Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii: / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti
Пікірлер: 91
@matukimerchant51709 ай бұрын
DJ Sma Mungu akubariki Sana Sana. You are doing a noble work for Africa. You are the true son of Africa. Ubuntu.
@zuberisalum20049 ай бұрын
Namuona magufur kwenye kichwa cha mgen wetu kutoka Ethiopia big up DJ smaaa
@jacqueisaac81559 ай бұрын
Maguful alikuwa waziri katika nyakati tofaut alikuwa na nafasi ya kufanya maajabu pia hasa wizara ya ujenzi 😌
@KhadijaAbdallah-kn3ii9 ай бұрын
Halafu mwamba kma hujijuwi watu tunanakukubali sana nimewasikia huko wakikusifia yaani mmetajwa wawili tu ndo ambao mpo kwa kuchambuwa vizur piga kazi tunakuelewe sanaa
@djsma2559 ай бұрын
Wapi huko?
@allahisone63869 ай бұрын
ALLAH AKUPE AFYA NJEMA
@markodaniel26629 ай бұрын
Nasisi uku Canada tunamkubali sana jamaa, kwakweli nimchambuzi mzuri sana.
@Supershopdubai-ck8td9 ай бұрын
Kbs jamaana weza san
@KhadijaAbdallah-kn3ii9 ай бұрын
@@djsma255 😆😆hakuna Jina huko walosoma Quba tumeelewana
@kishoshamisungwi9 ай бұрын
Barikiwa bro: hata nilikuwa naamini Africa nimasikini, kumbenikinye chake kabisa Africa Africa nitajiri sana, Hata JACK MA akiwa south africa alisema kwanini alichelewa kuja Africa najilaumu, akasema wafrica niwajasiliamari namba moja duniani maana tunakilakitu, jamani finance intelligence ni muhimu, mimi kuanzia sasa siamini kama mimi nimasikini hata familia yangu na watoto wangu ninawambia kilasiku sisi matajili
@shantalismailhassan98789 ай бұрын
Yaani huyu jamaa ananikumbushia Magufuli. God bless you.
@jacqueisaac81559 ай бұрын
Maguful alikuwa waziri katika nyakati tofaut alikuwa na nafasi ya kufanya maajabu pia hasa wizara ya ujenzi 😌
@DafiMohamed-dz8xk9 ай бұрын
Hiyo mimi najua siku nyingi kwa sababu nchi za magharibi zinategemea vitu vingi kutoka kwetu hata magufuli alisema Africa sio maskini hivyo viongozi wetu kwenye majukwa ya siasa ndio kauli zao kukatisha wananchi tamaa Africa ni tajiri kuliko mabara yote
@mwanjumajongette81879 ай бұрын
Leo umenikosha dj kwa simlizi nzuri sana yakujenga watoto wetu wabadaye aki bravo
@IsaacParuz9 ай бұрын
Utajiri au umasikini ni Inshu ya mindset.. Tunapaswa kujikubali kwanza
@msafirisaimoni95619 ай бұрын
Bro napata Hisia za kuemdlea kuwa mwafrika kupitia madarasa yako
@djsma2559 ай бұрын
🙏
@Wildwonders0009 ай бұрын
lets give this man his flowers
@karimurashidi30959 ай бұрын
Hapo kaka Sina Cha kuzungumza umetisha sana zaidi ya dj sma big up kwako kiongoz
@superangeltv46159 ай бұрын
Dj sma tupe connection na iyo kijana
@stevewanga9579 ай бұрын
mazee huyo jamaa kichwa...much love from 🇧🇭🇧🇭
@shenamtukufu12249 ай бұрын
Asante sana braza,nakupata nikiwa boda ya kasumulu 🇲🇼 na Tanzania 🇹🇿.
@rajdaboy12 күн бұрын
from Nairobi Kenya tu pamoja 🙌🙌🔥
@ramiahassani56039 ай бұрын
Mmetisha Sana! Na hapo kwenye kutumia pesa ambazo hana kwa kununua vitu ambavyo havimfai ndio kamaliza kabisa!
@djsma2559 ай бұрын
💯
@fredrickkagwa88539 ай бұрын
Marehemu Magufuri alishakataa kwamba sisi ni maskini wazungu wanatupumbaza tu
@amaradiombera21989 ай бұрын
Asante sana mkuu
@kasangagregory57479 ай бұрын
Wametumia lugha nyepesi sana. Nimeelewa Sana.
