10.Hakika ziko sauti za namna nyingi duniani, wala hakuna moja isiyo na maana.
Пікірлер: 14
@gaudensiajoseph93649 ай бұрын
Mungu anasema nami kupitia wewe mtumishi wa Mungu,,,,Mungu aendelee kukutumia kwaajili ya wengi🙏 Barikiwa sana Baba yangu wa Kiroho 🙏😇
@petermunuo16579 ай бұрын
Amen mtumishi barikiwa sana
@mwajumamohammedi45675 ай бұрын
ameen
@user-zc6gb5fk3q8 ай бұрын
Am really blessed
@asmanikahungu71719 ай бұрын
Amen apo ni mefaisika sana sasa nataka utufundishe kuusu ndoto ya Mungu na ndoto ya shetani kuzijuwa na kuzitafautisha utakuwa unatusaidiya sana.
@UncleSteven026 ай бұрын
Amen
@user-zc1xq8xk1i6 ай бұрын
Mungu hataki watu wanaokurupuka bila kuhakiki sauti
@user-rl8qe1ce1l3 ай бұрын
Thanks much pastor lakini hili somo halijaisha humu
@faudhiasalum72799 ай бұрын
😢Amen amen
@mbokastivin54438 ай бұрын
Barikiwa sana
@Neema-nx1qk9 ай бұрын
Amina
@zaituniseti28649 ай бұрын
Ameni
@veronicaodero18449 ай бұрын
Ee Mungu nipe nguvu ya kukufuata wewe na shetani asipate fursa au upenyo au uhalali juu ya maisha yangu. Alaaniwe anayenifukuzia na mizimu na hatafaulu... amen.