ALLAH AKUSAMEHE MAKOSA YKO NA AKULIPE UJIRA WA JITIHADA YAKO.
@ismaelkambale3024 Жыл бұрын
Manshallah
@abdulhakimhasan76732 жыл бұрын
Ndugu Rajabu Twalha , hapa sio pahala pa kumzungumzia sheikhe . Sio heshima au uadilifu wa uisilamu . Desturi ni uongee naye ana kwa ana , au umuandikie .
@abdulbogoyo1243 Жыл бұрын
MashaAllah
@jumakapilima56742 жыл бұрын
Profesa kipoozeo!!!
@sady_khan2 ай бұрын
Mashaallah
@lulunabdallah Жыл бұрын
Allah Akbar Jamil
@mohamudmohamed72452 жыл бұрын
Jazakallah
@hamzaforogo Жыл бұрын
Maashallah fundi kipozeo
@donedaddy45612 жыл бұрын
Mashallah
@IsmailhemediHaji-cm8tw11 ай бұрын
ManshaAllah 🙏
@sidisoumare62142 жыл бұрын
machaa allah Baka llah flk
@ahmadally91602 жыл бұрын
🤣🤣🤣 ila huyu sheikh, Ma sha Allah
@rajabutwalha23132 жыл бұрын
As Salam alaykum warahmatullah wabarakatuh samahan sana napenda kusema kuhusu sheikh wangu huyu nampenda kwa ajili ya ALLAH ila sasa hivi amekuwa sio kama zamani maana zamani alikuwa hafichi haqqi ila sasa hivi siyo yule sijui vip
@rajabutwalha23132 жыл бұрын
As Salam alaykum warahmatullah wabarakatuh samahan sana ndugu yangu Abdul hakiim Hassan nikwambie tu kwamba umesema kuwa humu sio sehemu ya kumkumbusha je nikuulize tu mimi kukosa kumuona humu ningejuaje kama sasa hivi siyo yule kumbuka kuwa hata yeye mwenyewe alimkosoa sheikh mmoja hivi kupitia humu humu mitandaoni sasa ukumbusho ni mahala popote pale hata ww ukikosea bas tutakosoa au mm vile vile nilikosea nitakosolewa.
@abdulhakimhasan76732 жыл бұрын
@@rajabutwalha2313 Ndugu Rajabu Twalha , Mola Mueza amempa ilimu sheikhe, na kufaidi viumbe vingi sana duniani. Na mwalimu, heshima yake, hairuhusu kumtangaza au kumsemea hadharani. Fanya taabu ya kutafuta anwani yake. Mtu hufanya makosa, lakini huwezi kurekebisha makosa kwa makosa .
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Wewe usiyeficha haki inatosha,,,,Sisi tuachie sheikh wetu mawaidha yake Tu yanatutosha
@jumakapilima72952 жыл бұрын
@@rajabutwalha2313 inaonekana Una chuki binafsi na sheikh,,,,kwasababu sheikh toka miaka ya 1980 's mpaka leo amefanya juhudi kubwa katika kuusukuma mbele uislam, sasa wewe mtaka haki sijui umeufanyia nini uislam mpaka sasa?
Iv kati ya uisilam na dini zingine zipi zinaonekana za kutunga. Ndugu hata iyo biblia yenu iliteremshwa na mtume yupi wa mungu. Ama ni watu walijiandikia kupiigia hela😁😁. Kaa uitafakari hio dini yene usidanganywe na miujiza ambayo nyuma ya pazia ni demon ndo wanafanya kazi
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Unateseka ukiwa wapi?
@idrissamustafabukenya6110 Жыл бұрын
Hawuna ilimu kaa kimya wewe mwasa
@mathiasmageni85682 жыл бұрын
Musa alikuwa myahudi msidanganye Sana watu hamwogopi hata Moto ?
@mrwideputin20382 жыл бұрын
Uislamu ni kujisalimisha kwa Mungu. Tangu mtume Adam na mitume wote walikuwa waislamu.
@aliabdallah84562 жыл бұрын
Huyaudi ni kabila dini ni muislamu kabila muaya dini islam
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Unateseka ukiwa wapi,,,,,maana alichosema sheikh ndio ukweli
@idrissamustafabukenya6110 Жыл бұрын
Kasome rafiki yangu ndo utajuwa ukweli. Huyo ni sheikh kabisa siyo masiyara