Kutana na Trafiki mwenye mbwembwe Dar- es Salaam/Tanzanian Dancing Cop Directs Traffic With Style

  Рет қаралды 71,361

Gilly Bonny Tv

Gilly Bonny Tv

3 жыл бұрын

Пікірлер: 68
@user-pu2qr4xk9p
@user-pu2qr4xk9p Жыл бұрын
Kaka yang Allah akulinde na husda za kila kiumbe Akupe Baraka zote ktk utafutaji wako hongera heshimu kazi yako weka malengo yako ktk kila jambo ❤❤❤❤❤❤❤❤
@agustino6716
@agustino6716 2 ай бұрын
Namkubar sanae uyu mwambia
@venelandakundi63
@venelandakundi63 3 жыл бұрын
HUYU trafik nampenda kwa sabsbu snapenda sana Kazi yake Hans muda wa longolongo Mungu ambariki sana wakubwa wake wsmkumbuke
@alainmuhigirwa5151
@alainmuhigirwa5151 Жыл бұрын
This guy is doing a great job. Chapa kazi ndugu yangu. Watching from Johannesburg South Africa 🇿🇦🇨🇩
@lulisky1
@lulisky1 3 жыл бұрын
This is so cute, let me share it, so it can go viral, love this.
@maliayatabukachoko2852
@maliayatabukachoko2852 Жыл бұрын
Talented and creative police man,well-done,motivation is important to him!
@musakibwana4596
@musakibwana4596 2 ай бұрын
Huyu aachwe hapahapa na pasijengwe flyover. Apandishiwe mshahara tu wasimpe cheo cha kumuweka ofisini. Anatuboreshea cku🤣🤣🤣
@josephkulija293
@josephkulija293 3 жыл бұрын
Kamanda yuko vizuri, kazi nikupe raha siyo karahaa, anastahili kupandishwa cheo. Siyo mtu wa kukimbia kusema nakuandikia.
@hbh4727
@hbh4727 Жыл бұрын
Nice one, he loves his job. Watching från Sweden
@danielkanso
@danielkanso Жыл бұрын
Huyu mr hana ugomvi na watu yaani haboi Mungu amjalie afiya njema na maisha marefu
@johnsonzacharia2055
@johnsonzacharia2055 2 жыл бұрын
Daaaah jamaaa namkubali sna
@vincentinimah3272
@vincentinimah3272 6 ай бұрын
Kutoka Nairobi.kazi safi❤
@smug3495
@smug3495 2 жыл бұрын
This is art.
@tanzanite9944
@tanzanite9944 2 жыл бұрын
Dah! Huyu Mama Samia amwongeze mshahara maana anaipenda kazi yake.
@DamasRobert-qm4rv
@DamasRobert-qm4rv Жыл бұрын
Daaaaah!!.... Mama naomba umuonekee huyu trafc lakini usimtoe barabaran tafadhari.
@ramadhanimtetu7246
@ramadhanimtetu7246 3 жыл бұрын
Afande Huyu Anaipenda Kazi yake jamani hadi raha
@abdultika9535
@abdultika9535 2 жыл бұрын
Ashraf yupo vzr hakika
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 3 жыл бұрын
Wakati mwingine kazi ukiifanya kwa molali inakuwa nyepesi Sana ndicho anachokifanya huyo kamanda
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 3 жыл бұрын
Huyu mueteni kilwa road, uhasibu. Askari wa pale wanajaza magari Hadi 200 ndio wanaruhusu. Unachukua zaidi ya dakika 20 kungojea uruhusiwe. Nilikuwa mombasa askari alikuwa anahessbu magari sawa na dakika 1ama 2 na kuruhusu. Wapewe mafunzo zaidi. Kama hawskai katikati magari yanatembea bila foleni
@user-hl8xm1vg5g
@user-hl8xm1vg5g 3 жыл бұрын
Hi i don't understanding well this language
@sagudamatalu9632
@sagudamatalu9632 3 жыл бұрын
Hongera Sana piga kazi kwa moyo wako
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 3 жыл бұрын
Uko vinzuri Sana kazi na mbwembwe zinaendelea hongera traffic uko pow
@kasmirmwaja1733
@kasmirmwaja1733 3 жыл бұрын
Ni km anafanya mbwembwe lkn yuko kazini na anafanya kazi kubwa sana,hapumziki,akimaliza huku anaruhusu huku,kwahiyo ni kaza ngumu sana na anachoka sana kuwapanga magari hongera kwake
@fortunatusmabina7152
@fortunatusmabina7152 2 жыл бұрын
Natamani kumuona mzee huyu
@fortunatusmabina7152
@fortunatusmabina7152 2 жыл бұрын
Anapatikana wapi jaman?
@dr.alexmagufwa9131
@dr.alexmagufwa9131 Жыл бұрын
The best traffic police ever!,
@user-fx9zo1eq4o
@user-fx9zo1eq4o Жыл бұрын
Huyu askali awe mfano wa kuigwa natamani hata ahamishiwe kwetu Iringa,
@twahashabani2169
@twahashabani2169 3 жыл бұрын
Nimempenda bule yupo vzur
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 3 жыл бұрын
😂😂😂apandishwe cheo huyo
@izodnice3659
@izodnice3659 3 жыл бұрын
Shua yan. Bigi apu ssana yan.
@azizayassin3623
@azizayassin3623 2 жыл бұрын
Penda kazi yko😆😁😄😄😃😀🤗
@komutuma1368
@komutuma1368 Жыл бұрын
namkubal mno yupo mwenge hapo, sa zngne kawe
@SwaleheMbutu-zd9bm
@SwaleheMbutu-zd9bm 9 ай бұрын
Hongera,afande
