Umejuaje? WAKTI Mwingine NAJIULIZA hivi Mtanzania akipata uwaziri ANALISHWA SUMU GANI?? Hivi kweli watu wanajua matumizi ya EFD NA JE HIZO EFD wanazifahamu kweli ? MUNGU TUSAIDIE
@user-cw2nj4io3v2 ай бұрын
Mbunge hongera sana, Mwigulu aondoke ktk hiyo wizara, hafai kabisa!
@edgaredward34902 ай бұрын
Huyu jamaa cjui kapata vipi wizara nyeti na mama kwenye Inchi
@dennisezakiel33802 ай бұрын
Huyo Jamaaa ni mjinga ndio maana magufuli alimtumbua huyo hana faida yeyote
@hawaally23082 ай бұрын
Wao mbona wanalipwa zaidi ya 10 m hata Kodi hawalipi lakini wanabana watumishi na wakulima wadg kulipa Kodi.
@afandechanel15072 ай бұрын
Huyu Migulu hafai hata kua mkuu wakata maana huongozi hajui
@lovenessvisent94082 ай бұрын
Wanasahau walisomeshwa kwa pesa za walipa kodi tena watoto masikini leo umefika hapo juu unasahau kumtetea mnyonge hii laana haitawaacha salama shida ingine ni kwamba Tanzania haijawahi kuwa na chama kingine madarakani zaidi ya sisiemu
@rashidkihunga29382 ай бұрын
mwigulu hatufai wakulima
@silassaitoti76892 ай бұрын
Sio sawa kabisa mkulima Ndio analisha Taifa
@DeogratiusAndrew-zi7zv2 ай бұрын
Kwani hakuna mtu mwingine anae weza kuwa waziri wa fedha , siaapewe mtu mwingine,
@michaelmagwaza-bc6mk2 ай бұрын
Hecco sana Mbunge makini Muelewa Mwenye hofu ya Mungu na Mtetezi wa Wanambozi.
@catherinemzurikwao32652 ай бұрын
Sijawahi kumpenda wala kumwelewa Mwigulu. Hafai, hafai, hafai, hafai tena
@hidayaismail-fk1js2 ай бұрын
@@catherinemzurikwao3265 kabsa yaan
@bakarikaoneka10802 ай бұрын
Uwezekano wa kupiga hatua kwenye kilimo ni mdogo sana sana.
@Anithawilielemi-uh3ww2 ай бұрын
Mwigulu ajiandae kuwapa wakulima mvua pia,ni mvivu wa kifikiri,
@yapukahassan2 ай бұрын
BM TV nashukuru kwa kutoa maelekezo mazuri kabla ya kukomenti . Mmi nilitaka ni m2kane waziri wa pesa maana anatia kichefu chefu
@simasima80842 ай бұрын
Hv mwigulu ww ni mtanzania kweli mbna huna huruma we mzee nitaomba dua zte utoke kwenye hzo wzara kbsa 😢😢
@Mpakauseme2 ай бұрын
kwasababu raia bado ninyi ni wajinga na waoga hapo na bado
@munuoisaack4182 ай бұрын
Hakuna utumwa kama uwezo mdogo wa kufikiri,,,mlisema gas ni majibu ya Nch leo.mnakuja kubana wakulima WOI hakuna kitu hapo kwa huyo kiongozi
@calvinloveambroce8422 ай бұрын
Mwigulu ni sawa na Israeli mtoa roho afai kabisa kuwa waziri
@johnparkrАй бұрын
Mawaziri wote kulipa Kodi kwenye mishahara zao, seating allowance na manufaa zingine wanazozipata..........
@Edger-bn2mt2 ай бұрын
Hv kwann magufli hakuruhusu hyu mwguru awe wazr wa fedha
@anastazialushika2 ай бұрын
Tulia hongera sana dada uko vzr sana.
@masoudalriyamy62982 ай бұрын
Matajiri hawallipi kodi kodi wanayolipa chache
@user-jc8vt7ct9t2 ай бұрын
Huyu jamaa ni zero kabisa mwigulu hufai kabisa
@suleimanhemed95432 ай бұрын
Hivi niwaulize tra, kwa nini mnakusanya kodi kutokana na mtaji wa mfanya biashara na sio faida ?
