🔴

  Рет қаралды 103,531

Global TV  Online

Global TV Online

2 жыл бұрын

🔴#LIVE​​​​​​​​​​: TOFAUTI ya MWANAMKE ANAYEVUTIA na MWENYE MVUTO - PISI KALI ni TOI | HARD TALK..
Mwanamke mwenye mvuto ni mwepesi kumdanganya na ni rahisi kumuomba MSAMAHA.
Swali ni MWANAMKE MWENYE MVUTO YUKOJE na NI NANI?
Haya yote utayapata hapa @globaltv na @LillianMwashaTV
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750 910), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 155
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@sallymrembo9137
@sallymrembo9137 2 жыл бұрын
Yani nampenda huyu baba mpk mwisho Mungu akutunze sana nafatilia sana mafundisho yako. Hilo jibu umetoa hapo mwishon nimerudisha kama mara 10 Ubarikiwe sana Baba.
@ruthn9381
@ruthn9381 2 жыл бұрын
Wherever Dr. Ellie appears, I'm tuned! He's full of wisdom and knowledge. His intellectual ability is on another level. God bless you Daktari for your unfailing dedication to awaken humanity.
@mcchilo13
@mcchilo13 2 жыл бұрын
Wangapi wanaona huyu baba anafanana na Jb
@fauziyaomar7090
@fauziyaomar7090 Жыл бұрын
Sauti tu
@adamusamson5279
@adamusamson5279 2 жыл бұрын
Akili kubwa, mambo makubwa. Mungu azidi kuwabariki sana
@edouardnsengiyumva4424
@edouardnsengiyumva4424 2 жыл бұрын
Dr .Elie , the voice of wisdom , this is a divine intelligence, be blessed and protected by Our Heaven Father.
@seraphineikungura9630
@seraphineikungura9630 2 жыл бұрын
Ilikumeelewa Dr wa aina hii ni lazima uwe na umakini na utulivu wa akili, vinginevyo unaweza kuwa bubu kwenye ndoa ukidhani ndio mvuto
@HauwaHemedy
@HauwaHemedy 3 ай бұрын
😂
@linahsabaspaul4729
@linahsabaspaul4729 2 жыл бұрын
Asante Dr na Lilian, nimejifunza mengi, mm ni mke na nimeanza kujawa na mashaka na Mr. but now nimejifunza ,nimejichunguza nimejua ni wapi ninekosea ,kwanza sikujua kama mm ni akisi ,so najitengeneza upya kuwa wa mvuto, uvumilivu,busara,hekima,kujiamini ,utulivu wa moyo nk. Thanx
@deejulesdonatha4107
@deejulesdonatha4107 2 жыл бұрын
One of the best interviews ever!!!!!!!!!!!!! Thank u Lily and Daktari for a 💣 interview
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Жыл бұрын
Mwasha anamkosea sana doctor coz anamuhoji sana kuhusu yeye hataki kuhoji kuhusu jamii yake
@adamomary1964
@adamomary1964 2 жыл бұрын
huyu doctor kumuelewa kunaitaji weledi wahali yajuu sana,ukiwa hujapita shule kumuelewa utaona kama anapoteza mda2
@barakaedwin901
@barakaedwin901 2 жыл бұрын
"the less destructive you are the more magnetic you become."
@fourtwonetly
@fourtwonetly Жыл бұрын
Mkuu...maana aliyotumia hapa ni, distractive!!!! Sawa?
@deejulesdonatha4107
@deejulesdonatha4107 2 жыл бұрын
Kama una akili ndogo na za mazoea huwezi kumuelewa huyu baba...he is levels haki
@janesemngindo4878
@janesemngindo4878 2 жыл бұрын
Dr Elie ni kisima Cha hazina isiyopotea. Napenda kusikiliza busara zake. Lilian soma vitabu zaidi kuhusu producing. Hupaswi kuitikia kwa sauti you can add nodding etc
@boazipaulo3439
@boazipaulo3439 2 жыл бұрын
Nawapongeza watoa maoni ktk mada hii, mimi binafsi namwelewa sana Dr na kimsingi nimejifunza mengi kupitia vipindi vyake. Ninapokikosa kipindi chake j2 kwangu ni hasara. Ni lazima turudi kwenye misingi ya kuwa wanadamu wote tuko kwenye makundi 2 namaanisha extrovet introvert, ukitambua misingi hii hutapata shida kumwelewa.
