NI SAWA MKE KUOMBA TALAKA KWA MUMEWE? WANAWAKE WENGI HAWAJUI, UKWELI NI HUU | HARD TALK

  Рет қаралды 45,082

Global TV  Online

Global TV Online

Жыл бұрын

NI SAWA KUOMBA TALAKA KWA MUMEO? WANAWAKE WENGI HAWAJUI, UKWELI NI HUU | HARD TALK
HII ni sehemu ya kwanza ya mahojiano ya Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha na Mshauri na Mwanasaikolojia Dkt Ellie ambapo wamezungumza maisha ya ndoa na mahusiano ndani ya kipindi cha Hard Talk, swali kubwa likiwa ni sawa mke kuomba talaka kwa mumewe?
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 105
@eyabdimaha3698
@eyabdimaha3698 Жыл бұрын
Dr ana madini huyu sijawahi kujutia kumsikiliza na pia sichoki mashallah
@deborahrehema5819
@deborahrehema5819 Жыл бұрын
Huyu baba ndie pekee nae maelewa maana anayo neno la Mungu kwanza na ana heshimu amri ya Mungu pili ni big role models kwa wanaume wenye knowledge na wisdom like ya Nabii Daniel na wenzake watatu . God bless you mam of God we are learning from you sana 🙏
@leahchallod3912
@leahchallod3912 Жыл бұрын
♥️♥️♥️♥️♥️Hapo umenikoshaaaa mwanamke anayeteswa na Mume hajitambui yeye ni nani?
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 Жыл бұрын
Wanawake sisi ni waaminifu na tunapenda sana na tunajitoa mno kwa wanaume lakini wanatuumiza mioyo yetu.
@newbornhaule1635
@newbornhaule1635 Жыл бұрын
Sio wote na wanaume sio wote kinachofanya msikike hamfichi hisia zenu
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
Kweli kabisa. Yani ni uwatimizie wao tu na hawajali. Hii topic haiko sawa
@bakarininga4100
@bakarininga4100 Жыл бұрын
Kuna wanaume waumizwa daily that is reality sio wanawake tu
@daud405
@daud405 Жыл бұрын
wanawake wanalenga sana mali
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Жыл бұрын
Sanaaa aisee
@jacklinezebedayo2923
@jacklinezebedayo2923 Жыл бұрын
Jmni nampenda huyu baba🥰, I get new things everytime I listen to him
@upendowakwelinaamani1060
@upendowakwelinaamani1060 Жыл бұрын
Huyu Dr Elie uwa namuelewa sana yaan ananifungua sana akili yangu yaan kuna vitu akiongea namuelewa sana na vinaniingia sana ubarkiwe sana Dr.
@leahchallod3912
@leahchallod3912 Жыл бұрын
Huyu mtu kama huna akili huwezi muelewa
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Aaaah kweli,
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 Жыл бұрын
Tusichoshane bwana unakutana na jitu ambalo lina a lot of issues growing up,yaani wazazi wake wameliharibu , lilikua abandoned and bullied au limekulia sehemu mamake,shangazi zake wanapigwa mpaka wanazimia,liko na insecurities, alafu ukae eti unammudu how? Utaishia kukonda na kupauka because you are dealing na a broken man ambae hata hayuko tayari kukubali ana issues. Sasa uking'ang'ania si utauawa?
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Жыл бұрын
Umeongea point dear
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Жыл бұрын
Yani hawa viumbe sijui…
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Жыл бұрын
Hapo kwenye kitengoo sasa
@aureliayuktankabebwa5066
@aureliayuktankabebwa5066 Жыл бұрын
Watu wangu pendwa🙏🏾,napenda sana kuwasikiliza 🙏🏾
@anethd1319
@anethd1319 Жыл бұрын
HUYU DOCTOR ANATUFUNDISHA SANA LOVE FROM ITALY.
