No video

WAKULIMA KULIPA KODI MAZAO KWA EFD, Mbunge Amvaa Mwigulu Nchemba Atoa Ushahidi

  Рет қаралды 83,568

BM TV TANZANIA

BM TV TANZANIA

Күн бұрын

#BmtvTanzania #Bmtv
Tembelea
bmtvtanzania.com/
INSTAGRAM
/ bmtvtanzania
FACEBOOK
/ bmtvtanzania
TWITTER
/ bmtvtanzania1

Пікірлер: 391
@listamaswaga5289
@listamaswaga5289 2 ай бұрын
Mwigulu hutufai watanzania
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 ай бұрын
Umejuaje? WAKTI Mwingine NAJIULIZA hivi Mtanzania akipata uwaziri ANALISHWA SUMU GANI?? Hivi kweli watu wanajua matumizi ya EFD NA JE HIZO EFD wanazifahamu kweli ? MUNGU TUSAIDIE
@user-cw2nj4io3v
@user-cw2nj4io3v 2 ай бұрын
Mbunge hongera sana, Mwigulu aondoke ktk hiyo wizara, hafai kabisa!
@edgaredward3490
@edgaredward3490 2 ай бұрын
Huyu jamaa cjui kapata vipi wizara nyeti na mama kwenye Inchi
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 2 ай бұрын
Huyo Jamaaa ni mjinga ndio maana magufuli alimtumbua huyo hana faida yeyote
@hawaally2308
@hawaally2308 2 ай бұрын
Wao mbona wanalipwa zaidi ya 10 m hata Kodi hawalipi lakini wanabana watumishi na wakulima wadg kulipa Kodi.
@afandechanel1507
@afandechanel1507 2 ай бұрын
Huyu Migulu hafai hata kua mkuu wakata maana huongozi hajui
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 2 ай бұрын
Wanasahau walisomeshwa kwa pesa za walipa kodi tena watoto masikini leo umefika hapo juu unasahau kumtetea mnyonge hii laana haitawaacha salama shida ingine ni kwamba Tanzania haijawahi kuwa na chama kingine madarakani zaidi ya sisiemu
@rashidkihunga2938
@rashidkihunga2938 2 ай бұрын
mwigulu hatufai wakulima
@silassaitoti7689
@silassaitoti7689 2 ай бұрын
Sio sawa kabisa mkulima Ndio analisha Taifa
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 2 ай бұрын
Kwani hakuna mtu mwingine anae weza kuwa waziri wa fedha , siaapewe mtu mwingine,
@michaelmagwaza-bc6mk
@michaelmagwaza-bc6mk 2 ай бұрын
Hecco sana Mbunge makini Muelewa Mwenye hofu ya Mungu na Mtetezi wa Wanambozi.
@catherinemzurikwao3265
@catherinemzurikwao3265 2 ай бұрын
Sijawahi kumpenda wala kumwelewa Mwigulu. Hafai, hafai, hafai, hafai tena
@hidayaismail-fk1js
@hidayaismail-fk1js 2 ай бұрын
@@catherinemzurikwao3265 kabsa yaan
@bakarikaoneka1080
@bakarikaoneka1080 2 ай бұрын
Uwezekano wa kupiga hatua kwenye kilimo ni mdogo sana sana.
@Anithawilielemi-uh3ww
@Anithawilielemi-uh3ww 2 ай бұрын
Mwigulu ajiandae kuwapa wakulima mvua pia,ni mvivu wa kifikiri,
@yapukahassan
@yapukahassan 2 ай бұрын
BM TV nashukuru kwa kutoa maelekezo mazuri kabla ya kukomenti . Mmi nilitaka ni m2kane waziri wa pesa maana anatia kichefu chefu
@simasima8084
@simasima8084 2 ай бұрын
Hv mwigulu ww ni mtanzania kweli mbna huna huruma we mzee nitaomba dua zte utoke kwenye hzo wzara kbsa 😢😢
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 ай бұрын
kwasababu raia bado ninyi ni wajinga na waoga hapo na bado
@munuoisaack418
@munuoisaack418 2 ай бұрын
Hakuna utumwa kama uwezo mdogo wa kufikiri,,,mlisema gas ni majibu ya Nch leo.mnakuja kubana wakulima WOI hakuna kitu hapo kwa huyo kiongozi
@calvinloveambroce842
@calvinloveambroce842 2 ай бұрын
Mwigulu ni sawa na Israeli mtoa roho afai kabisa kuwa waziri
@johnparkr
@johnparkr Ай бұрын
Mawaziri wote kulipa Kodi kwenye mishahara zao, seating allowance na manufaa zingine wanazozipata..........
