AMPLIFAYA: MILLARD NA MKASA WA ALIYETUPA GANDA LA NDIZI, JAIVAH KWENYE AROBAINI YA MTOTO WA MARIOO

  Рет қаралды 13,430

Millard Ayo

Millard Ayo

Ай бұрын

Пікірлер: 37
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 28 күн бұрын
Millard you have postive mind i like you bro
@user-vq3vj4ih6x
@user-vq3vj4ih6x 28 күн бұрын
@tjn tech ni bora sana kwenye technology
@ChenchiKing
@ChenchiKing 29 күн бұрын
Millard Ayo Uwaga Nawakubali Xana Alafu Amplifaya Ndo Kipind Changu Pendwa
@sophieburcham3399
@sophieburcham3399 29 күн бұрын
Yaani hiyo kutafuna kama ng’ombe hadi wasanii kwenye interviews 😢
@AnatolliaDesderius
@AnatolliaDesderius 28 күн бұрын
Page one nouma sana❤ stori mnazoshare time ya page one Millard , Vido na Frida zinanogesha kipindi 😍nawakubali sana
@Igauf3
@Igauf3 24 күн бұрын
Add on that list; picking nose, then they want to shake hands.
@12345678938129
@12345678938129 28 күн бұрын
Hekima na maarifa ya Millard ni zaidi ya helimu ya university ya Dodoma na Dar
@AnatolliaDesderius
@AnatolliaDesderius 28 күн бұрын
Millard mstaarab sana jamani🔥🔥🔥
@hawasaid5286
@hawasaid5286 28 күн бұрын
yes ni UK binti aliwashitaki wazazi wake kwa kuweka picha zake tangu akiwa mtoto, mamlaka ilifungua kesi hiyo ili huyo binti aweze kupewa ruhusa ya kufutwa picha zake.. sio kila mtu anapenda kutangazwa. respect,...........
@GLORIARESPICIUS-xl4gr
@GLORIARESPICIUS-xl4gr 29 күн бұрын
I love you all ❣️
@realswahilicultural8140
@realswahilicultural8140 28 күн бұрын
Hiloni somo kabisa ambalo linatakiwa lifundishwe mashuleni ..ulaya hapa Mimi ni mwalimu na kunasomo linaitwa formation..nimependa Sana Sana topic
@RynoFiree
@RynoFiree 29 күн бұрын
Huwa nipo exited Sana na hii timu yenu Yan huwa nafurahia sana
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 27 күн бұрын
Nipo Europe Umeongea true🔥🔥🔥🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪
@NginaBaruty
@NginaBaruty 28 күн бұрын
Watu tu wenyewe sio wastaarabu,mm nilibahatika kwenda Oman nikatembelea salala ,salala ni kama Arusha mji wakitalii,Yaani kwanza barabarani mnakuta vyoo na maji yapo Yani Kuna matanki yanajazwa maji na vyoo havilipiwi serekali ndo huwalipa wafanyakazi,mnapenda sehemu za uwazi Kwa mfano kama sehemu za shamba Yani panauwazi ,mnakula uvhafu unatia kwenye mifuko ,baadae gari linapita kutoa uchafu, nimejifunza kitu Wallah kutembea ni kuzuri
@lenoxbuhanza4926
@lenoxbuhanza4926 28 күн бұрын
We acha masihara unazunguka na train gani/tram/kwa Euro €3 kwa miezi sita?no way Germany?no way
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 27 күн бұрын
Ila ulaya pia wanatema mate ovyoo mnoo harafu hakuna mchanga Kama bongo bora kwetu bongo mtu akitema mate anafukia huku wachafu kwa mateee na makohozi ni nomaaaa
@Wigoz_puppy
@Wigoz_puppy 29 күн бұрын
FRIDA AMANI ANAFUJO SANA 😂 ANAMFOSI MILLARD ATOE POINT KWENY JAMBO AMBALO MILLARD ANALIKWEPAA 😂😂😂😂😂😂ET KW UPANDE WAKO UNAONAJE😂 Millard: Sikumbuki😂
@AnatolliaDesderius
@AnatolliaDesderius 28 күн бұрын
Ila watu wanaotafuna chakula bila kufumba mdomo huwa wananikwaza mno😂 kama mfugo😢
@AnatolliaDesderius
@AnatolliaDesderius 28 күн бұрын
Vido sasa unamfanyia interview Millard juu ya stori za Germany 😂sio kwa maswali hayo
@hanifaa1487
@hanifaa1487 28 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@SalmaNinga
@SalmaNinga 29 күн бұрын
Yaan Kuna watu tu wapo rafu
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 29 күн бұрын
Mtoto wa nje ya ndoa haifai kumfanyia arobaini sababu nimtoto wazinaa hao hawajui kitu nahuyo nimtoto wa mwanamke hana baba sema tu shida kutojuwa dini na shelia zake
@RynoFiree
@RynoFiree 29 күн бұрын
We dada wewe Mungu anakuona usipende kujihesabia haki ukadhani umekamilika Sana kuliko wengne
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 29 күн бұрын
Pia katika sunnah hakuna 40 , kuna hakika ambayo hufanywa siku 7 baada ya mtoto kuzaliwa na kukatwa nywele Na hakika unaweza fanya wakat mwingine unapopata uwezo Ila 40 ni uswahili Wala sio katika dini pia hakuna 40
@PendoPeter-rr4jk
@PendoPeter-rr4jk 28 күн бұрын
Acha makasiriko ,hata ww cyo mkamilifu, kasome bibulia vzr,tukio ndo dhambi lakin mtt ni baraka mungu ndo mtowaji shetani hajawai kuumba
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 28 күн бұрын
Nikweli ni mambo ya mjini tu pia zinaa ni dhambi kwa sis waialam tu wasio kua waislam ukikosoa au kulaimu juu kuihalalisha zinaa bas wanakushambulia wao wanakaaga tu wanaish na wachumba myaka kibao et wanawaita mume au mke yan uzungu mwingi
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 28 күн бұрын
@@salhawaziri1668 kweli kabsaa
@GLORIARESPICIUS-xl4gr
@GLORIARESPICIUS-xl4gr 29 күн бұрын
I love you all ❣️
@12345678938129
@12345678938129 28 күн бұрын
Hekima na maarifa ya Millard ni zaidi ya helimu ya university ya Dodoma na Dar
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 4,5 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 18 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 21 МЛН
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
#EXCLUSIVE: KWA MARA YA KWANZA ROMA AFUNGUKA YOTE KUHUSU RC MAKONDA
53:33
OUR LOVE STORY W/ BSS S13 WINNER- ASAGWILE (WA NYIMBO YA NDOA) AND JACKLINE | EP 07
1:00:34
Studio Session KOMANDO,G nako ft Diamond Platnumz
25:35
Diamond Platnumz
Рет қаралды 433 М.
HOUSE GIRL  EP 40 || love story💞💕
21:06
BUSATI TV
Рет қаралды 15 М.
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 4,5 МЛН