Tanzania Tanga mzuri Sana kweli nakupenda sana kweli 💖💕💖💕
@mwantabubadru62019 ай бұрын
Masha Allah Tanga
@fatmasalim82937 ай бұрын
Mashallah jamani tanga raha ❤❤❤❤
@user-gu1lg2zr8sАй бұрын
Kweli nimeolewa tanga halafu nawapenda nyote pamoja na mbuzi na kuku zote za tanga... Mapishi ndio kwao halafu kaka yenyu anajua kulea. Nawapa hongera. Mimi mzaliwa wa Kenya.. Ila sasa mimi chai ya nazi kijacho wenyu kaikataa 😂❤