@Edger-bn2mt
@Edger-bn2mt 2 ай бұрын
Hv kwann magufli hakuruhusu hyu mwguru awe wazr wa fedha
@anastazialushika
@anastazialushika 2 ай бұрын
Tulia hongera sana dada uko vzr sana.
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 2 ай бұрын
Matajiri hawallipi kodi kodi wanayolipa chache
@user-jc8vt7ct9t
@user-jc8vt7ct9t 2 ай бұрын
Huyu jamaa ni zero kabisa mwigulu hufai kabisa
@suleimanhemed9543
@suleimanhemed9543 2 ай бұрын
Hivi niwaulize tra, kwa nini mnakusanya kodi kutokana na mtaji wa mfanya biashara na sio faida ?
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 2 ай бұрын
Huwezi kukusanya ushuru kwa maskini wanaojitafuta wakati kuna matajiri mnakula nao........
@kayumbasosthenes3596
@kayumbasosthenes3596 Ай бұрын
MWIGULU toka umekuwa navijisent umekuwa namambo yakiwak,unadhan wenzako hawatak kuish maisha bora eeh
@sajurumassawe7431
@sajurumassawe7431 2 ай бұрын
kwa kweli kama Hawa ndio walisomea uchumi basi Tanzania tumeisha huyu hata mchunga ng'ombe anamshinda na kufikri huyu hafai kbs kuwa kiongozi ndio maana magu kamfukusa na ww unamrudisha angalia ss nn anafanya kama ujinga
@thomasmwakatobe8207
@thomasmwakatobe8207 2 ай бұрын
Waziri wangu Mwigulu ukifanya hivyo utaleta njaa Tz hata wenzio waliona hivyo ndio maana wakakaa kimya..Kwanza kilimo chetu Bado tuko nyuma Sana maana mpaka Sasa tunategemea mvua hiki ni kilimo Cha kienyeji Sana at least tungefika kwenye kilimo Cha umwagiliaji Kwa asilimia 85 - 90 Kwa hatua hiyo angalau tungesemea Kodi ingeleta maana Sana.Mungu Bariki viongozi wetu.Amen
@leokamil6284
@leokamil6284 2 ай бұрын
Yeye anaishi kila kitu bure mshahara mnono atakumbuka vipi wakulima maskini ambao hawana mbele wala nyuma.Jamaa kasahau katoka kwenye familia maskini. Kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa.Waziri huyo ni mbishi mbinafsi anajiona anajua na Elimu yake ya kuunga unga .Ndio maana mwendazake alimtema hajui ila anajifanya anajua Mbinafsi TRA si ni nyinyi mnakondamiza wananchi na ubinafsi wenu .
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv 2 ай бұрын
Tatizo ni cheti Cha mwigulu
@shabaniramadhani8026
@shabaniramadhani8026 2 ай бұрын
Kwani nini huyu Mwigulu mama samia usimtoe. Unamng'ang'ania nini?
@user-ek7nu1qc8g
@user-ek7nu1qc8g 2 ай бұрын
@@shabaniramadhani8026 anatakiwa amchomoe huyu atamchafua mama
@mussabuhe8881
@mussabuhe8881 2 ай бұрын
mwigulu kwani Tanzania Haina wasomi mpaka huyu jamaa mbona apo Amna kitu jamani uyo trati na trabu
@medsonulendo4221
@medsonulendo4221 2 ай бұрын
Wazir wa fedha mkulima watanzania nimasikin sana mh Bashe anapambana kuikwamua hii nchi kupitia kilimo waxir wa fedha anataka kumkwamisha ushaur wangu kwa Rais aliamgalie hilo kwa umakin
@ndayi7
@ndayi7 2 ай бұрын
Watanzania tufikili kuhusu uzalishaji na myoyo wa uzalishaji..Mtasababisha njaa nchini.Wakulima nao ni Watu na wanafamilia kama ninyi..Tunategemea maono mema KUTOKA Kwa viongozi wetu.Mungu anawaona
@AmbokileBukuku-hq2zk
@AmbokileBukuku-hq2zk 2 ай бұрын
Walima mwaka huu tusilime paka serekali ibadilishe Sheria yake na kama wataka tuone wabunge wakitoa Kodi
@user-ml5tq8hj2x
@user-ml5tq8hj2x 2 ай бұрын
Kweli sijui mama alimrudishaje mwigulu jamani hii ni shida tunateseka sana vitu viko juu umaskini ni mkubwa hakuna unafuu wowote halafu leo wakuluma watozwe kupitia mashine ya efd ni aibu
@andrewIzdory-sk4cu
@andrewIzdory-sk4cu 2 ай бұрын
Mwigulu ni waziri mwenye roho ya kikatili sana kwa watanzania maskini. mfanyabiashara aliyejificha kwenye mgongo wa siasa.
