wanachomuadhibia Mpina ni nini kumbe anayosema Mpina ndicho wengine wanalalamika,ukiwa mkweli hukubaliki.
@alexmatt950429 күн бұрын
Ahsante Msukumo kwa kuwapa ukweli hao Mawaziri wawili.Kuhusu utafutaji wa vyanzo vingine vya kukusanya pesa sina uhakika kama wana huo uwezo.Na nilimsikia Mbunge Shabiby akilalamikia hivyo hivyo.Na hii issue very simple kwa nchi kubwa kama Tanzania kuna vyanzo vingi sana vya serikali kutengeneza pesa bila hata ya kuwakaba koo wananchi wa kipato cha chini ambao wanashindwa kula hata milo 3 kwa siku! Kuna vijana wengi huku mtaani hawana hata degree 1 lakini ukiwadadisi kwenye nyanja ya Uchumi unagundua wana positive economics strategy ideas!
@RubenMtuwaMungu-bz8ee28 күн бұрын
Musukuma hawezi kumpenda Mpina kamwe sababu ya kukamatwa kwa gari lake likiwa na samaki wachanga enzi Mpina akiwa waziri.
@gasparlubaga586629 күн бұрын
Naona waziri anataka watu wanywe uji na limao au ukwaju
@user-nv7kj3gl3oАй бұрын
Jamani sukari piya dili tuwachiyeni sukari
@MariaCassian-e2i13 күн бұрын
Msukuma mm niliisha kusukumaga kitamboo sana ukiona wabunge wanamuandama mbunge mwingine na wewe unamuandama ukiona kisu kimerudi upande huo unatudi tena huku usituvuruge tulikupenda sana kwaasilimia 💯 lakini nimepunguza zimebaki 25 tu
@frankpeter417826 күн бұрын
Huyu naye ninashawishika kuamini siku hizi hayuko upande wa Wananchi maana hata ishu ya Dubai alitajwa......😂
@user-yv8ww7lg1xАй бұрын
Watanzania tunaenyeka mafisadi wanenepe Mungu anakuja kl chozi mtalilipa wallah
Wanajua wanacho kifanya,hapo tunazungukwa tu,lengo nikupoka uhiru waviwanda wanataka kuhalalisha makampuni yao yaanze kuleta sukari maana yake viwanda vyetu vyandani vitakufa wakulima wamiwa wataacha pia kulima miwa watakosa wakumuzia
@festosimlembe690626 күн бұрын
Mambo ya ajabu yanajadiriwa hakuna anae wapigania wananchi wahali ya chini hapo tunadanganywa tu,kila kitu walisha jadiriana na mawaziri wote nichama kimoja,kilicho pangwa ndicho watakikamilisha hicho hocho hakuna kinacho amliwa kipya hapo.
@zully756Ай бұрын
Wakamateni mafisadi watumishi wa umma
@mwakalingaamani4693Ай бұрын
Huyu jamaa ni kichwa
@MariaCassian-e2i13 күн бұрын
Shida yenu mnataka kuvuruga soko la Tanzania ili mkuze soko la Dubai ndio maana mmemfukuza mpina lakini halitafanikiwa kama halipo kwenye mpango wa Mungu sasa kosa la MPINA lipo wapi? mmemdhalilisha mmwmbeza leo mnasema nini? hatuwaelewi
@dismasmtui729Ай бұрын
Waruhusu biashara ya sukari iwe huru serikali ihakikishe ubora na bei, wakati mwingine tunasema tunataka kulinda viwanda vya ndani huku tunadumaza viwanda vyenyewe.Mbona viwanda vingine vinashinda bidhaa nyingine lakini havifi bali vinatoa bidhaa nzuri kuliko hizo zinazoingizwa.Mfano TBL, Cement etc
@ludovickndaki461629 күн бұрын
Siku zote alie zoea KAZI lain hajui kuumiza kichwa atakwambiatu tutabana sehem frani watatoatu dah mnatukatisha tamaa jaman
@richardhezron258829 күн бұрын
Watu hatushirikishani sheria kutunga sheria
@user-cz7bd9tc5k29 күн бұрын
Badala ya kujenga vinda na kuongeza Ajira Munafikiria namuna ya kuagiza sukari Dubai Jamani humo Bungeni Wote ni chumia tumbo kabaki Mpina peke yake naye Mta hakikisha Anakufa
@cynthiamcguire149529 күн бұрын
£3 bag of sugar is an absolute rip off😢
@gasparlubaga586629 күн бұрын
Mbona Mpina alisema ukweli,sasa wanamtuhumu kwa lipi?
@sembuakimbosho331929 күн бұрын
Mfanyibiashara wa karakoram alimuuliza mwiguru kuwa anapenda kamatakamta mipakani