Loh! Kumbe mheshimiwa ana utambuzi mkubwa wa kujua mambo ya kiroho upande wa giza yanavyoathiri uma kwa kukosa kuomba na kumkataa shetani na kuungana katika ulimwengu wa roho upande wa nuru, maana yake watu waachane na uumini wa mambo ya Giza wamrudie Mungu aliye hai, basi tena! Tuamue wote kama taifa bila kujali cheo cha mtu kuwa Mungu pekee ndiye ainuliwe, atukuzwe, asifiwe,na kuabudiwa na serikali na watu wote wa nchi kwaajili ya utukufu wake Amen+.
@mtakatifubony55253 ай бұрын
Nipo tayariiii kumaliza mb zangu kwaajili ya kumsikiliza Makonda tu ,naenjoy sana
@deusisindwa6163 ай бұрын
Hujawahi kuniangusha,, 🇹🇿Inahitaji viongiz kama Makonda,,Mungu akujalie afya njema,,
@alvinmtui-vr9bf3 ай бұрын
Makonda wewe ni visionary leader.
@juliethhenrymasanja9403 ай бұрын
Makonda we ni mtu mzuri sana, mi kazi yangu nikukuombea tu, Ndo kazi yangu ❤
@skeetergodwins25763 ай бұрын
Paul Makonda Oyeeeee! Tunakupenda. Piga kazi! Wewe ni Mzalendo
@ndinzeissa47783 ай бұрын
Makonda nimekuelewa sana sana upo.vizuri sana kwasitaili hiyo hata rushwa zitapunguwa kwa kiasi kikubwa sana safi sana mkuu upo vizuri
@geofreykasinda18953 ай бұрын
Chamburo anajuwa sana kuongelea wafanya biashara wenzake
@laurencematitah70463 ай бұрын
Yaani hapo mkurugenzi alitakiwa achukue summary ya EFD machine ya hotel iliyoko arusha ili kujua mauzo ni sh.ngapi the atoze service levy, akiomba taarifa kutoka TRA atapewa ya property zote kwa sababu mfumo wa TRA unavuta taarifa kwa ujumla.
@123228793 ай бұрын
Ndio maana hatutaki huo mfumo.
@MussaJuma-sd4jc3 ай бұрын
Makonda ww ni Raisi wabadaeee mungu akufanyie wepesi inshaallah
@user-vy7hj9mo3l3 ай бұрын
Yani huyu ndio kiongozi jamani Yani anamaarifa ni zaidi jiniyazi Tena anautambuzi mkubwa sana maswali ya tecnisheni sana mungu akubariki mweshimiwa sikumoja ukawe Amiri jeshi mkuu wa taifa hilii Tz🤝🙏🙏
@user-td8bp9kz8d3 ай бұрын
Amin
@wariobamussa24623 ай бұрын
Makonda, Mkurugenzi na kaburu wote wako makini Sana ila Mkurugenzi ni very smart....nimempenda burr
@buchumiefremu58303 ай бұрын
Hongera makonda saidia watu tunaimani nawewe
@Izzoh20213 ай бұрын
Kutuambia matatizo ya mfumo hohohoho acheni nicheke tu tra bahna huo mfumo urekebisheni bahna mnatuchanganya wafanyabiashara
@aluiyahabibu67993 ай бұрын
Mh Mkuu wa mkoa elimu inahitajika sana kwenye swala la kodi. Kuna vijana wengi sana wana kampuni za mfukoni kwa kukosa elemu ya namna afanye awe mlipaji kodi halali.
@MohamedKasalama3 ай бұрын
Chapa kazi kijana wangu nakukubali sana ingawa watu wengine wanakuita jini potezea wewe jini mpenda nchi na Wananchi big up
@MaryHabilya3 ай бұрын
Hongera mweshimiwa Makonda una hekima!!
@lusajomwakalinga58133 ай бұрын
Mkurugenzi ametoa NIDA kama mojawapo ya changamoto , hajasema ameshindwà . Safi sana
@barakaedom38283 ай бұрын
Mapungufu ni sehemu ya ubinaadam wetu ila PCM una kipaji cha uongozi.