@ukuvukiland23872 ай бұрын
Huwezi kukusanya ushuru kwa maskini wanaojitafuta wakati kuna matajiri mnakula nao........
@kayumbasosthenes3596Ай бұрын
MWIGULU toka umekuwa navijisent umekuwa namambo yakiwak,unadhan wenzako hawatak kuish maisha bora eeh
@sajurumassawe74312 ай бұрын
kwa kweli kama Hawa ndio walisomea uchumi basi Tanzania tumeisha huyu hata mchunga ng'ombe anamshinda na kufikri huyu hafai kbs kuwa kiongozi ndio maana magu kamfukusa na ww unamrudisha angalia ss nn anafanya kama ujinga
@thomasmwakatobe82072 ай бұрын
Waziri wangu Mwigulu ukifanya hivyo utaleta njaa Tz hata wenzio waliona hivyo ndio maana wakakaa kimya..Kwanza kilimo chetu Bado tuko nyuma Sana maana mpaka Sasa tunategemea mvua hiki ni kilimo Cha kienyeji Sana at least tungefika kwenye kilimo Cha umwagiliaji Kwa asilimia 85 - 90 Kwa hatua hiyo angalau tungesemea Kodi ingeleta maana Sana.Mungu Bariki viongozi wetu.Amen
@leokamil62842 ай бұрын
Yeye anaishi kila kitu bure mshahara mnono atakumbuka vipi wakulima maskini ambao hawana mbele wala nyuma.Jamaa kasahau katoka kwenye familia maskini. Kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa.Waziri huyo ni mbishi mbinafsi anajiona anajua na Elimu yake ya kuunga unga .Ndio maana mwendazake alimtema hajui ila anajifanya anajua Mbinafsi TRA si ni nyinyi mnakondamiza wananchi na ubinafsi wenu .
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv2 ай бұрын
Tatizo ni cheti Cha mwigulu
@shabaniramadhani80262 ай бұрын
Kwani nini huyu Mwigulu mama samia usimtoe. Unamng'ang'ania nini?
@user-ek7nu1qc8g2 ай бұрын
@@shabaniramadhani8026 anatakiwa amchomoe huyu atamchafua mama
@mussabuhe88812 ай бұрын
mwigulu kwani Tanzania Haina wasomi mpaka huyu jamaa mbona apo Amna kitu jamani uyo trati na trabu
@medsonulendo42212 ай бұрын
Wazir wa fedha mkulima watanzania nimasikin sana mh Bashe anapambana kuikwamua hii nchi kupitia kilimo waxir wa fedha anataka kumkwamisha ushaur wangu kwa Rais aliamgalie hilo kwa umakin
@ndayi72 ай бұрын
Watanzania tufikili kuhusu uzalishaji na myoyo wa uzalishaji..Mtasababisha njaa nchini.Wakulima nao ni Watu na wanafamilia kama ninyi..Tunategemea maono mema KUTOKA Kwa viongozi wetu.Mungu anawaona
@AmbokileBukuku-hq2zk2 ай бұрын
Walima mwaka huu tusilime paka serekali ibadilishe Sheria yake na kama wataka tuone wabunge wakitoa Kodi
@user-ml5tq8hj2x2 ай бұрын
Kweli sijui mama alimrudishaje mwigulu jamani hii ni shida tunateseka sana vitu viko juu umaskini ni mkubwa hakuna unafuu wowote halafu leo wakuluma watozwe kupitia mashine ya efd ni aibu
@andrewIzdory-sk4cu2 ай бұрын
Mwigulu ni waziri mwenye roho ya kikatili sana kwa watanzania maskini. mfanyabiashara aliyejificha kwenye mgongo wa siasa.
@alexvenas26992 ай бұрын
Huwa Kila nikimuona mwingulu naelewa kwanini Magufuri hakutaka kumtumia kwenye utawala wake , anakera sana aise.😢
@kaaakwakutuliaa51792 ай бұрын
efd kwani inashida gani
@catherinemzurikwao32652 ай бұрын
Hanaga akili huyo waziri
@YOSHUAMWAMPETA2 ай бұрын
UMEJUAJE NDUGU?
