No video

EXCLUSIVE: MJUE JOB NDUGAI "SPIKA ALIYEJIUZULU" Tangu AONDOKE HAJULIKANI ALIPO"na ASIKIKI KABISA

  Рет қаралды 44,486

SAN TZ MEDIA

SAN TZ MEDIA

Күн бұрын

Fuatilia Mkasa Huu Mwanzo Mwisho Hapo Tutakufahamisha NI wapi Spika ALIYEJIUZULU Kwasasa Yupo wapi Na kwanini Amekaa KIMYA Kipindi chote hichi
• MAKALA ZA VIONGOZI🥂
#simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #exclusive #millardayo #dullysantz #santzmedia #ccm #efm #history

Пікірлер: 101
@Zengeni-gz8fe
@Zengeni-gz8fe Ай бұрын
Job NDUGAI.kasimu majaliwa.poul makonda.❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉hawa watu wakivaa viatu vya MAGUFURI vitawatosha kabisa..havita wabana wakuwapwaya..wanastahili kabisa kukaa kiti cha urais.nawapenda sana hawawatu🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
@hassanially8381
@hassanially8381 Ай бұрын
Ukiutaka ukweri utakufanya uwe mashakani
@salehkioza-xo8ti
@salehkioza-xo8ti Ай бұрын
Mbona haingii bungeni na hatumsiikii hapewi adhabu?
@MabulaSheli
@MabulaSheli 27 күн бұрын
3:17 😢😮​@@hassanially8381
@EdiltrudesMbonde
@EdiltrudesMbonde 4 күн бұрын
Hiyo sio adui yako Mama,anakuambia ukweli. Usifuatishe waliyofanya wengine. Fanya kitu kuikomboa TANZANIA. Mikopo ni too much kwa hii Nchi. MUNGU tusaidie Sana 🙏🙏
@kalekela-j1e
@kalekela-j1e 6 сағат бұрын
Job Ndugai, alishikwa na hasira ya kihuni
@David-if6nk
@David-if6nk Ай бұрын
Sijawahi kuona kiongozi fala kama huyu mama
@KatabaroCleophace
@KatabaroCleophace Ай бұрын
Utapigwa mnada wewe Nyamaza tu hii ni Tanzania
@DottoMussa-ro6rw
@DottoMussa-ro6rw Ай бұрын
4 sure
@user-xl4io3or7r
@user-xl4io3or7r Ай бұрын
Kiswahili kina maneno mengi Sana ya kukosoa. Ukosoaji huu sio wa kistaarabu. Ni kweli mama huyu anafanya mengi yasiyo ya wananchi
@JeanMuzaliwa-bs6qh
@JeanMuzaliwa-bs6qh 13 күн бұрын
uyu mama sio yy anaongoza no mwenye kuongoza ni kikwete!
@MagrethKatondo-qs9oz
@MagrethKatondo-qs9oz Ай бұрын
Mmmh tanzania hiyooo jamani. Mungu utuhurumie.
@kalekela-j1e
@kalekela-j1e 6 сағат бұрын
Nchi inaongozwa kwa hekima na busara ninyi. Si kukurupuka. Ukikurupuka UTAKULA NYASI
@MartineShija
@MartineShija Ай бұрын
Ndugai Oyeee
@imaniandrea-ib6fy
@imaniandrea-ib6fy Ай бұрын
ndugai anafaa kua rais tunaomba 25 agombee
@user-hu9bf7nw4c
@user-hu9bf7nw4c Ай бұрын
Ndugai alisema ukwel, na alisema kua nchi itauzwa, kwasabab aliyaona ndio maana aliyatamka, ndio haya yanayoonekana leo hii nazan mnafaham yaliopo bandalin na nengneo
@Santzmedia
@Santzmedia Ай бұрын
📌
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 Ай бұрын
Kweli kabisa
@hassanially8381
@hassanially8381 Ай бұрын
Na tutapata taabu sanaaaa😢😢😢😢😢
@kalekela-j1e
@kalekela-j1e 6 сағат бұрын
Mama alitaka ndugai adizingumzie suala lile in Public
@jafetykaberege4948
@jafetykaberege4948 Ай бұрын
JOBU YUSTINO NDUGAI MWANASHERIA NGULI MBUNGE MIAKA ZAIDI YA 20, NAIBU SPIKA, SPIKA NA KADHALIKA.
@Santzmedia
@Santzmedia Ай бұрын
Safi "Short story
@AlphaLehao
@AlphaLehao 6 күн бұрын
Anaweza aka gombea uraisi
@hassanially8381
@hassanially8381 Ай бұрын
Hili taifa bado siamini na sipati picha...! Wananchi Vs Wenye nchi 😢😢😢😢😢😢😢
@benjaminjackson8567
@benjaminjackson8567 18 сағат бұрын
Inauma sana
@PaulMsema
@PaulMsema Ай бұрын