@priscambwambo10303 ай бұрын
Makonda your very smart, sehr intelligent, du hast sehr gut Gehirn. Bleib gesegnet Brüder Makonda.❤❤❤❤
@stanslausmteme84553 ай бұрын
Makonda upo vizuri sana kongole nyingi unauwezo mkubwa sana wa kutatua migogoro kuna vitu kweli haviendi sawa hapo mfanyabiashara angeumia bure na hii ukiifutilia kiundani kuna rushwa ilikua inataka kuchukua hatamu Heko sana Mh.Paul upo vizuri sana hivi vitu vinawafanya watu wenye nia ya kuwekeza kuondoa nia hiyo kwa kodi kama hizi zisizo sahihi bora huyo ni mwekezaji mkubwa vipi kwa wadogo? Mimi nakupongeza sana na nakukubali sana ingawa hilo swala wasio kupenda tu kwa sababu zao nyingine watanitukana.
@mayrfrimi47593 ай бұрын
Makonda eee, usimbane sana huyo wa TRA, wengi wao wamepachikwa tu kwenye kazi majukumu hawajui, ni upigaji tu.
@jamesmongelwa86253 ай бұрын
Congratulations brother Paul ila ungemuuliza mkurugenzi pia how jiji linaweza kuwa na wafanyabiashara 21 thousand???
@marianmartin74833 ай бұрын
Kaka, uko vizuri sana. Mwenyezi MUNGU akulinde na kukuonyesha njia zilizo bora zaidi. Hizo changamoto tunaimani zitaisha, duh!. Ndo maana nakuita wewe ni kilaka, popote unafaa.
@MapenziMalanda3 ай бұрын
Safi sana Msh Makonda💪 nemependa hiyo kidumu chama tawala
@user-po3qj8gb7e2 ай бұрын
Makonda makonda Fanya kazi mungu mbele makonda katikati wa Tanzania tupo nyuma yako
@ElishaSumari-zr3lk3 ай бұрын
Broo makonda big up xna kila nafas unayopewa huna den kwet wananchi.tunakuelewa mung akulinde
@angellomarcel56772 ай бұрын
Huyu Makonda ni zaidi ya Kiongozi MUNGU ampe Maisha Marefu mno
@machenjamaduhu76363 ай бұрын
Naona kuna system issues kutoka TRA inabidi walifanyie kazi hilo
@martinsimtenda59903 ай бұрын
Mungu akulinde
@mathiaslyamunda25263 ай бұрын
Utalii hauwezi kukua kwa utitiri huu wa Kodi 🔥🔥
@MakojaAtu2 ай бұрын
Kakaaaa makonda nakubari sana njoo dodoma hawo wanazingu natamani nikuone
@algorithmx3 ай бұрын
👏👏👏 PM sasa umehitimu kama kiongozi. Time well spent at Uongozi Institute. 👍
@octiminja52603 ай бұрын
Mama Anajua kupiga kwenye MSHONO HONGERA MAKONDA MH
@sariamichael46673 ай бұрын
Yaaan makonda hata ukimpa mwenyekiti wa Kijiji kazi utaiyona big up brooo❤
@deeruta98943 ай бұрын
Makonda kiboko na 🔥🔥🔥 sana God blssd you
@Shalom8033 ай бұрын
Big up Hon. Paul Makonda❤
@elibarikimollel71493 ай бұрын
Huyu Mh.Rais wetu Mama Samia ana nia njema kuhusu hili lakini wengi wa wateule wake wa ngazi za juu,kati na chini, wanamuangusha, ndio mana akamtafuta MTU mmoja mwenye uthubutu ili akafukie mashimo yaliyozushwa na baadhi ya wasaidizi wake kwasababu ya conflict of interest za viongozi ndio mana sasa unaona maelezo ya mfanyabiashara huyu yanavyoweka uwazi wa udhaifu wa kimfumo ulivyo mbaya!... Hili lingedhibitiwa na mfumo mpya tu kwa kubadilisha mfumo wa kiutawala uliopo sasa ambao ungetunga sheria mpya rafiki za uwakilishi sahihi wa watumishi wa serikali kuwa waaminifu kwa Serikali kuu na wadau wa kodi zake zote! Kutafuta muarobaini wa tatizo la watendaji wazembe kwa nguvu mbadala wa muda usio rasmi kimfumo na kisheria ni jambo la msimu tu kwa nia ya kutafuta ridhaa ya kisiasa kwa muda mfupi na kujikuta tunarudi katika tatizo lilelile la kimfumo lililokosa dawa!.
