Wow I appreciate from here Kenya 🇰🇪 our beautiful Tanzanian ❤❤❤
@pilitanzania14206 ай бұрын
Habari dada asante kwa ushauli nzuri Mimi binafsi Nina ujuzi wangu ni welder nipo Mozambique nafanya kazi napenda kuja kufanya kazi huko
@Summerbtz6 ай бұрын
Nimependa vile unavyowashauri ndugu zako kuhusu maisha ya ughaibuni
@Victor-Frank8 ай бұрын
Gaddamn she is giving me goosebumps with that beyonce
@user-cg1qf8xi7v3 ай бұрын
Habali za kwako aunt
@NgelejaCharles-ng7bh9 ай бұрын
Nakupenda dadangu, nikija nitkutafuta Kwa maelekezo zaidi.
@HamisDotto6 ай бұрын
Good sana sister nikisema nije huko ninunue gari ndogo laba ya kufanyia tex bei ya chini
@ilankundakamenya31716 ай бұрын
Big up sana sister nimekuelewa vzr sana
@user-kf9uc4us3j7 ай бұрын
Dada nimekuelewa vzr mm Niko oman nafanya kazi za ndani nataka kuja huko nipambane ni mtznia je nikija nitapata kazi ya usafi kulea mabibi au watoto naulixa hivyo maana elimi yangu darasa la 7 na hata wanakojenga kubeba tofali mm nikija sichagui kazi na hata kuzoa taka naomba nisaidie tafadhali dada angu pass port ninayo nani naomba nitajie gharama mpaka kufikia huko marekani nisaidie dada Sina Cha kukulipa ila mungu atakulipa pole Kwa usumbufu
Nashukuru rafiki yangu mimi niko Zanzibar natamani sana nipate nafasi ya kufanya kazi hata hapo omani tu nitashukuru naomba unisaidie kama unachanel hiyo samahani kwa usumbufu maisha yetu hujui nani ataekufaa nisaidie sixhagui kazi kazi yeyote nafanya mimi
@Daima-ik1cf6 ай бұрын
Aha mm nipo oman nilitaka niende lakin bado nawafatilia vzr
@MwajumaRashidi-tx6ks5 ай бұрын
Dada VP ulijibiwa
@chamballaally87672 ай бұрын
Nilidhani ww Salama Jabir wa BSS
@hanswan12 ай бұрын
Mimi pia kafanana nae sana...mno
@abdallahyusuf76416 ай бұрын
Shukrani nimekuelewa vizuri sana tena sana
@reginaevance7175 Жыл бұрын
Asante sana dada 🙏Mungu akubariki sana
@eliadaniel2167 ай бұрын
Asante kwa elimu poa madame
@eddiemend92502 күн бұрын
Hi habar yako Dada Erica, Umeongea kazi za udereva etc vipi kuhusu Kazi za ku-operate mitambo like Hydraulic EXCAVATOR, frontend Loader, Motor grader etc naomba niulizie mtu akija akiwa tayar ni operator lazma arudi class asome tena and na vipi maslahi yake like wanalipwaje hao earthmoving machine Operator kwa apo Us..?
@allyfatma73597 ай бұрын
Thanks
@mubabray9845 Жыл бұрын
Asante sana dada
@dasilvajacmwax7436 Жыл бұрын
Asante dada
@ronaldouchi10838 ай бұрын
Good job sister
@khadijaismail84278 ай бұрын
Nimefurahishwa sana na maelezo yako ubarikiwe
@samsonmusyimi17829 ай бұрын
Ghai msungu anaboga swahili❤❤❤
@emmanuelmliga1329 ай бұрын
Safi Sana dadayangu akiri kubwa
@babyboy63103 ай бұрын
Habari gani Dada.. Napenda program yako
@dainesdiana5836 ай бұрын
nashukuru sana dada Erika nimekuelewa naomba unisaidie niweze kipata mtu kitoka uko ili nipate viza au barua ya mwaliko nataman nije kifanya kaz hata za nurse home nina passport lakan sina wakuniasaidia kija uko
@ElikanaKiheka-fl4wu6 ай бұрын
Safe sana aiseee
@SalomeKhalfani-cm9xy9 ай бұрын
Naomba dada tuwasiliane
@TradersEasyWay7 ай бұрын
Hizo gharama za nyumba USA unazosema ama apartment za USA naona kama China tu hapa! Chini ya dollar 120,000 USD china hapa hupati nyumba kudadeki naona hakuna tofauti sana na USA.😱
@EricaLulakwa7 ай бұрын
@tradersEasyway, hayo majimbo niliyoongelea ni Yale yenye gharama za chini USA.
@TradersEasyWay7 ай бұрын
sawa@@EricaLulakwa
@user-mf5yw8nv7n2 ай бұрын
Hellow
@johnkasosokola74617 ай бұрын
Habari dada jee naipataja hiyo visor yakuja huko pia nahitaji kuja kufanya kazi nnje ya nchi
@dasilvajacmwax7436 Жыл бұрын
Nimesabskraibu👍
@stanslausmbuta-ck5im Жыл бұрын
Safi sana dada, naomba email na no ya simu maelezo yako ni mazuri sana unaelimisha vizuri kwa kweli.
@JacksonFrances5 ай бұрын
Daaah Aisee ñaoña Ùpo Kabila Lañgu Naomba Namba Kwa Mawasiliano"
@deniskangombe74422 ай бұрын
Tatizo lako dada haujibu msg lakin una vitu vingi sana
@user-xw4uc1pb5u9 ай бұрын
Dada naomba no yko tuwasliane unielekeze zaid
@wilsonm.7376 Жыл бұрын
Sauti yako ndogo dada ongeza Sauti..
@SalomeKhalfani-cm9xy9 ай бұрын
Dada tunashukulu sana kwamaelekezo naomba no yako
@peterkariuki90737 ай бұрын
Wapi hiyo?
@krtv3666Ай бұрын
My name is Yohana Mweta. My question to you is that how can I get there
@salumsalum886610 ай бұрын
toa sauti
@user-qy2ft1lg6e2 ай бұрын
Mawasiliano yko dada
@josephstephen20476 ай бұрын
Fb upo na unatumia jina gani?
@emmanuelmliga1329 ай бұрын
Naomba namba Yako dada
@user-ic7qf8fl9x8 ай бұрын
Oi my tuongee namba
@user-st1xf9un7v6 ай бұрын
Hello Erica Mimi Nina degree wa ualimu wa kiswahili na kingereza je naweza kupata kazi huko
@HabibaIdany2 ай бұрын
Dada namba namba
@samsonmusyimi17829 ай бұрын
Kama ukumalixa form 4 ukipata Green card utakubaliwa kweda?
@aminatanzanya74753 ай бұрын
Green card sizan km wananglia kiwango cha Elimu
@kibejaden33068 ай бұрын
Mambo ya saloon kunyoa vp
@rukiyashali Жыл бұрын
Vp kazi za kuchora heena ziko?
@viousa9 ай бұрын
Hamna
@bainolatino34126 ай бұрын
@@viousanaishi Zanzibar naomba channel ya fursa nisaidie pia samahani kwa kusumbua huenda utakasirika lkn ni shida na usongo wa kujikwamua kimaisha naomba uniwezeshe kwa lolote hata ushauri pia naishi Zanzibar
@godwinaxwesso87263 ай бұрын
Vigezo gani vinahitajika kwa ajili ya green card?
@godwinaxwesso87263 ай бұрын
Naomba ni connect na agency wa delivery driver wa USA madam