@getrudeelibariki1002
@getrudeelibariki1002 2 жыл бұрын
Dr.Ellie🥰...haki maisha yangu kupitia wewe yamekua marahisi sana👏👏
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 2 жыл бұрын
it's easier to understand Dr Elie when he explains his points in English (maybe it's my reflection*just maybe) I appreciate him so much cause whenever i listen to him I gain something new
@doricejohn2014
@doricejohn2014 2 жыл бұрын
Thank you Doctor & sister Lili may God bless you 🙏💪
@brownsugar123jimmy8
@brownsugar123jimmy8 2 жыл бұрын
Dr ell Ubarikiwe saana since 2019 umebadilisha mtazamo wangu kifkra
@hellenmcharo6495
@hellenmcharo6495 2 жыл бұрын
Thanks Dr Elly and Lilian, I got something, mmeniongezea maarifa. Be blessed profusely!
@Bise270
@Bise270 2 жыл бұрын
Doctor namshukuru Mungu kwaajili yako,you're truly changing lives.
@silverman6930
@silverman6930 2 жыл бұрын
Happy new year Dr .. highly intellectual human being thank you God 🙏🙏🙏🇬🇧🇬🇧🇬🇧❤️❤️❤️
@fatinanyigo8955
@fatinanyigo8955 2 жыл бұрын
Dr Ellie hongera najifunza vitu Vizuri sana kupitia wewe.
@maystellakajuna5461
@maystellakajuna5461 2 жыл бұрын
This is soo deep, thank you sis Lilian and doc.
@evansbuninange7125
@evansbuninange7125 Жыл бұрын
Dah, namshukuru Mungu sana kwa hiki kibali cha kujifunza haya yote toka kwenu. Mungu azidi kuwaimarisha
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 2 жыл бұрын
Amen and amen hakika nimezidi kubarikiwa sana Mungu azidi kuwabariki nawapenda❤
@nadiakabamba7373
@nadiakabamba7373 2 жыл бұрын
Sante sana dada Lilian mungu aku bariki, doctor pia asente kutupa ujasiri tena be blessed 😇❤️
@vickyshangwe7339
@vickyshangwe7339 2 жыл бұрын
This is just incredible and marvelous... So insightful..💫💫
@neemachalamila590
@neemachalamila590 2 жыл бұрын
Asante sana
@melvinnakhungu2504
@melvinnakhungu2504 2 жыл бұрын
Ubarikiwe dada lili na dr.
@babyhamisi1437
@babyhamisi1437 2 жыл бұрын
Mubarikiwe sana da Lillian tunahitaji maswali mengine tofauti kiasi my dear,grate job one love
@ruthn9381
@ruthn9381 2 жыл бұрын
I agree. It's about presence and innocence not physical appearance!
@mosesgatsinzi7308
@mosesgatsinzi7308 2 жыл бұрын
Doctor honestly am learning from what you are saying though am a man and married it's a good lesson for both of us.Thanks Lilian
@tumajunior6080
@tumajunior6080 2 жыл бұрын
Kweli kbs dct nimekuelewa sana km lilian 👌👌👌
@genovevakato3409
@genovevakato3409 2 жыл бұрын
Nimefurahishwa Sana kujifunza mengi katika kipindi hiki. I just bumped into it. Very educative and interesting. Bado nipo na heka mwenyewe. I have learned a lot in a very short moment. Asante Lilian. Jina la mwanangu. Asante Dr. Hii team kali.😄😄
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Жыл бұрын
Huyu hawezi kufanana na JB ila anaongea sauti kama ya JB na JB hana akili ya huyu Dr.huyu jamaa ana madini mengi sana zaidi ya director wa JB
@magnusbugingo7471
@magnusbugingo7471 2 жыл бұрын
JUST love psychology nine enjoy kipind Na mada coz mwasha Na eiud wote ni wajuzi nami pia naelewa vilevile
@yohanambilinyi5856
@yohanambilinyi5856 4 ай бұрын
Dr,ubarikiwe
@aminaaboud5461
@aminaaboud5461 2 жыл бұрын
Asante Sana nimejifunza mengi
@aminahassan3709
@aminahassan3709 2 жыл бұрын
Kweli kabisa doctor 💯
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 3 ай бұрын
Shetani anazuliwa tu ni makusudi tu wanafanya kutoka na mwengine huko nje
@evansbuninange7125
@evansbuninange7125 Жыл бұрын
Very very fact,100%
@sylivesterdaniel5301
@sylivesterdaniel5301 Жыл бұрын
Dr nakuelewa sana uwezo unao bigup
@AbdullahAli-hf4ns
@AbdullahAli-hf4ns 2 жыл бұрын
Dr Elie ubarikiwe wanawake wengi Leo wamekosa mvuto kutokana na kujibadilisha maumbile Yao anavyoonekana nje na anapokuwa ndani sivyo alivyo ni tofauti kabisa kila la kheri.