@MohamedIbrahim-bn1gz3 ай бұрын
Kaburu kama unakumbuka hawa jamaa walitusumbua sana mwaka juzi inabidi sasa tuyamalize kabla Makonda kuamiswa Newala
@barakaedom38283 ай бұрын
Kwanini ahamishwe
@aubreykasoyaga16653 ай бұрын
Kweli kabisa Brother
@MohamedIbrahim-bn1gz3 ай бұрын
@@barakaedom3828 mambo siyo mazuri Newala kuwataka mtu ka Makonda ama sivyo dhuluma itazidi
@angellomarcel56772 ай бұрын
Hahaa eti Newala😂 na kweli kwa Mwenendo huu Makonda atakimbiziwa huko😅
@mayrfrimi47593 ай бұрын
Hizo kodi za tanzania ni kubwa kupindukia, mimi ilibidi nihamie kenya, huku unaona hata eaha ya kulipa, Tz ni kero wadai kodi hawajui hata kumuelimisha mtoa kodii, inafika mahali tunajiona kama sisi watoa kodi ni waalifu.
@bakarimmbaga23443 ай бұрын
Mmh! Mhe: mkuu wa mkoa yuko vizuri... Hongera zako Arusha tumepata jembe
@andrewmaiga43313 ай бұрын
Hongera sana Makonda.
@mathiaslyamunda25263 ай бұрын
I like how PCM dives into details of things 🔥
@dayana5513story3 ай бұрын
Makonda🔥🔥🔥
@giftluyana13903 ай бұрын
Nakuelewa. Kaka. Mungu. Akulinde. Saanaaa🎉🎉
@mlangaliromwenda69453 ай бұрын
Mweeshimiwa MAKONDA huwa na kukubali sana.
@DanielKahyolo3 ай бұрын
The Great Makonda
@susananyasani65263 ай бұрын
Aibu kubwa sana kwa Nchi nzima kama Wizi na Rushwa unatawala hii inaleta Umaskini Nchiani asante
@victoriamwailubi84743 ай бұрын
Safi sana mheshimiwa
@florinehezron45933 ай бұрын
Tausi bado ni shidaaaa
@kiatu3 ай бұрын
Excellent Makonda
@user-md7ug5dd9r3 ай бұрын
Asante sana Makonda
@MarcoLucas-mm2kd3 ай бұрын
Safe sana kaka ipoh siku utakuwa raising wa inchi🎉🎉
@edwardpeter90143 ай бұрын
Big up
@zariadunia63283 ай бұрын
Mama anaongea makusanyo halali yatatoka wapi na misafara ya kupeleka barua kama hii😊😊😊😊 mama samia pole nchi hii itakuzeesha mama yangu ninakuombea sana mwambie majaliwa na mchengerwa wakusaidie hawa TRA nao ni shida sijui nani hajaliona hili
@robertbutahe28353 ай бұрын
Naweza kukiri hapa...kwa haya ninayoyasikia kutoka kwa Mhe. Paul Makonda...huyu ni kiongozi sahihi wa nyakati hizi. Hakuna asiye na mapungufu. Tunahitaji viongozi aina ya PCM...nimependa jinsi anavyoapproach mambo....ana uelewa mkubwa sana wa mambo ya uongozi.
@billmkushi8493 ай бұрын
Glory to God the Almighty
@SamsonSamson-bp6ok3 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda wewe ni mtu poa sana yaani unafuatilia vitu kiuhalisia Mungu akuwe kaka
@Pacha-xj8zd3 ай бұрын
Paul makonda n 🔥 so I can get the point
@leylaruhabaye90173 ай бұрын
Tunaanza na herufi yako ya p. Ww nikiongozi uliyebarikiwa kutoka kwa tumbo la mama yako popote utaongoza mungu akubariki poo makonda
@davidmariki11053 ай бұрын
Mh. Makonda nimekupenda buree!! Hadi nimecheka jamaa wa TRĄ anavyokuambia mfumo hautaki
@YusufSwaibu3 ай бұрын
isee makonda ujue ww nikichwa unakili Sana ila naimani ucha Mungu unakusaidia Sana pia na uzalendo wako Kwa Taifa lako na uwajibikaji wako na pia huyo mkurugenz Yuko viziri nikumpa majukumu tu
@user-ln3uc4yo5u3 ай бұрын
Makonda wewe ni kiongoz waleyo mama nakupenda anajua utendajiwako
@buchumiefremu58303 ай бұрын
Hongera makonda uko vizuri
@nanguniMtaita-hz4zt3 ай бұрын
Buchumiefremu nakushangaa mno. Kama huna lakutuambia nyamaza. Makonda tungali tunamsubiri tuone kama ameshamjua Mungu au bado. Maana bado ananuka harufu ya damu ya ndugu zetu hatujawaona. Sasa nimapema mno kutoa pongezi kwake. Subirini tumuone.
