DOTTO MAGARI KWA HASIRA AMUOMBEA MSAMAHA MWIJAKU WAKATI AKIKABIDHIWA UBALOZI WA MABUS YA BM COACH TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA #manaratv #hajimanara #dottomagari #diamomdplatnumz #mwijaku
Пікірлер: 27
@VictorChrispinSamsonАй бұрын
Facts. BM for Arusha to Dar, and Shabiby for Arusha to Dodoma. 👌👌
@halimamwingu4478Ай бұрын
Camera man huna taaluma! Dotto anaposema angalia juu taa inatakiwa camera yako ionyeshe sisi viewers tuone
@shabamuhidin63426 күн бұрын
kweli kabisa,camera man dotto anaonyesha tv yye amekwama tu hapo hapo,sjui watu wanakurupua tu
@ashaali7154Ай бұрын
Eti umekuwa mfanya biashara siku hizi una kelele sana wewe na Mwijaku hamna tofauti midomo inawalisha mjini.
@damianikimario5695Ай бұрын
kazi zuri ila kameramani piga chini hana taaluma tafuta anayewea kazi kaanikera sana nimeshidwa kuona vitu vya masingi. alivyo taja Dotto
@Brunn-mh2bqАй бұрын
Kweli. Badala ya kutuonesha gari ilivyo anamn'gan'gania Doto Magari
@angelatheobaldАй бұрын
Basi nzuri sn
@SijaOlomi-cm4cwАй бұрын
Bm the one only
@user-wk2bg8zf3lАй бұрын
Hatari doto😂😂😂😂😂
@SelinaCharesАй бұрын
Tunaomba dar dodoma Mara moja
@jmtv1736Ай бұрын
Camera man hamna kituu
@alitante4279Ай бұрын
Huyu cameraman falaa
@user-gh9fi1kd9eАй бұрын
Jaga master ni nini wewe😂😂😂😂
@martinlema4192Ай бұрын
Cameraman umejitahidi maana huko ndani kunambanano lakini umejitahidi!!!
@SelinaCharesАй бұрын
Tunaomba kuuliza zinaanza ruti lini dar dodoma
@halimamwingu4478Ай бұрын
Manara tv nayo inaongopa tittle! Aibu kubwaa. Ishu ya BM unaandika ugomvi wa mwijaku! Millard Ayo atawaacha sn
@harunadaaprincesaidi5522Ай бұрын
Umesikiliza hadi mwisho au unaongea tu acha ujuaji sikiliza interview hadi mwisho mxiuuuuu
@husseinmazrui1006Ай бұрын
Cameraman miyeyusho
@chisongastephen7299Ай бұрын
Hahaah Doto bhana
@mwakiosalim2914Ай бұрын
Cameraman hajui kazi yake wakati Dotto anasema angalia taa unafaa uonyeshani kwenye Doto anasema we umeng'ang'ana tuu kumuonyesha dotto..Dotto tumekukubali sana uku kenya254🇰🇪
@user-df3xd8it1zАй бұрын
Iloo sasa ni gari au club 😂😂
@user-ti6yc2es3lАй бұрын
Wacha uongo wako panda bus ya Tahmeed kila abiria anakaa siti yake pekeyake
@AlmasiMlengeАй бұрын
Kari aisee
@user-yf1zj1vo1oАй бұрын
Sisi wakaskazin tuna mabasi yetu hayo wapelekeni mikoa mwingine
@Abu-Hamza254Ай бұрын
Acha sigara🚬
@Abu-Hamza254Ай бұрын
Hakuna mtu ataenda na bus umejaa walevi eti bus iko na bar
@Brunn-mh2bqАй бұрын
Labda wewe ndugu lakini wangine watapanda sana tu. Usipange maisha ya dunia nzima kaka yatakushinda😊