Jamaa siku hizi ana busara Sana..Mungu akulinde bro
@jumanassib363419 күн бұрын
We Dudubaya rudi nyumbani Magu ugombee ubunge, masela wanakusubiri Kisessa!
@hamisimuhunzi79166 күн бұрын
chadema wamemnyima cheo akatafute vyeo ccm huko kwani vyeo huko ni rushwa
@mossyfimbo357718 күн бұрын
Ateuliwe Msigwa haikubaliki hao wengine wasomi wamejaa CCM miaka kwani hawawezi mpaka wahamiaji ndio wateuliwe haiwezekani tutaandamana yeye ananini special kuliko hao walokaa miaka na ni wasomi haikubaliki wanahamia huku ili wapewe vyeo kachelewa na sio yeye tu na wengine wanaofikiria kuja kupata teuzi
@flova70225 күн бұрын
Hivi njombe watu wanapaonaje...njombe is so active region than even many countries..also is too good economically than many famous region
@laheonlinetv216119 күн бұрын
agombee akiwa chadema Magu anaichukua
@JoyceKabula-in1sh14 күн бұрын
Asante dudu wasukuma akiri nyingi sana wananyimagwa fulusa tu
@ImaniKiswaga19 күн бұрын
Njombe nayo nzito inawasomi wengi wenye akili
@Mwigaa9519 күн бұрын
Ni sahihi kabisaa huwezi kua kiongozi kwa kutegemea taarifa fiche lazima ujue maeneo unayo yaongoza 🫡🫡👏🏻😄
@iddymohammed96312 күн бұрын
Uko sawa
@mussaremigius281814 күн бұрын
Ukweli
@emanuelyngailo680714 күн бұрын
Na katika mikoa migumu ni Njombe mzee uliza na ndio mkoa ambao wengi wanachemka
@DaudiSaid-bj7dh18 күн бұрын
Magufuli alikuwa akipenya kila kona. Daaa
@philipongenzatv19 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 njombe
@abdalahgunda131919 күн бұрын
Daresalama lnawasomi wengi wajanja wengi akili kubwa biashara zinawakubwa hata chalamila kashindwa hana uwezo hata yeye chalamila
@mussaremigius281814 күн бұрын
Kaongea ukweli
@user-bd8gs3qk2d17 күн бұрын
Chalamila amepaweza Dar kwa lipi? Ni mpuuzi mmoja tu mropokaji, ambaye anadharauliwa na wafanya biashara. Hana kitu chochote alichofanyia watu wa Dar. Ni chawa tuu asiye na manufaa kwa jamii. Dudu baya ni dogoo anaye zeeka vibaya.
@boniphacetabu290317 күн бұрын
Tunaotazama kidole cha Mwamba tujuane.
@noelnoel491619 күн бұрын
Huyu akijiita konki master, na wewe muite hivyo ndio jina lake , na maanisha ni konki kweli tena ni oil chafu
@MasolwaNzalia2 күн бұрын
Bbb
@petermogha702519 күн бұрын
Kidole vipi
@bcozhenry269819 күн бұрын
Hujafa,.............!
@zegelibilishanga604719 күн бұрын
Bara 2 kasulu kibondo ww dudubaya siyo ya kutolea mfno Kuna lami ya kweli usipime kumenoga
@brunomtweve807319 күн бұрын
Iheshimu njombe
@OswardMadege-gd7yo12 күн бұрын
Acha dharau njombe unadhami
@ToivoJase16 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅
@hamidmussa83819 күн бұрын
Huyu sauti imebadilika kwanywa pombe.
@user-yw3qh6qj8g19 күн бұрын
Dudu mbona umedhoofika
@mpangalalisotha680816 күн бұрын
Unategemea akujibu vp? C lazima kila kitu uulize
@user-lb2jh4ss6v19 күн бұрын
Sikuizi mwanasiyasa
@abdulisike17 күн бұрын
Konk 3
@NardhisMhagama-sy3eq19 күн бұрын
Wamechaguliwa walio kufa hata yeye anaweza kuchaguliwa
@knight675719 күн бұрын
😂
@georgesamwelchacha768019 күн бұрын
😂
@DittoSylvester19 күн бұрын
Nchi ya asali na maziwa!?😊
@AdamSaffi21119 күн бұрын
Nchi ya ajabu, hivi wsliapishwa?
@knight675719 күн бұрын
@@AdamSaffi211 kuapa ni rahisi...tamaa na ubinafsi inawafanya wakiuke viapo!