@user-kx7ob5rx4p2 ай бұрын
@@YOSHUAMWAMPETAwe un
@user-ml5tq8hj2x2 ай бұрын
Na kweli hatutamuelewa mama hii ikipita ya efd kwa wakulima hakika
@yahayaramadhani64182 ай бұрын
Mwigulu nikatiri sana, hana huruma
@boniventurehussein72762 ай бұрын
Mwigulu 😢 yaan wewe ningekuwa Rais walahi hata ubaloz nyumba kumi hupati
@suleimanissa20892 ай бұрын
Mh. Tulia big brain
@user-je3oq5yo1e2 ай бұрын
Mbunge uliyesema mawaziri wavivu kufikili uko sahihi kabisa sababu asilimia 75 %Tanzania ni wakulima wadogo hakika tufike wakati tuseme huko juu viongozi mnatuboa
@KelvinMtavangu-ow8yo2 ай бұрын
M. Mwaisongole upo vizuri. Hivi ndivyo hayati Baba wa Taifa J.K. Nyerere Alitetea wanyonge. Yawezekana tumejisahau?
@user-jr3mg3ko6m2 ай бұрын
Mwiguru kichomi Sana kwenye tozo arisema ambaye hataki akaishi Burundi hatufai hatakido
@catherinemzurikwao32652 ай бұрын
Tena ni kichomi kisicho na dawa
@ahmed-shakirmwamba49922 ай бұрын
Mwigulu, Alisema
@user-ek7nu1qc8g2 ай бұрын
Huyu jamaa 😢
@FaabiranOmar-x3u2 ай бұрын
Tungeni sheria kwa usahihi msikandamize masikini kuweni makini
@joshuamwambene28742 ай бұрын
Mama Samia tunakupenda mama yetu tupe waziri mwingine wa fedha amekuchafua
@user-xc6ls9xn8h2 ай бұрын
Mwigulu hewa tupu hafai hafai kabisa mjanja mjanja sana
@onesmomwakasege52152 ай бұрын
Napendaga Sana mwigulu akikutana kwenye maswali na Dr tulia inakuwaga ni vita mulahaaaaaaa
@user-uo9kk7kn9z2 ай бұрын
Mbunge hongera mwigulu mvivu wa kufikiria atafte Kodi kwenye mabandari tu
@dignakanje45082 ай бұрын
Hivi kwann usiachie tu hicho kiti mweshimiwa ili maisha mengine yaendelee.Kwanza uhasira,unajibu kana kwamba wabunge hawajielewi,wakati ndio wananchi wamewachugua nakuwaamini.Kiukweli mweshimiwa waziri Huwa unatoa maneno makali sana hta wananchi tunaumia,.
@user-kx7ob5rx4p2 ай бұрын
Hawa wanataka ya kenya
@PartySekemi2 ай бұрын
Hongera sana kijana msomi makini mh tulia mungu akupe maisha marefu
@josemalley16912 ай бұрын
Tulia kiongozi wanguuu umemjibu vizuri
@saadmohamed31862 ай бұрын
Duuh wacha mvua inyeshe tuone panapovuja lei mkulima alipe kodi tena kwa Efd aisee na mvua nazo serikali ipo tayari kuwawezesha wananchi!! Kilimo cha kimasikini tena mvua sio za uhakika, huko vijijini hawaijui hata efd mashine!!
@abubakaranwar3372 ай бұрын
Wewe Kuma mwiguru mchumba zakayo umetuzoea
@christinenyagiro66622 ай бұрын
Siyo aondoke kwenye wizara tu bali katika jimbo wamnyime kura tumwone kama ataweza kuchekelea ulipoondolewa kwenye uwaziri na Magufuli ulifiata na kuwa mnyonge kama mgonjwa. Umepewa tu unaona masikini waendelee kuwa masikini hoyo ni roho ya kimasikini hata kama unapesa lakini roho yako ya kutu kabisa.
