USHUHUDA | Jinsi Vijana Hawa Walivyofanikiwa | Rev. Dr. Eliona Kimaro

  Рет қаралды 199,730

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

2 ай бұрын

Пікірлер: 508
@ScolaAbel
@ScolaAbel 2 ай бұрын
Eee Mungu kupitia shuhuda hizi naomba na mimi siku moja nisiyodhani nitoe na ushuhuda.Amina
@godlistenmmari1099
@godlistenmmari1099 Ай бұрын
0😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@godlistenmmari1099
@godlistenmmari1099 Ай бұрын
😮😮😮😮😮😮😅😢5😢
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 2 ай бұрын
❤mchungaji kimaro ninaendelea kuvuka vigingi kwa kufatilia maubili yako tunafanikiwa wengi shikurani kwako kwa kupewa karama.
@MaryNjele
@MaryNjele 2 ай бұрын
Mwanangu Furahisha Mahenge ubarikiwe kwa ushuhuda mzuri utakaofungua wengi. Mungu aendelee kukufungulia milango ya baraka. Tulijivunia wewe ukiwa mwanafunzi wetu O-level pale Solace na ninabarkiwa na mafanikio yako leo.
@enockmaige8936
@enockmaige8936 2 ай бұрын
Kushuhudia kwake NAMI napokea kufunguliwa
@cipriano3040
@cipriano3040 2 ай бұрын
Nashukuru sana mchungaji kwa ushuhuda , nlikua mfanya biashara nikiwa na umri wa miaka 23 na nlifanikiwa kwa kutoa sandaka kana dad mwenzangu, leo nko 29 hila nilisimamisha biashara nkajiunga na masomo Europa ndiko nko kwa sasa kwa vile Mungu alininyakua kwa ile biashara alinipa na niko masomoni ya kipadri kumtumkia Mungu uyo uto aliyenisaidia
@user-ml4xy8xf1g
@user-ml4xy8xf1g 2 ай бұрын
Mungu nikumbuke fungua vifungo vilivo fungwa kwangu nakuamini ww mungu unafungua wengi...AMEN
@terryemmanuel2870
@terryemmanuel2870 2 ай бұрын
MUNGU na afanye kwetu sote ameen
@enockmaige8936
@enockmaige8936 2 ай бұрын
Baba usinipite kupitia shuhuda hzi NAMI nfunguliwe KWA JINA LA YESU. Amina
@philomenamushi5606
@philomenamushi5606 2 ай бұрын
Amen shuhuda ya BARAKA SANA nimejifunza kitu BWANA YESU NAOMBA NEEMA HII🤲🙏NIWEZE KUKUTOLEA SADAKA AMEN
@eliuskivuyo6521
@eliuskivuyo6521 Ай бұрын
Mchungaji Eliona wewe ni mchungaji wa Tanzania,tafadhali endelea kulihudumia kanisa la Tanzania,barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@stellarutaguza8734
@stellarutaguza8734 2 ай бұрын
Kwa Damu ya Yesu Kristu ninawaunganisha watoto wangu na madhabahu hii na mentorship program mwaka kesho muda kama huu tutashuhudia matendo makuu ya Mungu kwetu. Amen. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu barikiweni sana vijana mliotoa ushuhuda shuhuda zenu zitawatia moyo na kuwainua vijana wengi.
@stellamasawe6736
@stellamasawe6736 2 ай бұрын
Mungu akupe miaka mingi yenye furaha na nguvu ili ukazidi kutuponya baba mchungaji batikiwa sanaaa
@jessicamasepo8320
@jessicamasepo8320 2 ай бұрын
Amina.
