No video

KIKWETE ALALAMIKA KUKOSA PAPA WANANCHI WAMJIBU "USHINDWI NA JAMBO"

  Рет қаралды 65,830

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 115
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 5 жыл бұрын
Kama umekuja hapa kwa AJILI ya kukosa P PAPA,,gonga#imbatokamoyoni,, KISHA LIKE
@CK-ri1mo
@CK-ri1mo 7 ай бұрын
Kama kuna aliyemuona kikwetw anaxbr chenj agonge like hapa
@bilioneabichwa
@bilioneabichwa 5 жыл бұрын
Kikwete, kikwete ,kikwete , yàaani! Miss u so much mzee! Mungu akubariki na uendelee kwa na maisha mazuri
@mohamediiddi761
@mohamediiddi761 5 жыл бұрын
Pangani yetu Hiyo mungu Aibariki kama umezaliwa Pangani Gonga like.
@benedictkiteji5089
@benedictkiteji5089 5 жыл бұрын
MUNGU akupemaisha marefu mstafu kikwete tumekumiss
@dainesigebo7019
@dainesigebo7019 5 жыл бұрын
Hehehehe zamani ungenunua hivyo vitu kweli au ungekwenda kununua ulaya Asante 👏
@mashamwaki6384
@mashamwaki6384 5 жыл бұрын
Pangani yetu mashaallah mungu akujaalie umri mrefu muheshimiwa jakaya
@geofreykajengile1788
@geofreykajengile1788 4 жыл бұрын
Safi mtu wetu jakaya baba mwenye nyumba dah nakuamini sana mzee
@ameknews2315
@ameknews2315 5 жыл бұрын
Si mulisema mm mpole mpole sasa nawaletea chuma hichi kinatema cheche aaaa mstaafu kikwete daima tutakukumbuka ww ni genius in politics
@paull8659
@paull8659 5 жыл бұрын
lakini hatukusema tunataka dikteta.
@freddymello3227
@freddymello3227 5 жыл бұрын
amek -02 AMEIR Mmmh kweli mburula hawaishi.
@ameknews2315
@ameknews2315 5 жыл бұрын
Wataisha wala usijali kwan tumeona for 7.1% of GNI per capital ilivyokuwa
@paull8659
@paull8659 5 жыл бұрын
@@freddymello3227 :.GDP inayotangazwa na TBC, isiimini tena. Toka wakataze independdd statistic , sasa kila ni propaganda tu ili isiinekone serikali inafanya vibaya au kukosea. Mwezi uliopita Gazet la citizen, limetangaza.kuwa Tsh imeshuka, likafungwa wiki moja. wakati ukienda kwenye data za kimataifa ni kweli. Serikali huko kusini imeshindwa kununua korosho, ukisema utaambiwa mpotoshaji. Hatusemi JKM alikuwa safi, lakini afadhali yeye alikuwa mkweli na muazi, na kuacha wananchi waongee wanavyotaka na.kulikiwa na amani. leo unaweza ukasingiziwa kesi,.mahakam ikalazimishwe ikufunge au ukateswa, au kupotea au kuwawa na Polisi kituoni . Huoni hatua zozote zikichukuliwa au kukemewa. Tumefungwa 🤐 magufuli midomoni. Heri enzi ya JKM, Tulikuwa tunalalamika na furaha. JKM alikuwa always happy.
@freddymello3227
@freddymello3227 5 жыл бұрын
Paul Porubsky ,Nakushukuru kwa hoja nzuri sana ulizoainisha. ila sidhani kama unafahamu namna ya mwenye maduka ya Home shopping centre alivyofanya hapa nchini.na sijui kama umehoji yalipoishia maduka Yale.... kifupi tuu nikuambie kuwa J.P.M ni zaidi ya hao wote waliowahi kuikalia hiyo nafasi.huwezi mlinganisha kwa maamuzi,ubora wa fikra,na ukweli na uwazi na yeyote. nchi hii ilikuwa shamba la bibi.jamaa wamejitajilisha kwa kukwepa ushuru wakishirikiana na viongozi wa juu katika Taifa hili.ila J.P.M kadhibiti wizi wote na kampuni feki zilizofanya wizi kwa miaka mingi zimepotea. Tujifunze kuwa wakweli na wenye shukrani. kwani usipomshukuru Binadamu mwenzako hata mwenyezi Mungu huwezi mshukuru. J.k tulimpenda tena sana kama watanzania,alikuwa kijana mcheshi n.k lakini akatuacha kwenye mataa. Taifa likawa soko la madawa ya kulevya.(walioharibika ni kaka na Dada zetu)mf.Mangwea,Masogange,Matonya ,Ray c n.k J.P.M kamaliza biashara hii haramu.Leo hata mateja mitaani ni wakuwatafuta. Watanzania tuache hangover ya mapenzi kwa watu walioshindwa kutusaidia.tumthamini huyu aliyemikononi mwetu mwenye nia ya dhati kutukomboa kama Taifa.asiye mlanguzi wala mfanyabiashara wa madawa ya kulevya au mkwepa ushuru au fisadi kama tulivyozoea. J.P.M simba wa Tanzania "hapa kazi tuu!!!!"
