No video

LIVE: Mdahalo Juu ya Utendaji wa Mahakama na Matamko ya Kisiasa

  Рет қаралды 7,022

WAKILI TV

WAKILI TV

28 күн бұрын

Пікірлер: 36
@samwelmatemu8873
@samwelmatemu8873 25 күн бұрын
Hakuna haki mahakamani na mawakili wamekuwa madalali
@user-qv4jb7mt5q
@user-qv4jb7mt5q 26 күн бұрын
Kweli wewe ndugu Madeleka ni shujaa na mtetezi wa wanyonge; hongera sana: Mungu akubariki.
@MasterPetro-oj1fd
@MasterPetro-oj1fd 26 күн бұрын
Nimependa sana mdahalohuu. Natamani sana kuijua sheria
@mkanjimamkanjimamkanjima2043
@mkanjimamkanjimamkanjima2043 26 күн бұрын
Hongera sana ndugu madereka kwa kujitowa kwa wengine Allah awe na aipe afya mzuli familia yako ili nawe imara kwa kusimamia khaki
@revjoshualugendo8344
@revjoshualugendo8344 26 күн бұрын
Mungu akubariki Sana. Nimependa msimamo wako wa kusimama kweli na haki, watu wa Mungu wapate haki bila kuonewa.
@georgemahenge
@georgemahenge 23 күн бұрын
Madereka.mungu akurinde.huwa tunaona juhudi zako.kira Kona.
@raymondnlelwa427
@raymondnlelwa427 25 күн бұрын
Madeleka Mwenyenzi Mungu akupe maisha marefu na yenye Baraka uendelee kuwasaidia watanzania. Ninapinga mbinu zote ovu zinazopangwa kumdhuru mtu huyu. Wenye kutengeneza mbinu hizi namwomba Mungu apite nao, wasiendelee kuishi!!!
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 25 күн бұрын
Madeleka Mungu akupe maisha marefu na akulinde
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 23 күн бұрын
✌️👊👍.
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 25 күн бұрын
Ni mbaya sana mawakili wengine wamekuwa machawa wa ccm ovyo sana
@sospeterodhiambo6869
@sospeterodhiambo6869 26 күн бұрын
Namkubali mno huyu Mwamba Madeleka
@nereisyara5056
@nereisyara5056 26 күн бұрын
Please msikilize Madeleka vizuri
@winniefridamutakyawa5943
@winniefridamutakyawa5943 24 күн бұрын
Safi sana mawakili.Ila TLS wanatuangusha.
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 26 күн бұрын
Wakili msomi Madeleka usikate tamaa wakati mapambazuko yamekaribia pambania haki Mungu hataacha kukulipa juhudi zako,na atakulinda popote kwa mkono wake wenye nguvu kuliko hawa wanaovuta pumzi yake ya bure kutumia nguvu kuwaumiza wengi wala hawajui ni lini BWANA atatwaa uhai wao na kuacha vyote wanavyojikusanyia!
@leokamil6284
@leokamil6284 26 күн бұрын
Tatizo ni mfumo
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 26 күн бұрын
Kwa kweli sasa tunaona juhudi za chama cha mawakili wasomi TLS,tunafarijika sana tunapofuatilia mabaraza yenu haya katika midahalo ya kukosoana wenyewe,na kuifunua mfumo wa utawala unaopindisha sheria kwa kukanyaga katiba katika maamuzi yao ya kudhulumu wananchi kwa faida yao binafsi.
@samwelmatemu8873
@samwelmatemu8873 25 күн бұрын
Watu wa mahakama hamta nwona Mungu
@user-jt4lo1og8w
@user-jt4lo1og8w 17 күн бұрын
Mawakili wengi wamekuwa machawa ,ndio rais wa mawakili ,asilimia 70 ,utakuta chawa, wa watawala,❤❤❤❤
@user-vg6dw6li7n
@user-vg6dw6li7n 25 күн бұрын
Fatuma fatuma punguza kiingereza dada daaaa hatukuelewi
@user-qv4jb7mt5q
@user-qv4jb7mt5q 26 күн бұрын
Watanzania kwa ujumla wao kwenye sanduku la kura mwakani ndio watakao ondoa mfumo huu mbovu wa katiba ya 1977 Mungu yupo pamoja na wapenda haki, watanzania lazima watafanikiwa kupata haki zao.
