KUMBUKUMBU ZA WANAZUONI || Historia ya Sheikh Muhammad Bin Ayub Al Kamadhiy

  Рет қаралды 25,709

AlhudaTv Kenya.

AlhudaTv Kenya.

4 жыл бұрын

Welcome to Al Huda Tv KZfaq channel || Likes, Shares, Comments are highly encourage to spread the message in our productions.
Follow us on all our social media Platforms:
Facebook: bit.ly/3607xVV
IG: @alhuda_tv
Twitter: @alhuda_tv
KZfaq: bit.ly/2PomF99
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
Subscribe! Subscribe! Subscribe! Subscribe! Subscribe! Subscribe! Subscribe! Subscribe!
and remember to click on the bell icon so you can get daily updates when we upload new videos In sha Allah

Пікірлер: 73
@haydarhamad6532
@haydarhamad6532 3 жыл бұрын
Nampenda Sana Sheikh Muhammad Ayub, Allah amrehemu na amjaalie makaazi mema.
@iamm6453
@iamm6453 Жыл бұрын
Allah awabariki nyinyi na kazi zenu
@husseinmwanjela8644
@husseinmwanjela8644 8 ай бұрын
Allah amjaliye pepo shekh wetu kwa yote aliyoyatenda ameyn
@alhudatvkenya
@alhudatvkenya 8 ай бұрын
amiin
@almuhtaramzamil
@almuhtaramzamil Жыл бұрын
Nilisoma TAMTA mwaka 1995 au 1996 kama sijakosea,Alhamdulillah nilihudhuria maziko ya Sheikh Muhammad Bin Ayoub Al Kamadhiy wakati huo nipo darasa la 6 katika skuli ya msingi Darajani,Tanga mjini. Allah Mtukufu amsamehe na amrehemu Sheikh wetu Muhammad Bin Ayoub Al Kamdhiy. Allahumma Ameen.
@hafanabdallah3112
@hafanabdallah3112 10 ай бұрын
Mwenyezimungu amrehemu shekh wetu amiin
@hafanabdallah3112
@hafanabdallah3112 10 ай бұрын
Namshukuru allah kwa kujaalia kuwa nimeipa fursa ya kusoma TAMTA shamsiyya Tanga kwa shekh muhammad ayyoub almakadhy chini ya uwongozi wa mudiri muhamed khatibu kigoda allah awepe kila kheri duniani na akhera nasie allah atujaalie miongoni mwao amiin.
@rashikasid2105
@rashikasid2105 3 жыл бұрын
Allah akupe afya njema na akuzidishie elimu. Situ umetuongezea kumjua Shekh bin Ayuub Bali umenyesha mapenzi ya dhati kwake, nasisi hatuna njia zaidi ya kukuambia tunakupenda zaidi. Allah akulipe badali iliyo bora zaidi kwa mali na muda ulioutumia ktk hili jambo kubwa na muhimu.
@shazminal-moddy2317
@shazminal-moddy2317 3 жыл бұрын
Amiin ya Rabb shukran
@jaafarjacka3320
@jaafarjacka3320 4 жыл бұрын
Maaa shaaa Allah maaa shaaa Allah maaa shaaa Allah twastafiid habeeb
@ramayasly4584
@ramayasly4584 3 жыл бұрын
Asalaam aleikum sheikh wangu. Mimi noamba mtupe habari zao kwa ulefu na upana wa nazuoni wetu hawa pamoja nakarama zao tafadhali naomba sababu zinatujenga imani zetu
@braqutourssafaris4672
@braqutourssafaris4672 2 жыл бұрын
Wallahi machoz ya furaha yamenitoka Mashaallah.Allah akulipe kher sheikh wetu kwa hakika unatupa yalio bora kbsa.🤲🏻🤲🏻
@amanihepautwa9459
@amanihepautwa9459 4 жыл бұрын
Maashaallah historia nzuri Allah akulipe kheri kwa kazi nzurii
@hajjisebeko992
@hajjisebeko992 4 жыл бұрын
شكرا جزيرا
@donibrah9013
@donibrah9013 4 жыл бұрын
Maaashallah.......Allah amrehemu sheikh Muhammad Bin Ayyub.
@KhamisAbdallah-ki3zr
@KhamisAbdallah-ki3zr 15 күн бұрын
Aslm alykm naomba nimuone Sheikh Ali Gunda Seneda
@shekhally5741
@shekhally5741 3 жыл бұрын
Allah amrehem ishaallah kwa elimu yake na kazikubwa ya kufundisha dini. Aamin
@herson9343
@herson9343 3 жыл бұрын
Hongera Sana shekhe kwa kutuandalia kipindi Bora Kama hiki