@kalengashoppingcenter11089 ай бұрын
🙏 Asante
@edsonjoseph53839 ай бұрын
Jamaaa Huyo kutoka Ethiopia n kichwa na kuwa vitu ametufungua macho
@josephmwavangila16339 ай бұрын
Sure 👏 👏
@dn.n49839 ай бұрын
Ni kweli kabisa mikopo hiyo itakiste mikopo
@ibrahimnaftar90379 ай бұрын
Nakubal san unavochambua maad dj
@IsaacParuz9 ай бұрын
Asante Sana chief zidi kubarikiwa
@NishimweJohn9 ай бұрын
Asante kwa kutufungua hakili ❤
@NishimweJohn9 ай бұрын
Dj sm
@muzmurtarik32779 ай бұрын
kila nikikusikiliza hua napata kitu kipya nda kichwa changu Allah akupe maisha marefu yenye kheri na ww
@djsma2559 ай бұрын
Amin kwa sote
@rogerslwitiko39159 ай бұрын
Pia somo la Uzalendo ni muhimu kulianzisha mashuleni kuanzia ngazi ya Chekechea mpk Vyuo Vikuu mfano Russia Watu wao wanaipenda nchi yao kulingana na Uzalendo uliopandikizwa toka Bolshevik revolution ya October 1917 chini ya Muungano wa Watu watatu Vladimir Lenin,Leon Trotsky na Joseph Stalin
@djsma2559 ай бұрын
Ni kweli ndo mana Dr akasisituzia elimu...kwenye elimu lazma tufundishwe historia sahihi na uzalendo...
@rogerslwitiko39159 ай бұрын
@@djsma255 Ingawa Inasemekana vitabu na baadhi ya nyenzo muhimu za kujifunzia zilichomwa moto kipindi Cha Biashara ya Utumwa ili kuruin African History ila tunatakiwa kupull up our socks na kujikuna tunapoweza ili Vizazi vya baadae viendeleze tulipoishia pia nimependa ulivyoongelea historia ya China ya Great Leap Forward (GLF) Sera ya Rais Mao Ze Dong
@josephmkindi46339 ай бұрын
Wakwanza leo naombeni like,tuliommis DJ SMAA🎉😊😊
@comics34379 ай бұрын
Huyu jamaa ametifungua macho aiseee
@nashonpharessnashon17749 ай бұрын
Nilimsikia mbunge wa kawe (gwajima) akizungumza kuhusu kuweka agenda ambayo kila rais atakayeingia madarakan aifate hiyo,
@Fgldesigns9 ай бұрын
Aliongea kitu cha muhimu ila ndo wameshasahau sahivi
@Frankomazua9 ай бұрын
Nimejifunza pakubwa
@jumaamsuya58 ай бұрын
Kiukweli nami nimejifunza kitu dj sm uko vizuri tuelimishe bwana
@Supershopdubai-ck8td9 ай бұрын
Iyimakala imenijenga san kabisa ubalikiwe san sma wewe nino1ishallah from 🇧🇮👊
Huyu Rais wa afrika kama makufuli janani kweni open your Eyes wa africa
@Richzones9 ай бұрын
Nakubal san we mtu kitu kinachofanya nikukubal mpak mwisho wa dunia ni ushahidi wa kila nachokiongea maan binfs watu wanao bwabwaja sjawah kuwaelewa.
@Dieumerci-ot3ug8 ай бұрын
Kaka nafatilia sana habari zako kwakina Naomba Akunti yako ya Facebook nizungumze nawewe Niko. DRC 🇨🇩
@menasjohn68379 ай бұрын
Hakika nimefunguka sana😊
@rogerslwitiko39159 ай бұрын
Dj SMA chukua maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@abdulrahmanhassan59989 ай бұрын
hata magufuli alikuwa akituambia tanzania sio masikini, hata ukiangalia takwim zote duniani mbaya huwa wazungu wanazisukumizia afrika , utasikia watu wasio kuwa na furaha wapo afrika, watu masikini afrika, wasio na ilimu, wagonjwa wa akili , yaani tafiti zote mbaya afrika ndio inaongoza kwa mujibu wao alafu tafiti zote nzuri zipo kwao , ukisikia vita vya kisaikolojia ndio hivi, wao ndio wanapanga hella gani iwe juu na dhamani na hella ya taifa gani ziwe chini, etii hella zote za afrika hazina dhamani lakini hella zote za ulaya zinadhamani afrika kama sio uwongo ni nini,wazungu wazungukeni.
@J_Pabloescobar08069 ай бұрын
We akili mingi sana ndugu angu unaangalia mbali sanaaa
@abdulrahmanhassan59989 ай бұрын
@@J_Pabloescobar0806 shukran Sana
@Fgldesigns9 ай бұрын
Kabisa kila kibaya kwetu wakati watu waafrika in wachache kuliko China Na India lakini vibaya kwetu vizuri vyote Ulaya sijui wanatuchukuliaje hawa watu
@ismailimatola37279 ай бұрын
Uyu jamaa kwanza, mimi binafsi naweza nikasema au niseme atujawai kufikiwa na mgeni mwenye samani kubwa Tanzania uyu ayo anayo yasema mengi kichwa changu yanaamini ayo na ndio maana Tanzania tulipokampata rais dkt Magufuli Mimi binafsi nilikuwa mfuasi mkubwa sana kwa sababu alichokua anakifanya kilikua kinanipendeza
@hermanjustine63698 ай бұрын
Tunakusubiri hapo kwenye historia ya China
@fidelfidel-jz4iw9 ай бұрын
Yani ukiangalia Africa nchi zetu zinatia aibu mnoo kuna nchi hazina kitu hata kupata mchanga wa kujenga wanasubili msimu wa mvua mfano Bulgaria wanasubili mvua inyeshe lakini angalia miji yao mizuri sanaa lakini sisi kila kitu kipo tena rahisi kupata angalia miji yetu sasa.
