Kinachoendelea mgomo wafanyabiashara Mwanza, adai kunyimwa unyumba

  Рет қаралды 725

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

8 күн бұрын

Ni maumivu. Ndivyo unavyoweza kusema wakati mgomo wa wafanyabiashara wa maduka jijini Mwanza ukiingia siku ya tatu huku waendesha maguta, magari ya mizigo, mamalishe na makuli wakihofia ndoa na familia zao kusambaratika.
Juni 24, 2024, wafanyabiashara jijini Dar es Salaam walitangaza mgomo na kufunga maduka yao kushinikiza Serikali kuondoa utitiri wa kodi katika biashara zao, baadaye mgomo huo uliibukia jijini Mwanza, Mbeya na Dodoma kisha Mtwara, Iringa, Arusha, Songwe na Njombe.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo, Alhamisi Juni 27, 2024, Dereva wa gari dogo la mizigo Mtaa wa Liberty jijini humo, Ndaluka Kamata amesema kabla ya mgomo huo alikuwa anapafa hadi Sh50, 000 kwa siku, lakini sasa mambo yamebadilika anakosa hata Sh5,000 na hivyo kushindwa kuihudumia familia yake.
Ndaluka amesema kutokana na kupungua kipato, ameshindwa kukidhi mahitaji ya familia yake kwa chakula jambo linalosababisha anyimwe hadi unyumba.

Пікірлер: 1
@giftlema8296
@giftlema8296 6 күн бұрын
Mmmmh!!!!😮
WAFANYABIASHARA SOKO LA KATORO GEITA WAGOMA KUFUNGUA MADUKA
7:19
OFFTRACK TV
Рет қаралды 1,3 М.
터키아이스크림🇹🇷🍦Turkish ice cream #funny #shorts
00:26
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 28 МЛН
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 20 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 29 МЛН
BMG TV: Mapya yaibuka sakata la Kisiwa, Mlima kuuzwa Mwanza
17:40
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 29 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 268 М.
Sativa kupatiwa matibabu Dar, ndege yapata dharura
5:00
Mwananchi Digital
Рет қаралды 4,8 М.
터키아이스크림🇹🇷🍦Turkish ice cream #funny #shorts
00:26
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 28 МЛН