Muhammed Bachu anajielewa sana tu nyinyi ma sheikh wangine hamujielewi mna sifasifa SubhanaAllah
@user-gj7by1nr2x8 ай бұрын
Mtume ametumilizwa ili atimize tabiya njema je hii ndio tabia njema kukashifu asie wko na kumsifu umpendae si bid'a
@abubakaromar61018 ай бұрын
AA-yr7sr bachu hajielewi lau angekuwa anajielewa basi angekuwa na Adabu na Heshima kwa sababu Mtume S.A.W alikuwa muwelewa sana licha ya yeye alivyokuwa kuwa na Adabu na Heshima kwa Waislamu Mtume S.A.W alikuwa na Adabu na Heshima hata wasokuwa waislamu Daawa yake toka azaliwe mpaka kupewa Utume na mpaka Kufa kwake hakuwai kuwaita wasokuwa waislamu Kafir Wanafiq au Mushrik kisha leo aje mtu kama bachu elimu hana Hajielewi Aya za Quran aziponda ponda Tafsiri hazipati hajui Nahau na Swarf kutafautisha Faail na Maf-uul kisha eti aje bachu ataka kumkosoa Sheikh Jaffar al Barzanji mtu aliekuwa Mufti wa Madina Imam wa Msikiti wa Madina mtu aliye kuwa na Fani zote za kielimu na cha ajabu zaidi Sheikh Jaffar al Barzanji kutoka aondoke duniani mpaka sasa imepita miaka 267 takriban karne mbili na nusu kulipita wanazuoni wangapi wakubwa wakubwa hawakuona uongo wa kitabu cha Barzanji ila yeye bachu hana adabu wala heshima kuita watu mushrik au kaafir. Lkni mimi nawaambia hata nyinyi hamuna Elimu au Ufahamu ni Ushabiki tu mulokuwa nao pia Hamujielewi. Ila tu nawaambia jichungeni sana Mtume S.A.W ametahadharisha watakuja watu mfano wa kina bachu ktk Hadithi yake Mtume S.A.W asema: عن حذيفة رضي الله عنه قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «إنَّ ما أَتَخوَّفُ عليكم رجلٌ قَرَأ القرآنَ حتى إذا رُئِيَتْ بَهْجتُه عليه، وكان رِدْئًا للإِسلام، غَيَّرَه إلى ما شاء الله، فانْسَلَخَ مِنْه ونَبَذَه وراءَ ظَهْرِه، وسَعَى على جاره بالسَّيف، ورمَاه بالشِّرك»، قال: قلتُ: يا نبيَّ الله، أيُّهما أوْلى بالشِّرك، المَرْمِي أم الرَّامي؟ قال: «بل الرَّامي». [حسن] - [رواه ابن حبان] قال ابن كثير رحمه الله : " إِسْنَادٌ جَيِّدٌ " انتهى ، وحسنه الألباني في "الصحيحة" (3201) . ويشهد لهذا المعنى ما رواه البخاري (6104) ، ومسلم (60) - واللفظ له - عن ابْن عُمَرَ رضي الله عنهما ، قال: قَالَ رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( أَيُّمَا امْرِئٍ قَالَ لِأَخِيهِ : يَا كَافِرُ، فَقَدْ بَاءَ بِهَا أَحَدُهُمَا، إِنْ كَانَ كَمَا قَالَ ، وَإِلَّا رَجَعَتْ عَلَيْهِ
@AbdallahBabu-jl8ld2 ай бұрын
Nyinyi ndio mnaopenda mawaidha ya kufoka na mipasho pasipo kuzingatia nidhwamu na hekma nakujifanya mtu anajua zaidi ya wengine
اللهم ثبت قلبي على دينك kipozeo nakumbuka ulivyozungumzaga kuhusu maulid na watu wake aisee pole sana mzee ndio Dunia hii kinachotakiwa ni kumfuata sio kumsifu
@gypsumdesigndecor79478 ай бұрын
😊
@SuleimanMakame-ex2eh8 ай бұрын
Dini haitaki ujanja ujanja maulidi yanafanywa ni ibada kwa ujanja ujanja tu maana haikuwapo ibada hiiii
@TwalibuhamdaUtonu8 ай бұрын
mungu akuweke milele na akupe afya njem achanana hawa wapiga debe ss ni waisilamu tuwe kitu kimoja na siyo kudharsuliana jamani
@hussenaaghe27608 ай бұрын
Shekhe mungu akuzindue mungu akujalie ufiki kama 2:28
@user-lg1pc3gy6w8 ай бұрын
Allah atupe mwisho mwema maana kipozeo kama unamjua enz za omari bashir leo laalikwa mpaka na akina wema koleo
@abuumrisho2048 ай бұрын
Anaogopewa nn na helimu hana
@mussakiziyzi4088 ай бұрын
Ukweli hauwez kusimama mbele ya batil Mkiambiwa ukweli na mabirtdhday party ni haramu na hayafai mnaleta ubish. Bachu ni nuru Allah amzidishie
@abubakaromar61018 ай бұрын
Birthday uijuwao ni wewe ni mazazi ya Mtume S.A.W. ukweli upi bachu aliosema wala hana nuru huwa mwajisahau wakati watu wa kisema Mtume S.A.W ni Nuru mwasema Bida'a leo mwasema bachu ni nuru hii ni kumdharau Mtume S.A.W. Alafu Mtume S.A.W Nuru yake ilikuwa sio kutukana watu na kuwaita watu mushrik au kaafir au mnafiq hiyo sio Daawa ya Mtume S.A.W
@mussakiziyzi4088 ай бұрын
Inaonekana na ww ndio katk haohao As’habul ubwabwa Sifa za mtume zinajulikana. Izo birthday party zenu wenyew na kuifanya kmibada apo Ndio uharamu wake Na zaid mnapofanya iyo mikusanyiko yenu kike kiume na madufu juu. Maulid ni bidaa isiofaa kbs ila mkiambiwa mnakuwa wakali na kujitia ujuaji. Na uyo mwalimu wako anasema nina apo na akasifie matako tuu hana ubavu wa kumsema Bachu Anaeipambanua janqa la uharam wa maulid na mapambio yake.
@MohammadJumah-qk2xc8 ай бұрын
Tumche allaah sw tuwe na khofu na allaah sw lkn pia tumuombe allaah atupe taufiq , tusijitakase kwa kujiona bora kwa balagha zetu nahau zetu tutafeli , allaah atupe mwisho mwema
@aflahabdula40848 ай бұрын
Ameen yaraby 👏🏻
@binkhalifa69568 ай бұрын
Amiin
@ratibambowa14558 ай бұрын
Lakini balagha zisomwe ndio kiarabu kitusipige chenga ni aibu mtoto wa Bachu ameenda kwenye munaqasha kusema "Tahaqaqa swidqahu" tusomeni fani mana kusema ukweli Mohamed Bachu hana kitu kk ni kejeli tu zake maana ilibidi atie saqna ndio asalimike tusomeni ilimu ya fani
@MohammadJumah-qk2xc8 ай бұрын
Kusoma ni wajib, lakn hii inamkuta hatta aliyebobea ktk fani siku moja ataenda kombo kikubwa kwetu tumuombe allaah sw aturuzuku taufiq,,,, man yurid llaahi khairan yufaqqihhu fiddiyyn
@user-rf5zf2xc9h8 ай бұрын
Alaahumma Ameen
@fahadfahmy8 ай бұрын
Sheikh wetu Hilal Kipoozeo amesimulia kisa cha nabii Daud namwanawe Suleiman kuhusu shamba na Mbuzi nahapo Nabii Suleiman alikua na umri wamiaka 12 fatwa yake ikapita,jee hatuhisi kama Mtoto waBachu nimdogo lakini alichokisema yupo sahihi?