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 26 күн бұрын
Ndiyo,ni deal ya mfumo wa katiba hii ya 1977 inaendelezwa na aliyeingia sasa! Heko wakili msomi Fatma...
@emanuelmaraki9758
@emanuelmaraki9758 19 күн бұрын
Hio yakuvuliwa nguo nimekutana nayoo mkuu nilitaka kuzimia duu mungu alinisaidia unapiga kichuraa ukiwa mtupuuuu mita70au mia watu wanakutizamaa matesoo matupuu
@norbertmbena5896
@norbertmbena5896 26 күн бұрын
Tatizo ni ulevi tu , ukiwa madarakani unajizima data kwamba hautakuwa madarakani milele, lakini pia siyo ukoo wenu nyoote mpo madarakani Mnachokipanda mtavuna tu hata kupitia wajukuu zenu , WATAUMIZWA NA WAKANDAMIZAJI WENZENU NA MTAPIGA KELELE
@leokamil6284
@leokamil6284 26 күн бұрын
Kweli hiyo Mahakama ipo nimeshawahi kwenda kumlipia mtu faini ya uzembe na uzururaji .Kitu ambacho alikutwa barabarani akienda Bilcanas usiku saa nne .Dar kuna mambo ambayo huwezi kuamini yanafanywa kwa uonevu tu .
@rasnchimbi
@rasnchimbi 26 күн бұрын
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@samwelmatemu8873
@samwelmatemu8873 25 күн бұрын
TLS ni tawi la ccm
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 25 күн бұрын
Ccm inaharibu nchi na watanganyika halafu wanaogopwa ujinga mtupu ccm kitu gani ktk nchi hii?
@richardnganya2311
@richardnganya2311 19 күн бұрын
Ufumbuzi wa kimkakati ni KATIBA. Hii iliyopo ndiyo mkoroganyo uliopo!
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 25 күн бұрын
Kwani Kuna Mahakama Tanzania? Mahakama , Binge,. Serikali si ni MTU MMOJA TU? Katina, Katina, Katiba!!
@raymondnlelwa427
@raymondnlelwa427 25 күн бұрын
Kwanini kuna edit za kijinga kutokutaka watu wasikie kila kinachochagiwa???
@bmdele5816
@bmdele5816 26 күн бұрын
Hongereni sana Mawakili na mawakala wa sheria, Kwa sisi wapenda haki na mifumo tunafurahia sana mijadala hii. Tunamuunga mkono Wakili Mwabuksi, Haki haiombwi, haki inapiganiwa🫡
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 24 күн бұрын
Tls ni MAJI TAKA IMEJAA MACHAWA TUPU, ISIPOKUWA MADELEKA, FATMA, LISSU NA MWABUKUSI PEKEE!
@user-vg6dw6li7n
@user-vg6dw6li7n 25 күн бұрын
Fatima punguza kingereza wengi hatukusoma hatukuelewi mara nyingi inatumia sana kiingereza unaboa
@esuthoby7865
@esuthoby7865 26 күн бұрын
Hata nyie mawakili mnayomatatizo.mbona maamuzi ya kesi yanatolewa kwa lugha ya kizungu? Hamuwatendei haki watanzania.hamtaki kuandika sheria kwa Kiswahili, Kweli mnaruhusu mahakama iwahukumu watanzania kwa lugha wasioielewa,mna jambo lenu ninyi mawakili ambayo sitaji. Hamjali watanzania dhambi inawarudia.Hivyo tesekeni mpaka mwisho.
@raymondnlelwa427
@raymondnlelwa427 25 күн бұрын
Tatizo la Shangazi huwa anapenda sana kuogea kizungu, sasa si watu wote wanaojua kizungu. Hebu naomba uwasaidie watu hawa manake ni wengi wanaofuatilia midahalo kama hii.
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 12 МЛН
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2,4 МЛН
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 26 МЛН
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 21 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 12 МЛН