Moja ya kipenzi changu Tanzania ❤❤❤❤❤❤ Heche wewe ni mwamba
@monicamwita78653 күн бұрын
Mpenzi cha wote huyo. Najifunza mengi sana toka CDM
@goodlackriwa67285 күн бұрын
🎉🎉 Akili kubwa Heche , Kweli ushindii ni wakoo ,
@charlessolomon59284 күн бұрын
Heche noma nakukubali saaaaana❤
@user-us5xl4zu3r4 күн бұрын
Mimi nipo Moro,lakini Heche nampenda sana.Anafaa sana mwamba.
@user-gp1hi7sw5k5 күн бұрын
Heche nimwafirika muzalendo
@MathewNathan-yb2bz5 күн бұрын
Heche Mungu akubariki sana una uwezo na unakubalika sana.Ee Mungu ibariki nchi yetu iwe na demokrasia safi na tume huru ya uchaguzi itakayotenda haki.
@erestizacharia47586 күн бұрын
Dah! Heche si subiri tena mwakani, huko mbali sana ngoja nivunje katiba nachukua fursa ya kukutangaza kuwa mbunge wa sirali kwa nyomi hiyo! Waitara basi bana.
@minazsaid24706 күн бұрын
MashaAllah watu wameitika
@ElishaOisso5 күн бұрын
Waitara kayakanyaga, must go
@rogersiddy6 күн бұрын
Tumbo tumbo alishalijua hili kitambo sana kuwa hili jimbo sio lake kbs sema plesha inampanda na kushuka anaogopa kulikosa jimbo asubuhi kweupeeee anajua mwanzo alipitishwa bila kupingwa sasaivi hofu imemtanda shubaamiti chezea Tarime wewe Heche ndo wanamuelewa li Waitawara hoi😂😂😂😂🙌
@monicamwita78653 күн бұрын
Huyo mbinga wetu wa sàsa Jana turbo!!?? Acha uchawa, kufahamu na jitakafakari.
Huyu jamaa kichwa sana huwa nafurahiaga sana uwepo wake
@TM-zs3rm6 күн бұрын
Mtaukamata uraisi natabiri hii. Twendeni pamoja
@RutinikiGosbertКүн бұрын
Safi sana Heche chuma
@barakakevela2455 күн бұрын
SEMA HUWA NAKUELEWA SANA MWAMBA
@jeanbaraka10085 күн бұрын
Mtu makini sana Defense minister wetu 2024-25 John Heche rafi pendwa wangu mtu mvumiluvu sana si msigwa.
@philipongenzatv5 күн бұрын
Ningeweza ccm wote unadumbukiza kwenye shimo tunaanza upwyaaaaa wanachosha aseeew
@monicamwita78653 күн бұрын
Bila bado la mkono hawatoboi hata siku moja Wamezoea kuiba tu
@mc_turukaКүн бұрын
MH. RAIS AJAYE. MUNGU IBARIKI KAULI HII🙏
@FortinathaMvikule-cm1im3 күн бұрын
Amina Bwana awe upande wako
@abubakarimussa91315 күн бұрын
Ukigombea uraisi kurayangu unayo
@christinenyagiro66624 күн бұрын
Heche unastaili kuwa hata raisi wa Tanganyika kwa sababu nawafahamu wewe unasema kilicho moyoni hujifanyi kama Waitara.
@karolikisaka89913 күн бұрын
Chadema imejiandaa kuchukua nchi.ina ahadi za kweli.walimu,mapolisi na wananchi wote watafaidika na matunda ya serikali
@MuhojaMalicho5 күн бұрын
❤❤❤❤❤ mkomboz wetu
@leokamil62846 күн бұрын
Tanzania nzima tujaribu wengine tuone watawezeshaje nchi na Rasilimali zetu kabla hatujachelewa .Tusiwe wajinga wa kuendelea
@adelinelyaruu30365 күн бұрын
Rasilimali zinaenda kuisha. Maskini Tanzania mtakuwa mgeni wa nani???
@leokamil62845 күн бұрын
@@adelinelyaruu3036 Na bado watu wamelala fofofo hata hawaoneshi dalili ya kuamka.