@AbdallahMpemba8 ай бұрын
Wanamwita shkh kumbe bazazi je kipozeo unakumbuka maneno ya baba yk Mz Shaweji.
@saidimpako51868 ай бұрын
HOJA SIO WANYAMA KUONGEA, WANYAMA WANAWEZA KUONGEA HOJA YA BACHU NI KWAMBA JE IMETHIBITI KWAMBA WANYAMA WALIONGEA. KUONGEA MDUDU CHUNGU IMETHIBITI KWA QUR'AN NDEGE HUDIHUDI ALIONGEA KWA MUJIBU WA QUR'AN TUNACHOTAKA LETENI KINACHOTHIBITISHA KWAMBA WANYAMA WALIONGEA KUHUSU MIMBA YA MTUME KWA KUR'AN NA HADITHI
@anyeresa9288 ай бұрын
Mnakera na haya Mawaidha kwani mmeshindwa kuelimisha vizuri mpaka vidogo ...
@sabdiduwil84367 ай бұрын
QURANI SURAT - AL-H’ADIID AYA 23 :Ili msihuzuniki kwa kilicho kupoteeni,wala msijitape kwa alicho kupeni na mwenyezi mungu hapendi kila anayejivuna na akjifafharisha. Kwahiyo mnamsifu sana huyo kulioko hata mungu. Je! Quran : viliomo mbiguni na ardhini vinansabih mwenyezi mungu na yeye ndiye mwenye nguvu,mwenye hikima? Wapi ilpo andikwa vinamsabihi mwenyezi mungu na mtume wake
@seifabdulwahid45798 ай бұрын
Hayo ndo matatizo yenu tunokuiteni Mashekhe
@qussayribnommar5118 ай бұрын
Toa Dalili Sheikh Kipezeo Mizigo Acha Kuropoka
@shabankabarisa87858 ай бұрын
Wewe eti kipozeo Acha ujuwaji bashu sisaiziyakowewe asha kujipima n watu wenye kuelewa n kujielewa.
@user-rm8ew5nk4h7 ай бұрын
Sote ni wamoja mtume mungu wetu ni mmoja mungu mmoja uislam wetu ni mmoja tupendane na wasio kua waislakua waislam pia tusiwaudhi ni makosa
@mkubwamasoud27768 ай бұрын
Mtihanj kweli kwa hiyo atakae sema wwe kwamba utakuwa Rais ina maana ndio hoja ya kusema wanyama wameongea maneno hayo kasema nani?
@user-ts1kz1lw9p8 ай бұрын
Zeee la mi.........
@niyakhalid56508 ай бұрын
'Yani watu wa bid'a mnahangaika na mtoto wa Bachu roho zitawauma sana Kwanza huyu kipozeo ukimlinganisha na Muhammad Bachu nani mwenye nuru ya Sunna ukimuangalia kimwenendo na kitabia?
@abubakaromar61018 ай бұрын
niyakhalid wafurahisha sana 😂 anae hangaika ni watu wa Maulid au Bachu. Maulid bado yanasomwa kila leo na kukicha yaani kila mahali yasomwa bila khofu cha kuchesha Bachu atapatapa na kuhangaika kutafuta Paka kuzungumza nae. Mwashangaza leo bachu amekuwa eti ana Nuru lkni mukiambiwa Mtume S.A.W ni Nuru mwasema Bida'a mwamsingizia uongo. Mtume S.A.W hakuwa na Nuru ya kutukana licha ya watu wenye Elimu wanazuoni na kuwaita watu mushrik hata wale Munafukun na Manaswara makafiri alikuwa akiawata kwa majina yao. Bachu atatoa wapi Nuru hiyo hana nuru wala ukwaju. Alafu watu kama hawa Mtume S.A.W alitahaddharisha alipowambiya Maswahaba wake watatokea mashekhe kazi yao ni kuwaita watu mushrik. binkhalifa wakati akitukana wanazuoni na kuwaita mushrik na watu wengine kusema motoni haukuchoka. Basi Hadith za Mtume S.A.W alovyotahadharisha watatokea watu kama hawa. Asema عن حذيفة رضي الله عنه قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «إنَّ ما أَتَخوَّفُ عليكم رجلٌ قَرَأ القرآنَ حتى إذا رُئِيَتْ بَهْجتُه عليه، وكان رِدْئًا للإِسلام، غَيَّرَه إلى ما شاء الله، فانْسَلَخَ مِنْه ونَبَذَه وراءَ ظَهْرِه، وسَعَى على جاره بالسَّيف، ورمَاه بالشِّرك»، قال: قلتُ: يا نبيَّ الله، أيُّهما أوْلى بالشِّرك، المَرْمِي أم الرَّامي؟ قال: «بل الرَّامي». [حسن] - [رواه ابن حبان] قال ابن كثير رحمه الله : " إِسْنَادٌ جَيِّدٌ " انتهى ، وحسنه الألباني في "الصحيحة" (3201) . ويشهد لهذا المعنى ما رواه البخاري (6104) ، ومسلم (60) - واللفظ له - عن ابْن عُمَرَ رضي الله عنهما ، قال: قَالَ رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( أَيُّمَا امْرِئٍ قَالَ لِأَخِيهِ : يَا كَافِرُ، فَقَدْ بَاءَ بِهَا أَحَدُهُمَا، إِنْ كَانَ كَمَا قَالَ ، وَإِلَّا رَجَعَتْ عَلَيْهِ Jihadhari na hao Mashekhe wenu mutapotezwa
@HabasuFamily2 ай бұрын
Shehe comedy kazi kutetea uzushi tu
@mpoyluny37128 ай бұрын
Hii kanzu vipi
@AbdallahIssaShekhan6 ай бұрын
Bachu ana mzigo wa bega msameheni muombeeni dua
@hafidhseif96386 ай бұрын
Kwakweli ana mzigo wa kuelimisha masheikh wa kupenda ubwabwa, jibuni hoja sio kila siku kumlaamu bachu bila maandishi, na nashkuru umekubali wanyama hawaja ongea
@hafidhseif96386 ай бұрын
Jibuni hoja nani aliesema wanyama waliongea na kapokea hadith hiyo
@dullahmihuri8 ай бұрын
Allah akuhifadhi Muhammad Bachu... kuna jambo kubwa umewafnyia hawa na hawatakusahau mpk kufa kwao. Na inshaallah kuna siku watajua umuhimu wako.
@abubakaromar61018 ай бұрын
Hatuwezi msahau alivyokimbia na kukojoa kiti pia tutamkumbuka ni shekhe wa kiwahabi wa Kwanza kuzungumza na Paka 😂 😂 😂
@adinanimzimbiry8 ай бұрын
Hatuwez kumkumbuka mtu anayetoa matusi kwenye mimbari kwa sababu hafanyi daawa ya mtume
@iddimohamed2548 ай бұрын
Wameambiwa ukweli ndio wanasema n dharau bt iyo ni kawaida ya binadam kutaka kujitetea,Allah akuhifadhi bachu.
@katalayshemndolwa31468 ай бұрын
Bachu ni wahabi kama wahabitu hanq lolote
@abubakaromar61018 ай бұрын
iddimohamed ukweli upi ukweli bachu angelijibu suali ili aonekane kama ni mkweli lkni alihepa akakimbia alikuwa ashajua mbele kuna kichapo kibaya zaidi ni nyinyi tu wenye kufwata bendera mulikuwa hamujui hakutaka mujue
@rushu12328 ай бұрын
Katika uwahabi adab kwao sio muhimu ndio wanajisemea ovyo ovyo.
