No video

LEMA AMPA TAARIFA MAKONDA WAZIWAZI, Arusha Tutaingia Barabarani baada ya mkutano wa kesho

  Рет қаралды 19,487

Taifa Digital

Taifa Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 116
@mkuryatv4077
@mkuryatv4077 Ай бұрын
Ongea mwamba mko vizuri sana
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 Ай бұрын
Makonda ndo mtu wa kazi...Mi Namkubali Sana...Maneno Mengi Atutaki..mshirikiane kujenga Nchi...Vyama sio Uhadui..kaeni pamoja mjenge Nchi.
@ellynkya7216
@ellynkya7216 Ай бұрын
Mungu akulinde
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k Ай бұрын
Tumwelewe Lema
@KhalidAlly-je8ky
@KhalidAlly-je8ky Ай бұрын
Nyie watu mkimuacha lema mmeumbuka
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 Ай бұрын
Hapo hakuna chochote kwani naye anasaka tonge
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Ай бұрын
​@@yugemasanza1008kama umeajiriwa kikotoo kitakukokotolea mbali kama unawadharau watetezi wako?
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 Ай бұрын
@@marcokaroje8980 Hao ni wasaka tonge kama mimi hata Kama ningekuwa nimeajiriwa wasingekuwa na msaada kwangu brother
@EbenezerMagari
@EbenezerMagari Ай бұрын
Alooo lema umetishaaaa Nondo juu ya ndonoo
@BorySaronge
@BorySaronge Ай бұрын
Profesa wa kusema uongo umesahau kuwa makonda ni jeshi la mtu mmoja makonda haumuwezi hata kidogo utakimbia tena muda si mrefu
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s Ай бұрын
😂😂😂😂 aaaah
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Tunaitaji KATIBA MPYA NDIYO KUTATUA MATATIZO. MAKONDA ANAFANYA USANII. NAULIZA HAYO MATATIZO AU KERO WANAVYO ITA NANI AZISABABISHA NI SERIKALI YA CCM. KAMA CCM IMESHINDWA KUTATUA KWA MIAKA ZAIDI YA 60 KWELI MAKONDA ATAWEZA?
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 25 күн бұрын
Mfano mzuri wa wizi ni chadema. Pesa yote ya chama wanakula wachache sana.
@husseinamassanza50
@husseinamassanza50 Ай бұрын
Lema uko sahihi sana tatizo ni sisi wananchi wenyew hatuna umoja.
@gasperaroni5751
@gasperaroni5751 Ай бұрын
Wewe nenda kwa wazungu huko wanaokuunga mkono hawana akili ulikaa miaka kumi ulifanya nini
@user-wj6zj1ly4e
@user-wj6zj1ly4e Ай бұрын
Duh jmn lin alikaa miaka kumi?
@thomasmallya2972
@thomasmallya2972 Ай бұрын
Lema na tass yao wameshindwa kujijenga nnchi ndio wataiwezaa wanafk tuu awa
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Ай бұрын
Nyie machawa wa ccm na maccm wenu mmekaa miaka 60 mmefanya nini
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Ай бұрын
​@@user-wj6zj1ly4ealikaa miaka 10 akaenda maendeleo nyie maccm mmekaa miaka 60 mmefanya nini
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Ай бұрын
​@@thomasmallya2972wanaiweza weka tume huru na katiba mpya uone wanaweza au hawawezi tatizo la ccm ni waoga hamtaki katiba mpya kwasababu mnajua mkiruhusu tu mnagalagazwa na chadema
@stevesungura6789
@stevesungura6789 Ай бұрын
Ukweli nyie watu mmejitoa kafara ya kutosha kwa ajil😅 ya hii nchi. Siku moja tutawaelewa tu kama hatutawalewa leo
@user-wj6zj1ly4e
@user-wj6zj1ly4e Ай бұрын
Lema unamipango mizuri kbx, tukikupa uwazr wa tamisemi au uwazr mkuu utafanya hayo unayoyaongea? Ilove lema na maono yako. Lema, heche, mbowe, lisu, luhaga mpina, dotto biteko, mbarawa, nyie ni hazina kwa dunia hii ya leo. Mungu awalinde
@hamidkololeki5009
@hamidkololeki5009 Ай бұрын
Kakojoe
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Ай бұрын
Alishindwa kufanya kitu akiwa mbunge ataeza wapi akiwa waziri...acha kuota mchana!!!!!
