Yaani hiyo kutafuna kama ng’ombe hadi wasanii kwenye interviews 😢
@AnatolliaDesderius28 күн бұрын
Page one nouma sana❤ stori mnazoshare time ya page one Millard , Vido na Frida zinanogesha kipindi 😍nawakubali sana
@Igauf324 күн бұрын
Add on that list; picking nose, then they want to shake hands.
@1234567893812928 күн бұрын
Hekima na maarifa ya Millard ni zaidi ya helimu ya university ya Dodoma na Dar
@AnatolliaDesderius28 күн бұрын
Millard mstaarab sana jamani🔥🔥🔥
@hawasaid528628 күн бұрын
yes ni UK binti aliwashitaki wazazi wake kwa kuweka picha zake tangu akiwa mtoto, mamlaka ilifungua kesi hiyo ili huyo binti aweze kupewa ruhusa ya kufutwa picha zake.. sio kila mtu anapenda kutangazwa. respect,...........
@GLORIARESPICIUS-xl4gr29 күн бұрын
I love you all ❣️
@realswahilicultural814028 күн бұрын
Hiloni somo kabisa ambalo linatakiwa lifundishwe mashuleni ..ulaya hapa Mimi ni mwalimu na kunasomo linaitwa formation..nimependa Sana Sana topic
@RynoFiree29 күн бұрын
Huwa nipo exited Sana na hii timu yenu Yan huwa nafurahia sana
@merrynancesimon156227 күн бұрын
Nipo Europe Umeongea true🔥🔥🔥🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪
@NginaBaruty28 күн бұрын
Watu tu wenyewe sio wastaarabu,mm nilibahatika kwenda Oman nikatembelea salala ,salala ni kama Arusha mji wakitalii,Yaani kwanza barabarani mnakuta vyoo na maji yapo Yani Kuna matanki yanajazwa maji na vyoo havilipiwi serekali ndo huwalipa wafanyakazi,mnapenda sehemu za uwazi Kwa mfano kama sehemu za shamba Yani panauwazi ,mnakula uvhafu unatia kwenye mifuko ,baadae gari linapita kutoa uchafu, nimejifunza kitu Wallah kutembea ni kuzuri
@lenoxbuhanza492628 күн бұрын
We acha masihara unazunguka na train gani/tram/kwa Euro €3 kwa miezi sita?no way Germany?no way
@merrynancesimon156227 күн бұрын
Ila ulaya pia wanatema mate ovyoo mnoo harafu hakuna mchanga Kama bongo bora kwetu bongo mtu akitema mate anafukia huku wachafu kwa mateee na makohozi ni nomaaaa
@Wigoz_puppy29 күн бұрын
FRIDA AMANI ANAFUJO SANA 😂 ANAMFOSI MILLARD ATOE POINT KWENY JAMBO AMBALO MILLARD ANALIKWEPAA 😂😂😂😂😂😂ET KW UPANDE WAKO UNAONAJE😂 Millard: Sikumbuki😂
@AnatolliaDesderius28 күн бұрын
Ila watu wanaotafuna chakula bila kufumba mdomo huwa wananikwaza mno😂 kama mfugo😢
@AnatolliaDesderius28 күн бұрын
Vido sasa unamfanyia interview Millard juu ya stori za Germany 😂sio kwa maswali hayo
@hanifaa148728 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@SalmaNinga29 күн бұрын
Yaan Kuna watu tu wapo rafu
@fatmafatu112829 күн бұрын
Mtoto wa nje ya ndoa haifai kumfanyia arobaini sababu nimtoto wazinaa hao hawajui kitu nahuyo nimtoto wa mwanamke hana baba sema tu shida kutojuwa dini na shelia zake
@RynoFiree29 күн бұрын
We dada wewe Mungu anakuona usipende kujihesabia haki ukadhani umekamilika Sana kuliko wengne
@salhawaziri166829 күн бұрын
Pia katika sunnah hakuna 40 , kuna hakika ambayo hufanywa siku 7 baada ya mtoto kuzaliwa na kukatwa nywele Na hakika unaweza fanya wakat mwingine unapopata uwezo Ila 40 ni uswahili Wala sio katika dini pia hakuna 40
@PendoPeter-rr4jk28 күн бұрын
Acha makasiriko ,hata ww cyo mkamilifu, kasome bibulia vzr,tukio ndo dhambi lakin mtt ni baraka mungu ndo mtowaji shetani hajawai kuumba
@mustafamsati959928 күн бұрын
Nikweli ni mambo ya mjini tu pia zinaa ni dhambi kwa sis waialam tu wasio kua waislam ukikosoa au kulaimu juu kuihalalisha zinaa bas wanakushambulia wao wanakaaga tu wanaish na wachumba myaka kibao et wanawaita mume au mke yan uzungu mwingi
@fatmafatu112828 күн бұрын
@@salhawaziri1668 kweli kabsaa
@GLORIARESPICIUS-xl4gr29 күн бұрын
I love you all ❣️
@1234567893812928 күн бұрын
Hekima na maarifa ya Millard ni zaidi ya helimu ya university ya Dodoma na Dar