@alexvenas2699
@alexvenas2699 2 ай бұрын
Huwa Kila nikimuona mwingulu naelewa kwanini Magufuri hakutaka kumtumia kwenye utawala wake , anakera sana aise.😢
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 2 ай бұрын
efd kwani inashida gani
@catherinemzurikwao3265
@catherinemzurikwao3265 2 ай бұрын
Hanaga akili huyo waziri
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 ай бұрын
UMEJUAJE NDUGU?
@user-kx7ob5rx4p
@user-kx7ob5rx4p 2 ай бұрын
@@YOSHUAMWAMPETAwe un
@user-ml5tq8hj2x
@user-ml5tq8hj2x 2 ай бұрын
Na kweli hatutamuelewa mama hii ikipita ya efd kwa wakulima hakika
@yahayaramadhani6418
@yahayaramadhani6418 2 ай бұрын
Mwigulu nikatiri sana, hana huruma
@boniventurehussein7276
@boniventurehussein7276 2 ай бұрын
Mwigulu 😢 yaan wewe ningekuwa Rais walahi hata ubaloz nyumba kumi hupati
@suleimanissa2089
@suleimanissa2089 2 ай бұрын
Mh. Tulia big brain
@user-je3oq5yo1e
@user-je3oq5yo1e 2 ай бұрын
Mbunge uliyesema mawaziri wavivu kufikili uko sahihi kabisa sababu asilimia 75 %Tanzania ni wakulima wadogo hakika tufike wakati tuseme huko juu viongozi mnatuboa
@KelvinMtavangu-ow8yo
@KelvinMtavangu-ow8yo 2 ай бұрын
M. Mwaisongole upo vizuri. Hivi ndivyo hayati Baba wa Taifa J.K. Nyerere Alitetea wanyonge. Yawezekana tumejisahau?
@user-jr3mg3ko6m
@user-jr3mg3ko6m 2 ай бұрын
Mwiguru kichomi Sana kwenye tozo arisema ambaye hataki akaishi Burundi hatufai hatakido
@catherinemzurikwao3265
@catherinemzurikwao3265 2 ай бұрын
Tena ni kichomi kisicho na dawa
@ahmed-shakirmwamba4992
@ahmed-shakirmwamba4992 2 ай бұрын
Mwigulu, Alisema
@user-ek7nu1qc8g
@user-ek7nu1qc8g 2 ай бұрын
Huyu jamaa 😢
@FaabiranOmar-x3u
@FaabiranOmar-x3u 2 ай бұрын
Tungeni sheria kwa usahihi msikandamize masikini kuweni makini
@joshuamwambene2874
@joshuamwambene2874 2 ай бұрын
Mama Samia tunakupenda mama yetu tupe waziri mwingine wa fedha amekuchafua
@user-xc6ls9xn8h
@user-xc6ls9xn8h 2 ай бұрын
Mwigulu hewa tupu hafai hafai kabisa mjanja mjanja sana
@onesmomwakasege5215
@onesmomwakasege5215 2 ай бұрын
Napendaga Sana mwigulu akikutana kwenye maswali na Dr tulia inakuwaga ni vita mulahaaaaaaa
@user-uo9kk7kn9z
@user-uo9kk7kn9z 2 ай бұрын
Mbunge hongera mwigulu mvivu wa kufikiria atafte Kodi kwenye mabandari tu
@dignakanje4508
@dignakanje4508 2 ай бұрын
Hivi kwann usiachie tu hicho kiti mweshimiwa ili maisha mengine yaendelee.Kwanza uhasira,unajibu kana kwamba wabunge hawajielewi,wakati ndio wananchi wamewachugua nakuwaamini.Kiukweli mweshimiwa waziri Huwa unatoa maneno makali sana hta wananchi tunaumia,.