@violethmtalemwa5190
@violethmtalemwa5190 3 жыл бұрын
safi sana kamanda wangu
@SylvestermathiasLuoga
@SylvestermathiasLuoga 6 ай бұрын
Apewe kitengo maalumu cha kufundisha matrafic wengne kisha awe msimamlz mkuuu na apandishwe cheo
@MarimOmari-gw3te
@MarimOmari-gw3te 7 ай бұрын
❤❤❤
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 жыл бұрын
Tanzania ni nchi isiyokuwa na shape ni Taifa la WAJINGA unaoongezeka, Askari anafanyakazi mbwembwe na molali kujipunguzia stress wapo wataomuona kalewa, wapo waonana aongezwe cheo, wapo wataona afukuzwe kazi. Mimi namuona kalewa motisha ya Mama Samia, Hongera Mhe. Rais.
@myartchronicles8918
@myartchronicles8918 2 жыл бұрын
Huyu alikuaga hivi tangu miaka kadhaa nyuma akiwa pale kwenye mataa ya Sayansi na pale Bamaga hajaanza katika utawala huu.
@kassim1262
@kassim1262 Жыл бұрын
Mda sio mrefu snabadilishwa sekta kisa tu anafanya kazi kwaumakini hii ndio Tnznia.😂😂😂😂
@OliverRafael-hj3yb
@OliverRafael-hj3yb 8 ай бұрын
Kakaangu maokoto vile tu afu mbili mbili unavupata saa ngap jmn🥱anyway anaipenda Kaz yake
@Sodea-ej9qg
@Sodea-ej9qg 8 ай бұрын
Unajua bangi hukaa kwa kishwa kwa miaka 20😱
@allymarijani6869
@allymarijani6869 Жыл бұрын
HII NDIO KAZI NA WITO SIO UNAMPELEKA MTOTO KWENYE KAZI UNAYOITAKA MZAZI
@evalinemaimu8794
@evalinemaimu8794 Жыл бұрын
KWA kweli ananipenda kazi yake
@melkionpaulhaule
@melkionpaulhaule 2 жыл бұрын
Aje na mnazi mmoja apa kuna bajaji za kivukoni
@daudimichael7338
@daudimichael7338 3 жыл бұрын
Hapo ni mbezi beach tangibovu
@amanisikaponda9318
@amanisikaponda9318 3 жыл бұрын
kazi za kijeshi ngumu zinahitaji molali
@user-xs1fx4ls7h
@user-xs1fx4ls7h Жыл бұрын
Anda boleh memilih untuk salah satu daripada hadiah di atas
@janethpallangyo2633
@janethpallangyo2633 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@gracecathbert7918
@gracecathbert7918 2 жыл бұрын
Du
@MichaelOnesmo-fj6dl
@MichaelOnesmo-fj6dl 4 ай бұрын
Ma
@elizabert2591
@elizabert2591 Жыл бұрын
Uoni kama kalewa?
@juventjustinianaloyse6640
@juventjustinianaloyse6640 Жыл бұрын
Siku akigongwa ndo atajua
@ELIPHAZAMON-ex9zc
@ELIPHAZAMON-ex9zc Жыл бұрын
We katka vyot unamuombea mabaya tu kwel ndo mana wachaw mmejaaa kote Mt hajakufanya chochot Kwan umeombee ubya
@jacksonwilson5772
@jacksonwilson5772 Жыл бұрын
Wew Juvent, siku ya mtu ikifika imefika tu hata awe wapi. Kwahyo kugongwa au kutogongwa ni mipango ya MUNGU tu na ni siku yake ya kugongwa itakuw imefika. Tambua ata wew unaweza kugongwa tu ata kama wew sio traffic.
@masturasudi7394
@masturasudi7394 Жыл бұрын
Shindwa pepo chafu
@ELIPHAZAMON-ex9zc
@ELIPHAZAMON-ex9zc Жыл бұрын
@@masturasudi7394we umbwa kwel unawatakiia wenzako mabaya tu
@masturasudi7394
@masturasudi7394 Жыл бұрын
@@ELIPHAZAMON-ex9zc Sasa mbona unanitukana Mimi nimefanya Nini?
@evarimdecoration4256
@evarimdecoration4256 3 жыл бұрын
Huyu hana muda wa kumuandikia mtu....
@azizayassin3623
@azizayassin3623 2 жыл бұрын
😁😄😃😃😃😀
@hassaniidrissa5916
@hassaniidrissa5916 2 жыл бұрын
Dish limeyumba nini
@elizabert2591
@elizabert2591 Жыл бұрын
Ndio wanasababisha ajali alafu .wanakimbia mlevi uyo tunamjua bhanaa
@mosesnmousa5558
@mosesnmousa5558 2 жыл бұрын
Anakichaa😅
@elizabert2591
@elizabert2591 Жыл бұрын
Sio ukichaa katoka bar
@sarachambo224
@sarachambo224 2 жыл бұрын
hana jipya
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
Ww una nn sasa😏
@venelandakundi63
@venelandakundi63 3 жыл бұрын
HUYU trafik nampenda kwa sabsbu snapenda sana Kazi yake Hans muda wa longolongo Mungu ambariki sana wakubwa wake wsmkumbuke
Zanzibar Traffic Police
6:40
John Rees-Evans
Рет қаралды 194 М.
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 11 МЛН
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2,3 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 38 МЛН
Diamond 🤣😃😂😂 #BONGO DAR ES SALAAM
28:50
Azry Ally
Рет қаралды 18 М.
You've Never Seen This Part of Dar Es Salaam Tanzania
16:03
Explore with Bertin
Рет қаралды 6 М.
7 Best places to visit in Dar es salaam city Tanzania
5:27
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 11 МЛН