Huyuu sio mtanzania anakosaa hurumaa inaa onekanaa hanaa jamii inayo jihusisha na kilimo
@bornifacecharles2Ай бұрын
Akitoka Sami atake fata urais ni Tulia
@bahatisaimon60192 ай бұрын
Kwani nchi nzima hakuna anaeweza hesabu tofaut na huyo Mwigulu wenu
@user-zg1pu1gl2d2 ай бұрын
Me na Lima kwajili ya chakula na kusaidia familia yangu kwamahitaji yote , afu Pembejeo ni gharama bado unaniambie nilipe kodi kweli ? Hiyo haiwezekani embu sikilizeni point anazoongea huyo mbunge, buni vyanzo vingine vya Mapato mtaka kutuua wakulima wadogo ety .
@christopherbonifacekiputa85842 ай бұрын
Tulipe kodi wakati tunapeleka wapi wakati mazao yetu tunayaweka ndani!? Shubamitii waziri!!@ mfyuuuuu!! Maninaaaaaaa!!
@ayubumwakabana21372 ай бұрын
Wanyiramba hoyeeeee , hongereni Kwa kumpa kura huyu mtu 😂😂
@jumadinya37962 ай бұрын
Jamani mbona kushiba kwenu kunafanya maisha yawemagumu sana kipindi hiki tangu Tanzania itawaliwe na J. K. NYERERE hatujawahi kuona utitiri wa makodi kama sasa wewe unasema wakulima wawe na mashene yanini au huu muridi wa mashine kuna mkono wa mtu jifikirie. Kwanza. Ukila ukishiba wewe fikiria watu. Wengine hawajala nyinyi kupelekwa na wapiga kura mume pata kiburi jieni kua watu watawachoka bora tujaribu tena chama kingine tuone hii ndio dawa yenu jeuri ya pesa imewajaa hamjali masikini pua hamwatetei wambunge kazi yenu ni kutetea watanzani zidi ya serekali futa tamko la mkulima kua awe na mashine
@gracelukumaybarikiwasanara71142 ай бұрын
Jmn wananchi tunateseka sana raisi muondoe huyu wazri muweke mwingine atakuchnganisha na wananchi
@Ali.salimu2 ай бұрын
Mwaigulu. Hufai. Kabisa. Wewe. Ni. Mnyonyaji. Nakuchukia sana
@kulwasamwel36022 ай бұрын
Machine hio niyakukodi au kununua nielezee ilinipatefaida
@mosesfrancois7522 ай бұрын
Kama uchawi unafanya kazi huyu Mwigulu ni mchawi kweli, yani licha ya kuwajua wakulimwa wa Tanzania na hali zao kiuhalisia tena na ndugu zake wapo ,bado anataka kodi kwenye mikono ya mkulima ,kumanina alieturooga fundi
@sumayizengo-uc8eg2 ай бұрын
Kama nchii imewashinda kuipanga bora mkasema mama awatoe ote aweke upya maana machine naukulima wp tupeni mbunga kama mulizozibana maifazi 2zilime
@juliusntandu43022 ай бұрын
Tatizo mtu aliyeshiba hawezi kusikia njaa ya mwenye njaaaa
@calvinloveambroce8422 ай бұрын
Mbona sisi tuna mitaji ata million tano haifiki lakini tumepewa mashine hii ipoje
@jacksonbarnaba90882 ай бұрын
Tunarudi kuke magufuli alikotutoa😢
@piusjuma73842 ай бұрын
Wazr wa fedha na wakilimo hawafai ...wajiandae kufanya kazi nyingine
@simongwandu73922 ай бұрын
Wabunge wajiangalie kuwagusa wakulima itafika mtaiangamiza ccm Maana kuwagusa wakulima ni mtaji mzuri sana kwa wapinzani
@mashakaamosgabinza38932 ай бұрын
Hii nchi tunaelekea wapi jamani hiyo formula ya EFD ni hewa hiyo siyo chanzo Cha mapato ni wizi wa bila kutumia siraha maisha ya watanzania ni mangumu sana fatilieni vzr
@AndrewMtweve-pm7gl2 ай бұрын
Mwigulu kwenye hii nchi ni sumu
@barakambuzeyonja69352 ай бұрын
Jamaa anajikubali Ila katika uwezo mdogo wa kujibu nikikumbuka alivyotujibu asiyeweza kulipa tozo ahame sina hamu naye huyu jamaa hata mwenye elimu ya darasa la Saba asingitoa jibu la dharau hivyo. Madaraka na mchanga kwenye kiganja
@fredyjeremia70742 ай бұрын
Huwa napenda sana vindi vya bunge,,wanapeana za uso kwa uso..