@lucymsheshi58714 күн бұрын
Ni huzuni raslimali zinayeyuka
@user-hb3ip9it2j4 күн бұрын
Tuko pamoja mpaka tone la mwisho baba heche
@furaha71545 күн бұрын
Saf sana heche
@KamwandaNzowa-eo4ur4 күн бұрын
Mh, Heche Mungu asimama na wewe baba ili mweza kututowa katika lindi hili kubwa la umasikini uliokidhili
@clemencemarcelli33655 күн бұрын
Hongera Heche
@davidchihimba94893 күн бұрын
Nimefurahi sana sijawahi furahi kiasi hiki Heche tupo pamoja ccm ni mapumbavu wote mambwa
@robertphilip3856 күн бұрын
Tata nakukubali mura
@PeterNMzee5 сағат бұрын
Kutoka Arusha hapa... Heche ni akili Kubwa
@alexmnogi18225 күн бұрын
Sjawah kujutia uwezo wako mkubwa brooo...nataman hata uwe kiongoz wa taifa hili skumoja ...akili kubwa sna 🎉
@infodigtechforcommunityemp41036 күн бұрын
Nyomiiiiii hatari
@danielkanso3 күн бұрын
Umeona ee kuna mkutano ilifanyika hapa dar es salaam wa chama cha kijani tulichokuwa tunaulizana magari yalikuwa yame jaza watoto je yanaenda wapi watu wengine wakajibu leo kuna mkutano wa watu wa kijani duu
@DjJohnBashir-oy7cx4 күн бұрын
Ukiwa bungeni mawayako yamekwenda shule
@DjJohnBashir-oy7cx4 күн бұрын
Heche Huwa nakuelewaga sana hasa kwenye hoja ukiwa bungeni
@danielkanso3 күн бұрын
Hii imekaa sawa hivi ni Heche mwenyewe au maana juzi niliona madudu mahali watoto wanasombwa na coaster wakipelekwa kwenye mkutano wa kijani ili kujaza uwanja heche tuambie bwana hapo umepigaje
@charlessolomon59284 күн бұрын
Heche I love you
@PhilipoMwita-wc1ku5 күн бұрын
Kelele ya kwanza kwa heche yakeee
@davidchihimba94893 күн бұрын
Waitara ni mama wa ccm mpumbavu mmoja hivi anaeloalia hovyo
@mosesmacha108013 сағат бұрын
Hapo Mbowe hayupo, lakini jamaa kajaza nyomi
@hssanrubota38915 күн бұрын
Safi sana
@charlesmnuo32925 күн бұрын
Nikweli mjini umesimama
@ElibarikiMbando3 күн бұрын
nakuombea sana heche urudi mjengoni
@mbwanahasan29715 күн бұрын
Heche noma
@NancyMatuli-fb5jp3 күн бұрын
Mungu akusaidue heche wewe ndo mtetezi wao
@HenryCastuli-jz3cx5 күн бұрын
Heche hongera pambana sana wananchi wako wanakuelewa
@pastorybahinyuye48762 күн бұрын
Heche anafaa kuwa hata Rais
@rogersiddy6 күн бұрын
Kweli Heche ameshinikana Tarime😂😂🙌
@user-mo3ik6go6r4 күн бұрын
Mchimbi mpe huyu
@LucasKagoma2 күн бұрын
Viongozi wa ccm wamewekeza kwenye hospitali za selikali wanafanya biashara za dawa kuwaumiza watanzania
@lusajomwaipopo50423 күн бұрын
Heko kamanda Heche!!