@WhiteYusto-bu9ym
@WhiteYusto-bu9ym 2 ай бұрын
Mch Eliona kimaro Mungu aliyeweka kipawa hicho kwako umefanyika bàraka kubwa sana kwa watu wengi
@magrethuronu7190
@magrethuronu7190 2 ай бұрын
MUNGU Asante kwa ushuuda uhu nmm nitatoa ushuuda wangu mwakani mwez Kama uhu AMEEEEN
@nesseniftyjoseph5686
@nesseniftyjoseph5686 2 ай бұрын
Mungu mwema, usituache Sisi waja wako, bila wewe Sisi sio kitu Mungu wangu🙏
@user-vt4nt1uz4m
@user-vt4nt1uz4m 2 ай бұрын
Jokopoi😅jo
@CaritasSabuni
@CaritasSabuni 2 ай бұрын
We mwenyezi Mungu NAMI nijalie kupitia ushuhuda huu nami nifanikiwe
@naeema8155
@naeema8155 2 ай бұрын
Mungu naomba bariki kazi ya mikono yangu niweze kufanikisha malengo yangu niweze kusaidia na wengine 🙏🙏
@mariethangoma6317
@mariethangoma6317 2 ай бұрын
Ahsante Mungu kwa shuhuda hizi toka kwa wanao nikalipe nami niweze kushuhudia mwakani kama huu mwezi ...Amina amina....
@fadhilikiwera6501
@fadhilikiwera6501 2 күн бұрын
Hongera Mch. Kimaro kwa statement "Watu hawazaliwi, watu wanatengenezwa" kwa mahubiri yako umetengeneza wengi. Mungu akubariki
@janethmwansasu5847
@janethmwansasu5847 2 ай бұрын
Asante mtumishi kwa mi ninakukubali sn mi natamani niingie kwenye darasa Hilo ila zaidi ya yote natamani awepo mwanangu Ila bado yuko shule kidato Cha nne darasa hili lingefaa sn Mungu nisaidie I wish wangekuwa wanangu wote wenye maono hayo kwa jina la Yesu nimepokea
@SarahMeela-og6li
@SarahMeela-og6li 2 ай бұрын
Amen.Napokea huu Ushuhuda ikawe na kwangu katika jina la Yesu juu ya Biashara yangu.Mungu akutunze Baba Mchungaji.
@VickyNyela
@VickyNyela 2 ай бұрын
Ikawe kwangu na mimi Yesu wangu nakusihi unitendee mwaka huu 2024
@user-bw8wp3ek4w
@user-bw8wp3ek4w 2 ай бұрын
Haleluya nimejifunza kitu kwa huyu Dada hongera sana..
@adamsandrew3292
@adamsandrew3292 Ай бұрын
🙌🙌🙌🙌 mungu wetu ni mkuu sana na ni muanifu sana ametenda kwao na kwetu pia atatenda
@TheodosiaSangka
@TheodosiaSangka 2 ай бұрын
Madhabahu anayotumikia Mchungaji huyu yameenea sifa zote za ki Mungu hakika Mungu anayetumikiwa na Rev.Dr.Kimario yana majibu yote ya mwenye mahitaji. Bwana akubariki sana Mchungaji wangu🙏🙏
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 ай бұрын
Na pia ni makanisa ya Wasomi,na Makanisa yanawaosoma Riturujia,Lazima Mchungaji aajiriwe na Alipwe mshahara kila Mwezi si kama Pentecoste,
@mackfasonmoshi4629
@mackfasonmoshi4629 2 ай бұрын
​@@trophywilson7211Nisaidie kufafanua "wazo" lako kuhusu "si kama Pentecoste "....Rev. Dr Kimaro barikiwa mno. Shuhuda hizi nzuri piaaa.... Amen..
@gasperjohnson3388
@gasperjohnson3388 2 ай бұрын
Mimi ni msabato lakini nakufuatilia sana mchungaji nakupenda sana rev eliona kimaro
@maikojairo3489
@maikojairo3489 Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
@loycenicolao7488
@loycenicolao7488 Ай бұрын
Me pia SDA Huwa napata upako sana wa huyu bwana
@user-jc1do5gf3w
@user-jc1do5gf3w Ай бұрын
Rev.Elionora Kimaro
@JulianaKabonda
@JulianaKabonda 2 ай бұрын
MUNGU akubariki sana Baba kwa Juhudi zako za kuwainua na kuwapa afya za kimwili na kiroho pia Tunamtukuza MUNGU Sana
@DannyEliudmsangi
@DannyEliudmsangi 2 ай бұрын
🎉Ee mwenyenzi mungu ninakushukuru kwa kunipa afya njema mpaka mwisho wa mwaka nipe mabadiliko katika maisha yangu
@user-oo2fx8nk5r
@user-oo2fx8nk5r 2 ай бұрын
Eeeeh mwenyezi Mungu Nakuomba kupitia huu Ushuhuda Ukanipe Ushuhuda Nishuhudie ukuu wako
@user-pq9fd5bt5x
@user-pq9fd5bt5x 2 ай бұрын
Hakika mungu nimwema huu ujumbe niwangu barikiwa sana dadaangu leo mmpia nimefunguliwa
@joycelanda8987
@joycelanda8987 2 ай бұрын
Ee Mungu wangu nakushukuru kwaajili ya vijana hawa,naomba uwaongoze kila wanapopia!zaidi sana naomba kupitia shuhuda hz nipate kibali cha kupata mtajia kufanya biashara yasabuni ya maji na nifanikiwe ,Amen!!
