🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 692 318213) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Пікірлер: 12
@lucaschisamalo2852Ай бұрын
Arusha mmetisha Sana hamnaga mbambamba
@IssaAlly-lp4uf21 күн бұрын
Kabisa
@elibarikimollel7149Ай бұрын
Vijana wakifanya kibarua cha elfu5 anakimbilia kucheza kamari za mchina,kiroba cha elfu,anabaki na elfu1 ya kula chips dume na miguu 2 ya kuku,anakwenda kulala, asubuhi mchina anapita kwenye mabaa asubuhi na sanduku kukusanya faida ya kubet anaondoka anaondoka zake,kijana anazunguka kutafuta kibarua! Serikali inachukua kodi yake kwa mchina mchezo wa kuwafilisi vijana unaendelea...
@MichaelMwaseseАй бұрын
Si ndio wanchana nywele ha wa upande wa chawa tutabet mpaka m,,,,
@LubasiKashamba-ek9fzАй бұрын
Lema hoyeeee
@MichaelMwaseseАй бұрын
Huwa nsikiaga cham cha kaskazini mbona ccm mnaongoza kaskazn sibwageni tuone penye mshono
@IssaAlly-lp4uf21 күн бұрын
Hizi pesa wangikuja kutuwekea ata barabara ya kata yetu inamashimo makubwa wao wanaangalia barabara kuutu wamesitisha barabara za mitaa na vitongoji vyote nchi nzima zile pesa wanatengeza barabara za mwendokasi ili watu waone serikali imefanya
@richardhosea8827Ай бұрын
Hizi nyumbo kikora
@elibarikimollel7149Ай бұрын
Hizo fedha za kuagiza hayo magari,na fedha za hayo mafuta ya magari mia150 yanayotumika kwenye misafara yao mirefu kl.mt5 zikiishatumika,baada ya uchaguzi tunakutana na tozo, ongezeko la kodi ktk bidhaa zote,mazao,nafaka,ujenzi nk. mpaka tuzirudishe zote tuendelee na kulipa mikopo ya nje,wao wako na viyoyozi ofisini,na kwenye mashangingi yao!
@joachimkalungwana8654Ай бұрын
Hii too much kweli gari 150 za msafara kwa umaskini wetu huu!!!! Hii ni kufuru umasrufu kwa ajili ya Nini?
@AllyMandunda-tj9jcАй бұрын
Joakim umarufi unamaanisha nini? Maana wewe una kiherrhere na ccm