@user-kx7ob5rx4p
@user-kx7ob5rx4p 2 ай бұрын
Hawa wanataka ya kenya
@PartySekemi
@PartySekemi 2 ай бұрын
Hongera sana kijana msomi makini mh tulia mungu akupe maisha marefu
@josemalley1691
@josemalley1691 2 ай бұрын
Tulia kiongozi wanguuu umemjibu vizuri
@saadmohamed3186
@saadmohamed3186 2 ай бұрын
Duuh wacha mvua inyeshe tuone panapovuja lei mkulima alipe kodi tena kwa Efd aisee na mvua nazo serikali ipo tayari kuwawezesha wananchi!! Kilimo cha kimasikini tena mvua sio za uhakika, huko vijijini hawaijui hata efd mashine!!
@abubakaranwar337
@abubakaranwar337 2 ай бұрын
Wewe Kuma mwiguru mchumba zakayo umetuzoea
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 ай бұрын
Siyo aondoke kwenye wizara tu bali katika jimbo wamnyime kura tumwone kama ataweza kuchekelea ulipoondolewa kwenye uwaziri na Magufuli ulifiata na kuwa mnyonge kama mgonjwa. Umepewa tu unaona masikini waendelee kuwa masikini hoyo ni roho ya kimasikini hata kama unapesa lakini roho yako ya kutu kabisa.
@HalidMuhammad-gi9qy
@HalidMuhammad-gi9qy 2 ай бұрын
Jamani jamani mwigulu madaraka yanakulevya kupindukia acha ushenzi wako ni ubaya
@Garusahir
@Garusahir 2 ай бұрын
Huyuu sio mtanzania anakosaa hurumaa inaa onekanaa hanaa jamii inayo jihusisha na kilimo
@bornifacecharles2
@bornifacecharles2 Ай бұрын
Akitoka Sami atake fata urais ni Tulia
@bahatisaimon6019
@bahatisaimon6019 2 ай бұрын
Kwani nchi nzima hakuna anaeweza hesabu tofaut na huyo Mwigulu wenu
@user-zg1pu1gl2d
@user-zg1pu1gl2d 2 ай бұрын
Me na Lima kwajili ya chakula na kusaidia familia yangu kwamahitaji yote , afu Pembejeo ni gharama bado unaniambie nilipe kodi kweli ? Hiyo haiwezekani embu sikilizeni point anazoongea huyo mbunge, buni vyanzo vingine vya Mapato mtaka kutuua wakulima wadogo ety .
@christopherbonifacekiputa8584
@christopherbonifacekiputa8584 2 ай бұрын
Tulipe kodi wakati tunapeleka wapi wakati mazao yetu tunayaweka ndani!? Shubamitii waziri!!@ mfyuuuuu!! Maninaaaaaaa!!
@ayubumwakabana2137
@ayubumwakabana2137 2 ай бұрын
Wanyiramba hoyeeeee , hongereni Kwa kumpa kura huyu mtu 😂😂
@jumadinya3796
@jumadinya3796 2 ай бұрын
Jamani mbona kushiba kwenu kunafanya maisha yawemagumu sana kipindi hiki tangu Tanzania itawaliwe na J. K. NYERERE hatujawahi kuona utitiri wa makodi kama sasa wewe unasema wakulima wawe na mashene yanini au huu muridi wa mashine kuna mkono wa mtu jifikirie. Kwanza. Ukila ukishiba wewe fikiria watu. Wengine hawajala nyinyi kupelekwa na wapiga kura mume pata kiburi jieni kua watu watawachoka bora tujaribu tena chama kingine tuone hii ndio dawa yenu jeuri ya pesa imewajaa hamjali masikini pua hamwatetei wambunge kazi yenu ni kutetea watanzani zidi ya serekali futa tamko la mkulima kua awe na mashine
@gracelukumaybarikiwasanara7114
@gracelukumaybarikiwasanara7114 2 ай бұрын
Jmn wananchi tunateseka sana raisi muondoe huyu wazri muweke mwingine atakuchnganisha na wananchi
@Ali.salimu
@Ali.salimu 2 ай бұрын
Mwaigulu. Hufai. Kabisa. Wewe. Ni. Mnyonyaji. Nakuchukia sana
