Allahumma audhu bika min adhabil qabr wa min adhabinnar wa min fitnati mahyaa wa mamati wa min fitnati masihi dajal
@shaibushaaban15385 жыл бұрын
Hakika hii nisiku ngumu Sana Allah atunusulu shukrani shekhe othman Michael umeiyona Haki Kabla hujafa ukaifwata Allah akuongoze
@nassrakhalef34373 жыл бұрын
Iuīo0
@salimmluta35144 жыл бұрын
Wallahi shaikh uthman Allah amekupa nuru akujaze nuru kila mahali na nuru yako izid kungaa
@selemanmajaliwa12404 жыл бұрын
Yaa ALLAH tuepushe na fitina za masihi Dajjal 🙏🙏🙏🙏
@alhamdulillah57965 жыл бұрын
Yaa Rabb tuepushe waja wako na shari na fitna ya masihi dajjal, Amiin
@samsacute86725 жыл бұрын
Amen
@issarachide14745 жыл бұрын
Masha Allah
@shameemameery29794 жыл бұрын
Amiin inshaallah
@saidasalim21793 жыл бұрын
@@samsacute8672 p
@saidasalim21793 жыл бұрын
@@samsacute8672 p
@wondersmotivation55435 жыл бұрын
Jazakha Allah kheer,,,Allah atuepushe na fitnatul Dunia,,Wa adhabal Kabur,,,Wa fitnatul Masih Dajaal,,,
@trustciousmakungu46464 жыл бұрын
wonders motivation sheikh othumni Tunashukuru sana Allah akupe umri mrefu Tunafaidika namawaidha imani zetu zinjengeka kikamilifu Alhamdulilahi.
@samutykuntathebantu84022 жыл бұрын
Yesu Kristo alimaliza yote msalabani. Wakristo Wana bahati tuna Roho mtakatifu...
@user-sq8pq1xj7m2 жыл бұрын
Ewe Mwenyezi Mungu tuepushe na athar za masihdhajall kafr huyu akikuandama hna chko insha'Allah Mwenyezi Mungu atulinde Ameeen ameeen ameeen
@jabalfondo38054 жыл бұрын
sikujua yote haya lakini kwa kusikiliza khutbah hakika nimezinduka. Shukrani SHEIKH OTHMAN
@nasraalismailiy51885 жыл бұрын
subhanaAllah Allah awahifadhi masheikh wote na kila anaependa jambo zuri na kututia moyo waislam napenda sana mtu mwenye hekma na maneno mazuru namuomba Allah nanapenda niwe karibu na watu ambao hata ninapokosea wananisemeshe kwa maneno mazuri sipendi mtu mkali ktk maisha yangu .
@muddyhuseni23004 жыл бұрын
Mungu atulinde
@abdulrahmanngaluma37685 жыл бұрын
Kikubwa ni kuyafanyia Kazi haya mawaidha .....👋🏾👋🏾👋🏾👋🏾👋🏾
@mussajuma74605 жыл бұрын
Daah wapo kwel na mimi nawajuwa hapa hapa nchini hao masheikh waongo wanatumika vibaya wanatugawa sisi
@anitaciza76605 жыл бұрын
Subuhanallah Shukurani shekhe Allah atunusuru wajawake tuwe na imani kamili.
@ashalaurent24654 жыл бұрын
Mashaa alha mungu azidi kukupa umri mrefu wenye faida
@alhamdulillah57965 жыл бұрын
Maa shaa Allah nikimsikiliza sheikh huyu najisikia km namsikiliza sheikh Othman Maalim. Allah akuhifadhini Masheikh wote na akupeni umr wenye manufaa na khatima njema, Amiin
@shamsismail71155 жыл бұрын
Na Mimi nakubaliana na wewe
@najmoabdullahi36095 жыл бұрын
Swadaqta
@ibrahimmohamedmaalim55685 жыл бұрын
Nataraji ni mwanafunzi wake
@abdijuma47634 жыл бұрын
Ameen
@dhulkaadawakaada39714 жыл бұрын
N kwel kabsa
@faizasaid82625 жыл бұрын
Subuhanallah mungu atuepushie na masahid dajjal
@ahmadjuma60835 жыл бұрын
Maashaa Allah shekh Othman mayko nakukubali zaidi ninavyojikubali mwenyewe uko vizuri sana Allah akuzidishie elimu tuzidi kunufaika nawe Allah akukinge na mahasaidi.
@HABIBULLAH-nd9ft4 жыл бұрын
Kwa kufananisha saut hivi sidhan kama shekh Othman maalim Alisha wahi kumskia mrithi wake huyu na siku akimskia atasema yaa Rabbi jaalia wawe hata wengi kama HAWA maasha allah
ALLAH AKUSTIRI na SHARI za Dunia na Ukujaalie PEPO BORA INSHAALLAH.