@Itarusii
@Itarusii 5 жыл бұрын
Hii ndiyo faida ya Tanzania. Rais unastaafu kwa raha zako
@hamedmaskari518
@hamedmaskari518 5 жыл бұрын
Wewe unajua izo nchi nyengine wanaostafu wanakua hali gani
@paull8659
@paull8659 5 жыл бұрын
alistaafu bila kungangania madaraka kwasababu hakumuonea mtu, hakumpiga mtu risasi, hata wale waliompinga aliwalinda.
@Itarusii
@Itarusii 5 жыл бұрын
@@hamedmaskari518 temebea uone nchi nyingi za Africa.
@Communication863
@Communication863 5 жыл бұрын
Duhhh hal ngumu kwel mzee hajaacha hta change😂😂😂😂
@ramazubery8396
@ramazubery8396 5 жыл бұрын
Hatariiii
@saidjuma9782
@saidjuma9782 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@aboudmsonde886
@aboudmsonde886 5 жыл бұрын
Allah akupe afya JK
@anthonyfaru9908
@anthonyfaru9908 5 жыл бұрын
Dah sa hivi ningekuwa meamia kwenye nyumba yangu ila dah mebki kueka kibubu mh nwaka wa nne sasa
@sonyomohmed2178
@sonyomohmed2178 5 жыл бұрын
Man of the people.
@magdalenakidumbuyo1505
@magdalenakidumbuyo1505 5 жыл бұрын
Mic u mr president
@aishaail4455
@aishaail4455 5 жыл бұрын
Gigy alisema papa samaki ,leo mh.kikwete amekosa papa,tena papa umuunge nazi.
@lucasmbuba3149
@lucasmbuba3149 5 жыл бұрын
Uko poah sanaaaa kikwete
@sponsor7882
@sponsor7882 5 жыл бұрын
SOCIAL PRESIDENT EVER IN TZ
@emmanuelgavile2737
@emmanuelgavile2737 5 жыл бұрын
Raisi rafiki
@kaloli12masawe69
@kaloli12masawe69 5 жыл бұрын
Mzee anatufundisha maisha ya kawaida tu ni mazuri kabisa.
@fatmamasoud2969
@fatmamasoud2969 5 жыл бұрын
We miss you JK❤️
@ibrahimcharlesswaleh
@ibrahimcharlesswaleh 5 жыл бұрын
Pangani nyumbani kwetu..
@fatumamuba5580
@fatumamuba5580 5 жыл бұрын
We miss u
@noelmichael2855
@noelmichael2855 5 жыл бұрын
Eti nn?? mzee baba kakosa #PAPA 😂😂😂😂😂
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 5 жыл бұрын
Hii pangani.duh nimekumis sana nyumbani.30.03.19.
@angelojoseph7476
@angelojoseph7476 5 жыл бұрын
Huyu ndiyo jamaa yetu kipindi chake mtu akikuomba 2000 Unampa 5000 sasa hivi mtu ukimuona ndugu yako ana kuja nyumbani unaanza kutafuta njia ukiofia kuombwa pesa duuuuuhhhhhhh JPM Legeza kidogo tupate kupumua.
@yohanamuumbe4628
@yohanamuumbe4628 5 жыл бұрын
Raisi kikwete wetu safi!!
