Kuna Namna Mungu anakuandaa mkubwa sana mpka natetemeka Yaani MUNGU anazungumza ndani ya kinywa chako mpka mwili unkufa ganzi . Mungu akubariki umejibu swali nililokuwa najiuliza kila leo weeee BABA MUNGU ANAJIBU 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@estermatofali5198Ай бұрын
Ombi langu kwa Mungu akupe Maisha marefu tu Imani yangu imekua kutokana na mahubiri yako
@christophermalilah71102 жыл бұрын
Hakika ubabe wa Mungu Ni mkuu Sana Amina
@Madam_Tinna2 жыл бұрын
Amen Pastor!! MUNGU akubariki sana kwa Mafundisho haya!! Mbarikiwe pia Mahubiri TV kwa kurusha Mafundisho na mahubiri kila wakati, hakika na sisi tunabarikiwa!! KRISTO awatunze sikuzote! Amen...
@aimeebusime58492 жыл бұрын
Nashukuru sana mtu mishi wa Mungu nimesaidiwa sana namahubiri.sababu nimekutana changa moto nyingi hata nachanganyikiwa.unikumbuke unapo omba.thank u.
@leontinebinlydi94596 ай бұрын
Amina kubwa mtumishi Nimebarikiwa👏
@user-ud3zw9pu3e8 ай бұрын
Amina pasta nilikuw nimekata tamaa kupitia mafundisho Yako nimepata nguv ya kusimama tena
@rosemnzava46962 жыл бұрын
Asante pastor kwa hubiri hili zuri, nimejifunza kitu
@vailethkinabo79612 жыл бұрын
Barikiwa baba yangu wa Kirohoo namwomba Mungu anijaze rohoo ya kumtafuta na kusikia neno lake na kulielewa na kumjua zaidi mwaka huu na milee
@elianmwanga7427 Жыл бұрын
Asante Yesu kwa jinsi unavyomtumia mtumishi wako.Naomba uendelee kumuinua kwa utukufu wako
@LoiseMuthoni-vl2yx3 ай бұрын
Mungu akushikilie kwa mkono wake wa kuume
@bigmandubesamuelndetsa2682 жыл бұрын
Mungu atukuzwe na Fata mahubiri kwa mbali ili na jisikiya niko karibu na mchungaji, Mungu ashukuriwe kutupatiya watu ambao wana, tulisha kiroho. Mungu aibariki inchi ya 🇹🇿 imani yangu inaongezeka sikukwasiku nikifata mahubiri.
@annakattoa75022 жыл бұрын
Yaani wewe ntumishi wa Mungu sijui cha kusemaaa, ila wanaoabudu hapo wanafaidi sanaa yaani wanashibaa kirohoo mpka naona wivu. Silaha nzito ni kumjua Mungu katika neno na namna anavyotenda kazi . Uwiii YESU AKULINDE OOOH HALELUYA WEWE NI MWALIMU KAMA YESU
@duncankyengo20162 жыл бұрын
Mungu apewe sifa.Mahubiri yenye mafunzo na baraka mzomzo
@NURUYAMAISHATV2 жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana barikiwa
@adamkisapi93816 ай бұрын
Asante sana Yesu kwa kunijulisha kuwa mwalimu wangu katika kujua na kulitumia neno lako katika safari ya maisha yangu kiroho.
@thabitawanka9636 ай бұрын
Amina Baba pr barikiwa
@user-kr3nu8ju5i4 ай бұрын
BWANA etushindiye yoote maishan kwa utukuf wa jina lake Amina.
@lidyapendomollel1439 Жыл бұрын
Nakuelewa sana Mtumishi.Unanisaidia sana sana Kiroho.Barikiwa Mtoto WA BABA.
@sinaisatson21392 жыл бұрын
Mungu akuinue mtumish kwa ajili ya utukufu wake.
@margrethkaserikali14582 жыл бұрын
Nabarikiwa sana
@florencenekesa82432 жыл бұрын
Amen and amen 🙏🙏 barikiwa sana mchungaji,nabarikiwa nikiwa Saudi Arabia 🙏🙏🙏
@kimorasalawa31202 жыл бұрын
Bwana atukuzwe wimbo huo nimeupenda naomba mnitumie niwe nao umenibariki saana
@annnyaguthii94342 жыл бұрын
Deep insight.i love his preaching 🇰🇪
@devothasimbi10552 жыл бұрын
Nimebarikiwa somo ni zuri sana vita ni y’a Bwana.
@marykimani28952 жыл бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi wa mungu nmebarikiwa sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@RahimaShujaa7 ай бұрын
Amen barikiwa mtumishi umenisaidia
@felikitakilonzo67552 жыл бұрын
Glory to God..🙏
@bigmandubesamuelndetsa2682 жыл бұрын
Mungu akuongezee Tena nguvu zake, Asante pastor 🙌 🙏
@montteyfloki39532 жыл бұрын
Hapo kwenye ku Google huyo ni mimi kabisa hata niumwe kidole😂😂😂
@rossarutasha17892 жыл бұрын
Barikiwa mchungaji kwa hubiri zuri Mungu tujaze hekima
@ellymaz21872 жыл бұрын
Huu ujumbe umeandaliwa kwa ajili yangu. Asante Mungu