@sheikhaomar1026
@sheikhaomar1026 Жыл бұрын
Namshukuru Dr Elie mm nimejifunza mengi sanaa
@mariamjoseph3530
@mariamjoseph3530 Жыл бұрын
Doctor aendelee na episode nyingine tuna maswali mengi sana
@naombaelsamwel7226
@naombaelsamwel7226 Жыл бұрын
Big salute kwa Dr.
@floramlowe7078
@floramlowe7078 Жыл бұрын
Dr umesema kweli kabisa mungu atusaidie
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 Жыл бұрын
Mwanaume wangu nitampa sumu tu maana sikwausaliti uo 🤣🤣
@neemawayesu1771
@neemawayesu1771 Жыл бұрын
Hapana dear jipende tu mwenyewe,alafu umuache na dhambi zake
@reisezone4574
@reisezone4574 Жыл бұрын
tuletee dr MWAKA tena
@tatutumbi4640
@tatutumbi4640 Жыл бұрын
Dr. Hongera sana. Mungu Akulinde.
@Bwenge-minecraft
@Bwenge-minecraft Жыл бұрын
mubarikiwe sana da lilian na kaka.
@user-xv5yy6mv6i
@user-xv5yy6mv6i 6 ай бұрын
Hongera maneno Docter niyamsingi sana iwapo dadaangu kakaangu tutayasikiliza.
@yuathmtenzi2114
@yuathmtenzi2114 Жыл бұрын
Shukrani saana kwa madini dr& lilian
@johnsonmariam3824
@johnsonmariam3824 Жыл бұрын
So many thanks to you Dr. Allie
@vickyitenyo.
@vickyitenyo. Жыл бұрын
Lillian Mwasha I love you and thank you for obeying God's call over your life to shepherd His people! Good job girl! Onwards and Upwards! How can I reach this Dr Ellie? I'm your loyal fan from Kenya!
@memeniyonzima9343
@memeniyonzima9343 Жыл бұрын
Nimejifunza kitu,asanteni Sana
@adyaalawy8764
@adyaalawy8764 Жыл бұрын
Communication ni kila kitu
@silverman6930
@silverman6930 Жыл бұрын
What an absolutely Gem 💎… Dr your a genius and thanks so much for sharing what God gave you 🇬🇧🇬🇧🙏🙏🙏❤️❤️❤️
@tatutumbi4640
@tatutumbi4640 Жыл бұрын
Dr. Ellie unafundisha vizuri saaana.
@juliennekibatcha2958
@juliennekibatcha2958 Ай бұрын
❤❤❤❤❤ this is a very important good point interesting , be blessed
@daud405
@daud405 Жыл бұрын
Dr upo saw kabisa.wanawake ndo wanatunza ndoa ama wanavunja ndoa kwa mikono yao.lazima mwanamke amuheshimu mume wake
@edwarddaud6785
@edwarddaud6785 Жыл бұрын
Tusipo kuwa makini ipo siku tutafundishwa na kazi about love maana mafundisho yamekua mengi af hatuoni kuwa ni uongo but Dr u a right
@ynyynyyny
@ynyynyyny Жыл бұрын
Ni kweli lakini sio kwa wanaume wa Leo,Ni hero kuishi bila mume
@Bwenge-minecraft
@Bwenge-minecraft Жыл бұрын
da lilian tuna naomba kaka aje tena ahendeleze hili somo tafadhali.
@faudhiatmasoud4025
@faudhiatmasoud4025 Жыл бұрын
This man..
@bindawood978
@bindawood978 Жыл бұрын
Mnapotaka kuelimisha jamii tafadhalini muwe mnatafsiri mnapotumia lugha ya kigeni sio watu wote wanaofahamu kiingereza
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 Жыл бұрын
Hiyo ni ndoa ya mke mmoja, je kwa ndoa za wake wengi ikoje?
