Рет қаралды 237
Kwaya ya Mt John Bosco kutoka Kigango cha Mkwajuni, Parokia ya Mwambani, Jimbo Kuu la Mbeya inayo furaha kubwa kuwakaribisha watu wote katika TAMASHA LA TUMWIMBIE MUNGU likiwa linaenda kufanyika kwa mara kwanza na hivyo kupewa jina la SEASON 1. Huu ni mwanzo wa mambo makubwa yanayotarajiwa kutoka kwa Kwaya yetu.
Kwaya mbali mbali zitakuwepo kunogesha tamasha letu likifanyika tarehe 05.11.2023 katika VIWANJA VYA KANISA KATOLIKI KIGANGO CHA MKWAJUNI kuanzia saa saba mchana.