Anafaa kuwa rais, maana anauchungu na nchi yake hataki mizigo ya kukopa
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md Ай бұрын
Ndugai ❤❤❤❤❤❤❤
@issaYusuf-u7w
@issaYusuf-u7w Ай бұрын
Watanganyika wanaongozwa na Mzanzibari imekua zogo.Hebu tusubirieni tumalize miaka yetu. 2030, tutakuachieni kiti Chenu. Lkn kwa sasa muachieni Mama atengeneze Historia
@chrithicksambo2287
@chrithicksambo2287 Ай бұрын
Historia ya kipumbavu
@Zengeni-gz8fe
@Zengeni-gz8fe 3 сағат бұрын
@@issaYusuf-u7w we naye usituchangange historia hiyo kwnn asiende kuitengeneza znzbr..
@MariaCassian-e2i
@MariaCassian-e2i 29 күн бұрын
Mama kaupigaa mwingii fimbo mliotupigia watanzania inawapiga wenyewe wspiga makofi ndugai kafichua siri bila mwenyewe kujua
@user-tm6bk4dz6j
@user-tm6bk4dz6j 6 сағат бұрын
Mmmmmmhuuuu hata jimboni kwake hasikiki
@mambas264
@mambas264 Ай бұрын
Hakuna mkopo mzuri mama. Unatudhalilisha
@Eliasmagangaa
@Eliasmagangaa 14 күн бұрын
Du ukweri utabakikua ukweri hapomwenyeakiri anajua arirekuasasahihi niyupi katiya mama au ndugay😂😂😂
@AbbasiMohamed-o7h
@AbbasiMohamed-o7h Ай бұрын
Ndugai anayopitia ndio majibu yawatu kama yy hapa duniani ni mmoja ya watu washenzi wakubwa wapatapo nafasi za uongozi
@Santzmedia
@Santzmedia Ай бұрын
😥
@muganyizibuzubona7160
@muganyizibuzubona7160 Ай бұрын
Ushenzi wake ni upi?
@AbbasiMohamed-o7h
@AbbasiMohamed-o7h Ай бұрын
@@muganyizibuzubona7160 ni nn alichomfabyia lisu
@godfreyMethew3689
@godfreyMethew3689 Ай бұрын
Tumemchoka mama tunatam atoke halaka
@Zengeni-gz8fe
@Zengeni-gz8fe Ай бұрын
🙏
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 Ай бұрын
Ndugai jiwe
@Santzmedia
@Santzmedia Ай бұрын
👊👊
@bonifacerobert2960
@bonifacerobert2960 13 күн бұрын
Yaani Rais unasema bila woga kuwa mmemkabidhi mtu muhimili? Upuuzi gani huu? Mihimili ipo kwa mujibu wa KATIBA. BUNGE na MAHAKAMA vinapaswa kuwa na nguvu na uhuru wa kutosha kama wasimamizi wa utendaji wenu ninyi serekali.
@joelinzumi4494
@joelinzumi4494 Ай бұрын
Awelaisi watanzania atatuokowa Mimi nijoeli maulidi nzumi nikomkowa warukwa
@kalekela-j1e
@kalekela-j1e 6 сағат бұрын
Ndugai alifanya mambo ya Ovyo kuzungumza vile hadharani. Kama msomi, hakutakiwa kufanya vile, alifanya UPUUZI
@Santzmedia
@Santzmedia 5 сағат бұрын
🤝
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 Ай бұрын
Ni kweli rais wa mpito ,2O25 mama kapumzike.
@Santzmedia
@Santzmedia Ай бұрын
😆😆😆
@CashKassim
@CashKassim Ай бұрын
Sisi watanzania wafiki sana tulishangilia kujiuzulu kwake,leo tunammic kwa umuhimu wake,watu wenye maono hawadumu huwaga wanahujumuwa bora mzee ndugai ulikufa umesimama kuliko kuishi umepiga magoti
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 Ай бұрын
Tatizo elimu
@epimackjohn461
@epimackjohn461 Ай бұрын
Hapa kuna KICHWA !! Watu kama hawa hatutawasahau .😊
@busaleh5494
@busaleh5494 Ай бұрын
Ndugai akasimamie mbuga za wanyama pori. Amuache mama apige kazi❤❤
@EbenezerJohn-qu6cv
@EbenezerJohn-qu6cv 27 күн бұрын
Uwe unataja mikoa wanayozaliwa ni baadhi unataja lakini wengine usemi jitaidi mkuu naamini itakuwa inakaa vizuri zaidi
@Santzmedia
@Santzmedia 27 күн бұрын
Shukrani Sana mdau wetu 🤝 Tunakuahidi tutafanya kama Unavyoitaji😊
@FabianPaul-mq4ec
@FabianPaul-mq4ec 17 күн бұрын
