Hamisa kuwa makini katumwa yule lokole usimuamini ❤
@maryamm7765Ай бұрын
Wana wivu tu hao watu wazima hovyo mbona awasemi kama Elizabeth na joket walimuaribia kwenye mausiano yake
@Maryc2GАй бұрын
Vibgine vitupite jamani 😅😅😅
@user-cw6jq7cv2k20 күн бұрын
Asante, jamani you are not god. Women judging another woman really. Hamisa you rock girl. Juma wewe whst happened sasa wewe na kaka yako mumechoka kumgandamiza mdada wa watu, alhamdulilah ❤❤
@sweet16honey75Ай бұрын
Mimi nashindwa kwani Hamisa yupo Na wazazi wangapi mbona mama Mobeto haya mkeri tafadhali Sisi Mama zetu ambao Ni Wanyamwezi tupo hatupendi mnayo ongea kuhusu Hamisa
@adelinabaitu3291Ай бұрын
Wenye ndoa na pete zao wanaachana kila kukicha sembuse hamisa
@elit3_furor517Ай бұрын
Ukiona ivo juma lokole kisha temwa kwa mama diamond na wasafi
@maryamm7765Ай бұрын
Naona juma aelewani na zuchu simuoni kupost ila daimond tu ndio ana mpost