Eee Mungu kupitia shuhuda hizi naomba na mimi siku moja nisiyodhani nitoe na ushuhuda.Amina
@godlistenmmari1099Ай бұрын
0😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@godlistenmmari1099Ай бұрын
😮😮😮😮😮😮😅😢5😢
@user-dg7wf6fg2j2 ай бұрын
❤mchungaji kimaro ninaendelea kuvuka vigingi kwa kufatilia maubili yako tunafanikiwa wengi shikurani kwako kwa kupewa karama.
@MaryNjele2 ай бұрын
Mwanangu Furahisha Mahenge ubarikiwe kwa ushuhuda mzuri utakaofungua wengi. Mungu aendelee kukufungulia milango ya baraka. Tulijivunia wewe ukiwa mwanafunzi wetu O-level pale Solace na ninabarkiwa na mafanikio yako leo.
@enockmaige89362 ай бұрын
Kushuhudia kwake NAMI napokea kufunguliwa
@cipriano30402 ай бұрын
Nashukuru sana mchungaji kwa ushuhuda , nlikua mfanya biashara nikiwa na umri wa miaka 23 na nlifanikiwa kwa kutoa sandaka kana dad mwenzangu, leo nko 29 hila nilisimamisha biashara nkajiunga na masomo Europa ndiko nko kwa sasa kwa vile Mungu alininyakua kwa ile biashara alinipa na niko masomoni ya kipadri kumtumkia Mungu uyo uto aliyenisaidia
@user-ml4xy8xf1g2 ай бұрын
Mungu nikumbuke fungua vifungo vilivo fungwa kwangu nakuamini ww mungu unafungua wengi...AMEN
@terryemmanuel28702 ай бұрын
MUNGU na afanye kwetu sote ameen
@enockmaige89362 ай бұрын
Baba usinipite kupitia shuhuda hzi NAMI nfunguliwe KWA JINA LA YESU. Amina
@philomenamushi56062 ай бұрын
Amen shuhuda ya BARAKA SANA nimejifunza kitu BWANA YESU NAOMBA NEEMA HII🤲🙏NIWEZE KUKUTOLEA SADAKA AMEN
@eliuskivuyo6521Ай бұрын
Mchungaji Eliona wewe ni mchungaji wa Tanzania,tafadhali endelea kulihudumia kanisa la Tanzania,barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@stellarutaguza87342 ай бұрын
Kwa Damu ya Yesu Kristu ninawaunganisha watoto wangu na madhabahu hii na mentorship program mwaka kesho muda kama huu tutashuhudia matendo makuu ya Mungu kwetu. Amen. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu barikiweni sana vijana mliotoa ushuhuda shuhuda zenu zitawatia moyo na kuwainua vijana wengi.
@stellamasawe67362 ай бұрын
Mungu akupe miaka mingi yenye furaha na nguvu ili ukazidi kutuponya baba mchungaji batikiwa sanaaa
@jessicamasepo83202 ай бұрын
Amina.
@WhiteYusto-bu9ym2 ай бұрын
Mch Eliona kimaro Mungu aliyeweka kipawa hicho kwako umefanyika bàraka kubwa sana kwa watu wengi
@magrethuronu71902 ай бұрын
MUNGU Asante kwa ushuuda uhu nmm nitatoa ushuuda wangu mwakani mwez Kama uhu AMEEEEN
@nesseniftyjoseph56862 ай бұрын
Mungu mwema, usituache Sisi waja wako, bila wewe Sisi sio kitu Mungu wangu🙏
@user-vt4nt1uz4m2 ай бұрын
Jokopoi😅jo
@CaritasSabuni2 ай бұрын
We mwenyezi Mungu NAMI nijalie kupitia ushuhuda huu nami nifanikiwe
@naeema81552 ай бұрын
Mungu naomba bariki kazi ya mikono yangu niweze kufanikisha malengo yangu niweze kusaidia na wengine 🙏🙏
@mariethangoma63172 ай бұрын
Ahsante Mungu kwa shuhuda hizi toka kwa wanao nikalipe nami niweze kushuhudia mwakani kama huu mwezi ...Amina amina....