@batashqiraa99368 ай бұрын
Ni kawaida ya haki kukubaliwa na wachache na kukataliwa na wengi, mimi nafikiri wangegusia kitu ambcho leo maadili ktk jamii yanazidi kupotea lkn ajabu wanakusanyika kumpiga vijembe bachu, ni kawaida ya haki kukataliwa na wengi na kukubaliwa na wachache
@abubakaromar61018 ай бұрын
batashqiraa nyinyi mwashangaza kweli lkni hii ni Tabia yenu kujisahulisha au mwajifanya hamuyaoni, Mtume S.A.W asema ktk Hadithi yake إذا أردتَ أن تَذْكُرَ عيوبَ صاحبِكَ فاذكرْ عيوبَ نفسِك الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الألباني | المصدر : السلسلة الضعيفة الصفحة أو الرقم : 6975 | خلاصة حكم المحدث : منكر | أحاديث مشابهة التخريج : أخرجه البخاري في ((الأدب المفرد)) (328)، والبيهقي في ((شعب الإيمان)) (6758) wakati bachu akitukana wanazuoni na kuwaita mushrik na watu wengine kusema motoni au wengine kuwaita Makafir hiyo ilikuwa ni sawa lkni akikejeliwa yeye sio sawa? Sasa sikiza Mtume S.A.W kitambo alitahaddharisha kuwa watakuja watu kama mfano wa kina bachu washajua Hadithi mbili tatu wataanza kuwaita watu mushrik. Mtume S.A.W asema ktk Hadithi yake عن حذيفة رضي الله عنه قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «إنَّ ما أَتَخوَّفُ عليكم رجلٌ قَرَأ القرآنَ حتى إذا رُئِيَتْ بَهْجتُه عليه، وكان رِدْئًا للإِسلام، غَيَّرَه إلى ما شاء الله، فانْسَلَخَ مِنْه ونَبَذَه وراءَ ظَهْرِه، وسَعَى على جاره بالسَّيف، ورمَاه بالشِّرك»، قال: قلتُ: يا نبيَّ الله، أيُّهما أوْلى بالشِّرك، المَرْمِي أم الرَّامي؟ قال: «بل الرَّامي». [حسن] - [رواه ابن حبان] قال ابن كثير رحمه الله : " إِسْنَادٌ جَيِّدٌ " انتهى ، وحسنه الألباني في "الصحيحة" (3201) . ويشهد لهذا المعنى ما رواه البخاري (6104) ، ومسلم (60) - واللفظ له - عن ابْن عُمَرَ رضي الله عنهما ، قال: قَالَ رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( أَيُّمَا امْرِئٍ قَالَ لِأَخِيهِ : يَا كَافِرُ، فَقَدْ بَاءَ بِهَا أَحَدُهُمَا، إِنْ كَانَ كَمَا قَالَ ، وَإِلَّا رَجَعَتْ عَلَيْهِ Jihadhari na hao Mashekhe wenu yapimeni maneno na hizi Hadithi za Mtume S.A.W au kutajikuta pia nyinyi mumepita njia sio Someni mutie fahamu musipelekwe kiushabiki
@alawi67968 ай бұрын
Bachu tumemuelewa mda kuwa elimu yake ni ndgo xana
@user-eh2kh6iz7h7 ай бұрын
Njaa mbaya jamani.!Allah atuepushe na bidaah
@Modyb3 ай бұрын
amefika huku jamani, amejaa kifua ankusanyika na mipochofu ya maulidi. Allahu musta'an. Allah atupe thabaat.
@yasirsaid84648 ай бұрын
Wewe shkh kipozeo mbona hatukuelewi mara wewe sio mtu wa maulidi mara upo kwenye maulidi... mche mola wako
@abubakaromar61018 ай бұрын
Ameona ukweli
@yangayanga15532 ай бұрын
Utadhania Maswahana waliyasoma umbumbu tu
@Dinhoactor13 күн бұрын
nyie masufi ndo hamjielewi bachu yupo sahihi
@hafidhseif96386 ай бұрын
Mujibuni sheikh bachu kwa elimu leo hii munamuona mtoto mdogo anakushindeni kwa hoja munabaki kutafuta msjibu yasiyo kua na mashiko
@ramadhanishabani16448 ай бұрын
Nyinyi wandishi wa abari muwe mnandika maneno ya kweli msiwi mnaongeza ao mnapunguza apo sheikh kipozeo kamtaja wapi mtoto wa bachu
@jumakapilima72958 ай бұрын
Ahal Al Bidaa
@godwinkileo77028 ай бұрын
Mashehe wa maulid
@user-iw5hu3mc7l8 ай бұрын
Kipozeo muhuni tu
@saidrakwe87278 ай бұрын
Shegh hilali hakurupuki maana lugha yake iko fasaha
@user-eq2kj4rw1i7 ай бұрын
Kawaida mwalimu hawezi sahau mtoto mjinga kwa darasa
@user-hf4pb7wi1j8 ай бұрын
Huyo kipozeo alimparamia sheikh barahian nikweli kipozeo ni mcekeshaji lakini bujumbura buyenzi 14na30 kunakimama kinene ceusi alikuwa akipiga celele hapo
@bagalucha8 ай бұрын
Hii channel ni ya mashia,na inatumika kuwagongesha vichwa massuni
@abdulkarimukusaga36178 ай бұрын
We hunakili
@user-wx9rc3oy9o7 ай бұрын
Siku hizi dini inashangiliwa na kushindana kama mpira wa miguu watu wanajigamba kwa ujuzi na elimu mitihani sana watu wanalishana misimamo na sio elimu wakitoka hapo na misimamo huwaambii kitu hata wazazi wao huwaona makafili
@pavillioncry52418 ай бұрын
Devi kalipara lishafanya suguru
@pavillioncry52418 ай бұрын
Kipozeo sio shekh ni mchekeshaji kama.kina joti tu
@salmamfaume10738 ай бұрын
Acha ujinga kwenye din wewe
@mohammedal78648 ай бұрын
Maibadh pia wanaipinga barzanji kwa sababu ya huo uzushi
@omarshaban47358 ай бұрын
Kipezeo niliona anampinga vita diamond alafu mwishowe diamond alipomualika chakula sijaona akiongea tena
@omarshaban47358 ай бұрын
@imsimbe kwanza ww unajua mahana ya bidaa
@pavillioncry52418 ай бұрын
Mishekhe ya bidaaaa imejaaaa tanzania
@mohammedal78648 ай бұрын
😂😂Pamoja na Mombasa
@abubakaromar61018 ай бұрын
Kwenu hamuna Bida'a ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم mumeitowa kigawanyo cha Tauhid yaani zenu mpaka ktk IBADA
@Khalid-mf3iu8 ай бұрын
Daah hta wameshinda kenya yote kwa jumla
@bahiyalumelezy30168 ай бұрын
Bado hamjasema.jambo hulipendi wala hukubalianinalo unapoteza mb zako kwanini?
@jumakapilima72958 ай бұрын
@@Khalid-mf3iu Kenya wamezidi bidaa
@nassleydady57838 ай бұрын
Kwaiyo shekh wahyi bado unashuka au ulishuka bada ya mtume( saw)?
