KIMEWAKA TLS, MADUDU YAANIKWA SAKATA LA MWABUKUSI, NI AIBU, MAWAKILI KUKIWASHA KUTETEA TASNIA YAO

  Рет қаралды 10,249

Mwanzo TV Plus

Mwanzo TV Plus

27 күн бұрын

#TANZANIA: Kimewaka chama cha Mawakili TLS, madudu yaanikwa sakata la kumng'oa Mwabukusi kgombea Urasi wa chama hicho, Mawakili waungana kutetea tasnia yao.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZfaq Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 23
@HassanSaburi-ge6ej
@HassanSaburi-ge6ej 25 күн бұрын
Ninyi ndiyo watetezi wa nchi hii msikubari watu wafanye wanavyotaka kwenye mambo ya msingi yanayoumiza wananchi waajiliwa wa wananchi wamejisahau muda mrefu sana wanahisi wao ndiyo waajiri wanafanya wanavyotaka wanatumia Kodi na rasilimali zetu za nchi kibinafsi zaidi
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 6 күн бұрын
Mungu Yuko na mwabukusi atamulinda waliomupiga vita mungu atawa futiliya mbali
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 25 күн бұрын
Kwa kweli TLS wametia aibu wanasheria hawafuati sheria sasa watu wasio wanasheria watafanya nini? Ndiyo sababu Inchi inajiendea ovyo ovyo tu.
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 25 күн бұрын
Kabisa Inchi inakwenda hovyo sana ni aibu tupu
@sammykateregga6238
@sammykateregga6238 25 күн бұрын
Viongozi wa TLS Make sure mnalinda USOMI wenu. This is the correct time.
@robertzingu9889
@robertzingu9889 25 күн бұрын
Yaani siasa za majitaka za CCM za watu kujipa uongozi bila kuwa na sifa na kuwakata watu wazuri wenye sifa zimeingia hadi kwa TLS, wanasheria na hivyo kunajisi kabisa tasnia yote ya sheria. TLS rudini mstarini, acheni kujinajisi!
@mburuumbe5659
@mburuumbe5659 25 күн бұрын
IF JUSTICE FORUM IS INJUSTICE WHO IS SAFE?
@brightontibenda2346
@brightontibenda2346 25 күн бұрын
Nobody!
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 25 күн бұрын
It is unprecedented 😮
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 25 күн бұрын
None
@allyfutto8763
@allyfutto8763 21 күн бұрын
Mwabukusi atapigwa vita sababu yeye ni muwazi japo anafaa sana watamtupilia mbali ogopa TZ
@alphoncehanura3255
@alphoncehanura3255 25 күн бұрын
The learned fellows when they undress themsleves to show the world how the system have changed the Learned fellows....in TZA. How on Earthy from one party state to Multiparty state ,using same constitution.....??? Halafu useme tuna Law school of Tanganyika au TLS.... where were they, to let that blunder happen......???
@aloycemruma6552
@aloycemruma6552 25 күн бұрын
Jamani Kila Mzalendo niwakati wakubafilisha mambo.yote ya kihuni. Hinizambi inafanyika kuharibiu Taifa eawatu waanabu wanalete shida Kila sehem u inaumiza unafikiri ni Akina mabutu wanaongoza. Nnchi. Nilikuwa kwa umakini.wa Mwabukusi machawa watafanya mambo ya ajabu sana
@othannmpoli9896
@othannmpoli9896 24 күн бұрын
Wasomi sio jamii ya kujadiliana mambo yaliyowazi inatia shaka kubwa sana kwa jamii inayowategemea!!!!!
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 25 күн бұрын
Wanasheria kuwa machawa kunahatarisha nchi nzima sababu ni kitengo kikubwa sana nchini kwenye kudai haki. Sasa ikiwa imekuwa compromized haki haitatendeka kwani watashindwa kutetea nchi na wananchi na maslahi ya Taifa vipasavyo.
@francissimwinga-gb2vd
@francissimwinga-gb2vd 25 күн бұрын
Ni aibu. Kubwa watu tunao waita wasomi kugeuka kama wanasiasa
@user-lw3tg3yg5b
@user-lw3tg3yg5b 25 күн бұрын
Siyo wanasiasa ni mazumbukuku ni chi gani isiyo na sheria
@ChristerKoku
@ChristerKoku 25 күн бұрын
Hivi hata huko kwa magwiji wa sheria kuna figisu figisu aibu kubwa yusio ojua sheria tutakimbilia wapi.
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 25 күн бұрын
On that case open mwabukusi Consern tls tanzania low sosayart will be difficulty them to win such case because ccm have plans on that
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 25 күн бұрын
Ichi. Ya hajabu
@user-pd5hl9di2q
@user-pd5hl9di2q 25 күн бұрын
😂😂
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 25 күн бұрын
Nyinyi endeleeni na sarakasi zenu sisi ccm ikiongozwa mama samia tunaendelea kuiongoza nchi mkimaliza kuhusu uchaguzi wa TLS andamaneni tutawapa maaskari wawalinde.. Samia 5 tena
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 12 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 10 МЛН
Why Protesters Flew Russian Flag In Northern Nigeria - Falana
28:18
Channels Television
Рет қаралды 68 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 12 МЛН