@fadhilikiwera65012 күн бұрын
Hongera Mch. Kimaro kwa statement "Watu hawazaliwi, watu wanatengenezwa" kwa mahubiri yako umetengeneza wengi. Mungu akubariki
@janethmwansasu58472 ай бұрын
Asante mtumishi kwa mi ninakukubali sn mi natamani niingie kwenye darasa Hilo ila zaidi ya yote natamani awepo mwanangu Ila bado yuko shule kidato Cha nne darasa hili lingefaa sn Mungu nisaidie I wish wangekuwa wanangu wote wenye maono hayo kwa jina la Yesu nimepokea
@SarahMeela-og6li2 ай бұрын
Amen.Napokea huu Ushuhuda ikawe na kwangu katika jina la Yesu juu ya Biashara yangu.Mungu akutunze Baba Mchungaji.
@VickyNyela2 ай бұрын
Ikawe kwangu na mimi Yesu wangu nakusihi unitendee mwaka huu 2024
@user-bw8wp3ek4w2 ай бұрын
Haleluya nimejifunza kitu kwa huyu Dada hongera sana..
@adamsandrew3292Ай бұрын
🙌🙌🙌🙌 mungu wetu ni mkuu sana na ni muanifu sana ametenda kwao na kwetu pia atatenda
@TheodosiaSangka2 ай бұрын
Madhabahu anayotumikia Mchungaji huyu yameenea sifa zote za ki Mungu hakika Mungu anayetumikiwa na Rev.Dr.Kimario yana majibu yote ya mwenye mahitaji. Bwana akubariki sana Mchungaji wangu🙏🙏
@trophywilson72112 ай бұрын
Na pia ni makanisa ya Wasomi,na Makanisa yanawaosoma Riturujia,Lazima Mchungaji aajiriwe na Alipwe mshahara kila Mwezi si kama Pentecoste,
@mackfasonmoshi46292 ай бұрын
@@trophywilson7211Nisaidie kufafanua "wazo" lako kuhusu "si kama Pentecoste "....Rev. Dr Kimaro barikiwa mno. Shuhuda hizi nzuri piaaa.... Amen..
@gasperjohnson33882 ай бұрын
Mimi ni msabato lakini nakufuatilia sana mchungaji nakupenda sana rev eliona kimaro
@maikojairo3489Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
@loycenicolao7488Ай бұрын
Me pia SDA Huwa napata upako sana wa huyu bwana
@user-jc1do5gf3wАй бұрын
Rev.Elionora Kimaro
@JulianaKabonda2 ай бұрын
MUNGU akubariki sana Baba kwa Juhudi zako za kuwainua na kuwapa afya za kimwili na kiroho pia Tunamtukuza MUNGU Sana
@DannyEliudmsangi2 ай бұрын
🎉Ee mwenyenzi mungu ninakushukuru kwa kunipa afya njema mpaka mwisho wa mwaka nipe mabadiliko katika maisha yangu
@user-oo2fx8nk5r2 ай бұрын
Eeeeh mwenyezi Mungu Nakuomba kupitia huu Ushuhuda Ukanipe Ushuhuda Nishuhudie ukuu wako
@user-pq9fd5bt5x2 ай бұрын
Hakika mungu nimwema huu ujumbe niwangu barikiwa sana dadaangu leo mmpia nimefunguliwa
@joycelanda89872 ай бұрын
Ee Mungu wangu nakushukuru kwaajili ya vijana hawa,naomba uwaongoze kila wanapopia!zaidi sana naomba kupitia shuhuda hz nipate kibali cha kupata mtajia kufanya biashara yasabuni ya maji na nifanikiwe ,Amen!!