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 Жыл бұрын
Huyu doctor Ana ufahamu Mkubwa sana
@Ahmadilauma
@Ahmadilauma 8 ай бұрын
Tena ni binadam hatar sana
@Ahmadilauma
@Ahmadilauma 8 ай бұрын
Sjawah ona uyu doctor
@scolasticamtui1685
@scolasticamtui1685 Жыл бұрын
Part two please
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 Жыл бұрын
Naomba mawasiliano ya Doctor
@mkaliwafashion3116
@mkaliwafashion3116 Жыл бұрын
Napenda mwasha anavyopiga makofi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nayo ni raha 😂😂😂😂
@fikiriseleman3460
@fikiriseleman3460 Жыл бұрын
Kumuelewa huyu Dr. Uwezo mkubwa unaitajka
@user-yy8sd9ib5b
@user-yy8sd9ib5b 3 ай бұрын
Nimejfunza kitu mke wangu alinifos tuachane lakin baadae alikuja kuniomba turudiane.
@fikiriseleman3460
@fikiriseleman3460 Жыл бұрын
Extra mind, Lilian unaongea na akili kubwa Sina hakika kama unamuelewa vizuri
@dayana5513story
@dayana5513story Жыл бұрын
Doctor asante kwa kuwajulisha madada wengi wao wakiolewa wanajisaau ndo maana wanaume wana Chet
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Жыл бұрын
Ndo mseme tunajisahau na nn
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 Жыл бұрын
Huwa nampendaga sana uyu baba ongea yake tu
@nelsonludovick3360
@nelsonludovick3360 Жыл бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana
@user-gk2qc8ds7w
@user-gk2qc8ds7w 11 ай бұрын
how can a talk to him
@rittaaziz4470
@rittaaziz4470 Жыл бұрын
SOMO LA HII CLIP...GREAT SN. SO MANY GREAT POINTS "YES .. UTAYARI IS A TWO WAY STREET"
@user-tc9rw8rd1b
@user-tc9rw8rd1b 6 ай бұрын
Mwasha anatafuta hoja za kuonesha kuwa divorce yake ilikuwa sahihi 😅
@eliminachristopher2662
@eliminachristopher2662 Жыл бұрын
Dr anajua kazi yake.naomba namba ya simu
@ministerlight114
@ministerlight114 Жыл бұрын
Jamani asante
@rittaaziz4470
@rittaaziz4470 Жыл бұрын
RAAHAAAA😍
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 Жыл бұрын
Doctor uko vizul sanaaa
@sheikhaomar1026
@sheikhaomar1026 Жыл бұрын
Sanaaaa
@adyaalawy8764
@adyaalawy8764 Жыл бұрын
Msikimbie waumme zenu, hakuna mwanamme asie cheat, ni heshima tuu.
@christinelihavi4068
@christinelihavi4068 Жыл бұрын
Vipi kwa wanaume wanao tukimbia SS wanawake?
@adyaalawy8764
@adyaalawy8764 Жыл бұрын
@@christinelihavi4068 Wanaumme pia wasikimbie, kuzungumza na kuwa wazi, kipi kirekebishe. Sivyo wanaweza kumkimbia mwanamke ambae 80% yuko ok, wakampata mwanamke ambae 20 % yuko ok
@kytv8780
@kytv8780 Жыл бұрын
Oya uyu Dkt nimemvulia kofia ana madini ya hatari sana..hichi kipaji maalumu aisee..yan kumsikiliza ili umuelewe dkt ellie unahitaj usikae hata sehem ya upepo ukae kulipotulia ndo utaelewa
@r14kgroup68
@r14kgroup68 Жыл бұрын
Doctor uishi milele
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Ongereeni,
@peterkichochi7510
@peterkichochi7510 Жыл бұрын
KAMA WEWE NI MWANAMKE ULIACHIKA KABLA HAUJASIKILIZA NONDO ZA HUYU MZEE,BASI UTALIA NA KUSAGA MENO..
@gracedismas1108
@gracedismas1108 Жыл бұрын
Dooo.... I gt smthng
@magynzioka1122
@magynzioka1122 Жыл бұрын
Uyu sio mume walilan faya uchuguzi vizuri kabla unaleta habari utaumbuka
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Жыл бұрын
Huyo ni mwanasaikojia anayetoa ushauri, sikiliza kabla hujakosoa
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 Жыл бұрын
Hapo haongei kama mume anaongea kama mwana saikolojia
@clementinamalaki7796
@clementinamalaki7796 Жыл бұрын
Unaniponya mnoo 😶😶ninaving vyakunipona
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 Жыл бұрын
Doctor unakosea fanya style zote, atatoka tu awatosheki wanaume wametugeuza show yaani anataka kufunua kila design.