Ndugai nampendasana ebu zubutu 2025
@MariaCassian-e2i
@MariaCassian-e2i 29 күн бұрын
Yaani kusema ikweli kutoka moyoni mm sitaki kuwa mtumwa wa mwarabu wala wamzungu hata wa mwafrika mwenzangu uzeni nchi kopeni kopeshaneni stakubali kutumikia binaadamu. Yeyote yule kwa cheo dini wala kwadiasa
@Micpaul.o
@Micpaul.o 20 күн бұрын
Sinaga shida na chama cha thiatha, mimi kikubwa tu asimame kiongozi madhubuti kwenye kiti alaf inakuwa ngoma kwisha. Mwambukusi oyoooo
@rodrickkimaro-fb5tn
@rodrickkimaro-fb5tn 29 күн бұрын
Yuko wapi ndugai mbona simsikii ,makonda naye bungeni mbona hatumsiki mbona msukuma tunamuona na wengine
@geofreybakina6010
@geofreybakina6010 Ай бұрын
Uongozi ni kiti cha daladala huenda akapandia hapo mbele kwa mara nyingine coz huyo ni miongoni mwa wasafiri wazuri tu, tena akiwa miongoni mwa watakaokaa seat ya mbele kabisa 😢😮😮😮
@Santzmedia
@Santzmedia Ай бұрын
😢
@AbubakariBausi-zd6xf
@AbubakariBausi-zd6xf Ай бұрын
Job uko sawa
@SmilingApron-zw6ne
@SmilingApron-zw6ne 22 күн бұрын
NI KOSA SANA HAYA MANENO YA NDUGAI, MBAYA SANA,TENA SANA, KWA NINI ASIMAME NA ASEME HAYO KWENYE VYOMBO? NI KWA NINI KWANZA? JE HANA NAMBA YA MAMA SAMIA? KWA NIINI ASITAFUTE MUDA AKAENDA KUKETI NAYE? JE NDO NINI SASA? LENGO NINI KWANZA. Any way, KWERI TAIFA LETU MUNGU ATUSAIDIE WANADAM
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md Ай бұрын
Mtu anaelipenda taifa lake kama ndugai anakuwa ndio adui yake
@CashKassim
@CashKassim Ай бұрын
Tuheshimu maoni ya mtuu anachokiona na kutafakari mwanaume hawi na misimamo yahuku na huku amekufa na tai shingoni one day tutamkumbuka kama shujaa kueleza hisia zake juu kesho ya watanzania,viongozi nyumbu wapo kujipendekeza,ziro brain
@janethchidobe5919
@janethchidobe5919 Ай бұрын
bora mgogo chukuwa uraisi tumechoka😢
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md Ай бұрын
Mwenye haki hawezi nyamaza kwa kilio cha watu wake hawezi kamwe
@KassimHanga-xr7rb
@KassimHanga-xr7rb Ай бұрын
Mama kakope achana nae huyo ameshazoea kubwabwaja aliwahi kusema (akitaka asitake ataongezewa muda)
@TadeySamwwli
@TadeySamwwli 8 күн бұрын
Kaka tumekumis
@CyprianSapi-tq7qj
@CyprianSapi-tq7qj 25 күн бұрын
Gombea urahisi mwamba au poo makonda,Mgufuli aliwahamini nyinyi.
@EdigivaKacheina
@EdigivaKacheina Ай бұрын
daaaaaahh
@FaruhMarite
@FaruhMarite Ай бұрын
Hao miamba wanafanya nn uko waliko ile hali nchi inateketea kwa uongozi wa kifala wa bibi huyu isietambua matakwa ya watu wanaowaomgoza
@malimusmollel2176
@malimusmollel2176 18 күн бұрын
Kuna jamii ya kitanzania tuna nyanyasika asa wamasai
@malkiasimitoi5438
@malkiasimitoi5438 Ай бұрын
Mnafiki ndugai alidhani watanzania watamuunga mkono kwa ujinga wake,wakati wa awamu ya 5 walipora,waliua,walikopa na walifanya kila baya lakini sasa mishahara yao inawarudia wenyewe, Mwisho wa ubaya ni aibu
@hassanially8381
@hassanially8381 Ай бұрын
Acha kujiuza ili ununuliwe na wenye mamlaka...! Unajichelewesha
@gasukasombokasultanmasuga8792
@gasukasombokasultanmasuga8792 25 күн бұрын
❤ aje aombe urais
@EdiltrudesMbonde
@EdiltrudesMbonde 4 күн бұрын
Tutamchagua tu😂
@ekadomwambene899
@ekadomwambene899 Ай бұрын
Ya ndugai yapo kutimia yule alikua na maono malefu
@eliasnicolaurobath6864
@eliasnicolaurobath6864 Ай бұрын