@MsAggie53 ай бұрын
@@nanguniMtaita-hz4ztpole sana aliwaua ndugu zako wapi? Na wangapi? Ilikuwaje na unauthibitisho gani kama ni yeye aliyeua? Hadi leo kuna wanaopotea nao ni yeye?
@user-ne5cg4vv1h3 ай бұрын
@@nanguniMtaita-hz4ztdugu yako nani tutajie sio vyakuchafuana tu tupe ushahidi wako sio unakulupuka tu mmeuana kwenye milasi yenu et MAKONDA jiangalie mzee hapo unaongerea jinai mzee utwambie vizuri
@nanguniMtaita-hz4zt3 ай бұрын
Kuwa mtulivu unapojibu masuala haya. Wewe ni mgeni katika Israel? Huyasikii yamavyozungumzwa? Marekani tunayoihisudu imesema nini kuhusu Makonda? Wapi ekanushwa kwamba anasingiziwa? Mbona kuna marufuku asiguse mguu Ulaya na Marekani? Kisa ni kitu gani? Huyajui haya? Acha uchawa, ongea tete.are tete.
@nanguniMtaita-hz4zt3 ай бұрын
Nimsingizie namjua? Sijasema kaua ndugu yangu, lakini wakubwa wenzie hujawasikia mubashara wakisema? Amani ni kusikia na kuamini yasemwayo. Lissu.kasema wazi, waliompiga marisasi mheshimiwa huyu alipngoza genge la kikafiri la mauaji, sasa unataka mpaka amalize na wakwangu? Kwanza mie sina.ndugu atawaua nani?
@nicholasmkama28773 ай бұрын
Piga kazi makonda.hekima ya mungu iendelee kukuongoza.
@user-ki3gt6gy1l3 ай бұрын
Makonda wewe mungu kakupendelea unajua sana saidia watu mama hajakosea anajua madudu masaidie mama
@mathiasmacha56703 ай бұрын
Mama hajakosea kumpeleka mhe, Makonda Arusha naamini atakaa katikati kw mustakabali wa Taifa letu
Huyu Jamaa Mr Chambulo ni Mtu flani Makini cose anajua kunyoosha Maelezo, aidha yuko sahihi au kuna Pahala anakosea But nadhani anahitaji kuelekezwa kwa Makini awe mteja wenu Mzuri...Msitumie Mabavu kuwanyanganya watu pesa zao. ..Kikubwa mi namuombea Mh Makonda afya njema maana Mkoa wa ARUSHA una Complications nyingi..kumejaa Wapigaji sana.
@simonmwandu22143 ай бұрын
Makonda wanamchukiaga bule tu ila huyuu jmaa anakipaji san cha uongozi na akili mingi san. Waafrik tulirudishan nyuma kwa roho mbay tu
@user-kq4yx3lg6f3 ай бұрын
Mi mkurugeze nimemuona naye yupo vizuri ila anachanganywa na TRA na anaonekana ni mtu wa kujifunza, ila Makonda ni zaidi ya kiongozi.
@AlfredYahhi-rq4tp3 ай бұрын
System interaction is best than better human interaction but should be there
@lightnessmndeme98742 ай бұрын
Jitahidini kwenye upande wa sound. Ni kama wire haujachomekwa vivuri sound ina noise
@bignewscity49273 ай бұрын
Tunaenda mbele tunarudinyuma tatiz ni sisi wananchi tuliletewa vitambulisho mpaka mitaani naserekali kwa gharama kubwa tukavikataa sisi ndotunafanya serekali ishindwe kuuhudumia vizuri, na ndochanzo cha mianya ya ruswa naomba maelekezo ya mkuu wa mkoa yasiishie arusha iwe mikoa yoye inayohusika na utalii iwewazi kumsaidia mama utali unasaidia sana pesa zakigen
@calvinlema61073 ай бұрын
Tra hawezi kuchanganua shule hana yeye anajua kupeleka bili TU kama dawasa makonda anaelewa mambo ya Kodi na mfumo kuliko tra haya ni maigizo.