@esthermichael6856Ай бұрын
Hakika utukufu na heshima apewe BWANA.👏👏👏
@estherlemburismollel59012 ай бұрын
Nami nitembelee Yesu, kwa Mungu hakuna kuchelewa wala kuwahi,Yesu nisaidie kufika ulipokusudia nifike
@lucyburetta5831Ай бұрын
Nimejifunza mengi kupitia shuhuda hizi. Bwana Yesu naomba neema niweze kutoa sadaka. AMEN
@rogersmaokola31472 ай бұрын
Kwa upande wangu Mungu amesema nami kupitia haya mafundisho ya leo Baba Asante kwa huu ushuhuda na niko tayari kushiriki katika hilo darasa unaloandaa. Asante sana Na Mungu akupe afya zaidi
@sabrinaandrew424513 күн бұрын
Mwenyezi mungu akusaidie uwe mfano Kwa Viongozi wengine wa dini.Ama kweli unaendana na jina lako.Tunaona kweli unao uthubutu moyoni.❤🎉🎉🎉Bwana yesu Akuhifadhi🙌🙏
@user-zn3un8gs3d2 ай бұрын
Amina mchungaji asante kwa kuruhusu hizi shuhuda nimebarikiwa sana
@user-fh4li4ys7zАй бұрын
Kwa damu ya Yes Kristo wa Nazareth aliye hai naiunganisha familia yangu na madhababu hii, Mungu wa Mbi guni ukafungue vifungo vyote vya uchumi ukaondoe mipaka yote ya uchumi, ukaondoe roho za umaskini, Bwanayesu usimame na familia yangu ukarudishe maradufu ya vilivyopotea, ee Mungu usielala na unaona Kila kiku ukapigane na wanao pigana na kupiga vita uchumi wa familia yangu, bwana Yes kupitia shuhuda hizi hakika naona familia yangu imefunguliwa kwa kiwango cha juu na tutamshuhudia Mungu kwenye madhababu hii. Amen
@WinnieWalter-ym1cr2 ай бұрын
You are my daddy. Mungu akuweke kwa ajili yetu
@Winner_Maggie882 ай бұрын
I tap this testmmony Mungu nifungulie milango mwaka huu IJN
@CatherineShayo-rr2hq2 ай бұрын
Namwuunganisha kaka yangu Kwwnye huu ushuhuhdaa🙏🙏 Amennn amennn
@bahatimsuya3031Ай бұрын
Ee Mungu nikumbuke unifungulie baraka zako zinifikie na kunipata. Kumbuka sadaka zangu zote unisaidie niinuke tena. Nirehemu Mungu Kwa Sababu zipo nyakati sijakutolea kwa uaminifu. Ila sasa nahitaji huruma zako. Kwakupitia shuhuda hizo badilisha ukurasa wa maisha yangu. Nimekua naanza biashara zinakufa kila wakati. Mungu wa rehema nihurumie
@joycelongo12132 ай бұрын
Mungu naomba uwajalie wanangu uwafungulie tupate mafanikio saidia Sana watoto wangu
@halimahamis-yi8kh2 ай бұрын
mimi mwislam ila huwa napenda sana maubir yako Allah akuhifadhi 🤲
@worldofscience67452 ай бұрын
Mungu,mtu ndy Dini inafuata kikubwa kitu/ mtu anakujenga Learn from them
@boazmasanja17102 ай бұрын
Unafanya vzr. Fanya maamuzi ya kumpokea Yesu sasa
@JosephKingwere2 ай бұрын
Hakika Mungu amulende Muchungaji anafundisha vzr sana mno
@user-xh3bp4il8j2 ай бұрын
Aminaa
@user-wq2np3dm3d2 ай бұрын
barikiwa sana.. maneno yako yamenitia moyo
@dicksonmsungucommunitywork2572 ай бұрын
Mungu naomba waajalie wanangu na vizazi vyangu ,na mimi atufungue tujue hii Siri na tupate mafanikio haya,tuliinue jina lake,ubarikiwe sana Mchungaji Kwa huduma hii
@TeddyMathias2 ай бұрын
Eee Mungu mwema naomba na mimi mwaka huu huu majira haya haya nishuhudie matendo makuu uliyoyatenda Kwangu 🙏🙏
Mungu nakuomba bariki na kizazi changu pamoja na mume wangu
@user-tl2ur8rj1e2 ай бұрын
Ninavyopenda shuhuda jamani. Hapa pa utoaji ndio napapenda zaidi, kitu iko ndani yangu. Hawa ni sehemu ya kina Dorcus wangu. Ubarikiwe Mchungaji
@yukundapeter82002 ай бұрын
Yaani ww hunifikii kwa kupenda shuhuda.