@esthermichael6856
@esthermichael6856 Ай бұрын
Hakika utukufu na heshima apewe BWANA.👏👏👏
@estherlemburismollel5901
@estherlemburismollel5901 2 ай бұрын
Nami nitembelee Yesu, kwa Mungu hakuna kuchelewa wala kuwahi,Yesu nisaidie kufika ulipokusudia nifike
@lucyburetta5831
@lucyburetta5831 Ай бұрын
Nimejifunza mengi kupitia shuhuda hizi. Bwana Yesu naomba neema niweze kutoa sadaka. AMEN
@rogersmaokola3147
@rogersmaokola3147 2 ай бұрын
Kwa upande wangu Mungu amesema nami kupitia haya mafundisho ya leo Baba Asante kwa huu ushuhuda na niko tayari kushiriki katika hilo darasa unaloandaa. Asante sana Na Mungu akupe afya zaidi
@sabrinaandrew4245
@sabrinaandrew4245 13 күн бұрын
Mwenyezi mungu akusaidie uwe mfano Kwa Viongozi wengine wa dini.Ama kweli unaendana na jina lako.Tunaona kweli unao uthubutu moyoni.❤🎉🎉🎉Bwana yesu Akuhifadhi🙌🙏
@user-zn3un8gs3d
@user-zn3un8gs3d 2 ай бұрын
Amina mchungaji asante kwa kuruhusu hizi shuhuda nimebarikiwa sana
@user-fh4li4ys7z
@user-fh4li4ys7z Ай бұрын
Kwa damu ya Yes Kristo wa Nazareth aliye hai naiunganisha familia yangu na madhababu hii, Mungu wa Mbi guni ukafungue vifungo vyote vya uchumi ukaondoe mipaka yote ya uchumi, ukaondoe roho za umaskini, Bwanayesu usimame na familia yangu ukarudishe maradufu ya vilivyopotea, ee Mungu usielala na unaona Kila kiku ukapigane na wanao pigana na kupiga vita uchumi wa familia yangu, bwana Yes kupitia shuhuda hizi hakika naona familia yangu imefunguliwa kwa kiwango cha juu na tutamshuhudia Mungu kwenye madhababu hii. Amen
@WinnieWalter-ym1cr
@WinnieWalter-ym1cr 2 ай бұрын
You are my daddy. Mungu akuweke kwa ajili yetu
@Winner_Maggie88
@Winner_Maggie88 2 ай бұрын
I tap this testmmony Mungu nifungulie milango mwaka huu IJN
@CatherineShayo-rr2hq
@CatherineShayo-rr2hq 2 ай бұрын
Namwuunganisha kaka yangu Kwwnye huu ushuhuhdaa🙏🙏 Amennn amennn
@bahatimsuya3031
@bahatimsuya3031 Ай бұрын
Ee Mungu nikumbuke unifungulie baraka zako zinifikie na kunipata. Kumbuka sadaka zangu zote unisaidie niinuke tena. Nirehemu Mungu Kwa Sababu zipo nyakati sijakutolea kwa uaminifu. Ila sasa nahitaji huruma zako. Kwakupitia shuhuda hizo badilisha ukurasa wa maisha yangu. Nimekua naanza biashara zinakufa kila wakati. Mungu wa rehema nihurumie
@joycelongo1213
@joycelongo1213 2 ай бұрын
Mungu naomba uwajalie wanangu uwafungulie tupate mafanikio saidia Sana watoto wangu
@halimahamis-yi8kh
@halimahamis-yi8kh 2 ай бұрын
mimi mwislam ila huwa napenda sana maubir yako Allah akuhifadhi 🤲
@worldofscience6745
@worldofscience6745 2 ай бұрын
Mungu,mtu ndy Dini inafuata kikubwa kitu/ mtu anakujenga Learn from them
@boazmasanja1710
@boazmasanja1710 2 ай бұрын
Unafanya vzr. Fanya maamuzi ya kumpokea Yesu sasa
@JosephKingwere
@JosephKingwere 2 ай бұрын