@jasminali59214 жыл бұрын
Mashaaallah tabarakallah shukrani sana shekh othman Michael kwa ukumbusho Allah akujaalie Kila la kher 🌹🙏🙏🙏
@yanikdabo21375 жыл бұрын
Allahumma swalli alaa muhammadin waali sayyidna muhammad ( saw ) rehma a amani ziwe juu yake inshallahu
@ummulkheir83214 жыл бұрын
Mashaallah,yarabbi tuhifadhi
@kulwabakari21665 жыл бұрын
Shukrani shekh mungu akuzidishie umri utujuze mengi
@omadybinumady54275 жыл бұрын
Mashaa Allah shukrani shekhe
@rukiamanjicha11573 жыл бұрын
Lailaha illa anta... Allah atukinge na fitna za masihu dajjal
@saeedsaeed73815 жыл бұрын
Masha Allah Masha Allah sheikh Othman mawaidha safi sana na mada ya leo muhimu kuhusu daiili za kiyama..lnshallah mungu atupe neema dhabiti sote kwa ujumla Ameen yarab
@chunaamina87194 жыл бұрын
Mashaallah, Tabaraqah Allah,Mungu akupe umri mrefu Na uzidi kutuongoza inshaalla🤲🙏
@ibrahimwario31775 жыл бұрын
Masha Allah shukran shk.umetuelemisha nyingi na uzidi kutuelemisha zaidi Allah akujalie uzima wa afya na maisha marefu,ya Allah tuepushe na adabu ya kaburi,jahannam,fitina ya mahya wamamatii na shari yke masih dajjal.Ameen
@leylerahmed16775 жыл бұрын
Laaa haaulaaaa walakuwwatah illa billah duh
@mwanahamisimkilalu38924 жыл бұрын
Allah atuepushe na masih dajal tusimfate
@sleymohamed9355 жыл бұрын
Subhanallah. M/Mungu atuepushie mbali na hiki kiumbe ni mtihani sana
@faizasaid82625 жыл бұрын
Mashallah shukuran
@khadijaal65485 жыл бұрын
Faiza Said Aamin
@hajatihajati53575 жыл бұрын
Jazaka Llah khayrah. Allah akupe umri murefu uzidi kutu juza na kufikisha Elimu yake kwa waja wake
@aishaabdallah45604 жыл бұрын
MaashaAllah napenda mawaidha ya huyu sheikh mungu akuzidishie kheir na km hayo ya vifo vya wengi mfano hiyo corona watu wapupitika yarab tustiri🙏
@asiaissa9765 жыл бұрын
Shukran yaasheikh othman mungu akuzidishie nuuru kifuani mwako amiin yaallah
@ibrahimwario31775 жыл бұрын
Ameen ya Rab
@ismailelfadhil68133 жыл бұрын
sheikh Allah akubarik akujaze ilmu yenye manufaa kuhusu huyo shekh makame shekh nilikuwa nawasha redio kl cku wakat wa magharib nimfuatishe anapo adhin japo nilikuwa nakosea kufuatisha adhana baada kuitikia namuomba allah anisameh nilikuwa bd mtoto pia nilikuwa nataman nije kuadhin km hy shekh
@mwaks33475 жыл бұрын
Mash Allah,,hasnal khatimah
@waynejohn2239 Жыл бұрын
Asante Allah ukizidishiye ilim
@abdallahmustapha71255 жыл бұрын
allahu akbar
@blakshajaa44185 жыл бұрын
MashaAllah Allah atulindie waislam na mashehk zt
@MOMOsisterinthesports5 жыл бұрын
Mashallaha tabarak llah shekh unatujeng kiimani
@yusufsuleiman13915 жыл бұрын
Subhana llah
@jumannemashaka10345 жыл бұрын
Mungu akujalie
@abdalahsuleiman89895 жыл бұрын
Masha Allah
@almassoud31095 жыл бұрын
Maashallah. Khutba mzuri. Faida kubwa ilioje. Allah ampe umri mrefu tuzid kupata faida
@championshahidu24655 жыл бұрын
Thank you so much sheik, I love your recitation, stay blessings
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh Ma shaa Allah mawaidha mazuri Saana Mie nimesikia yote na hakuna kilichonivutia zayd km story fupi ya SHEIKH ATHMAN ALLAH IHFADHKUM Naomba hicho kipengele cha story yake maana kuna watu wako giza hasa kijijin kwangu na ukoo Wangu wanaihama saana dini hasa mabinty tukitaka kuolewa Hivo naomba hiyo clip waweze kumsikia sheikh huenda ikawagusa kwa namna moja ama nyingne in shaa Allah Shoukran jazakallahu khayr
@rayisadesigns26464 жыл бұрын
samahir, kama upo dar es salaam wasiliana na masjid mtoro online tv watakupatia video yake au kama upo nje ya nchi download aidha ktk simu yako au pc, au kama ni ndefu ina mb nyingi hauwezi kuwatumia bonyeza hapo kulia upande wa chini ya video kwenye neno SHARE halafu watumie link yake kwenye namba zao za whatsapp wataziangalia moja kwa moja youtube ktk chanel hii kama unavyoangalia wewe.
@khadijaal65485 жыл бұрын
Ma shaa Allah Shoukran saana Mie naomba clip yotee
@aminamichael17065 жыл бұрын
Shukran shekh
@salumkirumi55272 жыл бұрын
Sheikh nakupenda Sana napenda unavyozungumza Hadi nahsi kusisimka
@zobidaal44234 жыл бұрын
Yaaarab tuepushe na fitna kubwa za masihi dajjal
@abuuhafsah96305 жыл бұрын
Iyakallah .....