@Eric4822 ай бұрын
Mwenye maarifa atapona jina la Mungu libarikiwe
@johnboscokiringo23982 ай бұрын
"Asante Mungu kwa ushuhuda huu mzito" Nimejifunza somo.
@mosesallanadam19552 ай бұрын
Nimebarikiwa na nitashuhudia pia. Aksante
@neemamwanga54472 ай бұрын
Ameni nami Mungu naomba nibariki kwa ushuhuda juu nivushe haya madeni yasiyoeleweka nalipa hapa nadaiwa pale nivushe Mungu naamini nimeshindaaa
@user-wd3zo9xb4h2 ай бұрын
Mtumishi MUNGU wetu mwema nami nina Imani Mungu atatuvusha katika bonde gumu na.zito la madeni. TUTAVUKA
@user-ry5od3ws9d4 күн бұрын
Atukuzwe aliyejuu kwa kufungua fahamu kumtumikia kwa njia ya sadaka baba mungu akubariki nabarikiwa na mafundisho yako tena kupitia simu ya jirani.
@happynessmalisa62582 ай бұрын
Hata mimi natamani kupata elimu ya kutoa sadaka na fungu la kumi eeh mungu nisaidie hauwahi wala kuchelewa mungu kwangu naomba uwahi kwangu iliniweze kutoa sadaka yangu na fungu la kumi
@mkundeferuzi81862 ай бұрын
siku utakayoamua kutoa kwenye mfuko wako fungu la kumi kamili kbs ndio siku utakayokua umechomoka kiuchumi ,yaan ile ukitoa tu na Mungu atakuzidishia maradufu mpk ushangae
@jaclinekeyya81662 ай бұрын
Ee Mungu naomba unikumbuke rehemani mwako nimedhurumiwa Sana Hadi sasa umenisimamisha tena,naomba unifikishe kwenye kusudi lako naamini hakuna jambo linaloshindikana kwako.Niko DRC Congo napambana lakina naamini kuanzia sasa jupitia shuhuda hizi zote mbili zimenifungua fikra zangu ,nitakuja Tanzania nakushuhudia waminifu wa mungu Amen.
@judithkatabaro32942 ай бұрын
Kwlei kabisa uyo ni mimi kabisa yani mimi namwambiaga Mungu ivyo kutoa sadaka sio kazi rahisi
@jacquelinelukambuzi50852 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu sana kwetu ila sisi jamani Mungu turehemu
@user-po7zh4zz2k2 ай бұрын
Kweli Mungu ni mwaminifu mno ila sisi wanaadamu Mungu aturehemu jamani. Mungu ametupa akili tuzitumie sawasawa.
@LOYCEWENSLOUS2 ай бұрын
Mungu uliefanya kwa hawa vijana nakwangu utafanya
@GracYusto25 күн бұрын
Mungu nibariki kwa ushuhuda huu na mm nitendee Fanya jambo jipya nikiwa chini ya miaka 30
@dorcusmacha10852 ай бұрын
Kwa kweli nitajoin I will become a billionaire one day najiunganisha na huu ushuhuda
@graficitv44122 ай бұрын
Nami najiungamanisha na ushuhuda wenu Mungu Nina Iman huchelewi Wala hukawii
@itchimboelongabwe82115 күн бұрын
Mungu akubariki sana baba mchungaji kimaro kwa kazi kubwa unayo ifanya
@angelbajunanaki2 ай бұрын
Mungu naomba unikumbuke na mm mwakani majira kama haya NAMI nikashudie, Maana wewe huchelewi wala huwai
@helinahenry23632 ай бұрын
Eeh Mungu wangu nifungue na mimi, nifungue nifungue, na mimi nikashuhudie
@marthajackson90402 ай бұрын
Eee Mungu mwema nisaidie na mimi majira kama haya mwakani nishuhudie matendo makuu uliyoyatenda kwangu 🙏
@magrethmwasimanga20132 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki mchungaji . Hii program inayoanzishwa naamin itawakomboa vijana wetu wengi.