Hakika Mungu amulende Muchungaji anafundisha vzr sana mno
@user-xh3bp4il8j
@user-xh3bp4il8j 2 ай бұрын
Aminaa
@user-wq2np3dm3d
@user-wq2np3dm3d 2 ай бұрын
barikiwa sana.. maneno yako yamenitia moyo
@dicksonmsungucommunitywork257
@dicksonmsungucommunitywork257 2 ай бұрын
Mungu naomba waajalie wanangu na vizazi vyangu ,na mimi atufungue tujue hii Siri na tupate mafanikio haya,tuliinue jina lake,ubarikiwe sana Mchungaji Kwa huduma hii
@TeddyMathias
@TeddyMathias 2 ай бұрын
Eee Mungu mwema naomba na mimi mwaka huu huu majira haya haya nishuhudie matendo makuu uliyoyatenda Kwangu 🙏🙏
@ngesileanganile3747
@ngesileanganile3747 2 ай бұрын
Furahisha Daaa! Umejua kunipa somo mwanangu kipenzi ❤❤❤❤
@winnymshana5589
@winnymshana5589 2 ай бұрын
Mungu nakuomba bariki na kizazi changu pamoja na mume wangu
@user-tl2ur8rj1e
@user-tl2ur8rj1e 2 ай бұрын
Ninavyopenda shuhuda jamani. Hapa pa utoaji ndio napapenda zaidi, kitu iko ndani yangu. Hawa ni sehemu ya kina Dorcus wangu. Ubarikiwe Mchungaji
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 2 ай бұрын
Yaani ww hunifikii kwa kupenda shuhuda.
@Eric482
@Eric482 2 ай бұрын
Mwenye maarifa atapona jina la Mungu libarikiwe
@johnboscokiringo2398
@johnboscokiringo2398 2 ай бұрын
"Asante Mungu kwa ushuhuda huu mzito" Nimejifunza somo.
@mosesallanadam1955
@mosesallanadam1955 2 ай бұрын
Nimebarikiwa na nitashuhudia pia. Aksante
@neemamwanga5447
@neemamwanga5447 2 ай бұрын
Ameni nami Mungu naomba nibariki kwa ushuhuda juu nivushe haya madeni yasiyoeleweka nalipa hapa nadaiwa pale nivushe Mungu naamini nimeshindaaa
@user-wd3zo9xb4h
@user-wd3zo9xb4h 2 ай бұрын
Mtumishi MUNGU wetu mwema nami nina Imani Mungu atatuvusha katika bonde gumu na.zito la madeni. TUTAVUKA
@user-ry5od3ws9d
@user-ry5od3ws9d 4 күн бұрын
Atukuzwe aliyejuu kwa kufungua fahamu kumtumikia kwa njia ya sadaka baba mungu akubariki nabarikiwa na mafundisho yako tena kupitia simu ya jirani.
@happynessmalisa6258
@happynessmalisa6258 2 ай бұрын
Hata mimi natamani kupata elimu ya kutoa sadaka na fungu la kumi eeh mungu nisaidie hauwahi wala kuchelewa mungu kwangu naomba uwahi kwangu iliniweze kutoa sadaka yangu na fungu la kumi
@mkundeferuzi8186
@mkundeferuzi8186 2 ай бұрын
siku utakayoamua kutoa kwenye mfuko wako fungu la kumi kamili kbs ndio siku utakayokua umechomoka kiuchumi ,yaan ile ukitoa tu na Mungu atakuzidishia maradufu mpk ushangae
@jaclinekeyya8166
@jaclinekeyya8166 2 ай бұрын
Ee Mungu naomba unikumbuke rehemani mwako nimedhurumiwa Sana Hadi sasa umenisimamisha tena,naomba unifikishe kwenye kusudi lako naamini hakuna jambo linaloshindikana kwako.Niko DRC Congo napambana lakina naamini kuanzia sasa jupitia shuhuda hizi zote mbili zimenifungua fikra zangu ,nitakuja Tanzania nakushuhudia waminifu wa mungu Amen.