@abdulikimangaboy82659 ай бұрын
Kwaiy dj SMA inabidi utupe nn maan ya umasikini maan wt wng hatujui Abdul ktk znz
@djsma2559 ай бұрын
Sawa inshalah
@khadijazungu86278 ай бұрын
Kuna mtu niliwahi kubishana nae inst ujinga huu nchi fulani tajiri nyengine masikini 😂😂😂 natamani aje hapa asikilize
@AbuuBakari-iv7kn9 ай бұрын
Asalamaalekum khakika mim c,mpenz w coment kW mitandao n miongon mea viumbe hai wanaokusikiliz n nnakuelwa kadri y uwezwng ALLAH akuzidishie kheqma zenye faida Dunian n Akhera .pweynt yang kuu kuhusu neno maskin kW Africa hususa c.c wabongo utaamn Anachotamka kiongz hp n kweli, Kulikuja janga la corona Taadhari y wabongo hususa wenyekipato cha Kat n cha juu niliwan
@AbuuBakari-iv7kn9 ай бұрын
Niliwaona wakiingia madukani n kkusanya Michele mftar ngano .....!! swali kW c,c language.....!hkun zide y kumtemea ALLAH Vila kuchoka kiukwl kk unakaz ngum cn kutuelmisha maana shulen tumeenda ila hatujasoma ukiulila mengne kwel /sikwel pambana kk ALLAH atakulpa .
@AbuuBakari-iv7kn9 ай бұрын
Niwierdhi kW kiubganishi ujumbe kukosea kwn hii n 9t niko n uchovu mix usingz .maan nkutapo klip y broo kakaangu huyu sipend kupoteza Darsah ama kipnd kuna maisha najifunza kupitia shauri zke ALLAH amempa kipaj n akamuezesha atufikishie tusionacho kW mwenyekujifunz ataifadhi n kupt fida ila mwenyekujifanya ajua atamalz bndo n kuptz mda kujifnza kW mtu kipji n subrah ichukue n fax kwn plan (A) binadam huzaliwa nayo ila plan (B) ipo kama Quraan ukiitaji ikuongze kwkutie kiklicho andikwa utaweza kuona faida n c,hasara .ndo hivyohvy plan B, kwn kW upeo wng mdogo plan B,nikamat y kichwa yenye ulinz mkubwa cn haishaur kilaki2 ila kW 7bu maalum n hupewa nafasindogo CN ktk akili y binadam Ila haijawykosea n hataikikosea n %10 au%5 n hukupa matumain utaweza ila inaitaji subrah y kimwil n kiakil c,vinginevyo.
@King_Of_Everything9 ай бұрын
👊👍✌️。
@msangodiesel31329 ай бұрын
❤ djsma nakumbuka rais Alie pita alisema akitoka madarakani anataka rais anae kuja awe na miaka 45 sikumwelewa Leo nimekuelewa ulivyo zungumzia kuwekeza kwenye vijana
@djsma2559 ай бұрын
Vijana ndio watako ikomboa Africa
@msangodiesel31329 ай бұрын
@@djsma255 ni kweli Africa ukiongea ukweli wanakupoteza badala ya kupigania nchi zetu tunakuwa mamluki tunajizarau sisi kushobokea utamaduni usio na faida kwetu Kama sisi tukienda nje watajuwaje ni watanzania mtihani
@francismichael12585 ай бұрын
Fuse kitunguu imetoka bado?
@cfacomtazfinanceafricaltd18249 ай бұрын
Mpendwa, Assalam Alaikum, Mimi nakualika tuonane ili pia uwajue wafuasi wako waliowaumini wa uhimaya huru wa kifikra ndiyo rasilimali awali iliyofifishwa na mifumo pandikizwa ya ukoloni mamboleo iliyotamalaki mitazamo ya kada yote ya wasomi Afrika. Tukutane tujuane.
@noahlameck15649 ай бұрын
Mwamba komaa sana unakubali kinoma sana nipo kwenye haisi chuga nakusikiliza wazee wanakukubali sana takutumia picha
@djsma2559 ай бұрын
🙏🙏🙏
@J_Pabloescobar08069 ай бұрын
@dj sma wengine tuko njee ya nchi tunahitaji na namba yako ya wtsup pia fanya kutusaidia
@djsma2559 ай бұрын
Ndio hio hapo iliopo mwisho wa video
@Kefafundi59 ай бұрын
Yaonekana ushanunuliwa tayari na upande wa pili, utajiri gani tulio nao, ulikua watupa amasa kua tuzinduke twanyonywa saai eti wasema kua utajiri ni malazi na kuvua 😢😢
@fahadfaraj64749 ай бұрын
Ki vp anunuliwe? Africa ni maskini? Au kwako umaskini na utajiri ni nini?
@djsma2559 ай бұрын
😂😂😂 kwani kunasehem nimekataza tusizinduke, hi interview niyakutuzindua, sema uelewa wako mdogo, hujaelewa mantic ya interview