@jamillazamir3358
@jamillazamir3358 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Жыл бұрын
Kabsa dada
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 Жыл бұрын
Huyu Dkt. anasahau kuwa kuna wanaume mamilioni na hawa wote ni watu tofauti kuanzia makuzi yao,mambo waliyopitia na mambo chungunzima. Yupo mwanaume ambae kutokana na majanga aliyopitia kulala na wanawake tofauti ndo anajiona kakamilika,sasa huyu utamfanyaje?Mwengine lazima akukashifu na kukupiga ndio ajisikie ye ni mume,utammudu vipi? Mahusiano mengine ni sumu tu jamani,wakati mwengine ni bora hata kuwa pekeyako kuliko mahusiano yasiyo na afya. Na si kila kitu alichofanya mwingine kwenye mahusiano yake kitaaply kwingine.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 Жыл бұрын
.
@ashakhamisi8771
@ashakhamisi8771 Жыл бұрын
Umalaya nikutumiya sehemu zote jee nisawa
@beatricewmussa4049
@beatricewmussa4049 Жыл бұрын
Me me me me
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
Umeonaee?? It's all about men's.. maaan better to be single especially for women. This is slavery
@victoryngilangwa4574
@victoryngilangwa4574 Жыл бұрын
Nimependa hicho kipengere cha kushikilia ndoa
@hassanmtitu1687
@hassanmtitu1687 Жыл бұрын
@@victoryngilangwa4574 k
@hassanmtitu1687
@hassanmtitu1687 Жыл бұрын
Kfjh
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
Huu ni utumwa...,wanawake tafuteni pesa.,wachaneni kukimbilia kufua jeans
@sabinibra3513
@sabinibra3513 Жыл бұрын
Yan dada Lilian maswali yako ban😂 anyway sio mbaya unawawakilsha wanawake najua wengi wana maswali kama hayo
@christinelihavi4068
@christinelihavi4068 Жыл бұрын
I don't agree with you Doctor,mm nilifanya yote hayo,akawa ananiambia niondoke nikagomaa😂 mwisho wa siku yeye akaondoka akaniacha na watoto... Wanaume Wana tabia za kutamani tamani
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Wanaume wote siku ya kufa uwa wanalia machozi,
@christinelihavi4068
@christinelihavi4068 Жыл бұрын
@@happynescostat7420 Aaah!Kabisa,Wana laana sana
@seifazizz4160
@seifazizz4160 Жыл бұрын
Ni ngum kuelew kam hauta taka kuelew ama kujifunza n somo gum Kwa season yetu hii
@joycembelwa6427
@joycembelwa6427 Жыл бұрын
Mumeo alikuwa hasi na alishapata chanya huyo wakapata raha....
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 Жыл бұрын
Mwanaume wangu nitampa sumu tu maana sikwausaliti uo 🤣🤣
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 175 МЛН
Dr. Chris Mauki: Sababu Hizi Humfanya Mwanamke Kuchepuka
10:24
Chris Mauki
Рет қаралды 9 М.
KEVOO KUOMBA USHAURI WA MAPENZI KWA NANGA 😀😀
5:00
Kevoo Joker Comedy
Рет қаралды 607
Dr.Elie V.D Waminian - (Sababu Za Migogoro) Sehemu Ya Saba
40:28
Chomoza Tv
Рет қаралды 22 М.
Sababu Za Kuomba Talaka | Dira Ya Mwanamke | HorizonTV Kenya.
53:31
HorizonTV Kenya
Рет қаралды 4,1 М.
Fanya haya kwa bibi kuendelee kuwa mdogo,usiachike.
14:55
The XO
Рет қаралды 204 М.