@judithkatabaro3294
@judithkatabaro3294 2 ай бұрын
Kwlei kabisa uyo ni mimi kabisa yani mimi namwambiaga Mungu ivyo kutoa sadaka sio kazi rahisi
@jacquelinelukambuzi5085
@jacquelinelukambuzi5085 2 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu sana kwetu ila sisi jamani Mungu turehemu
@user-po7zh4zz2k
@user-po7zh4zz2k 2 ай бұрын
Kweli Mungu ni mwaminifu mno ila sisi wanaadamu Mungu aturehemu jamani. Mungu ametupa akili tuzitumie sawasawa.
@LOYCEWENSLOUS
@LOYCEWENSLOUS 2 ай бұрын
Mungu uliefanya kwa hawa vijana nakwangu utafanya
@GracYusto
@GracYusto 25 күн бұрын
Mungu nibariki kwa ushuhuda huu na mm nitendee Fanya jambo jipya nikiwa chini ya miaka 30
@dorcusmacha1085
@dorcusmacha1085 2 ай бұрын
Kwa kweli nitajoin I will become a billionaire one day najiunganisha na huu ushuhuda
@graficitv4412
@graficitv4412 2 ай бұрын
Nami najiungamanisha na ushuhuda wenu Mungu Nina Iman huchelewi Wala hukawii
@itchimboelongabwe821
@itchimboelongabwe821 15 күн бұрын
Mungu akubariki sana baba mchungaji kimaro kwa kazi kubwa unayo ifanya
@angelbajunanaki
@angelbajunanaki 2 ай бұрын
Mungu naomba unikumbuke na mm mwakani majira kama haya NAMI nikashudie, Maana wewe huchelewi wala huwai
@helinahenry2363
@helinahenry2363 2 ай бұрын
Eeh Mungu wangu nifungue na mimi, nifungue nifungue, na mimi nikashuhudie
@marthajackson9040
@marthajackson9040 2 ай бұрын
Eee Mungu mwema nisaidie na mimi majira kama haya mwakani nishuhudie matendo makuu uliyoyatenda kwangu 🙏
@magrethmwasimanga2013
@magrethmwasimanga2013 2 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki mchungaji . Hii program inayoanzishwa naamin itawakomboa vijana wetu wengi.
@JosephKingwere
@JosephKingwere 2 ай бұрын
Mm Naomba Mungu sana nina naziri na hiii madhabahun jamn Mungu nisaidie niweze kutoa fungu la kumi
@ninahmbonea6248
@ninahmbonea6248 2 ай бұрын
Mungu anisaidie nami nishuhudie mwakani
@ElizabethMasambe
@ElizabethMasambe 2 ай бұрын
111😅😅 22:36
@theresiakimaro7514
@theresiakimaro7514 2 ай бұрын
Mungu akulinde baba mchungaji stay blessed
@user-ru6ct4rh3t
@user-ru6ct4rh3t 2 ай бұрын
Asante Mungu Kwa kuturejeshea Mtumishi wako Eliona Kimaro.
@brysonmmari3037
@brysonmmari3037 2 ай бұрын
Mungu tukumbe Baba unapodhuru wengine na sisi usitupite❤
@paradisenkini5433
@paradisenkini5433 29 күн бұрын
Hongera Sana mchungaji Dkt.Eliona Kimaro kwa kipawa karma Mungu alichokupa uendelee kuwanoa vijana wetu.Amen Amen❤
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 2 ай бұрын
Ni aibu kubwa sana kufaulu shule, na kufeli maisha.Hii inahusika sana.
