KIDONO: DAWA YA KUZUIA RISASI/MASHARTI MAZITO/MGANGA ASIMULIA/INATISHA

  Рет қаралды 9,491

Dar24 Media

Dar24 Media

3 жыл бұрын

Пікірлер: 41
@user-jw6uz5oj6h
@user-jw6uz5oj6h Ай бұрын
Nipo Congo 🇨🇩 jamaha anasema kweli kbs
@jumongjr5837
@jumongjr5837 3 жыл бұрын
1st #Comment 🖐
@abdulbaki3128
@abdulbaki3128 3 жыл бұрын
Huoni ni uchawi ni
@shahaduhamis9040
@shahaduhamis9040 3 жыл бұрын
Kweli kbs
@malonemalone1067
@malonemalone1067 2 жыл бұрын
Hee bwana nataka kidono 😂💪🏿
@bahatywasofia4155
@bahatywasofia4155 2 жыл бұрын
Nenda kigoma uvinza mlela kazuramimba uvinza wapo wengi wana juwa hizo ngoma
@mariamwakabuta1034
@mariamwakabuta1034 2 жыл бұрын
@@bahatywasofia4155 mambo dear hapo ulipo elekeza ni kigoma mjini?
@fatumaaugustine4441
@fatumaaugustine4441 2 жыл бұрын
@@bahatywasofia4155 namba dear
@husenirashidi9757
@husenirashidi9757 2 жыл бұрын
Nataka kidono
@husenirashidi9067
@husenirashidi9067 2 жыл бұрын
ninacho
@boazyephrahim8991
@boazyephrahim8991 3 жыл бұрын
kwel kbs
@mauwa4394
@mauwa4394 Жыл бұрын
2 no
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
Ungemjaribu kumtwanga jiwe la komo ingekuwaje ili tuwsmini
@swaleheally8134
@swaleheally8134 2 жыл бұрын
Hiyo nikweli kabisa ipo
@hishamally4846
@hishamally4846 3 жыл бұрын
We mzee wacha chai
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 Жыл бұрын
kidono ipo kweli kigoma
@user-tl4zr1rz5v
@user-tl4zr1rz5v Ай бұрын
Mushikaji inaonekana yukonacho hayo yte nisahihi
@nahishakiyeassuman5541
@nahishakiyeassuman5541 2 жыл бұрын
Brother tuletee story za mabaria bwna ani
@kennedyodera7555
@kennedyodera7555 11 ай бұрын
Mimi nataka kidono nko kenya ntai pata vipi
@SaidJuma-xb9nz
@SaidJuma-xb9nz 3 ай бұрын
nitafute
@starlily07
@starlily07 Ай бұрын
Kwa watu wa kigoma tunamuelewa sana huyu jamaa, mambo ya vidono yapo kigoma, ni kweli kabisa mi nakumbuka tulipo kuwa tunasoma shule ya msingi kigoma kuna Watu walikuwa wanachanjwa vidono akichapwa na mwalimu wala hajigusi anapopigwa yani anasimama mwalimu anachapa fimbo zake hadi anamaliza 😂😂 na tulikuwa tunawajua kabisa wanafunzi waliokuwa na vidono, da nimekumbuka mbali sana😂😂
@jumahalifa6436
@jumahalifa6436 9 ай бұрын
Toa nambazake
@chrispinkakwaya6216
@chrispinkakwaya6216 Жыл бұрын
Kuna jambazi furani alikuwa sumbawanga miaka ya 2007 alikuwa anaitwa Sei Sei huyo jamaa alikuwa ni hatari nahis alikuwa anatumia hizo dawa alikuwa anakamatwa anapigwa unasema amekufa baada ya siku 3 anarudi Mtaani polisi nimewai shughudia Kwa macho yangu polis wanakimbia jamaa Yuko Pekeyake
@antidiusegbert5562
@antidiusegbert5562 Жыл бұрын
Toa ujinga hapa 😅
@nkulikandusi5282
@nkulikandusi5282 2 жыл бұрын
Ipo kigoma hiyo
@domykimata5768
@domykimata5768 Жыл бұрын
Kwahiyo ata Mtoa roho akija awezi kufanikiwa kuitoa roho yako sababu unacho kidono 😂
@abdulkadirhaji1098
@abdulkadirhaji1098 8 ай бұрын
UNGEMJARIBU NA PANGA
@user-wg2cn1cd8h
@user-wg2cn1cd8h 5 ай бұрын
Abuu
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Mbna wewe mtangazaji namba zao mbona hutangazi
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын
Mbona bunduki Akua???, 🇹🇿🇬🇷
@maxcharles5436
@maxcharles5436 Жыл бұрын
we danganywa tu haipo hiyo ss wauko uko
@adamally6
@adamally6 2 жыл бұрын
kachukue kidono hlf uje hpa tukushughulikie
@jumaissa90
@jumaissa90 Жыл бұрын
unaongea tu hivi unadhani ule mzuka ukipanda kuna mtu atakaa eneo la tukio, haha haha hiyo kitu sio poaaa
@SalumuSalehe-om8zh
@SalumuSalehe-om8zh 2 ай бұрын
Kigoma ipo kweli
@morrisonvictor4704
@morrisonvictor4704 2 жыл бұрын
Vipi mtu akipata ajali ya gari, bodaboda anadhurika?
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Uongo tu hamna lolote
@simonjustin5921
@simonjustin5921 3 жыл бұрын
Nenda kigoma ndgu yangu hawa watu hawafai kabsa,ata km kwa hii ni uongo lkn hawa jamaa ni hawafai,me nlijionea mambo mengi ya tofaut na ya ajabu.lkn kwa huyu jamaa ni km anasimulia tyu ili kujuza watu kuwa haya mambo yapo lkn yeye km yeye czan km anaweza hayo mambo,yan ni km kavaa Uhusika tyu
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
@@simonjustin5921 oh kweli ndugu yangu? Mbona kila siku majambazi wanakufa kwa kupigwa risasi mbona hawaendi uko hahaha
@andersonsadock1573
@andersonsadock1573 3 жыл бұрын
Hio kwel kabisa
@hamidaala2832
@hamidaala2832 2 жыл бұрын
HuongoJameni.
@user-wy4px9fd9y
@user-wy4px9fd9y 6 ай бұрын
Nataka kidono
BODABODA:UCHAWI UPO/NILINUSURIKA KUFANYWA KAFARA/MSITU WA AJABU.
20:21
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 495 М.
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 36 МЛН
POLISI DSM YAWANASA WAUZAJI WA DAWA ZA KULEVYA DSM
9:55
Millard Ayo
Рет қаралды 125 М.
Makala Maalum: Jinamizi la Cabo Delgado
21:00
VOA Swahili
Рет қаралды 40 М.