ANGALIA HII "MAFURIKO YA DAR, VILIO KILA KONA | WAKAZI WAKIMBIA NYUMBA ZAO" • MAFURIKO YA DAR, VILIO... -~- fuatilia makala mbalimbali za ujasiliamali hapa hapa
Пікірлер: 41
@Lynnalice2174 ай бұрын
Asante baba umeelezea vizuri, ubarikiwe
@husseinmadundo14832 жыл бұрын
Jamvi tv nimevutiwa sana na vipindi vyenu hususan mlipoonesha kazi nzuri ya ujasiriamali kutoka kwa mzee Abdallah Malinda binafsi nimepena sana.Hivyo naombeni namba ya mzee Abdallah Malinda niwasiliane nae nikamtembelee kikubwa napenda nikajifunze ufugaji haswa wa kuku kutoka kwake.
@eradolyamuya39294 жыл бұрын
Jamvi tv naomba muniunganishe na huyo mzee wetu kuna kitu nahitaji kwake
@abdullatifhassan93994 жыл бұрын
Mashaallah mze umejitahidi Allah akuzidishie ila na mm nahitaji kupata hizo cages zinapatikanaje
@hilalyhashim21944 жыл бұрын
Nenda shekilango ubungo bussiness park mle ndani zipo
@hidayaseif63794 жыл бұрын
Safi kwa kutuelimisha
@judicateurassa78176 күн бұрын
Tupe namba ya simu ya huyu mzee
@alicempuya52384 жыл бұрын
Yuko sawa maji pia hunukia, licha ya kuku kupenda kudonoa vitu vyekundu
@charlesmagembe52084 жыл бұрын
Mama
@ochu-bb28 күн бұрын
Mzee namimi umenishawishi kufuga ,kuku mmoja ni Bei gani nianze kufuga
@husseinmadundo14832 жыл бұрын
Nimevutiwa sana na mjasiriamali mzee Abdallah Malinda naomba namba yake nijifunze kutoka kwake
@mwanatz59802 жыл бұрын
Maneno mazuri ya Mzee mfungaji.
@richiusvedasto64652 ай бұрын
Nimependa by rich makuku mbeya
@judicateurassa78176 күн бұрын
Niunganishe na huyu mzee nataka kufuga niko dar
@aishaamwalimu28872 жыл бұрын
Muhimu No ya simu, tunampataje huyu mzee Malinda.
@georgekassembe835 Жыл бұрын
Tunaomba namba ya simu tafadhali
@alexmakunga44842 жыл бұрын
Namba
@eradolyamuya39294 жыл бұрын
Hongera sana mzee wetu,naomba kuuliza,hizo cages zinapatikana wapi na zinauzwa bei gani
@loyaltygroup213 жыл бұрын
Kuku project wanauza watafute mtandaoni
@alexmakunga44842 жыл бұрын
Hunaweza tumia Bei gani kutengeneza ayo mabanda
@carolineakosa98353 жыл бұрын
Ndui ni ugonjwa gani kwa kingereza jameni
@furahamunisi73734 жыл бұрын
Mzee Dulla uko vizuri sana ila hujatoa namba za jinsi ya kukupata iwapo tutataka bidhaa zako au tukufollow wapi?
@gracemoronge34212 жыл бұрын
Niko kenya na nimefutwa na panda lenu.nitapata aje
@priscamagige65462 жыл бұрын
Hilo Banda kila stepu hizo umeweka kuku wangapi? Kwawastani
@charlesmagembe52084 жыл бұрын
Majuto
@kingxule65624 жыл бұрын
mzee umechapia kuku wa miez 2 hali gm 7 bhna huwa anakula gram 62 had 66 kwa siku
@loyaltygroup213 жыл бұрын
Vzr Ila ni maongezi tuu kuchapi kupo Ila kwenye utendaji anawalisha vzr
@gladymwaipopo76324 жыл бұрын
Mimi natamani kufuga lakini Sina mtaji
@teonasinyalu260710 ай бұрын
Mtaji mkubwa ni Muda wako Anza na Kuku mitetea mitano kuwa weka lengo kila Mwaka.
@sunsetpictures74844 жыл бұрын
Mzee pia haelewi siyo maji yananukia!hapana kuku hupenda rangi nyekundu na hupenda kudonoa sehemu yoyote iliyo na rangi hiyo
@loyaltygroup213 жыл бұрын
Lekebisha usikosoe
@hopefor20883 жыл бұрын
Wewe unafuga
@sunsetpictures74843 жыл бұрын
Ndiyo nafuga kwa sasa ninao sasso400
@sunsetpictures74843 жыл бұрын
@@loyaltygroup21 kukosoa ndo kurekebisha
@sunsetpictures74843 жыл бұрын
@@hopefor2088 ninao sasso 400 na wana week 24!
@akeem12213 жыл бұрын
Sasa atatotolesha vp vifaranga aina ya layers? mana kuku wazazi wako kwa mikono ya swkta ya kuku.