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu 2 ай бұрын
Mbona wapo wengi sana waliofaulubshule na maisha wamefeli mno
@user-ij2vf9fn3t
@user-ij2vf9fn3t 2 ай бұрын
Mungu nifungulie milango la ridhiki nifanikiwe kama hawa watumishi wako
@user-lj7oq5hp4f
@user-lj7oq5hp4f 2 ай бұрын
Mmoja padri kajinyonga eti kafeli kiapo ufaulu
@deborasimon422
@deborasimon422 2 ай бұрын
Ooh God Asante nimefunguka kupitia ushuhuda wa dada Furahisha! Mungu akubariki Mchungaji Kimaro kwakweli umefanyika baraka kwangu
@happynyoni2421
@happynyoni2421 2 ай бұрын
Ameeeeeeeeen,Ikawe kwangu kwa Jina la Yesu
@ushindingayilo9780
@ushindingayilo9780 2 ай бұрын
Amina Mungu naamini ntakuwa zaidi ya hapa nilipo asante sanaa mchungaji kwa shuhuda izi.
@lakezone1091
@lakezone1091 2 ай бұрын
I connect in Jesus name amen 🙏🙏
@winnymshana5589
@winnymshana5589 2 ай бұрын
Mungu nakuomba unibariki kwa uwezo wangu nifikie viwango hivi
@user-nr9cs3ms7y
@user-nr9cs3ms7y 2 ай бұрын
Amina naiwe kwangu kwajina la yesu napokea ushuhuda huu
@catherinegimbika1545
@catherinegimbika1545 2 ай бұрын
Ameeeeen❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 Mungu Mkubwa
@JosephuSwai
@JosephuSwai 2 ай бұрын
Amshuku babayake kwa kumsomesha uyo dada
@amosimwampamba-ne7in
@amosimwampamba-ne7in 2 ай бұрын
ee mwenyezi mungu nisaidie NAMI majira kama haya NAMI nifanikiwe
@blessedderrickevans9764
@blessedderrickevans9764 2 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe hata mimi nitafanikiwa katika maisha kwa Damu ya yesu kristo🙏🙏
@AngelMoris-cb5rf
@AngelMoris-cb5rf 2 ай бұрын
Eee mungu nisaidie katika maombi yangu na mimi nije nisimame mazabahuni nitoe ushuhuda mungu nibaliki
@priscaangwenyi2206
@priscaangwenyi2206 2 ай бұрын
This is timely. I am encouraged
@ASTERIAMASALU
@ASTERIAMASALU 2 ай бұрын
Ikawe kwangu ,Mungu nisaidie
@doreenmaro2363
@doreenmaro2363 Ай бұрын
Mungu akupe Maisha Marefu Mch.Kiukweli nimejifunza Saaana Kwa hizo shuhuda
@user-xi3ms2qb9w
@user-xi3ms2qb9w 2 ай бұрын
Mtt wa big Muyaya.......wazazi wake hawana BAYA,Mungu amtunze
@elinakibona8349
@elinakibona8349 2 ай бұрын
Kweli anafanana na mama regan jaman
@annamidigo4269
@annamidigo4269 Ай бұрын
Sure
@elizabethlaurent4446
@elizabethlaurent4446 2 ай бұрын
Mungu naoomba wajalie wanangu vizazi vyangu
@petermuganda7322
@petermuganda7322 2 ай бұрын
Nimebarikiwa sana
@anjelalyamboko740
@anjelalyamboko740 2 ай бұрын
Ee Mungu kupitia shuhuda za hawa vijana naomba umfungue mdogo wangu Florah aweze kifanikiwa.Amen
@user-zr6rs6dk6b
@user-zr6rs6dk6b 2 ай бұрын
Mungu nisaidie matatizo yangu niliyonayo iwe ndo fursa ya mafanikio yangu
@MarySangiwa-fz1jc
@MarySangiwa-fz1jc 2 ай бұрын
MUNGU wa Israely kwa neema yako. Nàmi nimetajirika kwa Jina la Yesu Kristo wa NAZARETHI AMEN.
@user-cq3wt7vc3u
@user-cq3wt7vc3u 2 ай бұрын
Eee Mungu wangu mwenye Rehema n Neema nakuomba na mm niwe m'barikiwa..AMEN
@josephinejoseph599
@josephinejoseph599 2 ай бұрын
Ee Mungu naomba umjalie mwanangu mwaka huu usiishe bila kumwinua na kumfungulia baraka zako.chungaji Mungu akubariki sana.
