Umejibiwa safi. Uchochezi tu uliojaa. Mgunda mkumbukeni ni mwajiriwa wa simba.
@eliwazadaniel653513 күн бұрын
❤❤❤nimependa majibu ya mgunda
@aminaomary556713 күн бұрын
Safi sana kaka Mgunda. Mbona Mgunda tunaye Daima Simba❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍
@user-pt5we2gu4l5 күн бұрын
Kaka mngunda nakupenda bure❤❤❤
@hassaniibrahim3006 күн бұрын
HESHIMA WATOE WAO UONGOZI WA SIMBA. MWAACHENI MGUNDA.
@user-qw9zu3ly8m13 күн бұрын
Nyinyi wachambuzi mnalipwa kuja kuchafua simba nyinyi wachonganishi Mgunda safi sana umewakomesha ao wachambuzi wanafki sana ❤❤
@user-ng9bn3jj3x13 күн бұрын
ASA amewakomesha nn,, nyie ndo mnakomeshwa mara oo mgunda abaki ndo kocha mkuu tokeni kule manyumbu
@allyhuyu18923 күн бұрын
Mijibwa ipo mbioni kumchonganisha mgunda na Simba sc lkn wamefeli vibaya maana mgunda ni kikwazo kwao, mgunda ni kocha wetu wa akiba tu wakukaa na timu wakati wadharura si wa kupewa timu moja Kwa moja tuachieni mgunda wetu atulie
Wanakampeni ya kumuharibia mgunda kummwagia kitumbua chake mchanga
@laurentLyatuu-hw7vb9 күн бұрын
Kocha juma ramadhani mgunda Simba daima! Hao cku nyinge usiwapokelee simu Yao ni wehu ata kwa wazazi wao hawana adabu.vihela vyakupewa ndio wanataka kuaribu Simba.
@thadeusmarkiminja22828 күн бұрын
Mi sio Kolo napenda michezo hasa kandanda .Swali langu ni lipi?hili hapa Tatizo ni kocha au wachezaji?mkiendelea na haya Timu itakufa na eleweni kuwa Mo ndiye ameiweka hii timu kwenye uhai la sivyo ingekuwa ilishapotea.acheni midomo.Mhindi anaheshimika ki biashara duniani.Simba Uswahili mwingiii mtafeli na hilo sitapenda.
@SamsonMwambope9 күн бұрын
Wandishi wainchi hii wanamatatizo ya ubongo sababu ni wachonganishi
@SamsonMwambope9 күн бұрын
Ghana inawachezaji wengi nje kuliko Tanzania
@user-kg8zf3vc3j12 күн бұрын
Tafuta timu mzee wangu uwezo mbona uno wanakutumia wakiwa na maisha magumu wakipata nafasi awakutaki ACHA asira na wanahabali kwasababu wanahaki na kaziyao
@hakimundabila794013 күн бұрын
Safi sana mgunda
@joelsaganya407712 күн бұрын
Kinachoendelea simba ni ubaguzi, Mgunda alikuwa anatosha
@allyrembo67149 күн бұрын
Ubaguzi nadhani upo kwa mamaako na babaako
@AshaShariff-lr6ry11 күн бұрын
Sasa, nyinyi wachambuzi mnachefua bcz mgunda nimuajiriwa wa simba yeye ni coach wa simba Queens kwa hiyo anarudi kule na wanaenda kucheza kimataifa sasa mbona simba walimchukua kocha mkubwa kutoka Uganda kuinoa simba Queens sasa cha ajabu nini ?
@hassaniibrahim3006 күн бұрын
MGUNDA KATA SIMU
@JuhudiKasanga-yq5ks11 күн бұрын
Huyu mzee anatia huruma sana pamoja na taaluma yake anakuwa kama hajitambui hivi yeye kuwa nimtu mkubwa katika mpira hata nje ya nchi anashindwa kuthubutu tupate makocha wakimataifa toka tanzania
@ramadhannjolesti13 күн бұрын
Weweweweeeeeee😂😂😂😂 Makolo bhana🏃
@nzegulagkofficialaccount349612 күн бұрын
Amboise nilikuwa nakuuanini sana kuwa na ukweli. Lakini sasa umeingi huku kwa wachambuzi wa wanga. Umeferi mazima
@AraboyLiwemba7 күн бұрын
Kaka nirikumisi sana lini ifakala
@samwelpununter34219 күн бұрын
Hatakwawasikilizaji mambo ya.timuhebujaribunikuwa wastaraabu kidogo.muiachie timuiseme
@mulhatramadhan11478 күн бұрын
Mgunda anangojewa mpk timu ifanye vibaya ndio aifufue
Mngekuwa na nguvu ya kuwachallenge wanasiasa na viongozi wa babaishaji serikalini;Mngepongezwa sana.
@SamsonMwambope9 күн бұрын
Wandishi wengine awajui mpira
@VenaEliki13 күн бұрын
Yaan watangazaji wa bongo wanasiasa wanapola hela bunge nalo tunaliona lakin huwez sikia chochote ila makoch da wanatingwa Kama wa ekula pesa zao
@abudalaabdumalik936210 күн бұрын
Uyu kama akufundwa mdomo vile
@mohamedbakari769013 күн бұрын
Hivi nyie EFM hamna namba za msemaji wa Simba kwann mnamsumbua Mgunda. Anawashinda kila siku kwa maswali yenu ya kichonganishi mtapoteza mashabiki kwa tabia hii.
@user-eg9jq5ny3n6 күн бұрын
Achafedhehaimpate bwegehuyoooo,mtoseniiiiiii
@SultanSuleiman-qf7cx13 күн бұрын
Kuna fundi plumber amabaye uitwa nyumba ikijengwa plan kuonyeshwa mwanzoni alafu Kuna yule fundi uitwa wakati maji taka yamegoma kuzibua mifereji ya maji taka ili muda usonge
@user-ld6fy2fi5s10 күн бұрын
Mgunda sisi tunakupenda kama mashabiki tulikuwa tunaomba viongozi wamwamini
@allychongowe202513 күн бұрын
Ongea yanayokuhusu mgunda awe kocha mkuu awe mpishi kinachotakikana kupata rizki acheni unazi
@omarmhamed-sv7dx13 күн бұрын
Juma Mgunda nishujaa bubu hata ahiumia hatoisauti nahata akitoasauti matajiri wa Simba hawaisikii je tunamsaidiaje
@cyprianboniphace-oz5lw5 күн бұрын
Kuna cha ajabu gani,akiwa anakaimu.
@pastorellymacheo8 күн бұрын
Huyu jamaa huna adabu ww unania mbaya na simba ww
@ekimnkande287313 күн бұрын
Mnaudhi watu kwani hamjui kwamba mgunda ni mtaalAm wa fundi katika timu zote wambeya tu
@patridabernard914812 күн бұрын
Ikiharibika wanamtafuta mgunda waaache na yeye atajua nini nyie wachambuzi mnakeraaa!!!
@SultanSuleiman-qf7cx13 күн бұрын
Wanalipwa na nani makolo zenu ziko juu juu sana Kila kitu mnamaindi hapo n watu wanatengeneza content
@SamsonMwambope9 күн бұрын
Na nyie mnatumika kuchochea vulugu
@AbdulysuleimanShemashilu13 күн бұрын
Kweli waandishi ni kama wanawake wambea au wanaume wambea