@wilsonandlea86145 күн бұрын
Pamoja
@IssackJoseph-w2h4 күн бұрын
Mmmmmh, Sasa hiyo tarime ingekuwa ndio nchi ya Tanzania wananchi wangekuwa na maisha gani? Huwezi kufananisha nchi inayolingana na mkoa mmoja
@lgf72975 күн бұрын
Mmmmmhhhhh ipo kazi
@davidchihimba94893 күн бұрын
Tutawapiga mawe hao maccm majinga
@barakanyanchama42973 күн бұрын
Heche 2025 ninuru yasirari tarime wana sirari msije mkamuangusha
@ObediKinkusha-gq8fw2 күн бұрын
Cvm waibe kura tu kama kawaida yao ila mbunge ni heche
@hadijasufiani61675 күн бұрын
Hongera mwamba heche upo vizuri
@user-ms6wc7ug6w3 күн бұрын
JOHN HECHE NI MBUNGE TENA
@user-zu8ou2oe4c5 күн бұрын
Hecheeeee safiiii waitara mh hana lake ushaur wakat mwngne watu wa saund wajitahd tusikie vzr
@HassanMshamu4 күн бұрын
Pambana mwamba
@chaba_boy_tz72874 күн бұрын
Heche mungu azidi kukupa nguvu na afya tele
@leokamil62846 күн бұрын
🎉
@user-hb3ip9it2j4 күн бұрын
✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
@paulojohn96085 күн бұрын
huyu ndo heche mnamkubali sana
@MnicoMnanka3 күн бұрын
Binafsi murah ninakukubali sana
@MussaBundala-yg8nw4 күн бұрын
Heche mmoja anaongea heche mwingine anahamasisha watu kushangilia sasa ni yupo aliye wa uhalisia na tukio hili?
@user-md7sd3hk6l6 сағат бұрын
naku penda sana eche mwamba
@Focusm-se2sd5 күн бұрын
Nakukubali sana mkuu sijawahi pitwa na klip zako
@admaumsengi42305 күн бұрын
Chuma hicho
@TM-zs3rm6 күн бұрын
Dawa nyingi zimeibiwa kutoka kwetu na hizi za kienyeji na zikaibwa na waeneza dini wakazifanya za kisasa na kuja kutuuzia tena. Na za wasukuma zipo hapo. Tuzijenge za kwetu. Tunaweza.
@GodfreyOsward5 күн бұрын
Kwa utawala upi wa Africa?.sisi hûwa tunaishia kupeana vikombe na kusema fulani ana akili. Hûwa hatujitambui kwa hizo dawa ni uchumi. Vipofu ni wengi mno Africa tumewapa uongozi.
@francissimwinga-gb2vd4 күн бұрын
Kamanda John heche hapo hamna wasanii mpo nyie wajinga mnaosema ccm imewalea ni kuwatukana wazazi walio kuzaa kusema ccm imekulea na wazazi walikuwa wanafanya kazi gani sisi ndio tumeilea ccm Toka 1960
@TM-zs3rm6 күн бұрын
Sirali hoyee
@MageAwe-hl5zb4 күн бұрын
Kweli Mwenye kibali ni Kama jua la asubuhi popote
@stewartdyamvunye-wz6rn5 күн бұрын
Nakumbuka mbunge Waitara aliwahi kulia bungeni na kwa vyombo vya habari akitetea wananchi wake kuhusu mgogoro wa mipaka/ardhi kwa wananchi wake. Nilisimama nikampa saluti. Na nikamuorodhesha kwenye ile orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi duniani kanda ya tanzania. Mara wakati wa sakata la uuzwaji wa bandari zetu, mbunge Heche akaanza kwa kutoka povu kwa uchawa, kama vile haitoshi papo hapo akalia kilio kikali kutetea uuzwaji wa bandari zetu na akamalizia kwa jasho jingi akisema, "naunga mkono bandari wakabidhiwe waarabu!" Balaa! Papo bapo nikamtoa kwenye ile orodha yangu ya wanamapinduzi na sasahivi ananing'nia katika orodha ya wapinga mapinduzi!
@raymondnlelwa4275 күн бұрын
Ila huu ujumbe wako Kuna mahali umemtaja Heche wakati ulitakiwa umseme Waitara. Hebu cheki!!
@stewartdyamvunye-wz6rn4 күн бұрын
Kweli kabisa Raymond. Na asante sana kwa kuona kuteleza kwangu na kutafsiri vizuri kabisa kwamba badala ya kumtaja Waitara katika comment yangu nikamtaja Comrade Heche. Nasahihisha. Pale nilipomtaja Heche katika comment yangu futa jina Heche weka Waitara mbunge. Na ninaomba radhi kwa usumbufu unaoweza kuwa umejitokeza kwa wafuatiliaji/wanamtamdao comments na pia kwa comrade Heche. Nasema, Comde Heche yupo orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi na mbunge Waitara ndiye aliyetoa povu na jasho bungeni kuunga mkono bandari wakabidhiwe waarabu. Na palepale nami nikamtoa kundi la wanamapinduzi na kwa sasa ananing'inia katika orodha ya wapinga mapinduzi kanda ya Tanzania ikiongozwa (top on the list) braza mkubwa kabisa mhe. Steave Wasira.
