ww shekh Othman fund mungu akupe wepes uzid ufund ww ndo miongon mwa warith Wa mitume niombeee dua na mm Allah snipe nguvu na snipe wepes Wa kutoa ili tuupoteze umasikn .ukiikubal hii gonga like .
@humudmmanga64833 жыл бұрын
Katika haya mawaidha musitutilie miziki hii ni mawaidha ya dini .lazima muheshimu mawaidha .
@saumusalimuhassan24998 ай бұрын
Mashallah, Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Nakupenda kwaajili ya Allah 🙏Allah akubariki sana 🙏
@FrancisRichard-vs1yp11 ай бұрын
Mashaallah!!shekh wewe ni fundi wa daawah!!mwenyez Mungu akulinde na akujaalie malipo makubwa ambayo hukutaraji
@almassoud31094 жыл бұрын
Mashallah. Wallah raha ilioje hii Allah ampe maisha marefu sheikh Othman azidi kutupa ukumbusho
@ashurarashid4186 ай бұрын
Maashallah sheikh othman maalim allah akuzidi shie yenye hp duniani na kesho akhera unatuelimisha Alhamdulilah Allah atakulipa
@almassoud31095 жыл бұрын
Faida ilioje. Raha ilioje. Elimu ilioje aliyokupa jallla fiy ulaaa. Allah akupe afya na umri wa kufikisha zaid na zaid ya haya
@rackymayugi68155 жыл бұрын
Mashaa Allah. Sheikh Allah akulipe kila laheri na akuepushe na kila lashari. Ameen yarabil alameen
@fatumaramadhanmashaallahal99665 жыл бұрын
Shukran ya ustad ana isma bin qatar wajazaka Allahu heri Allah ya hidiki wayahad umatul Muhammad salalahu alay wasalam
@fatmamsafiri27634 жыл бұрын
Mashallah shekh Othman nataman siku moja uje nikuone Ana kwa Ana nataman wallah namuomba Allah anijalie nikuone
@user-dx5lz6du4y5 жыл бұрын
Shehe Othman maalem niombee dua mtto wangu nayy apate elimu kama yakwako
@adamzdamz65925 жыл бұрын
in shaa llah allah kareem
@nawawiitara79095 жыл бұрын
Jazaaka llahu sheikh othman maalim Kheir kubwa hii ktv nawashukur sana kwa Kazi kubwa hii safi sana namuomba allah awalipe kher Km kuna mtu anamchukia Sheikh Othman maalim basi mtu huyo achunguze nafsi yake vizuri
@solangeirakoze12892 жыл бұрын
My favorite sheikh ever MashaAllah. Allah akuhifadhi duniani n akhera amiin
@jamalkishangu8 ай бұрын
Sheikh umeeleza mambo mazito sana, na yatabaki juu katika mizani mpaka siku ya kiama.
@zabibunyirasafali8524 жыл бұрын
Allah azidi kuongezea maisha mema Othman maalim
@salmatalhiyn32255 жыл бұрын
Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh...Shukran Ktv tz Online Kwa Kutufikishie Kheri Hizi Namuomba Allah Awazidishie Rizki Zenu Na Awaruzuku Afya Njema Na Uhai Mrefu Wenye Kheri...Pia Naomba CD Ya Haya Mawaidha In Shaa Allah Zinapatikana Wapi Naomba Unisaidie
@OmanOm-wy5wj3 ай бұрын
Shukrani sàna shehe yaani tunàfarijikà sànà kiroho❤❤
@hdhdhdhdhdhd69335 жыл бұрын
Allah akujaalie kila lahery shekh wetu nauzid kutuelekeza
@adamzdamz65925 жыл бұрын
thanks othman maalim listening from qatarx allah akupe more and more sababu twapata mafunzo bora zaidi
@OmarAli-ev4cn5 жыл бұрын
Mashallah! ! Othuman malim ALLAH akupe umr mrefu wenye her nawewe!