@user-wj6zj1ly4e
@user-wj6zj1ly4e Ай бұрын
@@mamboshepea8888 mm naongera fkra zake na maneno yake ukiyafanyia vitendo.kuna mbuge bashe aliamini ktk BBT kwamba itaondoa njaa tz na kuanza na vjana kadhaa huko dodoma nae ni mawazo yake. (Mbunge ni kutoa hoja, kuijenga hoja na kuiwasilisha hoja lkn yaweza kukataliwa tu na wabunge wenzako
@user-rx8uf5ov5q
@user-rx8uf5ov5q Ай бұрын
Arusha mnawezaje kuzidiwa na mbeya? Msimkubalie huyo msukuma ameshindwa kubadilisha misungwi atabadilisha Arusha?
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 Ай бұрын
Mwanafisiem awaye yoyote hawezi kubeba jimbo la mjini labda ijijini tena huko tanga vijiji vingine vyote tanganyika wameachana na undondocha wa kushabikia lificiem
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 Ай бұрын
Nimekuelewa bro
@maruhe1958
@maruhe1958 Ай бұрын
Lema huna kitu we ni mwongo ulipokuwa mbunge ulifanya nini hapo.... Huna lolote
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 Ай бұрын
Nakuunga mkono. Hana lolote. Kaisha
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Ай бұрын
Wewe umeshafanya nini unaembeza Lema au wewe chawa (parasite) yaani hujitambui na huyo mwenzio uliyemuunga mkono​@@yugemasanza1008
@nicodemashaggite8429
@nicodemashaggite8429 Ай бұрын
Lema huna akili wala staha
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 Ай бұрын
Chadema zindabad
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Ай бұрын
Arusha mkilala nchi nzima inalala😂😂😂😂 Lema unaota Njozi za mchana , mnajidanganya saaana , mna mipango mizuri lakini hamna kiswahili fasaha Watu wa Chadema , yaani mkaongea mkaeleweka mnataka nini , ninachoona ni taharuki, mihemko , makasiriko , husda na chuki tu
@anaabsaid3544
@anaabsaid3544 Ай бұрын
Lema wakati ulikuwa mbunge ulifanya nini kwa nchi hii.... Bro nenda canada
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Ай бұрын
Zamu yako na wewe nenda Canada
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 Ай бұрын
Ajira ganii mnataka!???! Uajiriwe ulipwe laki mbili sibora ujiajir ujikipe elfu mbili usokua na maneno
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 Ай бұрын
Huo mtaji wa kujiajiri unatoawapi na mzazi wako hata laki hana bank?
@barakarobert1029
@barakarobert1029 Ай бұрын
Hakuna kitu hapo maneno tupu makonda kaisha ibeba arusha
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 Ай бұрын
Sahihi hata mvuto kapoteza
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 Ай бұрын
Misukule iliyovuta moshi wa mwenge inakuzodoa wenye. Akili timamu tunakuelewa
@selegioelias9076
@selegioelias9076 Ай бұрын
Watoto mbona hawapo hata hapo
@JosephLukumay-wh8sc
@JosephLukumay-wh8sc Ай бұрын
Makonda usiruhusu watufuruge sisi wananchi tuko pamoja na amani ili tupate maendeleo.
@jomba6514
@jomba6514 Ай бұрын
Lema lia lia
@Laizer3
@Laizer3 Ай бұрын
ARUSHA NI YA PIPOZZZZZZZZ
@Commentsplus
@Commentsplus Ай бұрын
30%ya watu waliopo mkutanoni wanamuunga mkono lema 20%wanasubili waone amekuja kuongea nini 50%wanaona kama anajifurahisha 🔎Cuba
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 Ай бұрын
Una akili brother. Umetazama mbali. Maana hata mimi nimepoteza bundle
@husnmjuba4978
@husnmjuba4978 27 күн бұрын
Kwani mama ntilie sio ajira?
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 Ай бұрын
Jamani ereee mafici em tumewachoka acheni tusikilize akili kubwa nyie kakojoeni mlale hamtaweza. Watu hawataki ujinga
@user-wl3it6sh1v
@user-wl3it6sh1v Ай бұрын
Tumia luga nzr tutakuelewa.kuwaita wenzio boya si liga nzur
@AyoubAbdullrahmanAmir
@AyoubAbdullrahmanAmir Ай бұрын
Kama mtu boya lazima aitwe boya , hakuna kumung'unya maneno, ila kama wewe upendi aitwe boya, sijui wewe tukwite nan kwa lugha faswaha.