@antonyndinga88902 ай бұрын
Ni kweli, kinachojadiliwa bungeni c ndicho kinafanyika TRA ukiuliza unaambiwa hizo ni siasa tuu
@jameshamzatagalile31462 ай бұрын
sikuzote ukitaka kuiba mweke mwizi... ili akupe njia ya kuiba
@user-eb3hf1lm9e2 ай бұрын
Mm sijui huyu mwigulu ninan alimpa hiyo nafasi nyeti km hii mtu mjinga
@user-kx7ob5rx4p2 ай бұрын
Aluyempa si huyu unayemwita mama
@user-wc5iq1jt2t2 ай бұрын
Mwambieni huyooo
@fredyjeremia70742 ай бұрын
Kaka mwigurrr.pole ndugu.MIMI NI MYAIRAMBA,EFD MIMI MKILIMA HAPA SHELUI UTAKUWA UNANIONEA TU SASA.DUH!
@ibrahimmawazo92292 ай бұрын
Mwigu toka huwezi kazi ndo maana ulifukuzwa kazi na kipenzi chetu magufulu unalima au unasemasema tu
@nestoryelastokafuku52702 ай бұрын
Viongozi kama Hawa hawafai angetambua wakulima wanavyo hangaika asingesema hayooo yote.labda sjajua ana Semea wakulima gani..
@hasaniyusufu11712 ай бұрын
Jinga sana Hilo jamaa
@judithmwamukinga44482 ай бұрын
Tunaomba mh Raisi tupe waziri wa Fedha mwingine sijui kama huyu in Mungu anakiburi kupita kiasi
@user-zm7kk1tr5lАй бұрын
Mkulima anasubiri mazao kwa mwaka mzima umukate kodi hebu mwiguru wacha kijizima data hebu jamani kumbukeni kunakufa kwamugu utakweda kusema nini jamani hebu mwiguru kuwa na hofu ya mungu hata kidogo jamani khaa unafikiri sisi wanchi tunapata wapi pesa kila sehebu unatukata kodi khaa tumechoka
@NanaMaembeАй бұрын
UYU MWIGULU KWANINI MAMA HASIMTUMBUE? MAANA ANATUUMIZA SANA WA TZ
@mbulachujoseph25962 ай бұрын
Watanzania tunaona
@deogratiusmaila6762 ай бұрын
Huyu sio mbunge wa CCM
@japhetringo76882 ай бұрын
Spika tulia akson upo vizuri sana chukua maua yako dada angu munqu akubariki sana
@SaluMaige-sc8bm2 ай бұрын
Mwigulu jangiri
@mwalimumstaafu85292 ай бұрын
Mwigulu ni jipu. Katika umri wangu nikiwa nafuatilia siasa sijaona kuona waziri wa fedha bogus kama huyu. Kwa ufupi ameishiwa mawazo. Sio mtu sahihi katika wizara hii.
@catherinemzurikwao32652 ай бұрын
Kwa kweli hata mimi sijawahi kumwelewa, halafu hua anajiona ana akili kuliko watanzania wote! Very bogus indeed
@khalifayakubu35582 ай бұрын
Maviiiiiiii
@maswamills31612 ай бұрын
Ni uonevu mno.
@mmarandu24172 ай бұрын
BRT itumie umeme tuokoe fedha za kigeni. Umeme tunao wakutosha. Acheni kupoteza fedha za kigeni kununua disel, tumieni umeme kwa BRT. Mabasi ya mijini yawekewe mfumo wa umeme.
TRA na Mwiguru si wavivu wa kufikiri Bali Mwiguru na TRA yake Wana hila ya kumwangusha Rais katika Uchaguzi wa Rais 2025 kwani wanajua kura nyingi za Rais ziko mikononi mwa wakulima ambao ni zaid ya aslimia 75 je CCM inaiona hila hii?!
@daviddonatus81212 ай бұрын
Huyu jamaa tokea ameteukiwa kichwani kwake hakuna kitu kabisa anajua mambo ya simba na yanga