@alimohamedalisaid70405 жыл бұрын
Mashallha nice darasa mungu akuzidisia ameen thuma ameen and good life ameen thuma ameen
@XYZHome5 жыл бұрын
This man is chosen, Tabaarakallah. May Allah acceptance be showered on him,and I ask Allah for forgiveness .
@angeljax2962 жыл бұрын
you all prolly dont care at all but does someone know of a trick to get back into an instagram account?? I stupidly lost my account password. I love any help you can offer me!
@jonahfinn68522 жыл бұрын
@Angel Jax instablaster :)
@angeljax2962 жыл бұрын
@Jonah Finn i really appreciate your reply. I found the site thru google and im in the hacking process atm. Takes quite some time so I will get back to you later when my account password hopefully is recovered.
@angeljax2962 жыл бұрын
@Jonah Finn it worked and I now got access to my account again. I am so happy! Thanks so much you saved my account!
@jonahfinn68522 жыл бұрын
@Angel Jax happy to help :)
@mams18925 жыл бұрын
Allah akuhifadhi Sheikh wetu Othman
@mudimaarifa93945 жыл бұрын
Mungu atufanyie wepesi kwa kila hatua waislamu🤲🏻
@leyouthaaljabri49495 жыл бұрын
Shukran Shekhe kwa ukumbosho Allah akuhifadhi kwa kila hatua Allah akupe umri mrefu uzidi kutufindi uislamu
@kamilaabdi23103 жыл бұрын
Jazakallakheiran, my favourite sheikh of all tym....
@fatmaaly96865 жыл бұрын
Mashaallah atupe mwisho mwema sisi pamoja na wazazi wetu na waislamu kwa ujumla 🕋
@rkenea42625 жыл бұрын
Ameen ya Raab
@samirnaty87745 жыл бұрын
Masha Allah shehe umetufungua na mengi ambayo tulikua na was was nayo in sha Allah mungu akulipe kwa ujira wako
@yassinsenge36754 жыл бұрын
Sheikh Othman Maalim Allah akubarik ktk utoaji wa mawaidha na Darsa zenye tija kwetu na atufanyie wepesi sisi wapokeaji hakika tusiishie ktk kusikiliza pasi kuyafanyia kazi kwa yakini tutapiga hatua Inshaallah
@nureyna6295 жыл бұрын
Maasha-Allaah sheikh Othmaan Allah akupe umri mrefu waje kufaid na watoto wetu Inshaa-Allah... Mwenyezi Mungu atujaalie tuwe wepesi ktk kutowa Mali zetu ktk mambo ya kheri Inshaa-Allah..
@ambestambest91654 жыл бұрын
I love othuman maalim
@alhajrahassan894 жыл бұрын
Allah bariq sheikh wetu Othman maalim
@ahmedhamisi3282 жыл бұрын
Masha Allah shekh othuman mwenyezi mungu kuzidishie umri ili Yazidi mutual nasaa
@zoharimohammed15695 жыл бұрын
wageita tuko pamoja nimeumia saana kukosa shughuri hii Allah awape kheri
@jokhanassor35075 жыл бұрын
Naam uasafi ni faradhi sheikh Othman 🌷☺
@mubirirashidi Жыл бұрын
Mashaaallah ❤️❤️❤️ shkh wetu othman Maalim i love you allah azidi kukubaarik
@fatmarashid18433 жыл бұрын
Mansha allah shekhe othumani Mawaidha mazuri sanaaa Yakweli kabisa mansha allah Allah akupe umri
@aishajeaninejeanine89345 жыл бұрын
shukran sheikh watu Allah akujalie kila la heri.
@hilalisaidseif84834 жыл бұрын
Hazina ya umma Masha Allah
@muhsinmahamba26295 жыл бұрын
masha Allah shekhe mungu akupe umri mrefu
@jokhanassor35075 жыл бұрын
Maashallah tupo pamoja kma niko kidoti vile 🌷🌷🌷
@abeidaadiseif47813 жыл бұрын
Allah atuaafikiishe kutokuzipa uzito ikhtilafu isiwe sababu ya kufariqiana.
