Рет қаралды 1,184
Kila kiumbe kinahitaji muda wa kupumzika, na kwaviumbe vingi aina ya wanyama kupumzika kwake kunahusisha kufumba macho yaani kulala usingizi mzuri, lakini kwa wanyama wengi kupata wakati na mahali pa kuweza pumzisha miili yao iliyo choka kunaweza kuwa vigumu kwa wanyama wa mwitu. Iwe ni kukaa mbali na wanyama wanao wawinda wanyama wengine, kupata joto katika miili yao au kujinyoosha na kuvuta pumzi kiasi.
Staajabika na namna wanyama hawa wanavyo Sinzia ama kulala.
@Wanyama, #Staajabu, #nianimaarifa #historia #Maarifa, #simulizi