@almashally8802
@almashally8802 3 жыл бұрын
ماشاءاللہ
@musbahuksa147
@musbahuksa147 4 жыл бұрын
جزاك الله خيرا وبارك الله فيك اخي الأستاذ
@yusufuadamu5476
@yusufuadamu5476 Жыл бұрын
ما شاء الله، وجزاكم الله خير الجزاء
@muhidinali8180
@muhidinali8180 3 жыл бұрын
Hakuna msomi ambae sanadiyake ambayo haifiki kwa mtume s a w
@rashikasid2105
@rashikasid2105 3 жыл бұрын
Allah akuzidishia elimu. Kiukweli umetuliwaza kwa kiasi kikubwa wana shamsiya na waislamu kwa ujumla.
@ahmadmhando2525
@ahmadmhando2525 3 жыл бұрын
جزاك الله خيرا و بارك الله فيك
@zahrahabib397
@zahrahabib397 3 жыл бұрын
MashaAllah Allah amrehem shekhe wetu
@abdalahkhamis705
@abdalahkhamis705 2 жыл бұрын
Mashaallah mungu aturehem wote
@AbbasNurein
@AbbasNurein Жыл бұрын
Masha Allah
@ramathedon4001
@ramathedon4001 3 жыл бұрын
jazakalah kheri
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 2 жыл бұрын
Mimi_ni_Mtoto_wa_Shekh_Simba_Arusha_wallah_nampenda_mnoo_baba_yangu_na_Elimu_yake_ameipata_kwa_shekh_Muhamadi_Ayubu_mimi_inanisaidia_sana_kweli_umesema_kweli
@saidalisaid3751
@saidalisaid3751 2 жыл бұрын
ASSALAM ALAYKUM .TUNAOMBA HISTORIA YA SHEIKH HEMED BIN JUMAA BIN HEMED
@aboubakaryjuma8349
@aboubakaryjuma8349 3 жыл бұрын
Jazakallah khair,Sheikh ametoa watuwengi sanaaa,kumbe hata Barahiyani?baadae akawa nae yuwakosoa Sheikh wake?
@shazminal-moddy2317
@shazminal-moddy2317 3 жыл бұрын
Naam
@saidimadaraka9779
@saidimadaraka9779 3 жыл бұрын
Masha allah
@hashimramah4446
@hashimramah4446 3 жыл бұрын
Shukran Habib
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 3 жыл бұрын
Mashaallah
@samsungj7pro64gb5
@samsungj7pro64gb5 3 жыл бұрын
Allah awarehemu Allah humma amini
@fahimbakari420
@fahimbakari420 3 жыл бұрын
Aamin aaamin yaaa rabbal aalamiin
@abasisabuni3883
@abasisabuni3883 3 жыл бұрын
Ma Shaa Allah Jazakallahu khayran Ustadh Hassan Allah akulipe kwa kutufikishia elimu hii Allah amekujaalia ufahamu na ujuzi wa kuwasilisha mada
@shazminal-moddy2317
@shazminal-moddy2317 3 жыл бұрын
Shukran habib
@kibwanajuma6764
@kibwanajuma6764 4 жыл бұрын
Allah amrehemu sheikh kwani hata sisi elimu yetu ya dini ni kutoka kwake tukiwa wanafunzi wa ustadh Harun Mombasa ambaye ni mwanafunzi wa sheikh
@ramayasly4584
@ramayasly4584 3 жыл бұрын
Historia ya sheikh Abdul kadir jeilan kwa ulefu na karama zake alizojaliwa na Allah
@shabannyange2219
@shabannyange2219 3 жыл бұрын
Tuletee na historia ya Sheikh Suleyman bin Mbwana wa Zah-rau
@rajabkigole9590
@rajabkigole9590 3 жыл бұрын
Inapendeza san
@shamsiyyahtamtatv2992
@shamsiyyahtamtatv2992 3 жыл бұрын
Shukran Ustaadh
@omarayoub6564
@omarayoub6564 3 жыл бұрын
Baba Yangu Alhamdulillah
@abdallahismael3993
@abdallahismael3993 4 жыл бұрын
Asalam aleikum je sheikh al moody hi elimu yote waitoa wapi ipo vitabuni na vitabu vipi ? Twashukuru kwa elimu
@husseinalmoddyhusseinalmod5951
@husseinalmoddyhusseinalmod5951 4 жыл бұрын
Ni utafiti na kupenda kusikiza hadithi za watu wema Habib
@andyruiz5167
@andyruiz5167 4 жыл бұрын
Asalam aleikum.Mtu yeyote anaishi eneo la south b maghrib ni saa ngapi siskii adhan kwangu.
@TheSalimMash
@TheSalimMash 3 жыл бұрын
South b ni katika nchi gani?
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 2 жыл бұрын