@mgenijuma39395 жыл бұрын
shukrani
@ntakirutimanamaisara45295 жыл бұрын
Masha Allah jazzakum rakhreil sheikh mim nakosa cakusema Allah mwingi warehma akupe umli mulefu uzidikutupa elim tofauti
@saeedsaeed73815 жыл бұрын
Inshallah mungu atupe emaan dhabiti na utuepushe na adhabu za motoni Ameen yarab
@habityabsa9975 жыл бұрын
Asalaam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh! Tafadhali anae jua dua aliyo funguliwa sheikh Othman anifahamishe. Ni dua nzuri maana nahisi kama anaomba nusra ya adhabu ya kaburi, umri🤔 tafadhali nifundisheni na Allah atawalipa kheri duniani na akhera In shaa Allah
@issaramadhani97145 жыл бұрын
Tafuta kitabu cha Husni'l Muslim ghalama yake ni ndogo tu miongoni mwa dua unazohitaji hiyo ni mojawapo utaipata ndani ya kitabu hicho.
@rashidvuaimwadin19145 жыл бұрын
Allah humma inny aundhubika min adhabilkabur waaunzubika min fitnatul mayahaya wa mamaty waaundhubika min fitnatul masihidajar
@habityabsa9975 жыл бұрын
Issa Ramadhani Shukran akhy!
@habityabsa9975 жыл бұрын
rashid vuai mwadin shukran kwa dua!
@issaramadhani97145 жыл бұрын
@@habityabsa997 nawe pia ALLAH akukunjulie mlango wa nuru ya ilmu na kupenda diyni yake.uwe miongoni mwa wanawake wema.
@jasminyiddysulaiman98074 жыл бұрын
Maashallah tabalaqallah
@makenakendi2824 жыл бұрын
Amiin
@al-quwiyyiislamicschool86854 жыл бұрын
Allah akulipe kheir.
@farajabdul64823 жыл бұрын
Yaani Sheikh mzima anatoa no za pesa kwa watakaotaka dua!!!La haula.Dini italegea tukianza mambo ya wasiokuwa waislamu.Tuambieni ukweli bana
@bebisheni43804 жыл бұрын
Asante
@nathanwakitaa88752 жыл бұрын
Aundhubilka min fitinat massii dajjal
@Unknown-lp5xr3 жыл бұрын
Masha allah
@mudrickramadhan42925 жыл бұрын
ALLAH akujalie uhai mrefu
@swahibal-karama1455 жыл бұрын
Je kuna DALILI YOYOTE YA KUJA KWA NABIYYULLAHI ISSA ALAIHI SSALAAM...MAMBO YA KIIMANI HUTAKA DALILUN QATWIYYAH SIO KHABARI AHAD.
@swalehmuhsinhassan94134 жыл бұрын
Fundisha kitabu at tawheed cha sheikh muhammad ibn abi wahab watu wataacha shirk
@Keymolin5 жыл бұрын
Nilickiliza kisa cha tamimu darri ambae na wenzie walikutana na masihi addajar ktk kisiwa macho walijikuta baada ya Nashua kupotea na akawauliza kuhusu mtume asiejua kusoma na mitende ya Jordan na wakamwambia mtume je ina ukweli kwa upande wako?
@Keymolin5 жыл бұрын
Sheikh nina swali
@Keymolin5 жыл бұрын
Nilickiliza kisa cha tamimu darri ambae na wenzie walikutana na masihi addajar ktk kisiwa macho walijikuta baada ya Nashua kupotea na akawauliza kuhusu mtume asiejua kusoma na mitende ya Jordan na wakamwambia mtume je ina ukweli kwa upande wako?
@subiramohd8854 жыл бұрын
kiabu punguza wengine hawajui kiarabu sasa wewe Unaboa kiukweli naicjo kiarabu Chako
@uthmanihimbawe52443 жыл бұрын
Kwani c anatafsir?au mpaka tafsir huelewi?
@FatimaFatima-wk1jk3 жыл бұрын
Si anatafsiri jamani
@makondenimissionteam5 жыл бұрын
Unatuchanya na kiarabu kingi bana kama utaendelea kuongea kiarabu kingi basi uache kutuubiria maana unaboa bana wewe tufundishe mukiswahili ili tuelewe. Tambua unapotia video youtube tambua hata sisi wakristo tunafatilia
@fatmakuchanda5305 жыл бұрын
mbona anatafsir
@faizasaid82625 жыл бұрын
Bojardo mbona analolisema atafsiri ila wwe nikiziwi husikii mpaka uwe muislam
@khadijaal65485 жыл бұрын
@Faiza Said Inshallah atakuwa Polepole tuende nae
@shabanimohamedimiraji3095 жыл бұрын
hujalazimishwa kumfuatilia ukiona vp pita kushoto
@kambiabdallah82765 жыл бұрын
Bojardo we chiziiiii nini peke yako ndio huelewi humu umeitwa au