@zuberimusamazari70038 ай бұрын
Mohammed bachu nakuombea Allah akuhifadhi leo duniani na kesho akhera
@abubakaromar61018 ай бұрын
zuberimusamazari muombe awache kutukana na kuwaita watu mushrik hii sio Daawa ya Mtume S.A.W alikuwa akitukana na kuwaita watu mushrik au kaafir. Daawa ya Mtume S.A.W licha ya wale makafiri na wanafiq walikuwa wakimpiga vita lkni maisha yake yote hakuwai kutukana na wala kuwaita Makafir au wanafiq hata baada ya Vita vya Badr alienda kwa wale makafiri walokufa ambao ni viongozi wao Mtume S.A.W akawaita kwa majina yao japo alijuwa walikufa na ukafiri. Na Mtume S.A.W alitahaddharisha alipowambiya Maswahaba wake watatokea mashekhe kazi yao ni kuwaita watu mushrik.
@abubakaromar61018 ай бұрын
عن حذيفة رضي الله عنه قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «إنَّ ما أَتَخوَّفُ عليكم رجلٌ قَرَأ القرآنَ حتى إذا رُئِيَتْ بَهْجتُه عليه، وكان رِدْئًا للإِسلام، غَيَّرَه إلى ما شاء الله، فانْسَلَخَ مِنْه ونَبَذَه وراءَ ظَهْرِه، وسَعَى على جاره بالسَّيف، ورمَاه بالشِّرك»، قال: قلتُ: يا نبيَّ الله، أيُّهما أوْلى بالشِّرك، المَرْمِي أم الرَّامي؟ قال: «بل الرَّامي». [حسن] - [رواه ابن حبان] قال ابن كثير رحمه الله : " إِسْنَادٌ جَيِّدٌ " انتهى ، وحسنه الألباني في "الصحيحة" (3201) . ويشهد لهذا المعنى ما رواه البخاري (6104) ، ومسلم (60) - واللفظ له - عن ابْن عُمَرَ رضي الله عنهما ، قال: قَالَ رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( أَيُّمَا امْرِئٍ قَالَ لِأَخِيهِ : يَا كَافِرُ، فَقَدْ بَاءَ بِهَا أَحَدُهُمَا، إِنْ كَانَ كَمَا قَالَ ، وَإِلَّا رَجَعَتْ عَلَيْهِ
@abubakaromar61018 ай бұрын
Soma Hadithi hizi na pia mujihadhari na mashekhe kama hawa watawapelekeni pabaya
@laurentraphael54708 ай бұрын
Mafundisho potofu ya mudy yamezaa magaidi mengi sana
@salimkilunguzo59358 ай бұрын
We laurean acha upumbavu. We na dini yako na sisi na dini yetu. Kinakuwasha kitu gani?
@jumakapilima72958 ай бұрын
Usisahau magaidi walianza siku nyingi kama vile magaidi wa kiyahudi walivyomsulubisha yesu na hata Leo wanawauwa wapalestina
@infocontentchannel8 ай бұрын
Kelele nyingiii, Work on that. You mic is making a lot of noise
@infocontentchannel8 ай бұрын
@imsimbeNaomba Usome comment yangu yote, NIMESEMA MiC inatoa kelele na nimemamwabia Mhusika afanyie kazi. Samahani kama hujui Lugha ya Kiingereza hicho ndio nimeandika hapo.
@pavillioncry52418 ай бұрын
Acha uwongo uwongo tuuuuuu
@ramlatramadhan14537 ай бұрын
Hee kumbe nawewe ni bidis
@mwambashiiddi92958 ай бұрын
Halaf mwenye hii chaneli nimuongo mkubwa amuogope Allah maana shekh hajamtaja huyo bacho sasa wamsingizia mtu
@user-go3bk6wr8u8 ай бұрын
Mashehena
@aooshosho42558 ай бұрын
Jambo la wanyama kuongea kuwa mimba ya mtume imeingia mtume angelisema pia.
@abubakaromar61018 ай бұрын
aooshosho kwa ufupi ukisoma utaelewa: mwashanga wanyama kutamka leo kuna vitu vilivyo buniwa na sisi binadamu kama kwa mfano hizi ATM ukitia card yako utasikia yasema welcome Mr omar alafu wewe eti waona ajabu mashini yazungumza lkni kwa Mwenye Ezi Mungu hamuoni ajabu kuweza kuwatamsha na ndani ya Quran Mwenye Ezi Mungu asema تُسَبِّحُ لَهُ السَّمَاوَاتُ السَّبْعُ وَالْأَرْضُ وَمَن فِيهِنَّ ۚ وَإِن مِّن شَيْءٍ إِلَّا يُسَبِّحُ بِحَمْدِهِ وَلَٰكِن لَّا تَفْقَهُونَ تَسْبِيحَهُمْ ۗ إِنَّهُ كَانَ حَلِيمًا غَفُورًا vitu vyote vilioko mbinguni na Ardhini vya msaabih Mwenye Ezi Mungu. Na Mtume S.A.W Hadithi yake ikiwa huyu ni mwanachuoni tu aombewa maghfira na wote hawa mpaka viliyomo baharini من سلك طريقًا يطلبُ فيه علمًا ، سلك اللهُ به طريقًا من طرقِ الجنةِ ، وإنَّ الملائكةَ لتضعُ أجنحتَها رضًا لطالبِ العِلمِ ، وإنَّ العالِمَ ليستغفرُ له من في السماواتِ ومن في الأرضِ ، والحيتانُ في جوفِ الماءِ ، الراوي : أبو الدرداء | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح أبي داود الصفحة أو الرقم: 3641 | خلاصة حكم المحدث : صحيح التخريج : أخرجه أبو داود (3641) واللفظ له، والترمذي (2682)، وابن ماجه (223)، وأحمد (21715) ikiwa mwanachuoni Mtume S.A.W ataombewa maghfira je Mtume S.A.W tusemeje? Maana ya hii Aya na Hadithi nataka wewe ujiulize kuna kumsaabih Mwenye Ezi Mungu bila kutamkwa au Mtume S.A.W kusema mwanachuoni aombewa maghfira bila kutamkwa?
@AishaMkwata8 ай бұрын
mashaallah
@matendupiterngoge87078 ай бұрын
Kipozeo aliacha sigara sportsman
@PrincessZAmlima-qh1uq8 ай бұрын
Inaelekea wewe ni mkewe Hadi unafahamu mambo yake ya ndani....
@matendupiterngoge87078 ай бұрын
@@PrincessZAmlima-qh1uq Hilo vutaji sigara sana
@KhalidAlliy8 ай бұрын
@@matendupiterngoge8707kua na adabu WWEeee
@HemediRajabu-up9er8 ай бұрын
Duh ama kweli kabla haujafa hujaumbika kipezeo umekuwa mtu wa bidah
@hafidhseif96386 ай бұрын
Hata mm sumshangaai tokea alipokua nawambia waimbaji kuimba sio shida
@omarshaban47358 ай бұрын
Wanyama nani kasema waliongea
@abubakaromar61018 ай бұрын
omarshaban. wewe unao Dalili au ushahidi wanyama hawakuja mkali? mwashanga wanyama kutamka leo kuna vitu vilivyo buniwa na sisi binadamu kama kwa mfano hizi ATM ukitia card yako utasikia yasema welcome Mr omar alafu wewe eti waona ajabu mashini yazungumza lkni kwa Mwenye Ezi Mungu hamuoni ajabu kuweza kuwatamsha na ndani ya Quran Mwenye Ezi Mungu asema تُسَبِّحُ لَهُ السَّمَاوَاتُ السَّبْعُ وَالْأَرْضُ وَمَن فِيهِنَّ ۚ وَإِن مِّن شَيْءٍ إِلَّا يُسَبِّحُ بِحَمْدِهِ وَلَٰكِن لَّا تَفْقَهُونَ تَسْبِيحَهُمْ ۗ إِنَّهُ كَانَ حَلِيمًا غَفُورًا vitu vyote vilioko mbinguni na Ardhini vya msaabih Mwenye Ezi Mungu. Na Mtume S.A.W Hadithi yake ikiwa huyu ni mwanachuoni tu aombewa maghfira na wote hawa mpaka viliyomo baharini من سلك طريقًا يطلبُ فيه علمًا ، سلك اللهُ به طريقًا من طرقِ الجنةِ ، وإنَّ الملائكةَ لتضعُ أجنحتَها رضًا لطالبِ العِلمِ ، وإنَّ العالِمَ ليستغفرُ له من في السماواتِ ومن في الأرضِ ، والحيتانُ في جوفِ الماءِ ، الراوي : أبو الدرداء | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح أبي داود الصفحة أو الرقم: 3641 | خلاصة حكم المحدث : صحيح التخريج : أخرجه أبو داود (3641) واللفظ له، والترمذي (2682)، وابن ماجه (223)، وأحمد (21715) ikiwa mwanachuoni Mtume S.A.W ataombewa maghfira je Mtume S.A.W tusemeje? Maana ya hii Aya na Hadithi nataka wewe ujiulize kuna kumsaabih Mwenye Ezi Mungu bila kutamkwa au Mtume S.A.W kusema mwanachuoni aombewa maghfira bila kutamkwa?