@kulwasamwel3602
@kulwasamwel3602 2 ай бұрын
Machine hio niyakukodi au kununua nielezee ilinipatefaida
@mosesfrancois752
@mosesfrancois752 2 ай бұрын
Kama uchawi unafanya kazi huyu Mwigulu ni mchawi kweli, yani licha ya kuwajua wakulimwa wa Tanzania na hali zao kiuhalisia tena na ndugu zake wapo ,bado anataka kodi kwenye mikono ya mkulima ,kumanina alieturooga fundi
@sumayizengo-uc8eg
@sumayizengo-uc8eg 2 ай бұрын
Kama nchii imewashinda kuipanga bora mkasema mama awatoe ote aweke upya maana machine naukulima wp tupeni mbunga kama mulizozibana maifazi 2zilime
@juliusntandu4302
@juliusntandu4302 2 ай бұрын
Tatizo mtu aliyeshiba hawezi kusikia njaa ya mwenye njaaaa
@calvinloveambroce842
@calvinloveambroce842 2 ай бұрын
Mbona sisi tuna mitaji ata million tano haifiki lakini tumepewa mashine hii ipoje
@jacksonbarnaba9088
@jacksonbarnaba9088 2 ай бұрын
Tunarudi kuke magufuli alikotutoa😢
@piusjuma7384
@piusjuma7384 2 ай бұрын
Wazr wa fedha na wakilimo hawafai ...wajiandae kufanya kazi nyingine
@simongwandu7392
@simongwandu7392 2 ай бұрын
Wabunge wajiangalie kuwagusa wakulima itafika mtaiangamiza ccm Maana kuwagusa wakulima ni mtaji mzuri sana kwa wapinzani
@mashakaamosgabinza3893
@mashakaamosgabinza3893 2 ай бұрын
Hii nchi tunaelekea wapi jamani hiyo formula ya EFD ni hewa hiyo siyo chanzo Cha mapato ni wizi wa bila kutumia siraha maisha ya watanzania ni mangumu sana fatilieni vzr
@AndrewMtweve-pm7gl
@AndrewMtweve-pm7gl 2 ай бұрын
Mwigulu kwenye hii nchi ni sumu
@barakambuzeyonja6935
@barakambuzeyonja6935 2 ай бұрын
Jamaa anajikubali Ila katika uwezo mdogo wa kujibu nikikumbuka alivyotujibu asiyeweza kulipa tozo ahame sina hamu naye huyu jamaa hata mwenye elimu ya darasa la Saba asingitoa jibu la dharau hivyo. Madaraka na mchanga kwenye kiganja
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 2 ай бұрын
Huwa napenda sana vindi vya bunge,,wanapeana za uso kwa uso..
@antonyndinga8890
@antonyndinga8890 2 ай бұрын
Ni kweli, kinachojadiliwa bungeni c ndicho kinafanyika TRA ukiuliza unaambiwa hizo ni siasa tuu
@jameshamzatagalile3146
@jameshamzatagalile3146 2 ай бұрын
sikuzote ukitaka kuiba mweke mwizi... ili akupe njia ya kuiba
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 2 ай бұрын
Mm sijui huyu mwigulu ninan alimpa hiyo nafasi nyeti km hii mtu mjinga
@user-kx7ob5rx4p
@user-kx7ob5rx4p 2 ай бұрын
Aluyempa si huyu unayemwita mama
@user-wc5iq1jt2t
@user-wc5iq1jt2t 2 ай бұрын
Mwambieni huyooo
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 2 ай бұрын
Kaka mwigurrr.pole ndugu.MIMI NI MYAIRAMBA,EFD MIMI MKILIMA HAPA SHELUI UTAKUWA UNANIONEA TU SASA.DUH!
@ibrahimmawazo9229
@ibrahimmawazo9229 2 ай бұрын
Mwigu toka huwezi kazi ndo maana ulifukuzwa kazi na kipenzi chetu magufulu unalima au unasemasema tu
@nestoryelastokafuku5270
@nestoryelastokafuku5270 2 ай бұрын
Viongozi kama Hawa hawafai angetambua wakulima wanavyo hangaika asingesema hayooo yote.labda sjajua ana Semea wakulima gani..