@jackinno8287
@jackinno8287 5 жыл бұрын
Huyu mzee noma san
@ramamudi749
@ramamudi749 4 жыл бұрын
morelife
@brysonsabun4657
@brysonsabun4657 5 жыл бұрын
Naona watu wanajisikia furaha kabisa kukutana na huyu rais mstaafu, nadhani ni video nzuri
@makungudominic6163
@makungudominic6163 5 жыл бұрын
Wabongo tuna visa
@jrabuudaldaa2682
@jrabuudaldaa2682 5 жыл бұрын
video cyo quality
@isayakilangi5888
@isayakilangi5888 5 жыл бұрын
Love you jk wetu
@mako331
@mako331 5 жыл бұрын
Msilete uchonganishi aisee, Jk alifanya yake akamaliza ngoja Jpm naye afanye kazi yake, tunawapenda viongozi wetu wote kwa sababu wanaitakia Tanzania mema
@paull8659
@paull8659 5 жыл бұрын
Viongozi wanayoitakia mazuri Tz, inatakiwa wajue tuko mil55. na kila mtu ana mawazo tofauti, na yote hayo matofauti ni ile nchi ieendelee. Sisemi kwamba kiongozi asikilize kila kitu, lakini waTz tunata tuwe na uhuru wa hoja bila woga. na kila mtu aheshimiwe siyo kunyanyaswa na siyo kila mtu aseme " tumsifu JPM, CCM oyee" . Nobody is perfect. Mimi nipigwe risasi au siyo mzalendo kwasababu naona ni vizuri tutumie gas ya Mtwara badala ya kujinga bwawa kwa matrilion la SG? nk...
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 5 жыл бұрын
Mkuu anataka papa wameshindwa kumuuzia
@masungajacob2628
@masungajacob2628 5 жыл бұрын
Huyu tunamkumbuka sana, ila meeengi sana alifeli ktk uongozi wake
@jorampaulo7008
@jorampaulo7008 5 жыл бұрын
Masunga acha kuvuta bangi.JK kashindwa mambo gani?,kama sio usukuma wako unakusumbua.
@hamedmaskari518
@hamedmaskari518 5 жыл бұрын
@@jorampaulo7008 mwambie afahamu
@mohdyussah825
@mohdyussah825 5 жыл бұрын
Good baba
@williamkitengai3608
@williamkitengai3608 5 жыл бұрын
Upole sio kosa ila ukatili ni dhambi, nimepamisi sana Pangani, Mkwaja Sadan
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 Ай бұрын
Angekuwa mpole Babu seya angeozea jela? Acha uchawa huo
@mdaomasalimu
@mdaomasalimu 5 жыл бұрын
uyo jamaa amepiga mule mule swal 😂😂
@honestbalilo9519
@honestbalilo9519 5 жыл бұрын
Ukiwa mwema kwa wananchi hawawezi kukutupa. Hivi mkapa alienda wapiii.
@atukuzweluhanga7401
@atukuzweluhanga7401 5 жыл бұрын
Honest Balilo nahic mkapa ndo rahic pendwa ukiacha nyerere
@honestbalilo9519
@honestbalilo9519 5 жыл бұрын
@@atukuzweluhanga7401 Labda kinafiki kama inavyoendelea sasa.
@simbabbq4427
@simbabbq4427 3 жыл бұрын
Kikwwte anatakapapa azidishe munkari siombaya
@paull8659
@paull8659 5 жыл бұрын
People's president👆😁
@hemedwow8802
@hemedwow8802 5 жыл бұрын
Jamaa jibu kapiga palepale yani😁😁
@PETERJOSEPH-zz4bq
@PETERJOSEPH-zz4bq 5 жыл бұрын
mtu wa watu
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 5 жыл бұрын
Papa?haya baba😂😂
@nurdinhemed6
@nurdinhemed6 5 жыл бұрын
Mzee katinga shati lakijani kabisa...alijua kuna neema...wakat mkuu kesha staaf
@simonaugustino6327
@simonaugustino6327 5 жыл бұрын
Tumefarijika sana kwa ujio wako wa Pangani
@alistairelias536
@alistairelias536 5 жыл бұрын
Hamna hata maelezo chini ya caption kueleza mheshimiwa alikuwa wapi na kwa sababu zipi? Kuwa na weledi Millard Ayo.
@zackjr3177
@zackjr3177 5 жыл бұрын
c kukosa papa 2...wa2mish 2mekosa hata nyongeza bado 2nalipwa uliouacha shemeji...
@chrisantgeorge3677
@chrisantgeorge3677 5 жыл бұрын
Ndo huyo mlimtukana sana akiwa rais
@salumsaleh6186
@salumsaleh6186 5 жыл бұрын
pangani kwetu naona mjomba rajabu mng'ombe anampa maswali jk
@omaredhasaidal.obthani4775
@omaredhasaidal.obthani4775 5 жыл бұрын
Tunakumiss baba rudi ugombee tena
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 Ай бұрын
Agombee nn? Ili majizi yaendelee kushamiri? Sasa kuna jipya gan la kurudi agombee? Tunataka vijana wazalendo kama akina Makonda kuchukua nchi hii
@omaredhasaidal.obthani4775
@omaredhasaidal.obthani4775 9 күн бұрын
Wazalendo wa media wale sio wanchi hii
@stephanomchenya6344
@stephanomchenya6344 5 жыл бұрын
Kikwete nomaa
@augustryann365
@augustryann365 5 жыл бұрын
Wamuulize gigy kapeleka wapi Papa.