@user-bp6fb6wo5u8 ай бұрын
kzfaq.info/get/bejne/mZeBlqqZrNiod3k.htmlsi=odVMKjIplso3m29p Nlikuwa najulia kuhusu hii....
@maase20238 ай бұрын
Wee kipozeo kama hao mashekhe wanaharibu hutaki awaambie??
@gademomari76078 ай бұрын
Mpaka leo bachu yuwakera pigeni ubwabwa pole pole
@abubakaromar61018 ай бұрын
Atukera kwa kukojoa na kuzungumza na Paka
@gademomari76078 ай бұрын
@@abubakaromar6101 amesema mtume Muhammad [saw] sema ukweli japokua ni uchungu .....rawau nimesahau pia uongo n haramu atakama n mzaha
@mohammedal78648 ай бұрын
Mzee wa mizigo 😂😂
@idrissamustafabukenya61108 ай бұрын
Acha vurugu kaka
@adnanidarous31178 ай бұрын
Masheikh w tanzania bana ndio maana dini yetu inaporomoka sana 😢 n vijana wanazidi kua hawaijui dini yao 😭
@samirharun79938 ай бұрын
Sasa ww nani mpaka uwakosoe mashekhe
@omaryramdhani98238 ай бұрын
Soma wewe Wacha kulishwa vitango pori vya ki UWAHABI
@abdulsakibu8 ай бұрын
Kuna hoja gan hapo umejenga?
@user-hx8bh1jt4k8 ай бұрын
Wala Dini yetu sisi waislam haiporomoki....labda ww ndo unaporomoka
@AyoubAbdullrahmanAmir8 ай бұрын
@@user-hx8bh1jt4k😂😂😂😂🎉Shukran sn ...sina la kuongezea
@huseynmaitaya90028 ай бұрын
Ume sikia hiyo وَفَوْقَ كُلُّ ذِيْ عِلْمٍ عَلِيْم jamanini, mudhwafun ilayhi leo ume kua mar-fuu, halafu eti anarddi mtu hapo, inge kua mtu wa sunnah ame kisea wangempigia hata ngoma Na kaswida kumtungia ,
@abubakaromar61018 ай бұрын
Hata wewe pia ushakosea hiyo sio mudhwafu ilayhi ni mudhwafu Aalayhi rudia tena kisha sisi hatupingi ngoma ni Twari ndio twapiga na ni Sunna kupiga Dufu. Ngoma kwa Kiarabu yaitwa رقص na Twari laitwa الدُّف sawa.
@aooshosho42558 ай бұрын
Hekima ya hilal ni kaa ya imam shafi alipoitwa kutowa huku juu ya Qur'an kiumbe au si kiumbe...hakima aliomuruzuku NAO Allah akaponea chupuchupu kukatwa shingo yake.
@pavillioncry52418 ай бұрын
Lete dalili acha porojo Wapi wanyama wamesema
@omaryramdhani98238 ай бұрын
Mungu kasema sungusungu kasema na wenzie wakati wa Suleyman unashangaa wanyama wakub wa, someni wacheni kulishwa vitango pori vya ki UWAHABI
@abubakaromar61018 ай бұрын
pavilioncry. Kasome mwanzo. mwashanga wanyama kutamka leo kuna vitu vilivyo buniwa na sisi binadamu kama kwa mfano hizi ATM ukitia card yako utasikia yasema welcome Mr omar alafu wewe eti waona ajabu mashini yazungumza lkni kwa Mwenye Ezi Mungu hamuoni ajabu kuweza kuwatamsha na ndani ya Quran Mwenye Ezi Mungu asema تُسَبِّحُ لَهُ السَّمَاوَاتُ السَّبْعُ وَالْأَرْضُ وَمَن فِيهِنَّ ۚ وَإِن مِّن شَيْءٍ إِلَّا يُسَبِّحُ بِحَمْدِهِ وَلَٰكِن لَّا تَفْقَهُونَ تَسْبِيحَهُمْ ۗ إِنَّهُ كَانَ حَلِيمًا غَفُورًا vitu vyote vilioko mbinguni na Ardhini vya msaabih Mwenye Ezi Mungu. Na Mtume S.A.W Hadithi yake ikiwa huyu ni mwanachuoni tu aombewa maghfira na wote hawa mpaka viliyomo baharini من سلك طريقًا يطلبُ فيه علمًا ، سلك اللهُ به طريقًا من طرقِ الجنةِ ، وإنَّ الملائكةَ لتضعُ أجنحتَها رضًا لطالبِ العِلمِ ، وإنَّ العالِمَ ليستغفرُ له من في السماواتِ ومن في الأرضِ ، والحيتانُ في جوفِ الماءِ ، الراوي : أبو الدرداء | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح أبي داود الصفحة أو الرقم: 3641 | خلاصة حكم المحدث : صحيح التخريج : أخرجه أبو داود (3641) واللفظ له، والترمذي (2682)، وابن ماجه (223)، وأحمد (21715) ikiwa mwanachuoni Mtume S.A.W ataombewa maghfira je Mtume S.A.W tusemeje? Maana ya hii Aya na Hadithi nataka wewe ujiulize kuna kumsaabih Mwenye Ezi Mungu bila kutamkwa au Mtume S.A.W kusema mwanachuoni aombewa maghfira bila kutamkwa?
@nassleydady57838 ай бұрын
@@omaryramdhani9823 hakuna mtu amekataa wanyama alionge na mtume (saw), miti,jiwe ila watu wanakataa uwongo ambao kazushiwa mfano siku kuzaliwa mtume(saw) wanya waliongea hii ndio tatizo tunatak dalili sio muzushe t sote tunajua baadhi ya manabii waliongea na viumbe ila kwa idhini ya Allah na dalili zipo ila hili limestone wp?
@iddimohamed2548 ай бұрын
Lete dalili Wacha porojo...
@abubakaromar61018 ай бұрын
wewe unayo Dalili ya wanyama hawakuzungumza
@niffonlinetz72148 ай бұрын
HII YA KIPOOZEO NI KANZU AU
@huseynmaitaya90028 ай бұрын
Sio kanzu, ni au
@salmamfaume10738 ай бұрын
Hilo ni sweta ww hujui
@selasboy39668 ай бұрын
Kipozeo hanamsimamo anaangalia zaid tumbo lake ...nakumbuka alimpa hijaza mzee yusufu akaimbe kwakumwambia hainashida ....leo hajatoa hadithi yakuthibiti kwaanayo yasema anasema bila dalili toka kwenye Qur an na sunnah..