@shabanimarijani6625 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atakuongoza inshaallah.
@jasminamani38285 жыл бұрын
Masha Allah mungu akuzidishie
@saeedsaeed73815 жыл бұрын
Mashallah mawaidha mazuri
@fatumamasudi21535 жыл бұрын
MashaAllah sheikh Uthman,Allah atupe mwisho mwema
@mams18925 жыл бұрын
Jazzakallahu kheir
@ashooraashoora11805 жыл бұрын
Jazzakumllah Khery
@ndimimaskati36415 жыл бұрын
Allahu akbar
@salehsuleyman9335 жыл бұрын
Thnk my maalim we love you
@faulatafahmi77335 жыл бұрын
Nimewapata Alhamdulillah...muko Tamaaman kabisa
@jimjam41625 жыл бұрын
MASHA ALLAH sh. Othman Maalim.
@khamisrubea50835 жыл бұрын
Inahitaji kutumia akili sana kutafahamu haya nawaidha ya sheikh othman vyenginevo utahisi kakosea
@alshukilialshukili96105 жыл бұрын
Allah awape kheri
@fatmaamour51035 жыл бұрын
mashallah
@rkenea42625 жыл бұрын
Masha Allah ya Othman
@myoutubecom-gg7sb3 жыл бұрын
MashaAllah
@mumys79995 жыл бұрын
Masha Allah
@khalfankhamis63464 жыл бұрын
Mumy S mashaallah
@abdinuraden18068 ай бұрын
❤very interesting
@faizasaid82625 жыл бұрын
Mashallah
@adamzdamz65925 жыл бұрын
zanzibar mambo mazurii maa shaa llah
@salehzz2905 жыл бұрын
MA SHA ALLAH
@sabraham53085 жыл бұрын
Ihtilafu zinakubalika katika wananazuoni wote,na Allahu yaalamu,kwa sasa mambo yamo kwenye vitabu na faridhatu ilmu alla kulli muslimu,tusiwe na jazba,tuache hawaa za nafsi zetu, bidaa itabakia kuwa bidaa,na haitokubalika,kufuatwa ni upotevu tu,tusije tukapotea,ya kufuatwa aliyotuelekeza mtume Muhammad SAW na Quran kwa mujibu wa mtume alivyoshushiwa,Juu ya wote na hao aliowataja,walihitifiana ,ihtilafu ndogo ndogo na katika wote hawa hawakupata kufanya bidaa kubwa ya maulidi,na sote tunampenda tunamsalia mtume katika kila sala,za fardhi na sunna,na kila tunapomuomba Allah subhana wataala,tuache kujitukuza kupita kiasi,mtukufu ni Allah,tumtukuze Allah subhana wataala na tumfuate mtume aliyotuelekeza.Barakallahu feequm.
@aliyomar91405 жыл бұрын
Saad Mohammed wew bwegee....kwani yametajwa maulid.....wew ugonjwa wako maulid......wew hufanyi bidaa?hebu soma kwnza........wew mwenyeo bidaaaa tupu........