@hasaniyusufu1171
@hasaniyusufu1171 2 ай бұрын
Jinga sana Hilo jamaa
@judithmwamukinga4448
@judithmwamukinga4448 2 ай бұрын
Tunaomba mh Raisi tupe waziri wa Fedha mwingine sijui kama huyu in Mungu anakiburi kupita kiasi
@user-zm7kk1tr5l
@user-zm7kk1tr5l Ай бұрын
Mkulima anasubiri mazao kwa mwaka mzima umukate kodi hebu mwiguru wacha kijizima data hebu jamani kumbukeni kunakufa kwamugu utakweda kusema nini jamani hebu mwiguru kuwa na hofu ya mungu hata kidogo jamani khaa unafikiri sisi wanchi tunapata wapi pesa kila sehebu unatukata kodi khaa tumechoka
@NanaMaembe
@NanaMaembe Ай бұрын
UYU MWIGULU KWANINI MAMA HASIMTUMBUE? MAANA ANATUUMIZA SANA WA TZ
@mbulachujoseph2596
@mbulachujoseph2596 2 ай бұрын
Watanzania tunaona
@deogratiusmaila676
@deogratiusmaila676 2 ай бұрын
Huyu sio mbunge wa CCM
@japhetringo7688
@japhetringo7688 2 ай бұрын
Spika tulia akson upo vizuri sana chukua maua yako dada angu munqu akubariki sana
@SaluMaige-sc8bm
@SaluMaige-sc8bm 2 ай бұрын
Mwigulu jangiri
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 2 ай бұрын
Mwigulu ni jipu. Katika umri wangu nikiwa nafuatilia siasa sijaona kuona waziri wa fedha bogus kama huyu. Kwa ufupi ameishiwa mawazo. Sio mtu sahihi katika wizara hii.
@catherinemzurikwao3265
@catherinemzurikwao3265 2 ай бұрын
Kwa kweli hata mimi sijawahi kumwelewa, halafu hua anajiona ana akili kuliko watanzania wote! Very bogus indeed
@khalifayakubu3558
@khalifayakubu3558 2 ай бұрын
Maviiiiiiii
@maswamills3161
@maswamills3161 2 ай бұрын
Ni uonevu mno.
@mmarandu2417
@mmarandu2417 2 ай бұрын
BRT itumie umeme tuokoe fedha za kigeni. Umeme tunao wakutosha. Acheni kupoteza fedha za kigeni kununua disel, tumieni umeme kwa BRT. Mabasi ya mijini yawekewe mfumo wa umeme.
@Muuzambuzi
@Muuzambuzi 2 ай бұрын
Mwinguru anazingua kwakweri mama tusaidie
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 2 ай бұрын
Tunawata wabunge kama hao wajae bungeni sio wabunge kula posho walale
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 2 ай бұрын
TRA na Mwiguru si wavivu wa kufikiri Bali Mwiguru na TRA yake Wana hila ya kumwangusha Rais katika Uchaguzi wa Rais 2025 kwani wanajua kura nyingi za Rais ziko mikononi mwa wakulima ambao ni zaid ya aslimia 75 je CCM inaiona hila hii?!
@daviddonatus8121
@daviddonatus8121 2 ай бұрын
Huyu jamaa tokea ameteukiwa kichwani kwake hakuna kitu kabisa anajua mambo ya simba na yanga
@AbuuHurayra-el1uh
@AbuuHurayra-el1uh 2 ай бұрын
Mama huyu fukuza kazi kabisa mwigulu mfukuze kazi
Rais Magufuli aimbana TRA, Wizara ya Fedha, ataka majibu
4:37
The CUTEST flower girl on YouTube (2019-2024)
00:10
Hungry FAM
Рет қаралды 6 МЛН
Nurse's Mission: Bringing Joy to Young Lives #shorts
00:17
Fabiosa Stories
Рет қаралды 6 МЛН
娜美这是在浪费食物 #路飞#海贼王
00:20
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 6 МЛН
拉了好大一坨#斗罗大陆#唐三小舞#小丑
00:11
超凡蜘蛛
Рет қаралды 14 МЛН
NI HALALI KUMPA MKEO TALAKA? ASKOFU ACHANGANUA  ANDIKO LA BIBLIA
7:14
HOMACK / DOTS Connect
Рет қаралды 26
The CUTEST flower girl on YouTube (2019-2024)
00:10
Hungry FAM
Рет қаралды 6 МЛН