@pceodhc
@pceodhc 2 ай бұрын
Hallelujah! Congratulations to both, mzidi kubarikiwa Katika jina la Yesu! Amen!🙏🏾
@carenhilary8067
@carenhilary8067 24 күн бұрын
BWANA YESU ,NAJUA UTANIINUA PIA NA UZAO WANGU AMINA.
@SHILECKIZACHARIA
@SHILECKIZACHARIA Ай бұрын
Nisaidie na mimi Mungu wangu niweze kujifunza kutoa fungu la kumi kwa Mungu aliyeniumba Amen
@monicaalute3143
@monicaalute3143 2 ай бұрын
Namuelewa huyu dada, nimepitia cryisis kifedha, kuna biashara yangu niliipata nikiwa madhabahun na kabla cjaifungua nilipeleka funguo Kwa mch. Baadae nikaenda kufungua biashara nikauza vzr tu kwa siku za mwanzon qakat najiandaa kwenda kutoa malimbuko ndyo majaribu yakaanza had ninavyoongea hapa namuomba Mungu aniwezeehe kutimi,a ahad yangu kwa MUNGU maana nateseka mno
@user-gm1ry3ej9o
@user-gm1ry3ej9o 2 ай бұрын
Mungu afungue uchumi wetu kupitia shuhuda hizi
@evamwasongwe6752
@evamwasongwe6752 2 ай бұрын
Vijana,mmeniinspire sanaaa,sitaacha kukutumikia Mungu maana najua thawabu yangu ni kubwa sana wakati wako ukifika,I glorify you Lord
@ChristinaMlawa
@ChristinaMlawa Ай бұрын
🎉amen
@HildaTemba-qz9df
@HildaTemba-qz9df 2 ай бұрын
Nisaidie Mungu wangu nipate Moyo wa utoaji
@ernestbutagalala
@ernestbutagalala 16 күн бұрын
Eeee!!! Mungu na mm natamani sku moja nisimame mbele ya madhabahu Yako nishuhudie matendo Yako nataman mungu wangu naomba unisaidie
@LuluDononda
@LuluDononda Ай бұрын
Mungu naomba unisaidie mwakwan kama leo nishuhudie matendo makuu utakayonitendea Amen
@ReginaMweta
@ReginaMweta Ай бұрын
Mungu wa Mbinguni akubariki baba yangu
@HildaSamdella
@HildaSamdella 2 ай бұрын
Nami nakuomba Mungu wangu unitendee, nijuwe namna ya kukutolea sadaka na fungi la kumi, kupitia shuhuda za hawa ndugu naona maisha mapya ya kimwili na kiroho kupitia matoleo
@silashemed4849
@silashemed4849 2 ай бұрын
asante Mchungaji,nimeelewa mno,Mungu yu upande wetu
@jonesiategambwage4619
@jonesiategambwage4619 2 ай бұрын
Huwa nabarikiwa sana na mahubiri yako mchungaji Kimaro
@pendothomas7258
@pendothomas7258 Ай бұрын
Kanisa linaweza kukopesha serikali kama watu wakiandaliwa vizuri 👏👏👏
Usimnyooshe Mtu Kidole | USIHUKUMU | Rev. Dr. Eliona Kimaro
17:56
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 22 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: WEKEZA KWENYE UWEZO I
34:28
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 12 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 10 МЛН
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 3,4 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 13 МЛН
KINANA AFUNGUKA SABABU ZA KUJIUZULU
5:32
Wasafi Media
Рет қаралды 29 М.
Rafiki Aliyeshambuliwa Na Majambazi Kwa Kuzuia Sadaka | Rev. Dr. Eliona Kimaro
15:05
MAKOSA UNAYOYAFANYA WAKATI WA MAOMBI YAKO // REKEBISHA HARAKA
12:45
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 208 М.
AFUNGULIWA NA KUTENGWA NA NDOA YA KIROHO (FULL VIDEO HD)
24:00
Bishop Elibariki Sumbe
Рет қаралды 68 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: UNA KITU GANI MKONONI MWAKO?
1:42:14
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 106 М.
Ushuhuda wa mama kifaru akisimulia Rev.Dr.Eliona Kimaro
17:16
KKKT - DMP Usharika Wa Mbezi Beach
Рет қаралды 316 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 10 МЛН