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb Ай бұрын
Hâta chadema inanza vurugu na roho mbaa Zao sasa hivi Arusha inanza kua shuari Tangu mh makonda alivokuja Arusha wananchi wanapata haki Zao basi lazima chadema wanaleta ubaa nauharibu wawo ili vurugu zianze hapo Arusha nyinyi wananchi wa Arusha inafaa mjue kua chadema ndo adui mkubwa wanchi ya tz pamoja nawafuasi wake ikiwa Bado hamja yelewa
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 Ай бұрын
Kweli kabisaaaaaa
@shabanikimpinga6769
@shabanikimpinga6769 Ай бұрын
Wewe.kumbe.bado.unaujinga.wazamani.muulize.marehemu.mrema.hao.niwanaccm.wamkudanganya.katox.haikatai.utajuta
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Ай бұрын
Wew inaonekana ni mwananchi Ambae hajitambui
@asiabaruani280
@asiabaruani280 Ай бұрын
Lema wewe ni boya,hakuna maendeleo bila kufanya kazi
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z Ай бұрын
Sasa makonda amekufanya nini we fala
@erickmsigala138
@erickmsigala138 Ай бұрын
Acha ulimbukeni fala wewe msifie baba yako siyo Makonda
@noelyhaule5695
@noelyhaule5695 Ай бұрын
We n mwanaume au jike😢
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Ай бұрын
Arusha watu hawataki vurugu!!hakuna cha ngome yetu Arusha,Arusha MAKONDA TOSHA!!
@dativachuwa3566
@dativachuwa3566 Ай бұрын
Acha uboya wewe usione watu wengi ukajjipa kichwa itakula kwako tumechoka wana arusha tuachen tupambane na kazi zetu na familia zetu ukiona watu wanakusaport kwa sasa jua na wewe akili moja
@dizzosukariyaoSukariyao
@dizzosukariyaoSukariyao Ай бұрын
Huyo mbunge wenu wasasaiv kafanya nn
@user-vl4rz6lf6d
@user-vl4rz6lf6d Ай бұрын
Tupe ushahidi wa hayo unayoyasema kuwa mawaziri ni wezi na nyie mnaomsikiliza huyo mjinga akili za kuambiwa changanya na zako hiyo ni njaa inauomsumbua sasa wewe andamana ujunjwe Miguu halafu uone Kama atakusaidiaboya huyo😊
@user-xd9kw6nt8w
@user-xd9kw6nt8w Ай бұрын
Hivi ukaandamane uwawe halafu uende moto au uvunjwe hata miguu kisa nn lo 😂😂😂😂
@user-vl4rz6lf6d
@user-vl4rz6lf6d Ай бұрын
Wewe unamuogopa makomnda ndio maana unamtaja Taja
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s Ай бұрын
😂😂😂🎉🎉🎉
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 Ай бұрын
Ninyi mnaye mpinga lema na chadema ni punguani na akiri zenu chafu
@MohammedAwadh-gq9si
@MohammedAwadh-gq9si Ай бұрын
Mbona picha mchanganyiko ? Mnachanganya picha za miaka miwili ilyopita, ,
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Hizo kero zinasababishwa na WANACCM sasa Makonda ni mwanaccm ajifanya kuzitatua. Huo ni usanii mtupu. Nyani anaeeza kutatua kesi ya ngedere? Wanauza ifadhi kwa warabu
@SmilingApron-zw6ne
@SmilingApron-zw6ne Ай бұрын
WALIOMCHOMA MOTO MWIZI NA KUMCHO HEA NINATANGAZA RASMI KWAMBA JEHANAM IPO WAZI WATAKOMA MOTONI NA HALUNA MSAMAHA , ILA KAMA HAMJAWAHI KUISKIA INJIRI HAPO MUNGU ATAWASMEHE ILA KAMA MMEWAHI KUISKIA INJILI MKAJITOA UFAHAMU KUMCHOMA MWENZENU MOTO NAWAAMBOA JEHANAM YENU
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb Ай бұрын
Hakuna zamana au mkuu wachama cha chadema alio Saidia mtz yeyote kupata haki zake iwe unyanganifu wa nyumba ?? au shule au hospital ?? au barabara ?? hakuna maendeleo yeyote ambao mbunge au meya au DC aliochangia chochote chilio Saidia mwanchi hakuna msikubali kuingia barabarani fikirieni mna akili namacho mnaona yanavofanyikana kwenye mkua wa Arusha Tangu mh makonda alivokuja huko
@coolruler6820
@coolruler6820 Ай бұрын
Mbumbumbu wewe, hiyo migogoro wanatatua ni nani aliifuga? Wao ndio wapo madarakani tangu uhuru, haya wanafanya ni maigizo tuu, kero wamelea wao, leo wanajidai wanazitatua, nchi hii wajinga ni wengi ndio maana akili zetu zinachezewa sana na viongozi. Hizo mahakama na taasisi zote zinazodhulumu haki za watu, zote zimeunda na hao hao wanaojidai wanazitatuz leo, hawana jipya ndiyo maana sasa wameamua kutatua kero walizozilea wao, jamani tuamke watu wa MUNGU viongozi waache kucheza na Jodi zetu
@laninjeje8290
@laninjeje8290 Ай бұрын
CHADEMA ni saccos ya mbowe mlamba asali ya Samia Suluhu, angalia wakina Msigwa, Halima mdee na wenzake wako wapi?? Wananchi fungueni macho hakuna chama hapoo
@makobamasawemangu4122
@makobamasawemangu4122 Ай бұрын
Sasa Kama wajinga wamehama na sis unatushaul tuhame
@athumanyusuph1099
@athumanyusuph1099 Ай бұрын
Endeleen kuckiliza nakwamba nakwamba....mtachelew xan nyie jamaa...hao wapo job kupitia matatzo yetu...jaman tupigen kaz hivyo vingine ni vipaj vyao tuh
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 Ай бұрын
HATA MSIGWA ALIKUWA ANAONGEA HIV HIV ILA LEO KIKOWAP SIMUAMIN MWANASIASA YEYOTE MIM NYOTE MNA AKIR MOJA
@anaabsaid3544
@anaabsaid3544 Ай бұрын
At kama kenya ? Kiongozi mwenye kuomba wananchi wafanye vurugu kweli sio kiongozi shame on you
@JosephLukumay-wh8sc
@JosephLukumay-wh8sc Ай бұрын
Huyu ni hatari sana wananchi tuwe makini na viongozi wa namna hii tutarudi nyuma sana tufanye KAZI kama Mungu anavyotaka tuachane naye.