@abubakaromar61018 ай бұрын
Nyinyi mumetoa dalili ya Quran au Hadithi za Mtume S.A.W. Ingependeza mwanzo uwaangalie za kwako ambazo ni hatari zaidi na ni ktk Tauhid kumgawanya Mwenye Ezi Mungu AL-ULUHIYYAH, AL-RUBUBIYYAH, AL-ASMA' WA SWIFAT. Hizi tatu iko wapi Naswi ya Quran au Hadithi ya Mtume S.A.W inayosema ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم?
@iddimohamed2548 ай бұрын
Na bado bachu atawanyorosha tu kipozeo wapoze hao wasio jielewa kama una dalili wanyama walitamka tupatie usilete porojo...
@abubakaromar61018 ай бұрын
iddimohamed. Kusoma ni muhimu. mwashanga wanyama kutamka leo kuna vitu vilivyo buniwa na sisi binadamu kama kwa mfano hizi ATM ukitia card yako utasikia yasema welcome Mr omar alafu wewe eti waona ajabu mashini yazungumza lkni kwa Mwenye Ezi Mungu hamuoni ajabu kuweza kuwatamsha na ndani ya Quran Mwenye Ezi Mungu asema تُسَبِّحُ لَهُ السَّمَاوَاتُ السَّبْعُ وَالْأَرْضُ وَمَن فِيهِنَّ ۚ وَإِن مِّن شَيْءٍ إِلَّا يُسَبِّحُ بِحَمْدِهِ وَلَٰكِن لَّا تَفْقَهُونَ تَسْبِيحَهُمْ ۗ إِنَّهُ كَانَ حَلِيمًا غَفُورًا vitu vyote vilioko mbinguni na Ardhini vya msaabih Mwenye Ezi Mungu. Na Mtume S.A.W Hadithi yake ikiwa huyu ni mwanachuoni tu aombewa maghfira na wote hawa mpaka viliyomo baharini من سلك طريقًا يطلبُ فيه علمًا ، سلك اللهُ به طريقًا من طرقِ الجنةِ ، وإنَّ الملائكةَ لتضعُ أجنحتَها رضًا لطالبِ العِلمِ ، وإنَّ العالِمَ ليستغفرُ له من في السماواتِ ومن في الأرضِ ، والحيتانُ في جوفِ الماءِ ، الراوي : أبو الدرداء | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح أبي داود الصفحة أو الرقم: 3641 | خلاصة حكم المحدث : صحيح التخريج : أخرجه أبو داود (3641) واللفظ له، والترمذي (2682)، وابن ماجه (223)، وأحمد (21715) ikiwa mwanachuoni Mtume S.A.W ataombewa maghfira je Mtume S.A.W tusemeje? Maana ya hii Aya na Hadithi nataka wewe ujiulize kuna kumsaabih Mwenye Ezi Mungu bila kutamkwa au Mtume S.A.W kusema mwanachuoni aombewa maghfira bila kutamkwa?
@abubakaromar61018 ай бұрын
Mtume S.A.W asema ktk Hadithi yake إذا أردتَ أن تَذْكُرَ عيوبَ صاحبِكَ فاذكرْ عيوبَ نفسِك الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الألباني | المصدر : السلسلة الصفحة أو الرقم : 6975 | خلاصة حكم المحدث| أحاديث مشابهة التخريج : أخرجه البخاري في ((الأدب المفرد)) (328)، والبيهقي في ((شعب الإيمان)) (6758) Kabla ya kuyakosoa Maulid mwanzo kwa nini hamuwalizi hao Mashekhe zenu Bida'a mulizonazo au hamuzioni hizo za kwenu tena za kwenu ni hatari zaidi mpaka ktk IBADA mushawai kuuliza ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم kigawanyo cha Tauhid AL-ULUHIYYAH, AL-RUBUBIYYAH, AL-ASMA' WA SWIFAT ipo Naswi ya Quran au Hadithi Mtume S.A.W. tena sio hii peke yake ziko na Bida'a nyingi munazo. Yaani mwapelekwa kimbumbu mbumbu kama hao mashekhe wenu bila kutumia akili. Tumieni akili kabla hujauliza ya mwenzako mwanzo kumbuka ya kwako pia utaulizwa na tena mukiulizwa ya kwenu wajifanya hamuna habari mwakazia. Tieni fahamu mukasome
@faridahmed62968 ай бұрын
Jibu faida na fathila Za kusoma maulidi wapata thawabu ngapi
@abubakaromar61018 ай бұрын
faridahmed jibu lako hata usiulize watu wa Maulid tuko na vitabu vingi thawabu zinazopatikana ndani yake. Kamsome Shekhe mkubwa tu munaemtegea ktk kitabu chake kikubwa Iqtidhwau Swiratwa Mustakeem Ibnu Taimiyah لقد قرأت في صفحاتكم تحريم المولد والشيخ ابن تيمية أجاز عمل المولد في كتابه المسمى : اقتضاء الصراط المستقيم في ص 297 فقال: فتعظيم المولد واتخاذه موسما قد يفعله بعض الناس ويكون له فيه أجر عظيم لحسن قصده وتعظيمه لرسول الله صلى الله عليه وسلم .فلم أفتيتم بتحريمه؟ الأصل في 9الاحتفال بمولد النبي صلى الله عليه وسلم هو قوله تعالى عن اتباع النبي : وعظموه. فالمولد من تعظيم النبي. وإنما يفعل مثل هذا النصارى الذين يتخذون أمثال أيام حوادث عيسى عليه السلام أعيادا، أو اليهود، وإنما العيد شريعة، فما شرعه الله اتبع؛ وإلا لم يحدث في الدين ما ليس منه. كذلك ما يحدثه بعض الناس إما مضاهاة للنصارى في ميلاد عيسى عليه السلام، وإما محبة للنبي صلى الله عليه وسلم وتعظيما له، والله قد يثيبهم على هذه المحبة والاجتهاد لا على البدع من اتخاذ مولد النبي صلى الله عليه وسلم عيدا.
