Pastor ubarikiwe zaid Kwa ujumbe huu mzuri wenye kutia nguvu,, naimani kupitia neno hili nimewekwa huru. AMINA
@InnocentDominoes-nc3kz2 сағат бұрын
17:47
@InnocentDominoes-nc3kz2 сағат бұрын
Mungu akubariki sana uishi miaka mingi.Amina
@fgdt64532 сағат бұрын
Amina
@shaniachanceline27513 сағат бұрын
Amen!❤❤❤❤❤❤❤
@user-kq9je6zf3v3 сағат бұрын
Kuna mtu kwa family muzumbufu nikweli kabisa past mungu akubariki sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana Amen 🙏
@user-ou4un3gs9d3 сағат бұрын
Amen nime barikiwa Asante Yesu
@furahakitumainiJoséphine3 сағат бұрын
Muombee mama yangu anamatatizo
@vinniebaraka1324 сағат бұрын
Amen, barikiwa sana mtumishi
@purity1344 сағат бұрын
Amen
@emanuelymittango37415 сағат бұрын
Amina kubwa kwako mchungaji
@olphanyamweya31546 сағат бұрын
Hakika nimembalikiwa nikiwa Saudi, nilikua nimeumia kiroho asantii MUCHUNGANJI MUNGU azidi kukutumia zaidi ufikie Kila mtu🙏🙏🙏
@albertgangchae6 сағат бұрын
Pastor ubarikiwe sana. Mahali fulani nilimwambia rafiki yangu inawezekana waafrika wengi ni washirikina ndiyo maana wanapenda sana miujiza na vitu vya kupewa ili wapone. Hili nafikiri linaweza kuwa serious. Mungu azidi kukutumia kufundisha neno lake
@albertgangchae6 сағат бұрын
Pastor ubarikiwe sana. Mahali fulani nilimwambia rafiki yangu inawezekana waafrika wengi ni washirikina ndiyo maana wanapenda sana miujiza na vitu vya kupewa ili wapone. Hili nafikiri linaweza kuwa serious. Mungu azidi kukutumia kufundisha neno lake
@user-hc4jv8uz5b6 сағат бұрын
Umenigusa
@RahelRaulenskahilo7 сағат бұрын
Mtumishi niombee roho yaunzinzi iniachilie
@alicemwaka37627 сағат бұрын
Emeeen Mungu wambiguno Akubariki sana
@alicemwaka37628 сағат бұрын
Napenda mafundisho yako Mungu akubariki sana
@Joycependopendo-dv2tb8 сағат бұрын
Amen bwana asifiwe namshkuru niko salama nabarikiwa na mafundisho haya mungu akubariki pastor
@sophiaselemani24748 сағат бұрын
Hii live au yazaman jana tu katoka kinyerezi
@josephrubanda2828 сағат бұрын
Hata mm sielew
@josephrubanda2828 сағат бұрын
Ni yazaman
@MaryanneAuma-l4u8 сағат бұрын
Allan kutoka Kenya..nabarikiwa na. Mahubiri ya mchungaji kwa Mungu kumtumia ili kuleta ujumbe,,kila nikiwa na ligumu nikiskiza mahubiri ya mchungaji exactly analenga kitu napitia..na nmebarikiwa sana
@ModestiPaulo5 сағат бұрын
Amina
@asooraaasooraa48169 сағат бұрын
Mungu akubariki zaidi pastor Aseee hili somo nimelitafuta sana siku nilikutana na video fupi ya somo Aseee nikaipost yaani ilibariki wengii sana hata ambao ni wa imani ya....) walihitaji Mwendelezo sasa nitawapatoa wote❤❤❤
@ObadiaMangera14 сағат бұрын
Umenipa ujasiri wa kusonga mbele! MUNGU qkuinue zaidi.
@Brayanikerisa15 сағат бұрын
Tuliopo mbali tunanyaje mtumiahi
@Brayanikerisa16 сағат бұрын
Mungu awabaliki sana
@SabatoSteven18 сағат бұрын
Ubarikuwe sana
@leontinebinlydi945918 сағат бұрын
Jina La Bwana Wetu Yesu kristo limidiwe Milele amina.🙏 Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 🙏
@RebeccaMulako23 сағат бұрын
Ameen mtumishi wa Mungu naomba maombi ya amani na kufunguliwa katika ndoa yangu
@JoachimMkundaКүн бұрын
Amen, Barikiwa sana
@MagdalenaGabriel-y5sКүн бұрын
Nami nahitaji yesu anitakase amina
@deusntobi6682Күн бұрын
Amina
@esthernkwabi1675Күн бұрын
Nimebarikiwa kwa somo hili.MUNGU akutie nguvu
@MagdalenaGabriel-y5sКүн бұрын
😂nimekumbuka mwanangu alikuwa akinikosea nikimchapa analia akimaliza anakuja kunikumbatia afu ananiambia nakupenda mama na mwambia nakupenda pia mwanangu alafu namshangaa alikuwa namiaka 3 mpaka miaka 5kila nikimwazibu anapokosea akimaliza hasira anazidisha mapenz nami namliwaza nilikuwa na injoi sema Nina uchungu ckonao jaribu kwasasa
@FloraMmbaga-pr8erКүн бұрын
Nambarikkiwa sana na mahubiri yako mchungaji
@FloraMmbaga-pr8erКүн бұрын
Mungu ni mwema.
@RoseOngechiКүн бұрын
Amen
@MwanaUfalmeКүн бұрын
Amen amen amen barikiwa sana Na utukufu ni kwa Mungu alie Hai
@AidaChamaa-wi3hgКүн бұрын
Mungu niajalie nipate mume wangu sitaki wa mtu😢😢
@GeraldMsagara-r5fКүн бұрын
Amen
@BeatriceMathew-qy5lwКүн бұрын
Moyo wangu unafarijika sana ninavosikiliza mahubiri haya
@lucykihara46382 күн бұрын
Shalom nimebarikiwa sana kwa maombi haya.najua kuna mabadiliko kwa familia yetu.amina
@ruthnyakungu26032 күн бұрын
Amen
@faustermtavangu82122 күн бұрын
Amina Leo nimeuona upendo wa Mungu kuna jambo nilimwomba Mungu amenijibu sifa na utukufu ni Yesu.
@user-mt5dv4gz2f2 күн бұрын
Mungu akubaliki Mtumishi wa Baba.
@SuzanShayo2 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI BABA UMENIPA MAJIBU YA JARIBU NINQLOPITIA NIMARAYAKWANZA KUKUSIKILIZA
@agreymhapa60452 күн бұрын
Amina🙏🙏
@user-zm8cu6ow2q2 күн бұрын
Asante sana mutumishi wacha Mungu azidi kukubariki mafunzo yàko yamenisaidia sana
@makabwakabichi23212 күн бұрын
Amina nazidi kubarkiwa na kufunguliwa na nafeel aman rohoni mwangu🙏🙏
@MARIE-iy4bx2 күн бұрын
🤲🙏,Naamini kupitia mahubiri haya wanangu watakombolewa ...
@julitapedro5932 күн бұрын
Mchungaji nimebarikiwa Sana mm ni mkandarasi niliomba kazi na sinapesa yoyote nikamkabidhi mungu na nikawa nafatilia masomo yako kilasiku nikaongea na Mungu ni miukiza ya hajabu natamani nitoe hushuuda