Mzee umeongea vizur sana point. Kweli kabisa wapo baadhi ya viongozi wana fitina na husda kwa Mh Makonda Safi sana mzee umeongea point Mungu akulinde
@ErasmusMakavery21 күн бұрын
kakaagu makonda hakika ww nichicho la uhongozi ss kama viongozi vijana tunamengi makubwa ya kujifunza kutoka kwako chapa kazi mungu u pamja nawe!🎉
@LeonardmpembaMsemakweli-q8s21 күн бұрын
KWELI mzeee nawapenda sana makonda one love 💕💕💕💕💕💕💕💕❤❤❤
@hamishassan678421 күн бұрын
kwa kweli mzee wangu nashukuru pia hata kuunga mawazo yangu maana hata alipoitwa kuhojiwa na kamati kuu nilisema ni wakati wa wao kumpongeza na sio kumvunja mori kiukweli kila mwanadamu anakosea ila pale tunapo baini kuwa hilikuwa na nia njema ni kumuelekeza na kumfahamisha mbinu mbadala isiyoweza kuondoa nia na malengo ya utekelezaji. Makonda Nakuombea sana hata kama umepunguziwa eneo la kutoa huduma kwa kuwekwa Mkoa mmjoja tu naamini mama ana maana yake na ndio akaona msaidie Mkoa huo wa kistratejia kwenye kufikia alilojiwekea kwa manufaa ya Watanzania. AHSANTENI SANA BABU ZANGU
@DavidMwakila21 күн бұрын
Makonda ,Mungu akulinde ,aendelee kukuhekimisha ,kukuinua ili wakati wa Bwana utakapofika uje ukalie kile kiti
@pauloillakwahhi18024 сағат бұрын
Mzee Gerald Gwaha,vzr sana
@mohammedabdullah589514 күн бұрын
Uhakika maneno mazima sana❤❤❤❤hana baya makonda
@sambulugu998821 күн бұрын
Mzee kanena vema watu wanamuonea wivu sana Makonda!
@AmanaHassan-cy4fi21 күн бұрын
Hapo ndipo ccm inapovipiga bao hivi vyama vya 2-2-× 3..
@user-bz5ti6op6z21 күн бұрын
Mzee uko sawa kabisa
@esthersissamo112021 күн бұрын
Safi sana kiongozi Mungu amlinde kijana wetu
@jumasuleymani21 күн бұрын
Mwenyezi Mungu hata mlinda Mh:kw mema anayo ya tenda
@user-ui1cj5re9k21 күн бұрын
Wazee warusha hongereni sana kwakuliona iloo
@khalfanmlala5093Күн бұрын
Asante mzee alindwe
@sumaidgasto472121 күн бұрын
Mzee ameona kura kwa CCM Arusha zimejaa mgongoni mwa Makonda kwa kazi zake watavaa sare za chama bila bughudha. Kwa kazi za Makonda Arusha akitoa agizo wanafuata wengi na anayebisha atanyoshwa siyo na pilisi bali raia wenzake
@FredyLazaro-us5mu21 күн бұрын
Kwakweli naamini kama kuna aliempenda mwonaji mze magu hakika atakupenda makonda nahuyo ndo atarudisha chadeka ccm nampenda makonda mpaka nakufa mttezi wa wanyonge ingefaa aje daresalam
@hafsalucky108816 сағат бұрын
Asante Mzee wetu, Makonda Alindwe.
@husseinkonz519221 күн бұрын
Mtu mzima dawa wazee hongereen Sana kwa kuona mbali
@mercyzakariah21 күн бұрын
Kweli Mzee , makonda oeeee Samia oeeeeee CCM oeee
@VivianMkumboКүн бұрын
Mungu anawaona hao maadui wanaomchafua mtumishi wa Mungu Makonda.