@user-ku8dk7bu7p3 ай бұрын
Kabisaaa tra hakunaa kituu kabisa😂😂😂😂😂😂
@user-hx4eh3cq1n3 ай бұрын
Paul waga unaona mbali sana bro
@zamdaomary59382 ай бұрын
hvi hawa ndo wasomi wa nchii yetu kweli dah
@sundaymwakindu53373 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@RoseKimishabhalemi-oz9bn3 ай бұрын
Ahaaaaaaaaaa
@endeshyamat67733 ай бұрын
😂😂 I like the questions
@chesconkwera20053 ай бұрын
RC ume midiate vizuri sana
@susananyasani65263 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda huwo msemo wa wakusanya Kodi lazima ukaguliwe kuna wizi hasa wafanya kazi ya rejareja chini ya wanyonge
@deomajuva24323 ай бұрын
😂😂Kuna mtu hata haelewi wanachoongea hapo lakn yuko makini
@julianmsele38803 ай бұрын
HII NCHI INATAKA VIONGOZI KAMA MAKONDAAA💪💪💪💪💪💪💪💪
@Elihuruma3 ай бұрын
Baba hapo rushwa ya kutosha watu saba gari moja kazi ya aina moja wezi kabisa
@muxinkuya91613 ай бұрын
Mfumo wa tausi ni changamoto sana unapotaka kurenew leseni. Unatakutaka uattach docs ambazo zinapitiwa na binadamu hao hao. Inachukua zaid ya masiku mpaka urukw ofisini kwao unaanza upya. NB: With experience in hand.
@justinelukumay53083 ай бұрын
Makonda pambana maana hawa jamaa wasijifanye hawaelewi yaani ushindwe kuchanganua malipo ya mapato na nyinyi ndio mnaochaji pesa jamani Mungu Tusaidie Makonda ikiwezekana TumbuaMajipu
@margretben69202 ай бұрын
Mkurugenzi alitakiwa kwenda Wilderness kuulizia ukubwa wa taarifa jumuishi aliyopewa na sio kuchakata kitu ambacho hakielewi
@endeshyamat67733 ай бұрын
Mfumo wa tra basi utakuwa na shida kama inatoa lampsum only inatakiwa ya individual branches to specific regions
@MapenziMalanda3 ай бұрын
Kuusu swala la maombi nashahuri mkuu wa mkowa kamuone Doctor Lema wa Safina Redoi hilo litakaa Sawa Kwa uwezo Wa Kristo Yesu.
@laurencematitah70463 ай бұрын
Hata huyo meneja wa TRA hajielewi
@roudhamahmoud7633 ай бұрын
Hatuendi mbele kwa utiririko wa makodi mtihani
@margarethsaramaki39663 ай бұрын
Msilaumu wakati wanapewa maelekezo toka juu ni mfumo wa nchi nzima ni si Arusha peke yake Ni kazi kubwa na siyo kitu rahisi
@josegambi71493 ай бұрын
Wasomi tulio nao ni madudu matupu. Hivi kweli kiongozi usijue wilaya yako inazalisha kodi kiasi gani kweli?
@user-pf5zc6xi9wАй бұрын
Sijawi kusikiliza bunge ila makonda nakusikiliza
@neemakerefu48763 ай бұрын
Mkuuu Makonda.mimi Nina wazo .naomba ifanyike operation kubwa ya kuhamasisha wafanyabiashara wawepo kwenye maduka Yao Wale wafanyabiashara ambayo hawajasajiliwa wapitiwe pale pale dukani wasajiliwe yaani awepo MTAALAM WA TRA NIDA. LESENI . ILI MTU ASAJILIWE NA NIDA TRA AMKADIRIE KODI. AFISA BIASHARA AMKATIE LESENI YA BIASHARA Hii itasaidia kumaliza tatizo angalau kidogo
@MsAggie53 ай бұрын
Kuna aliyetamani kuja Serengeti lakini ghalama kubwa akaishia Kenya. Na kuna aliyetembele Serengeti kupitia Kenya. Hizo kodi ziangaliwe, zinapunguza mapato
@BituroPaschalKazeri3 ай бұрын
tatizo ni uvivu
@maryluhaga15893 ай бұрын
Niliamua kusikiliza hii mada mwishoni imenifuraisha kweli havi huwa mnamaombi kweli arusha tumutafute mungu jamani
@mahijayusuph81863 ай бұрын
Hamna kitu kama hicho huo mfumo lazima uwe na taarifa kimkoa na kiwilaya.
@iddiabdallah73523 ай бұрын
Mzungu wa kike anacheka maskini anaona jinsi gani mkuu wa mkoa bora anavyomjambisha mkurugenzi anajiumauma tu 🤣🤣🤣