@kadijahhussen7072
@kadijahhussen7072 5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 5 жыл бұрын
Hii ni kile kipindi bado yupo madarakani kulikua hakuna njaa km kipindi cha awamu hii
@yudamwinami6011
@yudamwinami6011 5 жыл бұрын
Shaaban Ramadhan nabado kwanza ukame unaanza nchi nzima mvua shida
@rosemarymsulwa203
@rosemarymsulwa203 5 жыл бұрын
@@yudamwinami6011 dodoma inanyeesha.
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 5 жыл бұрын
Jk♥️♥️♥️
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 5 жыл бұрын
Kikwete mtu wa watu.
@alexchungu8823
@alexchungu8823 5 жыл бұрын
Mjomba
@fredrickswai2566
@fredrickswai2566 5 жыл бұрын
Namuona jaji kwa mbali...
@ramadhanbahati5519
@ramadhanbahati5519 5 жыл бұрын
Mzee kikwete mtu wa watu
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 5 жыл бұрын
Mtu hana thamani mpaka aondoke hapo alipo
@jamesjames5129
@jamesjames5129 5 жыл бұрын
Jembe letu hilo
@mjakaoswams4102
@mjakaoswams4102 5 жыл бұрын
Duuh!! Kuvua pp 16m??
@hasamlawatv9790
@hasamlawatv9790 5 жыл бұрын
Pangani
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 5 жыл бұрын
mzee huyu bhana
@TheAlman
@TheAlman 5 жыл бұрын
We still remember you mr president
@abuuchaula6961
@abuuchaula6961 5 жыл бұрын
Kipenzi chao
@hamedmaskari518
@hamedmaskari518 5 жыл бұрын
Vp mzee huna mazoezi mbona kitambi kiko juu
@emmanueljohn6765
@emmanueljohn6765 5 жыл бұрын
pombe nimashine yakazi huyu mzee alikuwa mpole sana
@piusgadau6328
@piusgadau6328 5 жыл бұрын
kila mtu ana pray part yake mkuu
@aristidespendazungu9275
@aristidespendazungu9275 5 жыл бұрын
eeh mwenyezi mungu mpe Afya njema Rais wetu mstaafu
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 5 жыл бұрын
anapray ama anaplay😅😅😅
@jorampaulo7008
@jorampaulo7008 5 жыл бұрын
Kwa taarifa yako Emmanuel Jk ndiio rais bora kuliko wote na ndio maana akipita mtaani ana mvuto kwa watu.roho yake hainuki damu
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 5 жыл бұрын
Uhuru mzuri bwana ukiwa kiongozi unabanwa sana sasa hureeeeee.
@makongorojulius4965
@makongorojulius4965 5 жыл бұрын
Kama arudi kwenye kiti chake hivi
@chrisantgeorge3677
@chrisantgeorge3677 5 жыл бұрын
Arudi kutukanwa?
@nurdinnswebe1905
@nurdinnswebe1905 5 жыл бұрын
Mmmmh huyo mkuu wawilaya
@williamkeita1519
@williamkeita1519 5 жыл бұрын
Ukiacha madaraka TU Ndio utapendwa nakumbuka koment kipindi ukiwa kama Jpm
@johnsonmarick45
@johnsonmarick45 5 жыл бұрын
Raisi wa watu
@fatumamuba5580
@fatumamuba5580 5 жыл бұрын
We miss u
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 16 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 38 МЛН
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 3,2 МЛН
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН
Salama Na JK Ep48 | MSOGA UNO PART 2
29:35
YahStoneTown
Рет қаралды 290 М.
EXCLUSIVE   ZUCHU AMNUNULIA GARI LA ZAIDI YA MIL 20 ANJELA
6:09
Wasafi Media
Рет қаралды 5 М.
RAIS WA YANGA HERSI AFUNGUKA  'MANARA ATAPANGIWA KAZI NYINGINE'
4:49
Papa Francis atembelea chimbuko la Uislamu
0:47
DW Kiswahili
Рет қаралды 81 М.
Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1
28:27
YahStoneTown
Рет қаралды 551 М.
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 16 МЛН