@marialemi2177
@marialemi2177 2 жыл бұрын
Soooo deeeep🙏
@melvinnakhungu2504
@melvinnakhungu2504 2 жыл бұрын
Nimekupata. Smart
@kuntakintekoko5320
@kuntakintekoko5320 10 ай бұрын
na wee Dr. Ellie, hebu kipange vizuri hicho kiswahili chako, kila nikikusiliza napatwaga na khofu kwamba eti kiswahili siku hizi sikijuwi tena.
@officialvboy4987
@officialvboy4987 2 жыл бұрын
Yaa
@vivianchawe7561
@vivianchawe7561 2 жыл бұрын
Nimemuelewa Sana huyu baba
@user-ph9ds9dm7w
@user-ph9ds9dm7w 2 ай бұрын
Leo nimejifunza kitu kikubwa sana kumbe tunahangaika sana na kuwavutia na wao wanhitaji mvuto ili watulie.
@charlesmkombozi7895
@charlesmkombozi7895 Жыл бұрын
Wewe baba Mimi unanibariki sana Kwa majibu yako
@beatricefelicianrutahigwao2918
@beatricefelicianrutahigwao2918 2 жыл бұрын
Hi
@frankmgina6796
@frankmgina6796 2 жыл бұрын
It's really hard!
@nanceaidan6622
@nanceaidan6622 2 жыл бұрын
Leo nimeongeza kitu kikubwa sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙌
@stephaniemanfred7844
@stephaniemanfred7844 Жыл бұрын
This is deep
@halimahalima1984
@halimahalima1984 2 жыл бұрын
Daaaah natizamaga mafunzo ili somo daaaah kwangu limekuwa ligumu ila nimejifunza kituuu🙏🙏🙏🙏🙏
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 2 жыл бұрын
Doct unaongeya kweli
@sumaiyamunisi5228
@sumaiyamunisi5228 2 жыл бұрын
Kumbeee ndomana beby wangu alinisisitiza nisuke mweee kumbe nywele inavutia
@swaumamiriy2234
@swaumamiriy2234 Жыл бұрын
Mm wang anapenda kusema hem nione nywele zako kumbeee haha
@Unique653
@Unique653 Жыл бұрын
the less people know, the better
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
Kimeumana
@BM_Smart2-6
@BM_Smart2-6 2 жыл бұрын
Intelligence talk, listen and care. Ignorance laugh, shout and forget
@silyvya2408
@silyvya2408 2 жыл бұрын
Nimefurahia kukuona lilyan mwasha nilikuwa tu nakuskia kwenye clauds redio
@chancekambale3498
@chancekambale3498 2 жыл бұрын
Dr Ellie na mtangazaji mukosawa kabisa
@latifahhassan5385
@latifahhassan5385 2 жыл бұрын
Good tolk nimejifunza kitu
@ahlamnasser5703
@ahlamnasser5703 2 жыл бұрын
Wapemzi naombeni account ya Dr.Elie
@perfumewise
@perfumewise 2 жыл бұрын
Akili nyingi Lilian
@user-tg8ct1nt5y
@user-tg8ct1nt5y 2 жыл бұрын
Hili tinaomba mpe doctor mwaka atusaidie vizur huyu inaitaji umakini sana
@jimmykabila4163
@jimmykabila4163 2 жыл бұрын
Maneno yako haujikute umo? Katengeneze kwako kabla uje kufundisha uanze kuwa mfano mimi sifiche usu unitafute, bongisa ndako nayo papa
@Bwenge-minecraft
@Bwenge-minecraft 2 жыл бұрын
jambo dada unapoteya sana tuna fatiliya vipindi vyako.