@abubakaromar61018 ай бұрын
Kisha angalia hichi kipande cha mwisho kinacho sema والله قد يثيبهم على هذه المحبة والاجتهاد لا على البدع من اتخاذ مولد النبي صلى الله عليه وسلم عيدا. Asema sio ktk Bida'a
@abubakaromar61018 ай бұрын
Ametumia LAM taukidi asema LAA ABID'AA لا على البدع
@abasijuma69898 ай бұрын
Maulidi sio jambo la dini nikutafuta vyeo na pesa tu hata kipozeo mwenyewe hayakkubali lkn kwa kua kuna mshiko ndio ameingi@
@adamkilembwe.8 ай бұрын
Dharau na kibri,ni sehemu ya masomo y a mawahabi
@matendupiterngoge87078 ай бұрын
Kuabudu maiti kwa hiyo ni dini sindi
@matendupiterngoge87078 ай бұрын
Ma wahabi na kina abubakar na Omar na Othman na Fatma na wengineo ndio wanaoijua dini kwa sababu hawaombi maiti Wala hawafanyi maulidi hebu tuambie wahabi afanya wapi maulidi na abubakar na Omar wamefanya wapi maulidi kwa hiyo hoja inatosha wahabi anafanana na maswahaba kabisa kabisa
@yasiromar98628 ай бұрын
dharau na kibri kujiona wanajua dini sana ndio inawaponza km vile musa alivyojiponza kwa kidhri
@abubakaromar61018 ай бұрын
matendupiterngoge. Hizo itakuwa itikadi Dhana zako يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اجْتَنِبُوا كَثِيرًا مِّنَ الظَّنِّ إِنَّ بَعْضَ الظَّنِّ إِثْمٌ. Kisha ktk Hadithi ya Mtume S.A.W yeye mwenyewe kambrisha kuzuru makaburi وعن عائشة رضي الله عنها قالت : كان رسول الله صلى الله عليه وسلم يخرج إلى البقيع فيقول : ( السَّلَامُ عَلَيْكُمْ دَارَ قَوْمٍ مُؤْمِنِينَ ، وَأَتَاكُمْ مَا تُوعَدُونَ ، غَدًا مُؤَجَّلُونَ ، وَإِنَّا إِنْ شَاءَ اللَّهُ بِكُمْ لَاحِقُونَ ، اللَّهُمَّ اغْفِرْ لِأَهْلِ بَقِيعِ الْغَرْقَدِ) فعن عبد الله بن بريدة عن أبيه رضي الله عنه قال : قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : ( كُنْتُ نَهَيْتُكُمْ عَنْ زِيَارَةِ الْقُبُورِ فَزُورُوهَا) رواه مسلم (974 ) ، وفي لفظ عند الترمذي (1054) : (فَإِنَّهَا تُذَكِّرُ الْآخِرَةَ) . Kwa sababu Mtume S.A.W hakuhofia kuwa Waumini watafanya Shirki alifahamu Aya ktk Quran Surah Al-Baqra inayosema Waumini wa kweli hawana kuamini mizimu wala mapango wala mashetani wala makaburi na katika Hijjatu Wadaa Khutba yake ya mwisho kwa Hadithi Swahih Mtume S.A.W alisema الحديث رواه البخاري (1344) ومسلم (2296) عَنْ عُقْبَةَ بْنِ عَامِرٍ أَنَّ النَّبِيَّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ خَرَجَ يَوْمًا فَصَلَّى عَلَى أَهْلِ أُحُدٍ صَلَاتَهُ عَلَى الْمَيِّتِ ثُمَّ انْصَرَفَ إِلَى الْمِنْبَرِ فَقَالَ إِنِّي فَرَطٌ لَكُمْ وَأَنَا شَهِيدٌ عَلَيْكُمْ وَإِنِّي وَاللَّهِ لَأَنْظُرُ إِلَى حَوْضِي الْآنَ وَإِنِّي أُعْطِيتُ مَفَاتِيحَ خَزَائِنِ الْأَرْضِ أَوْ مَفَاتِيحَ الْأَرْضِ وَإِنِّي وَاللَّهِ مَا أَخَافُ عَلَيْكُمْ أَنْ تُشْرِكُوا بَعْدِي وَلَكِنْ أَخَافُ عَلَيْكُمْ أَنْ تَنَافَسُوا فِيهَا ).
@abubakarymaulidy56818 ай бұрын
Mawahabi acheni ushoga mbn mnawashwa sana mnataka kufanywa maan mnakuja kutakana walimu hapa nyie mwisho wenu mbya sana
@jumabakarij25388 ай бұрын
Wew ni mtu wa Aina gani unatukana matus hiyo ndio dini ya matusi ndio maana tunasema watu wa bidaaa mnamatatizo sana
@user-jd5on2fb7s8 ай бұрын
Utaanza kuolewa wewe alaf jiheshim sana unapotaka kusema kitu
@hassansaul70988 ай бұрын
Duh, hii ni njaa kbs kwa masheikh wetu, Sheikh si na yeye alkua anapinga maulidi?! 😅
@abubakaromar61018 ай бұрын
Ameona haqi akaifwata
@user-ql2om7qj3v8 ай бұрын
Huyu mtoto wa bashu mwamuogopa sana sio
@sakinaamani14868 ай бұрын
Hawamuogopi ispokuwa n mpumbavu na imam shafi alisema anamcha sana mpumbavu kuliko mjinga sabbu mjinga ukimuelimisha anaelewa lakini mpumbavu hushika ppale aliposhika
@Hustlersec8 ай бұрын
Upumbavu wake nn sasa kusem maulid hayafai na hayafai kweli ati
@mtumwasamaki8 ай бұрын
Unamuogopa ww
@mikekhalifaali75108 ай бұрын
Bachu naye anasemaga tu ukweli na haqi, hawa wengine ni wachekeshaji, kipozeo naye kashaingia ndani kwenye mi bidaah,
@abubakaromar61018 ай бұрын
mikekhalifaali tupe ukweli na haqi anayoisema bachu kutukana wanazuoni na kuwaita mushrik ndio ukweli na haqi hiyo sio Daawa ya Mtume S.A.W. Mtume S.A.W maisha yake yote hakuwai kutukana na kuwaita watu mushrik au kaafir au mnafiq hata baada ya Vita vya Badr wale walokufa makafiri Mtume S.A.W alipoenda hapo walipokufa Mtume S.A.W hakuwaita kafir aliwaita kwa majina yao. Kisha si afadhali kuchekesha kuliko kutukana watu ovyo ovyo kwa ufahamu wake mdogo? Kuingia ndani ya Mibida'a kwani huko kwenu hamuna Bida'a tena za kwenu ni hatari zaidi na ni ktk Tauhid kumgawanya Mwenye Ezi Mungu. kuweni na makini na hao Mashekhe wenu
@mohammedal78648 ай бұрын
Mohamed bachu anauliza je hayo yamethibiti kwa hadithi sahiih maana msitunge jambo mkamsingizia mtume
@abubakaromar61018 ай бұрын
Kwenu hamuna Bida'a ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم muko na Aya ya Quran au Hadithi ya Mtume S.A.W yasema hivo kigawanyo cha Tauhid
@iddimohamed2548 ай бұрын
hawamuezi bachu ata wakiungana...uyu ni mchekeshaji tu tushamjua kitambo..
@elbattawy28648 ай бұрын
@@iddimohamed254 bachu keshajibiwa kitambo na wala hajanyanyua tena mdomo wake hadi leo alikimbia mjadala akatimua zake
@moodyhassany89288 ай бұрын
😂😂😂 mashekh hawa wana kqz kwa mungu
@khalidkardesh62848 ай бұрын
Kwani wanyama wakitamka kwaajili yamtume kuna ajabu gani mpaka utake hadithi swahihi kwani nijambo lafaradhi wacheni chuki kwamtume
@medimisi69308 ай бұрын
shida ni kumdhulia uwongo mtume hiyo ndio shida, na mtume hapaishwi kwa kutumia uongo
@aymanmangube40928 ай бұрын
kutamka wanyama sio shida tunaamini mpaka jiwe lilimtolea salamu Mtume صلى الله عليه وسلم shida kubwa nikwamba huyu ni kiumbe mtukufu sana historia yake haitakiwi ichanganywe na uongo na yeye mwenyewe amesema kwamba kumzuria uongo yeye sisawa na kumzuria uongo mwingine kwa maana uongo dhidi ya Mtume صلى الله عليه وسلم ni mtu kujichumia madhambi makubwa sana, angalia hapa Tanzania tu historia ya nyerere watu hawataki ichafuliwe sasa itakuaje ya Mtume wetu MUHAMMAD صلى الله عليه وسلم
@khalidkardesh62848 ай бұрын
@@medimisi6930 uongo gani aliozuliwa mtume...na hadithi zipo zilizotaja wanyama kutamka
@khalidkardesh62848 ай бұрын
@@aymanmangube4092 ndio maana tunataja kila miujiza na utoka uliotokea kwanini watu wanakataa
@aymanmangube40928 ай бұрын
@@khalidkardesh6284 rudia kusoma nilichaondika
@samirrubeya23798 ай бұрын
Bachu atatoa ukweli tu.. Sisi ni uma bora lazima tukatazane maovu na tuamrishane mema..Shirk na uongo kusingiziwa mtume ni kosa kubwa...Heshima ufanye wewe zee la mizigo.