@aishahamadi96055 жыл бұрын
Saad Mohammed Allah akupe ufahamu..Ama kwa hakika Sheikh Othman ameeleza kwa ufasaha sana walakin kutokamana na comment yako inaonekana una gonjwa la dhanna kiilmu huenda ukawa humuelewa ndio maana umeingiza mada ya maukid hapa usilolijua na nina imani sheikh Othman alieleza kiufasaha kuhusu suala zima la maulid walakin yako no chuki....ondoa hilo akhui sote ni wamoja
@adamzdamz65925 жыл бұрын
@@aishahamadi9605 htilafu zinakubalika katika wananazuoni wote,na Allahu yaalamu,kwa sasa mambo yamo kwenye vitabu na faridhatu ilmu alla kulli muslimu,tusiwe na jazba,tuache hawaa za nafsi zetu, bidaa itabakia kuwa bidaa,na haitokubalika,kufuatwa ni upotevu tu,tusije tukapotea,ya kufuatwa aliyotuelekeza mtume Muhammad SAW na Quran kwa mujibu wa mtume alivyoshushiwa,Juu ya wote na hao aliowataja,walihitifiana ,ihtilafu ndogo ndogo na katika wote hawa hawakupata kufanya bidaa kubwa ya maulidi,na sote tunampenda tunamsalia mtume katika kila sala,za fardhi na sunna,na kila tunapomuomba Allah
@aishahamadi96055 жыл бұрын
@@adamzdamz6592 akhui Allah akuzidishie ilmu na akuongoze ila nakushauri sikiza faswaha alizoziongea sheikh...mada imehusu adua yetu ni Ufukara na akarambaramba kwenye ikhtilaaf...maadamu wewe chuki unayo juu ya msimamo wa Sheikh othmaan kuhusu maulid wataka msimamo wako ndio usikizwe...yeye anayo sababu ya kusherehekea maulid...walakin nyinyi ndio munaojiona wema kuwapa wenzenu moto na pepo...nikikwambia nitajie uharamu wa Maulid huna hata sababu moja na utakazozitaja hazitoshabahiana na maulid tunayoyajua sisi bali utatafuta viasbab vidogovidogo ambavyo hata sisi twapingana navyo katika kusherehekea maulid...Maulid hakuna bid'aa ndani yake na pepo haingii yeyote ila kwa Rahma za Allah....ikiwa umeshindwa na ilmu ya "mujtahidun" katika kueleza mambo haya usitumie KZfaq pia wewe maana ni BID'AA hakuna mtume wala swahaba wala tabieeen alietumia KZfaq...Tafakari na utambue kuna ilmu za mujtahideen usiwe shabiki wa shekhe flani mukawa mwawapa watu majina yasiyostahili mukiwaingiza na kuwatoa watu kwenye uislamu munavyotaka nyinyi haifai sote ni wamoja na bid'aa za wazi pia sisi twazijua na twazipinga. ASSALAMU ALAIKUM
@adamzdamz65925 жыл бұрын
kila siku nasikiza mawaidha ya otman from qatar hakika maalim is profosional in islam kila darasa, allah ampe kekhma zaidi @@aishahamadi9605
@keiazizi57463 жыл бұрын
Allah akuzidishie elimu
@asmmaasmma11725 жыл бұрын
Man sha Allah
@yasirahmed35153 жыл бұрын
Maashaallah Tabaarakallahu
@ndimimaskati36415 жыл бұрын
Asalaam aleykum, mbona mmewasahau mashehe wetu ambao wako jela wa UAMSHOy?
@faulatafahmi77335 жыл бұрын
Kweli
@fatmaaly96865 жыл бұрын
Kweli lkn kila mwaka hawasemi kwa7bu maneno yote wanapangiwa na serekali hawawezi kutaja mashekhe roho zinauma kila mtu anasemakwanini maada ya mashekhe inaachwanyuma
@shelinswai39264 жыл бұрын
This year Hakuna hutba mpya za shekh
@neemagambere99875 жыл бұрын
mashallah.malimu
@faulatafahmi77335 жыл бұрын
Alhamdulillah nafurahi
@ummuraw63725 жыл бұрын
M.Mungu awalipe kheri daima watumishi wote wa KTV hii ni sadaka kwenu kwa ssi tulio mbali tunahisi tupo ktk viwanja kwa kweli tunafarajika pia ALLAH awalipe kheri wahadhiri wote. Amiin
@abdukhamis4365 жыл бұрын
Mashallah Allah awadumishe mashekhe wetu Na maamiri wetu WA markaz akiwemo amiri mkuu amir Ali khamis mwinyi Kwa kuifanikisha ijtimai Allah awajaze kheri nyingi
@safilarose62472 жыл бұрын
Assalamu Walaikum Warahmatuh Wabarakatuh.
@hamisally58505 жыл бұрын
Pamoja san
@zulekhaabdalla74084 жыл бұрын
Thakbir
@halimamsafiri15325 жыл бұрын
Naomba kwa aliokuwa nayo video hii anitumie 0717195547