Taifa retu ra tanzania wapo watu wa kushangaza sana na ndio taifa ra kwanza duniani kuwa na mabwana ndio mpaka siku ya kiama mtanzania ukimuongoza wewe mpe maziwa sukari ugari basi hapo unakuwa umempata kwa rorote na atakutetea hata kama unamchapa viboko hao ndio watanzania
@Santzmedia
@Santzmedia Ай бұрын
😂😂😂
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol Ай бұрын
Ndugay yupo na atajitokeza
@Santzmedia
@Santzmedia Ай бұрын
Umemaliza📌🤝
@andrewassey5108
@andrewassey5108 Ай бұрын
Leo mama anasema amechoka kukopa.
@Santzmedia
@Santzmedia Ай бұрын
😆😆
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv Ай бұрын
WATANZANIA TUJUE HAKUNA DENI RAISI DUNIANI CHUKULIA MFANO HAI WWE NENDA KAKOPE DENI HZTA KWA LAFIKIYAKO KAMA UTAKUA NA AMANI NA UHURU KWA HUYO LAFIKI YAKO NI VITU AMBAVYO HAVIITAJI HATA ELIMU KUBWA HATA WWE ULIYE ISHIA CHEKECHEA UNA JUA MAZALA YA MADENI
@ramadhaniyahaya7286
@ramadhaniyahaya7286 Ай бұрын
Ngonjela kwenye hotuba inakela sana
@saadallah6287
@saadallah6287 29 күн бұрын
Watu wanafiki sana yeye huyo huyo kabla ya mma ndiyo aliyekuwa anapitisha mikopo leo kageuka nawatu nao eti wanamsapoti acheni udini vilaza nyinyi
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md Ай бұрын
Eti mzima kama ni mzima mwache ajisemee kwa nini mwamsemea
@Santzmedia
@Santzmedia Ай бұрын
Uliitaji Afe??
@janethchidobe5919
@janethchidobe5919 Ай бұрын
yani simuerewi jamani
@josephmulula440
@josephmulula440 Ай бұрын
Anaongea ukweli
@user-lg5my3hx2t
@user-lg5my3hx2t Ай бұрын
Napenda awe raisi
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 Ай бұрын
Mavi awawezi kumpa
@EmmanuelBanzi
@EmmanuelBanzi Ай бұрын
Chukua fom ya uraisi wewe au makonda au msukuma apakazitu magufuli afi
@antonyndinga8890
@antonyndinga8890 Ай бұрын
Spika alikuwa SITA tuu
@amossamson8955
@amossamson8955 Ай бұрын
Agombee urais
@MaikoMkwawa-fk9tc
@MaikoMkwawa-fk9tc Ай бұрын
Siasa ni mchezo mchafu sana
@user-yi1oi8rs6v
@user-yi1oi8rs6v Ай бұрын
Mnaongea km msiojitambua. Msitukere na hyo mpuuzi. Hamkumbuki alivyoshiriki kuihujumu katiba ya nchi? 1. Alitumika kuwepo na rais wa kudumu. 2. Alifuta ubunge wa mtu bila sheria. 3. Alizuia gharama za matibabu ya mbunge bila sheria. 4. Alifukuza bdh y wabunge wa upinzani bungeni bila sheria. 5. Alimfanyizia Prf. Mussa Asadi. Hafai hata kuwa baba nyumbani kwake. Acha ale mavuno aliyoyapanda. Hao n watu walkoshindwa kulitafsiri neno (KESHO) yetu hatuijui.
@MartineShija
@MartineShija Ай бұрын
Ndugai Oyeee
@Santzmedia
@Santzmedia Ай бұрын
🤷🤷
@RichardMgweno
@RichardMgweno Ай бұрын
Ndugai maendeleo hayana chama ukweli chama chako hakitaki kweli mfano Tanzania bila rushwe inawezekana wakati haiwezekani lakini hakuna hata aliyekusapoti wote tumbo mbele
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 Ай бұрын
NDUGAI ALIVUNA ALICHOPANDA MALIPO NI HAPA HAPA TU KIPINDI CHA MWENDAZAKE ALITESA BAADHI YA WATU😮😮
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 44 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
Kauli 10 Tata za Magufuli Lazima Uzikumbuke Kabla Ya Uchaguzi 2020
7:20
Top Stories Tanzania
Рет қаралды 3,2 МЛН
Why is anti-immigration sentiment on the rise in Canada?
13:00
The Guardian
Рет қаралды 1,8 МЛН