@JosephKingwere2 ай бұрын
Mm Naomba Mungu sana nina naziri na hiii madhabahun jamn Mungu nisaidie niweze kutoa fungu la kumi
@ninahmbonea62482 ай бұрын
Mungu anisaidie nami nishuhudie mwakani
@ElizabethMasambe2 ай бұрын
111😅😅 22:36
@theresiakimaro75142 ай бұрын
Mungu akulinde baba mchungaji stay blessed
@user-ru6ct4rh3t2 ай бұрын
Asante Mungu Kwa kuturejeshea Mtumishi wako Eliona Kimaro.
@brysonmmari30372 ай бұрын
Mungu tukumbe Baba unapodhuru wengine na sisi usitupite❤
@paradisenkini543329 күн бұрын
Hongera Sana mchungaji Dkt.Eliona Kimaro kwa kipawa karma Mungu alichokupa uendelee kuwanoa vijana wetu.Amen Amen❤
@laurentraphael54702 ай бұрын
Ni aibu kubwa sana kufaulu shule, na kufeli maisha.Hii inahusika sana.
@MeckitilidaTushabe-or9hu2 ай бұрын
Mbona wapo wengi sana waliofaulubshule na maisha wamefeli mno
@user-ij2vf9fn3t2 ай бұрын
Mungu nifungulie milango la ridhiki nifanikiwe kama hawa watumishi wako
@user-lj7oq5hp4f2 ай бұрын
Mmoja padri kajinyonga eti kafeli kiapo ufaulu
@deborasimon4222 ай бұрын
Ooh God Asante nimefunguka kupitia ushuhuda wa dada Furahisha! Mungu akubariki Mchungaji Kimaro kwakweli umefanyika baraka kwangu
@happynyoni24212 ай бұрын
Ameeeeeeeeen,Ikawe kwangu kwa Jina la Yesu
@ushindingayilo97802 ай бұрын
Amina Mungu naamini ntakuwa zaidi ya hapa nilipo asante sanaa mchungaji kwa shuhuda izi.
@lakezone10912 ай бұрын
I connect in Jesus name amen 🙏🙏
@winnymshana55892 ай бұрын
Mungu nakuomba unibariki kwa uwezo wangu nifikie viwango hivi
@user-nr9cs3ms7y2 ай бұрын
Amina naiwe kwangu kwajina la yesu napokea ushuhuda huu
@catherinegimbika15452 ай бұрын
Ameeeeen❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 Mungu Mkubwa
@JosephuSwai2 ай бұрын
Amshuku babayake kwa kumsomesha uyo dada
@amosimwampamba-ne7in2 ай бұрын
ee mwenyezi mungu nisaidie NAMI majira kama haya NAMI nifanikiwe
@blessedderrickevans97642 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe hata mimi nitafanikiwa katika maisha kwa Damu ya yesu kristo🙏🙏
@AngelMoris-cb5rf2 ай бұрын
Eee mungu nisaidie katika maombi yangu na mimi nije nisimame mazabahuni nitoe ushuhuda mungu nibaliki
@priscaangwenyi22062 ай бұрын
This is timely. I am encouraged
@ASTERIAMASALU2 ай бұрын
Ikawe kwangu ,Mungu nisaidie
@doreenmaro2363Ай бұрын
Mungu akupe Maisha Marefu Mch.Kiukweli nimejifunza Saaana Kwa hizo shuhuda
@user-xi3ms2qb9w2 ай бұрын
Mtt wa big Muyaya.......wazazi wake hawana BAYA,Mungu amtunze
@elinakibona83492 ай бұрын
Kweli anafanana na mama regan jaman
@annamidigo4269Ай бұрын
Sure
@elizabethlaurent44462 ай бұрын
Mungu naoomba wajalie wanangu vizazi vyangu
@petermuganda73222 ай бұрын
Nimebarikiwa sana
@anjelalyamboko7402 ай бұрын
Ee Mungu kupitia shuhuda za hawa vijana naomba umfungue mdogo wangu Florah aweze kifanikiwa.Amen
@user-zr6rs6dk6b2 ай бұрын
Mungu nisaidie matatizo yangu niliyonayo iwe ndo fursa ya mafanikio yangu
@MarySangiwa-fz1jc2 ай бұрын
MUNGU wa Israely kwa neema yako. Nàmi nimetajirika kwa Jina la Yesu Kristo wa NAZARETHI AMEN.
