Ndiyo MAANA UNA moyo WA huruma mtumishi WA Mungu akubariki mnooo, mpaka ushangae
@leahogutu9818Ай бұрын
Mama yangu Mwenyezi Mungu amrehemu alisubiri kwny kimya cha masikini Asante mchungaji kw mafundisho mazuri Ubarikiwe kila iitwapo leo na Bwana Yesu aliye hai 🙏
@anjelalyamboko740Ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi,kupitia ushuhuda huu Mungu nakuomba uwainue ndugu zangu kiuchumi ambao mama yetu alitupigania ili tuweze kumsaidia wote.Amen
@josephndugai3598Ай бұрын
Nimejifunza neno kubwa sana, kuendelea kudumu na kusubiri katika kimya na umasikini.
@SheilaNyakundiАй бұрын
MUNGU abariki kizazi chako Mtumishi wa Mungu
@EdinahLadislausАй бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa kutokukata tamaa pamoja na kupewa majani ya kahawa ulisonga mbele
@zuenahamoud1532Ай бұрын
Niguse namimi mtumishi ni mjane hua nakufuatilia sana mtumishi shuhuda zako zinanipa nguvu mnoo
@BettyGeorge-sn2nn19 күн бұрын
Una moyo wa tofauti Naomb mungu anisaidie nije kusaidia mayatima na wanaoteseka
@naeema8155Ай бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji unatutia sana moyo🙏🙏
@EmimaMkumbwas-cm7dbАй бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi. Kiukweli hua unanitoa mahali moja kwenda pengine
Mungu mueke mahala pema peponi mama angu kumbe nina mwenzangu aliyeishi maisha yangu mch. Kimaro ayo maisha yako nimeyaishi ila mimi bado cjatoka niombee nimemkumbuka mama angu angu
@UshuaniENTАй бұрын
Endelea kuamini utafanikiwa pia. Nakuombea
@lulumasangwa9962Ай бұрын
😭😭😭naamini ipo siku na mimi Mungu atatuinua kwa viwango vingine🙏
@AsinatNicodemusАй бұрын
Asante mpendwa unanitia nguvu mana nina mapito makubwa
@mjoan1975Ай бұрын
Barikiwa Mch Eliona. 🙏🏽🕊️🕊️💖💖💖🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@witnessmgulisi5559Ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu Mchungaji Kimaro
@maureenmgeniАй бұрын
Jina la BWANA lizidi kubarikiwa milele na milele, amina.
@SporaMushiАй бұрын
😭😭😭😭😭 Mungu yupo jamani acha kabisa huu ushuhuda umenikumbusha hallow
@speciozakaloliАй бұрын
Hongera sana mchungaji Kimaro tunamshukuru Mungu Kwa upendo wako Mungu amekuwezesha
@AnnethMzagaАй бұрын
Mungu ni mkuu sana
@ALEXMWINUKAАй бұрын
Ubarikiwe sana pastor wangu
@bosiboriwinnie1363Ай бұрын
Mungu nakushukuru kwa ajili ya mchungaji Eliona
@rumariletimba758514 сағат бұрын
Amen,ni imani ya hali ya juu
@evaogutu7105Ай бұрын
Mama yangu alisubiri kwenye kimya pumzika kwa hamani mama mafundisho mazuri sana mtumishi 😢😢
@joycelanda8987Ай бұрын
Mungu atusaidie kutenda mema hapa duniani!
@AdelaMbwilo-gd2yuАй бұрын
Barikiw mtumishi
@brazade5724Ай бұрын
Ubarikiwe sana baba mungu akupe miaka mingi yakuyaishi haya mema tuzidi kujifunza
@speciozakaloliАй бұрын
Nimejifunza nikiona mtu anauza unanunua Kwa sababu kumsaidia asante sana mchungaji Kimaro
@lizpallangyo8057Ай бұрын
Ameeen baba mchungaji ubarikiwe na kuinuliwa zaidi,na ubarikiwe kila iitwapo leo
@fredrickmichael2317Ай бұрын
Mungu apewe sifa...Bwana yuko pamoja na wewe
@amanmaleko3085Ай бұрын
Amina mchugaji kimaro uzidi barikiwa baba🙏
@KissaMwaibila-xp7io17 күн бұрын
Aameni mtumishi
@user-pq9fd5bt5xАй бұрын
Bwana akubariki mtumishi wa mungu na azidi kukuinua
@speciozakaloliАй бұрын
Naomba na Mimi niwe na roho nzuri
@ruthmchau9527Ай бұрын
😢😢 Umenivusha hapa nilipo,Barikiwa sana
@Anna-fo6sqАй бұрын
Bba mungu akuweke sana
@ThomasNgelata-sd5hkАй бұрын
Baraka ya mungu iwe nawe❤❤❤❤
@KabagambaRene-ti9ojАй бұрын
Amen thank you Dr. Eliona Nasi tuna subiri kimya😔
@onesmonyoni2703Ай бұрын
Napenda Sana kukusikiliza, MUNGU akupe maisha marefu yenye baraka tele
@user-pi4jv2wq8cАй бұрын
Amina
@adeliphinusgabone7431Ай бұрын
Ubarikiwe pastor,nazidi kujifunza sana kwako.
@laurentraphael5470Ай бұрын
Inspiring. Mungu akubariki sana pastor.
@magdalenamwandiga5202Ай бұрын
Hakika Mungu akutunze Mtumishi
@user-lu4ie4fp1oАй бұрын
Mumgu akubariki mtumishi
@speciozakaloliАй бұрын
Hongera Kwa kulea watoto
@DeborahNyerereАй бұрын
Ameni
@TheopistaMakoiАй бұрын
Mungu wangu murehe mama yangu huko mpe furaha ya milele
@rehemakanyere4188Ай бұрын
Dah asante sàaana
@edvesterdamas3061Ай бұрын
Mtumishi umepanda mbegu iliyo njema😢 Mungu wa mbinguni akubariki sana
@jeangodelo5349Ай бұрын
Tunabarikiwa mno na mafundisho yako mchungaji 🙏🙏
@user-yj4iw6pg8uАй бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@user-uj9zn6mj5bАй бұрын
Nguvu ya Mungu haipimiki kwa wakati wake aupendao yeye
@nemeskilagula3119Ай бұрын
Mungu azidi kukutumia
@MariaNdagile-hx5prАй бұрын
Numefurahi sana leo maana ni muda sijakusikia baba
@tinamwashilindi6807Ай бұрын
Mungu mwema sana
@gracekagoma3231Ай бұрын
I do respect you 🎉🎉
@speciozakaloliАй бұрын
Kuuza ni njia yakuomba
@antoinettegitego3621Ай бұрын
Asante sana 😮
@francjose959614 күн бұрын
🤲🏿
@mwitabelwamajinge600Ай бұрын
Amina Baba mchungaji
@jacksonmollel9206Ай бұрын
Ni kweli
@wilsonjoel3073Ай бұрын
Amen 🙏
@jacksonmollel9206Ай бұрын
Ndiyo maana itakiwa tuwe subiri kwemye maisha haya