saulostephen197 ni mtaalamu wa falsafa na mbobezi wa elimu ya theolojia.
@nasibugunda79274 ай бұрын
logic ni nn? @@godfreymgaya1862
@valenakomba76864 ай бұрын
HAYO NDO MAHUBIRI YA WATANZANIA. MWANAMKE , MWANAMJE, NWANAMKE.
@user-rg7se7qj5v4 ай бұрын
Nimejutia mb zangu nilizotumia kukusikiliza ila dah bure kabisa fyuuuuu.
@user-ly5gd2zc7u4 ай бұрын
Jishikilie utadondoka
@George-jz3jg4 ай бұрын
Nimekusikiliza kwa dakika kama 11 hivi unafundisha uzuzu tu nawashangaa wanaume wanao tikisa vichwa kukuelewa nao pia ni mazuzu tu
@user-ly5gd2zc7u4 ай бұрын
Sasa Kwa ukubwa wa uelewa huo anaoongea apo na udogo wa akili yko unategemea nini?😊
@kaginazongori4 ай бұрын
Huyu mshikaji apimwe akili maybe anatatizo la afya ya akili
@dicksonulotu74274 ай бұрын
Sitakaa nimwelewe,endelea kuwadanganya .
@user-ki9wu6no3d4 ай бұрын
Sisi Tunamwelewa tulio tayari Kujifunza n Kuelewa
@seifkulwa33464 ай бұрын
Ok uko vzr sana, ila hayo unayongea yataishia kwenye majukwaa tu huwezi tengua uumbaji wa Mungu kwa maneno!
@victoriajames54134 ай бұрын
Huyu nae, hata ktk huo uumbaji umeelewa nini?? Udini unakusumbua hovyo kabisa.
@seifkulwa33464 ай бұрын
@@victoriajames5413 Mungu ameumba Dunia na vitu vyote kwa formula Kila kitu mahala pake Mwanaume vs mwanaume, mchana vs usiku, kiangazi vs masika, Masaa 12 mchana vs Masaa 12 usiku, uhai vs kifo nk huwezi badilisha kwa tamaa zenu za kisiasa just waste of time for nothing. What is religion? Religion is nothing in this universe, created by human being to control the majority for nothing and minority continue monopolizing resources for their family!