@user-cq3wt7vc3u2 ай бұрын
Eee Mungu wangu mwenye Rehema n Neema nakuomba na mm niwe m'barikiwa..AMEN
@josephinejoseph5992 ай бұрын
Ee Mungu naomba umjalie mwanangu mwaka huu usiishe bila kumwinua na kumfungulia baraka zako.chungaji Mungu akubariki sana.
@pceodhc2 ай бұрын
Hallelujah! Congratulations to both, mzidi kubarikiwa Katika jina la Yesu! Amen!🙏🏾
@carenhilary806724 күн бұрын
BWANA YESU ,NAJUA UTANIINUA PIA NA UZAO WANGU AMINA.
@SHILECKIZACHARIAАй бұрын
Nisaidie na mimi Mungu wangu niweze kujifunza kutoa fungu la kumi kwa Mungu aliyeniumba Amen
@monicaalute31432 ай бұрын
Namuelewa huyu dada, nimepitia cryisis kifedha, kuna biashara yangu niliipata nikiwa madhabahun na kabla cjaifungua nilipeleka funguo Kwa mch. Baadae nikaenda kufungua biashara nikauza vzr tu kwa siku za mwanzon qakat najiandaa kwenda kutoa malimbuko ndyo majaribu yakaanza had ninavyoongea hapa namuomba Mungu aniwezeehe kutimi,a ahad yangu kwa MUNGU maana nateseka mno
@user-gm1ry3ej9o2 ай бұрын
Mungu afungue uchumi wetu kupitia shuhuda hizi
@evamwasongwe67522 ай бұрын
Vijana,mmeniinspire sanaaa,sitaacha kukutumikia Mungu maana najua thawabu yangu ni kubwa sana wakati wako ukifika,I glorify you Lord
@ChristinaMlawaАй бұрын
🎉amen
@HildaTemba-qz9df2 ай бұрын
Nisaidie Mungu wangu nipate Moyo wa utoaji
@ernestbutagalala16 күн бұрын
Eeee!!! Mungu na mm natamani sku moja nisimame mbele ya madhabahu Yako nishuhudie matendo Yako nataman mungu wangu naomba unisaidie
@LuluDonondaАй бұрын
Mungu naomba unisaidie mwakwan kama leo nishuhudie matendo makuu utakayonitendea Amen
@ReginaMwetaАй бұрын
Mungu wa Mbinguni akubariki baba yangu
@HildaSamdella2 ай бұрын
Nami nakuomba Mungu wangu unitendee, nijuwe namna ya kukutolea sadaka na fungi la kumi, kupitia shuhuda za hawa ndugu naona maisha mapya ya kimwili na kiroho kupitia matoleo
@silashemed48492 ай бұрын
asante Mchungaji,nimeelewa mno,Mungu yu upande wetu
@jonesiategambwage46192 ай бұрын
Huwa nabarikiwa sana na mahubiri yako mchungaji Kimaro
@pendothomas7258Ай бұрын
Kanisa linaweza kukopesha serikali kama watu wakiandaliwa vizuri 👏👏👏