@linaxavier6336
@linaxavier6336 Жыл бұрын
hahaha😃😃 nimecheka Doc. alipouliza Pisi kali ni nini , what's that😃
@emmyjimmyK
@emmyjimmyK 2 жыл бұрын
Dr Eli nakuelewa sana
@user-it6to6ws5r
@user-it6to6ws5r 5 ай бұрын
Hata mm nimechdkaa😅😅
@jasminisharifu7446
@jasminisharifu7446 Жыл бұрын
Jamn🙄🙄👌❣️
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 2 жыл бұрын
Lilian huyu daktari anakuzumia ile mbaya cuidao!!!😀
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 2 жыл бұрын
Mimi nadhani huyo Lilian Mwasha ndio anashindwa kutofautisha. Let me say kwa kiingereza. Ni Attraction versus Chemistry. It's that simple. Na cha ajabu watu aina ya Lilian Mwasha wanakwenda kwa Attraction zaidi rather than Chemistry, which is a very huge component in building up a lasting relationship. Sasa kama wewe Lilian Mwasha uliolewa na Mwanaume kwa kujua you had a Chemistry my friend imekula kwako kwa sababu you didn't have a Chemistry at the first place
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k 2 жыл бұрын
Theodore milenzo u are smart
@deejulesdonatha4107
@deejulesdonatha4107 2 жыл бұрын
Khaaa we ndo umepuyanga kabisa! Hamna subject ya chemistry apo in this whole interview! Seems like u coming in with a formed mind HUTAKI KUJIFUNZA
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 2 жыл бұрын
@@deejulesdonatha4107 Haya sasa eti hakuna subject ya chemistry hapo. It seems like I'm coming with the formed mind??? OMG 😲
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 2 жыл бұрын
@@deejulesdonatha4107 What does chemistry mean in love? " ... Simply put, the feeling of chemistry with another person is that of connection. It's a draw to someone else that makes you want more of them. That doesn't have to be in a romantic relationship context, though that is the way we most often use the word" at some point nitakuwa nimekusaidia hapo. Stay focus!!
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 2 жыл бұрын
@@deejulesdonatha4107 Nenda pale kwenye Spotify halafu search for the Greatest Hits za H.E.R za 2021 and enjoy her music kwa kweli ziko so dope. That's what I am listening now.........
@pastoryassey6410
@pastoryassey6410 3 ай бұрын
Hapa nimegundua akili kubwa inaongea na akili ndogo lily anajalibu kucope lakini haelewi
@princessenzahoraho1364
@princessenzahoraho1364 2 жыл бұрын
Mimi kusema nimuelewe napaswa kusikiriza mara mingi
@happynessbenard1319
@happynessbenard1319 2 жыл бұрын
Mbn nishapigwa na kitu kizito kichwani 😂😂😂😂🙆
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
BI HARUSI ANAKUWA SHEPU YA NGUVA.
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 2 жыл бұрын
LILIAN HUNA MVUTO WALA HUVUTII
@charlessjackson4559
@charlessjackson4559 2 жыл бұрын
Tatizo mzee anachanganya lugha hii ndio maana Magufuli aliikataa kabisa
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 жыл бұрын
Magufuli kaingiaje hapa na ww unakuwa km choko
@deboraezekiel784
@deboraezekiel784 2 жыл бұрын
Magufuli akikataa kitu haimanishi ni sheria engelish ni internationl
@esterderiki6505
@esterderiki6505 2 жыл бұрын
Kwani wazazi wako hawakukulipia ada
@chrismwanjalika9892
@chrismwanjalika9892 2 жыл бұрын
Presence ni neno la kike sijamuelewa !
@jasper849
@jasper849 2 жыл бұрын
Ni ivo...ki faransa icho....
@mariajoseph9735
@mariajoseph9735 2 жыл бұрын
Sijaelewa ata
@joelndowo
@joelndowo 2 жыл бұрын
Sikiliza tena na tena mpaka uelewe
@charlessjackson4559
@charlessjackson4559 2 жыл бұрын
Kama unaongeaa kiingereza hicho tu il tue'ewehicho
@irmarasoanandrasana3624
@irmarasoanandrasana3624 2 жыл бұрын
Asante sana kwa mafundisho!
@neemasimon7639
@neemasimon7639 2 жыл бұрын
Kuchepuka au kutochepuka hiyo ni tabia ya mtu, inabidi mtu kuamua kuishi maisha sahihi na si vinginevyo
@marymnyawami9341
@marymnyawami9341 Жыл бұрын
Nakubaliana na wewe
@naturelle1097
@naturelle1097 2 жыл бұрын
This is like Greek ..amevutiwa na mvuto😩what is the purpose of this interview???