@user-wu2du6jy5c
@user-wu2du6jy5c Ай бұрын
Akuna kitu bira kupiga kazi
@anaabsaid3544
@anaabsaid3544 Ай бұрын
Umeenda magereza kwasababu wewe ni mhalifu-------Maneno unayo yazungumza ni uchochezi mtupu eti fanyeni kama kenya? Watanzania hawalali njaa bwana lema kila mtanzania ana luku ya umeme mpaka wamama wauza mboga wana luku ya umeme wana gesi ya kupikia chakula huoni mtanzania ana njaa ni inchi safi sa TZ Mungu ibariki Tanzania
@fredmabena6308
@fredmabena6308 Ай бұрын
Hujui maisha tulia
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 Ай бұрын
Tukikosa bodaboda tutaishije mjini wewe Lema?
@user-id6xo9td6k
@user-id6xo9td6k Ай бұрын
Kuwaondoa ccm siyo vibaya lakini wa kuwapa nchi hii watu wa aina ya lema? Sipati jibu.
@stevesungura6789
@stevesungura6789 Ай бұрын
Waondoke tu, mengine baadae
@adammbuba7230
@adammbuba7230 Ай бұрын
Sasa makonda anaingiaje hapo
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 Ай бұрын
Hapo sasa
@allyhasani3750
@allyhasani3750 Ай бұрын
Kurudi kwako ulisema ulimpigia cm kikwete ili urejee nchin ,bado Nina mashaka
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Ай бұрын
We chawa wa ccm tu huna lolote
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Ай бұрын
Ukikuta mtu anakosoa wl viongozi wa upinzani jua ni chawa wa ccm tu huyo hana lolote
@shabanikimpinga6769
@shabanikimpinga6769 Ай бұрын
Tena.makubwa.mbeligiji.simutz
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 Ай бұрын
Wewe mjinga sana wewe
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 Ай бұрын
Mjinga huyu alifanya nini pindi mbunge
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 Ай бұрын
Lema ni mwehu mkubwa .yote unayosema ni uchochezi wakati umeacha familia yako ipo nje mhuni tu wewe hao wajinga wenzako wanaokuunga mkono niwajinga mwizi ni mwizi tu
@user-cz5sd6ys8i
@user-cz5sd6ys8i Ай бұрын
Wewe nunaye mtukana lema hauna akili lema,angwa mkono na watazani sio wazungu,akili yako ndogo San chawa mkubwa wewe
@abdullahmasakata170
@abdullahmasakata170 Ай бұрын
Yeye sindio anae watukana boda boda anasema ni laana vipi hapo Arusha boda boda hawapo? Au nyani haoni kundule. Amshukuru mama Samia Suluhu Hassan kumrudisha mkimbizi wa nchi.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 Ай бұрын
Uko sawa Mungu akuzidishie busara
@hamidkololeki5009
@hamidkololeki5009 Ай бұрын
Kenge ww
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s Ай бұрын
Kumekucha kumekuchaaaa hukooo.
@thomasmallya2972
@thomasmallya2972 Ай бұрын
Chama cha kuiyoa ccm madarakani cjakiona nyie wooote mamluki kwenda uko
@philemonimassawe6597
@philemonimassawe6597 Ай бұрын
Hizo ni hezabu zako kichwani mchumba ww
@philemonimassawe6597
@philemonimassawe6597 Ай бұрын
Lema ww wakike tuu Yani mchumba sana
@SupiraMagina
@SupiraMagina Ай бұрын
Hizo kelele tu hazikusaidii.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 38 МЛН
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 108 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 38 МЛН