@monicamwita78653 күн бұрын
Imekula kwake
@infodigtechforcommunityemp41036 күн бұрын
WAITARA KAZI ANAYO MMMMMH
@rogersiddy6 күн бұрын
Sio ndogo sasaivi plesha inampanda nakushuka kama atapitishwa bila kupingwa sawa lkn hapo atapigwa kura nyingi sanaaaa😂😂
@monicamwita78653 күн бұрын
Atakoma. Barbara ya Nyamongo ni mbovu sana
@JosephMuhenga-x8p5 күн бұрын
😂😂😂public engagement
@user-bg8zz5vw5v5 күн бұрын
Ccm watuambie rasimali za tanzania zote walizo tapanya tumenufaika nann mbona umaskin ndio umezidi wangalie warabu wana mafuta na ges mbona nchi zao zimeendelea sisi nimaskin wakutupa.
@adelinelyaruu30365 күн бұрын
It's purely a matter of leadership
@philipongenzatv5 күн бұрын
Waitara ludi ubungo Mama hakusaidiii Magufuli aliwasaidia ludi Dar
@DjJohnBashir-oy7cx4 күн бұрын
Heche kichwa cha Silali
@user-pv2jh5wb1o3 күн бұрын
Mbowe rais
@fulgenceoswald38665 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥
@JosephMuhenga-x8p5 күн бұрын
😂😂😂public engagement 9:
@user-oy5dz5xl8s5 күн бұрын
Ccm jana wametangaza idadi ya wanachama yao 10'000'000
@GodfreyOsward5 күн бұрын
Namba za kasi za vyama.zingekuwa tin za kodi mambo yangekuwa vizuri
@user-bx3ko9ft5t5 күн бұрын
Duuuu cdm mmetisha
@ndogoroedson1995 күн бұрын
Ujinga mtupu misukule ninyi! Uwe sauti ya watz ww mamae kabisa ww
@user-lt1bi5nr1x5 күн бұрын
Umetumwa ww sio bure
@user-ed4px7oz5l3 күн бұрын
Heche 10 Tanzania inch ingenyooka
@wirangamochemba70634 күн бұрын
Niko wilaya jirani serengeti ila kama itawezekana nitajiandikishia tarime heche ni mwanga wa tanzania Mungu akushikilie
@jeanbaraka10085 күн бұрын
Mbona Honorable HECHE hajawayi kuwa mkuu wa kanda? na yuko tu mjumbe kamati kuu, na anabaki consta
@Kwelihukuwekahuru4 күн бұрын
Si mchumia tumbo kama Msigwa
@stevenjackson49854 күн бұрын
Magufuli alijitoa kulinda rasilmali za nchi mkampinga
@monicamwita78653 күн бұрын
Nani aliyechoma? Filipina bunge chama kimojo
@GeraldNyasembe-q2d3 күн бұрын
@@stevenjackson4985 makufuli alileta maneno bila katiba ndo maana bandari ni ya warabu wamasahi Awana kwao Tena acha kukalilishwa
@jaccobojaccobo7484 күн бұрын
Iv waitara Kona hii?
@gililwise5 күн бұрын
Waitara bye bye😢😢.Juzi wazee walikutema. 😊
@emmanuelymganga57375 күн бұрын
🔥🔥🔥✌️👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@daudimchileg3075 күн бұрын
Mmmh unaweza kaka
@officialentertainment19954 күн бұрын
Hakuna kitu hapo wewe fara tu
@monicamwita78653 күн бұрын
Kama wewe chawa wa kijani usiyejitambua
@SundaySteven-bz4yq5 күн бұрын
Yaani 2025 patachimbika udhaifu wa bunge tumeuona rasilimali zinauzwa Hawa wajinga eti ni wabungu wanapiga makofi