@saidyssaley1509
@saidyssaley1509 2 жыл бұрын
💗🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 2 жыл бұрын
Huyu jamaaa nashindwa kuelewana naye pale anapozungumzia watu ambao ni waongeaji sana. Na nashindwa kumelewa ni kwa nini anashindwa kueleza kuwa uongeaji sana ama ukaaji kimya sana kupitiliza ni madhaifu kama madhaifu mengine ya kibinaadamu. Na kwa kweli at times hayo madhaifu yako beyond our control. Sijui anashindwa wapi kuliona hilo. Kwa jinsi nilivyomsoma is even if watu hufanya makusudi. Kwa hilo hapana namkatalia. Na pia ukaaji kimya unaweza kudhani ni mvuto kumbe sio. Kwani watu wengine wanaokaa kimya huwa ni kweli wako empty head. Hawana mambo variety ya kuongea na hawajui lolote lile and so kukaaa kwao kimya ndio kunakowaokoa
@glorynguma3593
@glorynguma3593 2 жыл бұрын
Big No kukaa kimya hamanishi uko empty au hujui kitu No unapokaa kimya Kwanza ñi Ku observed vitu Kwa urahis na kuchukua hatua waongeajo Sana huwa wanakurupuka Sana hata kwenye mamuzi
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 2 жыл бұрын
@@glorynguma3593 Hiyo interview kwa ujumla wake haina mantiki yoyote ile ya maana na hasa ukizingatia wakati tulionao na huko tunakokwenda. Ni uhuni mtupu hapo kwani muuliza maswali na mjibu maswali wote ni vilaza wakubwa hawajui ni kitu gani hasa cha maana cha kuwafikishia wasikilizaji wao. Wameshindwa kusoma alama za nyakati. Mambo wanayoyazungumzia kimsingi yamepitwa na wakati sana yako out of contest. Ni mambo ambayo hatupashwi kuyasikia kwa sasa. Haijulikani hata ni kitu gani hasa walichokuwa wanakisimamia, maelezo yao yametawanyika sana kiasi cha kutompa nafasi ya msikilizaji kujua ashike lipi na kuliacha lipi.
@glorynguma3593
@glorynguma3593 2 жыл бұрын
Huyu Mzee huwezi kumwelewa unless Ur are deep vitu anavyoviongea ñi facts na msikilizaga mara nyingi na mambo mengi nimefanyia kazi na yamenisaidia Sana Inahitaji MTU mwenyew akili nying kumwelewa mambo anaongea siyo ya Kila Mtu wachache ndo tunaelewa
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 2 жыл бұрын
@@glorynguma3593 That’s fu…. ckn useless, remember that we’re livin’ in delusional standards, everyone wants that fantasy. Men wants wife who are going to be humble, and women wants a man who is going to treat her like a queen. Both parties have delusional standards now because both parties are afraid of being hurt. People have these kinds of standards as how they want somebody to treat them in which is not going to happen. You have to know how to separate logical thinking to the delusional thinking. We are living in the time where everyone is in the survival mode, especially women. So were speaking in the survival mode point of view. Women are always looking for the sense of security and Men are looking for peace, quiet and love. Men wants love more than women wants to survive, so women are always in the survival mode that’s why the chances to actually find a guy to do that over and over again are so minimal. Is something that you have to look at before you become emotional struck. Stop, looking out of the box and looking at the situation.
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 2 жыл бұрын
@@glorynguma3593 I know that you are obsessed of the nature and want to know more about it. Why why why…………. why you’re not getting married, why you don’t want to be in a relationship, why things are getting worse, and you stress that. C’mon, that’s a psychological defect. It’s time to put more focus on your purpose and trust me if you’re going to sleep thinking about your purpose, I guarantee you’ll wake up early in the morning and start working on it.
@kuntakintekoko5320
@kuntakintekoko5320 10 ай бұрын
Bimwasha, mie naona ''sensational talk'' is what you tryin to come with, nothing hard about it, come on.
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Жыл бұрын
Wanawake wanagawa uroda bure ndio maana hao wanaume hawaoi mwanamke huyu akimnyima anajua yule kule lazima atampa ,wanawake wakigoma kugawa hovyo huyo mwanamme Angeoa tu hana jinsi , hata nyumba ndogo akiacha kumpa huyo mume wa mtu akampa changamoto kama kweli anampenda basi amuoe na aeche kabisa kugawa uroda utaona , wanawake wote wa nje wakigoma kuwapa waume za watu uroda ndoa nyingi zingevunjika ili waoe hao wanaofikiri wanawafaa hao wa nje hawaolewi kwa sababu mwanamme anachokikosa kwa mke wake anapata tu kwako wewe mwànmmke wa nje na waume wa watu hawataacha wake zao kwa sababu vipoozeo vipo vingi huko nje vya Bure .
