Madeleka Mwenyenzi Mungu akupe maisha marefu na yenye Baraka uendelee kuwasaidia watanzania. Ninapinga mbinu zote ovu zinazopangwa kumdhuru mtu huyu. Wenye kutengeneza mbinu hizi namwomba Mungu apite nao, wasiendelee kuishi!!!
@fredrickmwakalinga639025 күн бұрын
Madeleka Mungu akupe maisha marefu na akulinde
@King_Of_Everything23 күн бұрын
✌️👊👍.
@fredrickmwakalinga639025 күн бұрын
Ni mbaya sana mawakili wengine wamekuwa machawa wa ccm ovyo sana
@sospeterodhiambo686926 күн бұрын
Namkubali mno huyu Mwamba Madeleka
@nereisyara505626 күн бұрын
Please msikilize Madeleka vizuri
@winniefridamutakyawa594324 күн бұрын
Safi sana mawakili.Ila TLS wanatuangusha.
@elibarikimollel714926 күн бұрын
Wakili msomi Madeleka usikate tamaa wakati mapambazuko yamekaribia pambania haki Mungu hataacha kukulipa juhudi zako,na atakulinda popote kwa mkono wake wenye nguvu kuliko hawa wanaovuta pumzi yake ya bure kutumia nguvu kuwaumiza wengi wala hawajui ni lini BWANA atatwaa uhai wao na kuacha vyote wanavyojikusanyia!
@leokamil628426 күн бұрын
Tatizo ni mfumo
@elibarikimollel714926 күн бұрын
Kwa kweli sasa tunaona juhudi za chama cha mawakili wasomi TLS,tunafarijika sana tunapofuatilia mabaraza yenu haya katika midahalo ya kukosoana wenyewe,na kuifunua mfumo wa utawala unaopindisha sheria kwa kukanyaga katiba katika maamuzi yao ya kudhulumu wananchi kwa faida yao binafsi.
@samwelmatemu887325 күн бұрын
Watu wa mahakama hamta nwona Mungu
@user-jt4lo1og8w17 күн бұрын
Mawakili wengi wamekuwa machawa ,ndio rais wa mawakili ,asilimia 70 ,utakuta chawa, wa watawala,❤❤❤❤
@user-vg6dw6li7n25 күн бұрын
Fatuma fatuma punguza kiingereza dada daaaa hatukuelewi
@user-qv4jb7mt5q26 күн бұрын
Watanzania kwa ujumla wao kwenye sanduku la kura mwakani ndio watakao ondoa mfumo huu mbovu wa katiba ya 1977 Mungu yupo pamoja na wapenda haki, watanzania lazima watafanikiwa kupata haki zao.
@elibarikimollel714926 күн бұрын
Ndiyo,ni deal ya mfumo wa katiba hii ya 1977 inaendelezwa na aliyeingia sasa! Heko wakili msomi Fatma...
@emanuelmaraki975819 күн бұрын
Hio yakuvuliwa nguo nimekutana nayoo mkuu nilitaka kuzimia duu mungu alinisaidia unapiga kichuraa ukiwa mtupuuuu mita70au mia watu wanakutizamaa matesoo matupuu
@norbertmbena589626 күн бұрын
Tatizo ni ulevi tu , ukiwa madarakani unajizima data kwamba hautakuwa madarakani milele, lakini pia siyo ukoo wenu nyoote mpo madarakani Mnachokipanda mtavuna tu hata kupitia wajukuu zenu , WATAUMIZWA NA WAKANDAMIZAJI WENZENU NA MTAPIGA KELELE
@leokamil628426 күн бұрын
Kweli hiyo Mahakama ipo nimeshawahi kwenda kumlipia mtu faini ya uzembe na uzururaji .Kitu ambacho alikutwa barabarani akienda Bilcanas usiku saa nne .Dar kuna mambo ambayo huwezi kuamini yanafanywa kwa uonevu tu .
@rasnchimbi26 күн бұрын
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@samwelmatemu887325 күн бұрын
TLS ni tawi la ccm
@fredrickmwakalinga639025 күн бұрын
Ccm inaharibu nchi na watanganyika halafu wanaogopwa ujinga mtupu ccm kitu gani ktk nchi hii?
@richardnganya231119 күн бұрын
Ufumbuzi wa kimkakati ni KATIBA. Hii iliyopo ndiyo mkoroganyo uliopo!
@ezekielmabwai48225 күн бұрын
Kwani Kuna Mahakama Tanzania? Mahakama , Binge,. Serikali si ni MTU MMOJA TU? Katina, Katina, Katiba!!
@raymondnlelwa42725 күн бұрын
Kwanini kuna edit za kijinga kutokutaka watu wasikie kila kinachochagiwa???
@bmdele581626 күн бұрын
Hongereni sana Mawakili na mawakala wa sheria, Kwa sisi wapenda haki na mifumo tunafurahia sana mijadala hii. Tunamuunga mkono Wakili Mwabuksi, Haki haiombwi, haki inapiganiwa🫡
@ezekielmabwai48224 күн бұрын
Tls ni MAJI TAKA IMEJAA MACHAWA TUPU, ISIPOKUWA MADELEKA, FATMA, LISSU NA MWABUKUSI PEKEE!
@user-vg6dw6li7n25 күн бұрын
Fatima punguza kingereza wengi hatukusoma hatukuelewi mara nyingi inatumia sana kiingereza unaboa
@esuthoby786526 күн бұрын
Hata nyie mawakili mnayomatatizo.mbona maamuzi ya kesi yanatolewa kwa lugha ya kizungu? Hamuwatendei haki watanzania.hamtaki kuandika sheria kwa Kiswahili, Kweli mnaruhusu mahakama iwahukumu watanzania kwa lugha wasioielewa,mna jambo lenu ninyi mawakili ambayo sitaji. Hamjali watanzania dhambi inawarudia.Hivyo tesekeni mpaka mwisho.
@raymondnlelwa42725 күн бұрын
Tatizo la Shangazi huwa anapenda sana kuogea kizungu, sasa si watu wote wanaojua kizungu. Hebu naomba uwasaidie watu hawa manake ni wengi wanaofuatilia midahalo kama hii.