Kilimo cha papai, kilimo chenye tija

  Рет қаралды 30,414

ITV Tanzania

ITV Tanzania

4 жыл бұрын

#ShambaLulu

Пікірлер: 40
@felicianfrancis9895
@felicianfrancis9895 26 күн бұрын
Duh, et kosa la jinai kuvuna papai lililoiva!!😢😢😢
@reticiagodfey2244
@reticiagodfey2244 3 жыл бұрын
Napenda sana kulima na hivi nalima matango nanimeanza kuandaa shamba la papai lazima nipambane mpa huu mwaka ujao nione maendeleo zaidi.
@schosay_
@schosay_ 2 жыл бұрын
Hapana Ndugu mtaalamu Papai la chotara ni tamu sana na linaharufu nzuri na pia rangi ya kuvutia kuliko papai la asili.
@sarananyaro9089
@sarananyaro9089 4 жыл бұрын
Mwaipaja ukila mengi hayo ni noma sana,uta pupuu kwenye suruali bila kupenda
@ruthstephen2791
@ruthstephen2791 3 жыл бұрын
😆😆😆😆😃
@brianbaraka4563
@brianbaraka4563 2 жыл бұрын
Ahsante mtaalam kwa ufafanuzi mzuri
@TEACHER.CLEOPHAS
@TEACHER.CLEOPHAS 2 жыл бұрын
Great job. Keep it up!!!
@mrmahmoud1278
@mrmahmoud1278 4 жыл бұрын
Utamu wa papai la hybrid na lile la asili ni tofauti sanaaaa.... mtaalamu fanya utafiti tena.
@sarananyaro9089
@sarananyaro9089 3 жыл бұрын
Kweli kabisa,chotara siyo matamu kabisa,kienyeji tamu sana
@fatmaaliameer8773
@fatmaaliameer8773 2 жыл бұрын
Yaani nafarijika kuona Tanzania tunawajibika kwenye kilimo
@ramadhanially1513
@ramadhanially1513 4 жыл бұрын
Ekari moja inaweza kugalimu kiasi gani hadi mavuno
@aliabdallasaid3174
@aliabdallasaid3174 3 жыл бұрын
Haki yko boss mwaipaya mama amekukumbuka
@aliabdallasaid3174
@aliabdallasaid3174 3 жыл бұрын
Tayari nimeshalima mipapai mia 200 nipo ktk kuiengeji
@swagimasolwa5749
@swagimasolwa5749 4 жыл бұрын
Kilimo hiki nimekielewa sana
@rosekiwale8302
@rosekiwale8302 4 жыл бұрын
Nimefurahia Sana mtaalamu
@adamtzmbogo1694
@adamtzmbogo1694 3 жыл бұрын
Mtaaram
@aliabdallasaid3174
@aliabdallasaid3174 3 жыл бұрын
mm nimeingia kikamilifu ktk ulimaji wa mapapai licha kwamba cna eneo kubwa lkn nataka walau nipate mipapai mia 2
@jabezjedidiah1429
@jabezjedidiah1429 Жыл бұрын
Hii ni aina gani ya papai?.
@rosekiwale8302
@rosekiwale8302 4 жыл бұрын
Hongera Ally
@enockburchard6701
@enockburchard6701 4 жыл бұрын
Naomba no ya Mr bwire
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 3 жыл бұрын
Tatizo mnakataa kutuuzia mbegu tujipandie wenyewe kununuwa Miche Bei ikojuu kabsa
@abedinegoraphael4774
@abedinegoraphael4774 26 күн бұрын
mbegu mbona zipo maduka ya pembejeo ni 10000 package moja
@kikorekikororo8975
@kikorekikororo8975 3 жыл бұрын
Naomba kufahamishwa dawa ya kuzuia papai kuoza. Inakuwa na vidoa vyeusi na likikaribia kuiva linaoza.
@aliabdallasaid3174
@aliabdallasaid3174 3 жыл бұрын
Wajina naomba mbegu
@aliabdallasaid3174
@aliabdallasaid3174 3 жыл бұрын
Mm nataka nilime lkn tatizo ni soko Sasa mtanisaidiaje waheshimiwa
@evakanyeka6994
@evakanyeka6994 Жыл бұрын
Tunaomba mwasiliano
@eliakimsando2919
@eliakimsando2919 3 жыл бұрын
Tunaomba mawasiliano yanmtaalamu
@lazaroseka1331
@lazaroseka1331 3 жыл бұрын
naomba namba za mtaalamu
@mayengamabulambuzah1795
@mayengamabulambuzah1795 2 жыл бұрын
Maabara ya kupima 'ph' hupatikana Ofisi ipi wilayani?
@eliakimsando2919
@eliakimsando2919 3 жыл бұрын
Tunaomba mawasiliano jamani
@raphaelbruno2743
@raphaelbruno2743 4 жыл бұрын
Mnahamasisha sana juu ya kujikwamua kwa kipato mungu awabariki!!naweza pata namba ya huyo bwana shamba mr.bwire
@abdibilali950
@abdibilali950 4 жыл бұрын
Mm nawaelewa sana na nimesha anza kilimo cha papai
@jimmymagesa697
@jimmymagesa697 Жыл бұрын
@@abdibilali950 ulianza kwa mtaji gan kwa hekar
@stellamugure4321
@stellamugure4321 4 жыл бұрын
I need to know more
@swithinshayo8586
@swithinshayo8586 4 жыл бұрын
Naomba contact za Jackson Bwire na kampuni yake
@stellamugure4321
@stellamugure4321 4 жыл бұрын
Naomba number us compony
@bahatinyoni9586
@bahatinyoni9586 4 жыл бұрын
Naweza kupata namba ya Mr Bwile?
@Muba_Magogo
@Muba_Magogo 4 жыл бұрын
hybrid inahusu mambo ya cross pollination ambapo kwa mapapai mimea ya aina mbili tofauti inachavushwa kupata mmea wa aina nyengine
@websterchanai9636
@websterchanai9636 4 жыл бұрын
Naomba kupata number ya huyo Mtaalamu
@rosekiwale8302
@rosekiwale8302 4 жыл бұрын
Hongera Ally
Maajabu ya Papai ya Malkia F1 Inazaa Ndani ya Miezi Miwili Tu.
5:51
Kilimo cha Papai Tz
Рет қаралды 15 М.
Jiimarishe Kiuchumi Kupitia Zao La Papai
12:09
AGRI SMART TV
Рет қаралды 21 М.
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,1 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 33 МЛН
3 Steps To Guarantee Your Papaya Will Be Female l Agri-education
10:24
Kilimo cha Malenge/ Pumpkin Farming in Kenya Part A || AKILI SHAMBANI
12:17
KILIMO CHA MIGOMBA
5:54
NAWEECHI Tv
Рет қаралды 9 М.
🔴Taarifa ya Habari ya Asubuhi, 28..Julai, 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 4
Kilimo cha papai Kajiado
3:30
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 6 М.
How to Graft Papaya - Home Guides
14:34
TUNG Garden
Рет қаралды 8 МЛН
#SHAMBANI: KILIMO CHA PAPAI
28:23
TBConline
Рет қаралды 13 М.