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 2 жыл бұрын
Wewe Liliana Mwasha una vutia huna mvuto sauti yako imekaaa kiwizi wiziiiii
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 2 жыл бұрын
We kaka😂😂
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 2 жыл бұрын
@@rayanndizeyes3161 umeona eeehhhh lol 😆 😂 🤣 😄 😅 😜
@safiahassan6121
@safiahassan6121 2 жыл бұрын
Et kiwizi wizi
@esterngirwa1022
@esterngirwa1022 2 жыл бұрын
😀😀😀
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 2 жыл бұрын
Angalia swali analoliuliza kwenye 20:00 - 20:02 hapo yani ni full kuchanganyikiwa
@ayubukibiki5690
@ayubukibiki5690 2 жыл бұрын
Mbna mda huo ni doctor anijibu
@jimmykabila4163
@jimmykabila4163 2 жыл бұрын
Docta wewe ni mwalimu mzuri akini kinanishangaza sipate picha kivipi umeshindwa ndoa yako, na kushindwa kulea watoto wako, kama unasoma hii comments kalee watoto wako husimutese mama yangu.
@evansbuninange7125
@evansbuninange7125 Жыл бұрын
Hlw, hiyo message inamuhusu dk? Yeye ameshindwa fanya hilo?
@jimmykabila4163
@jimmykabila4163 Жыл бұрын
@@evansbuninange7125 ndio yeye ameshindwa muhulize watoto wake wako wapi?
@joleemusic4396
@joleemusic4396 Жыл бұрын
Nyie achen dhambi usijifanye unamjua mtu sana kumchafua
@jimmykabila4163
@jimmykabila4163 Жыл бұрын
@@joleemusic4396 dada muhulize mke wake yuko wapi? Ni mu farisayo anajuwa neno akini hasi ifanie kazi watu kama awa niwakutoa azarani.
@jimmykabila4163
@jimmykabila4163 Жыл бұрын
@@joleemusic4396 anafudisha vizuri ndio akini kuacha familia bila sababu mke na wa toto siyo poa kesi lake walivo leta makamani sikukubali kuona mke wake analia mbaba ameja uongo huwezi fikiria
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 2 жыл бұрын
Dr Ellie wew ni gwiji wa sycologia..
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 2 жыл бұрын
Yani huyo Lilian Mwasha sijui ni kabila gani. Ameshindwa kabisaaaaa kumuelewa huyo jamaaa na anashindwa kutofautisha kati ya mwenye mvuto na anayevutia. Check alivyochanganyikiwa 18:02 uuuwiiiiii
@innocenciamalyawere1503
@innocenciamalyawere1503 2 жыл бұрын
Inaonekana unajua sana,hebu anzisha kipindi chako tukione utakavyo kuwa perfect.
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 2 жыл бұрын
Weèe liliane unadawa gani yakumuweka mwanaume dani???wala asichepuke haaa unaona uzuri wa Zari😮😮ila Diamond kachepuka zari muzuri musafi shida ni mwanamuke hao ???
@danielpaul84
@danielpaul84 2 жыл бұрын
Shida sio uzuri
@bonifacesasi2175
@bonifacesasi2175 2 жыл бұрын
Huwa nakuelewa sanaa my Mentor Kuna v2 umenivusha Sanaa daddy
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 2 жыл бұрын
wewe unaetwa Dr. acha kudanganya watu mungu ameumba kila mwanamume hua ana sehemu yake ya mwili kwa mwanamke ambayo hvutiwa nayo, hayo macho na nywele ndio mvuto wako wewe don"t be generalize. na kila mwanamke pia anasehemu yake anayovutiwa kwa mwnamume kimaumbile .
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 26 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 132 МЛН
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 3,3 МЛН
Nakitia Yona 'niliolewa na niliedhani namjua kumbe simjui'
44:47
Millard Ayo
Рет қаралды 157 М.
"Mawazo" Sehemu Ya 31 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminia.
50:00
Chomoza Tv
Рет қаралды 7 М.
LILLIAN MWASHA: USIMPE MWAUME NAFASI YA KUKUZOWEA
2:56
Lillian Mwasha Tv
Рет қаралды 2,3 М.
А ЧТО С ЗУБАМИ ТО?😂😂🦷
0:54
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 4,3 МЛН
ToRung short film: i sell watermelon🍉
0:38
ToRung
Рет қаралды 19 МЛН
Притворилась БЕРЕМЕННОЙ 😱 #shorts
1:00
Лаборатория Разрушителя
Рет қаралды 5 МЛН