@abubakaromar61018 ай бұрын
samirrubeya wewe kabla hujaona Shirki na uongo eti wakumsingizia Mtume S.A.W? Mwanzo muangaliye ya kwenu hii si ndio mbaya zaidi wapi mumetoa kigawanyo cha Tauhid AL-ULUHIYYAH, AL-RUBUBIYYAH, AL-ASMA' WA SWIFAT. Hizi tatu iko wapi Naswi ya Quran au Hadithi ya Mtume S.A.W inayosema ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم?
@aishathabit37328 ай бұрын
Huyu si akisema maulid ni bid,a? Kipozeo amebadilika ?
@@HamduMasud-xw6qc mtu anasemwa kwa maovu yake mm nimeliona hili cwez kumsingizia kitu ambacho sijui km anafanya au hafanyi ndevu naona kanyoa
@abubakaromar61018 ай бұрын
nassleydady mtu akinyoa ndevu au kama haweki hukmu yake ni nini?
@nassleydady57838 ай бұрын
@@abubakaromar6101 hukmu yakunyoa ndev mm sifaham ila upande wangu mm najua nimakosa kwamana mtume ( saw) ndio amesema siwez kuliza hukmu wakat mtume ( saw) ameshasema wazi tupunguze masharubu yetu na tufuge ndevu zetu aliesema km nikimkaidi inatosha kua ninahukumu mbaya mbele ya allah
@user-uy5ul9bq9x8 ай бұрын
Hawa mawahabi wapumbavu kweliiiiii yanafatilia maulidi humu yutubu mwanzo mwisho
Shehe kipozeo wewe ni basha tu kachambue wasanii ndio unalojua
@aymanmangube40928 ай бұрын
hapo kwenye tunguli ungekazia kwa sana maana sasaivi limekua ni janga ila nimeona kama umepiga chenga nzito lakini kweli kwa kisa hicho cha Al Imamu Shafii ndio tayari umeshajibu kwamba wanyama nikweli walizungumza
@issaabdallah12058 ай бұрын
Ila shekh kumbuka hakuna walii wa Allah Allah anaemzingizia mtume uwongo ...mwapoteze watu tuu ..bidaa zenu haisimami mpaka mumsingizie mitume nimapenzi gani hayo ?
@abubakaromar61018 ай бұрын
issabdallah nyinyi kubwa lenu mwaona Maulid ni kumsingizia Mtume S.A.W uongo. Nyinyi mawahabi Bida'a kwenu hamuna mulozusha za kwenu ni kibao tena mpaka ktk IBADA Tauhid kumgawanya Mwenye Ezi Mungu. Mumetowa wapi ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم AL-ULUHIYYAH;;AL-RUBUBIYYAH;;AL-ASMA' WA SWIFAT zipo wapi hizi ktk Quran au Hadithi za Mtume S.A.W
@user-hk1jy6rl5e8 ай бұрын
Muhabi nimuhabi tu hata ukimwambia vip hawaelewagi nikuwaacha sijui Hawa watu wanamatatizo mengi Allah awaongoze Yan kama hujawa muhabi wanakuona Kam sio mwislam
@user-fy4op1sw2f8 ай бұрын
Shida ni sheikh wenu Sheikh Google bachu 😂😂😂😂😂
@abdallahal-khaify8 ай бұрын
Bidaa ni upotevu ni kila bidaa mwisho wake ni motoni.
@iddimohamed2548 ай бұрын
Huyu c alikua akipinga maulidi alaf sai anahudhuria kabisa ata simuelewi.....
@barzaqtradingcompany85418 ай бұрын
Hiyo ni njama zamasufi baada kukosa kuitetea khurafizao, dini inataka unisuriwe , masufi njoni kuwenye njia ya kurani na sunna sahihi
@abubakaromar61018 ай бұрын
Nyinyi ni Quran ipi mwasoma au Sunna ipi mwaifwata kwa sababu Itikadi yenu mwasema Mwenye Ezi Mungu ana mikono,Miguu,Macho yaani AstaghfiruAllah mumefanya Mwenye Ezi Mungu kama kiumbe kisha eti tuje huko haya pia sijui mulitowa wapi kigawanyo cha Tauhid ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم AL-ULUHIYYAH, AL-RUBUBIYYAH, AL-ASMA' WA SWIFAT. Hizi tatu iko wapi Naswi ya Quran au Hadithi ya Mtume S.A.W inayosema ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم?
@abubakaromar61018 ай бұрын
Jihadharini na hao Mashekhe wenu watawapotezeni
@barzaqtradingcompany85418 ай бұрын
@@abubakaromar6101 kabla sikujibu na nambie tawhidi maana yaake ?
@abubakaromar61018 ай бұрын
barzaqtradingcompa labda wewe ndio hujui maana yake na lau ungelikuwa waijua Tauhid maana yake ungelikuwa ushaachana na uwahabi wala hakuna hatatokea wahabi yoyote awezae kutoa dalili ya kigawanyo cha Tauhid. Somo la Tauhid nimelisoma sana mpaka undani wake labda nikueleze kwa ufupi maana Tauhid ni Upweke wa Mwenye Ezi Mungu. Sasa wewe nieleze nini maana ya Tauhid? Nataka nikusikie na wewe uniulize maanake. Kisha nikueleze kwa urefu na kwa ufahamu mzuri
@abubakaromar61018 ай бұрын
barzaqtradingcompang. waniuliza mimi maana ya Tauhid labda wewe ndio hujui maana yake na lau ungelikuwa waijua maana ya Tauhid ungelikuwa ushaachana na uwahabi wala hakuna hatatokea wahabi yoyote awezae kutoa dalili kuiteteya ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم. Ama kukufahamisha maana ya Tauhid nalijua somo lote na ni somo pana sana lakata uweo makini halitaki mzaha wacha kwa ufupi tu maana yake Tauhid Asili yake limetokamana ya وحد yaani Upweke. Haya sasa nikuulize wewe maana yake nijue kama kweli wajua kwa sababu najua maana yake kwa urefu sana lkni nataka nikusikie na wewe pengine yawezekana wasema waweza kujibu suali lkni mpaka nikueleze maana yake kumbe wewe mwenyewe hujui maana yake. Nakusubiri
@AbdirahimIbrahim-sh6sl8 ай бұрын
Shekh tapeli wewe
@salmamfaume10738 ай бұрын
Naona unareples mesg huna kazi yakufanya nn
@AbdirahimIbrahim-sh6sl7 ай бұрын
Kaonge kwenye ma group ya ubajo. Hapa tunaongea kuhusu dini. mamaa
@user-bp6fb6wo5u8 ай бұрын
kzfaq.info/get/bejne/mZeBlqqZrNiod3k.htmlsi=odVMKjIplso3m29p Hii vipi ikhwa?
@kazinaimwishehe-ec3xu8 ай бұрын
Ao wengine Awaji msikitini mpaka tuchange pesa ndo aje dar kweli imani imebaki Moyoni mwako ukisema mwenzako jiangalie na ww si mnachukuwaga fedha kwa kutemberea misikit apo napo vp au nyinyi ni watukufu sana
@abakibibi99178 ай бұрын
WANAZUONI NI WARITHI WA MITUME KURITHI NI KUCHUKUA KILICHOACHWA AU UNACHUKUA NA KINGINE HIYO MIFANO YA IMAMU SHAFI NDIO MAJIBU YA WANYAMA KUSEMA