Urongo mwingi na kupenda sifa sawa na wanaodai usharifu wanavojipa sifa.
@neemayauislamutv8547
@neemayauislamutv8547 2 жыл бұрын
Sikiliza Simulizi ya SHEKHE SULEIMAN MBWANA WA ZAHARAU kzfaq.info/get/bejne/mZ-CZ7KJvcmuhYk.html
@omarayoub6564
@omarayoub6564 3 жыл бұрын
Sheikh Amezaliwa mwaka 1916. Mwambani.
@athumanikaroyo5999
@athumanikaroyo5999 3 жыл бұрын
Tamta ilikua taasisi ya mjumuiko ya mashekhe wate wa tanga wengine awakutajwa na swali kubwa ilikuaje abaki yeye wenzake wakaondoka ilikuaje na walikua wataalamu zaidi na tanga akuna kabila la tanga alikua mdigo tu japo ataki kujinasibu usegeju akuna
@cadhimberec1286
@cadhimberec1286 3 жыл бұрын
Mhm🙄🙄subir cku tukifufuliwa utaenda kumuuliza hayo maswali yako kuwa na subira inshallah
@athumanikaroyo5999
@athumanikaroyo5999 3 жыл бұрын
Ukuulizwa wacha kukurupuka uyo sio mtume sisi pia tunaijua sana iyo storia alitumika sana na serikali kina shekh sulmani bin mbwana alikua mjuzi zaidi yake na wapo wengi tu fitna ilifanyika
@cadhimberec1286
@cadhimberec1286 3 жыл бұрын
@@athumanikaroyo5999 🤔 imebaki story naww tafuta channel KZfaq utupe story . Allah amuweke pema kwenye wema shehe wetu kipenz Allah ww ndye unaejua ya sir na ya dhahir
@shamsiyyahtamtatv2992
@shamsiyyahtamtatv2992 3 жыл бұрын
Kwani angekuwa mdigo,,,kungekuwa na shida gani,,,,? Au wadigo wachafu?,,,,,,,,kabila la kidigo halinashida ndugu yangu ni tabia ya mtu tu,,,,,,,na kama huyu ustadh kaamuwa kutafuta historia za masheikh,,,wewe usimtie unyonge watu
@saadnaseer951
@saadnaseer951 3 жыл бұрын
Kip finikizuri lakini hunan uzoefu
@duniaileile5522
@duniaileile5522 3 жыл бұрын
Nzi binaadamu wana akili za kukosoa tu
@TheSalimMash
@TheSalimMash 3 жыл бұрын
Kijiji cha mwambani ni kusini mwa mji wa Tanga,upande wa njia ya pangani
@user-qe8xp6ii1u
@user-qe8xp6ii1u 3 жыл бұрын
Tv yenu inatangaz kufru na shirki ndo imetawala ni haram kuitazama
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 3 жыл бұрын
ابوفضلweye nimjinga hujitambui
@user-qe8xp6ii1u
@user-qe8xp6ii1u 3 жыл бұрын
@@yahkiwera3611 enhe wew unayejitambua Umesoma Aqida wap?
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 3 жыл бұрын
Ungetoa ushahidi wahiyo qufru UKIP iyona siohabari za aqida
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 3 жыл бұрын
Kufruhapo ipowapi kwahiyo ilmu ulionayo wewe hebu tusaidie qufruipowapi
@user-qe8xp6ii1u
@user-qe8xp6ii1u 3 жыл бұрын
@@yahkiwera3611 Hii TV imamilikiwa na Masufi ,Hawa ni watu wa Batwili. Itikad zao chafu na mbovu pia ni watu qa Bidaa. Itikadi Ya ushirikina Wana mambo ya Nyota na Utabir wake.Ramli Na itikad nyenginezo
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 3 жыл бұрын
Mashaallah
KUMBUKUMBU ZA WANAZUONI || Sheikh Suleiman Al-Alawi
16:35
AlhudaTv Kenya.
Рет қаралды 3,5 М.
Русалка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 6 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 112 МЛН
Sheikh Mohamad Ayoub Tamta
10:00
Shabani Mbwana
Рет қаралды 50 М.
MAKARAMA YA SHK. SLEMAN AL ALAWI
8:22
Sleyum algheithy
Рет қаралды 19 М.
Wosia wa sheikh Muhammad bn sheikh Ayyoub kwa wanafunzi wake.
16:46
USTADHI SAMPA KATEMA
Рет қаралды 18 М.
Hii ndio khutba ya mwisho ya sheikh Muhammad bn sheikh Ayyoub TAMTA day 1997.
26:14